Hello...nmefuatilia vzr sana jnc ambavyo unafanya,,bnafc niseme uko vzr kusmma Kama mwl...pia naomba unisaidie orodha ya materials/vitu vinavyohtajka na hatua zake Yan 1,2,3....ili tufanye KAZI nzur zaidi... ahsantee na MUNGU akfanikishe katka elimu hiyo..barikiwa Sana.
Asante sana dear kwa kuzidi kutupatia maujuzi! Mimi ni miongoni mwa wanaofuatilia darasa lako hapa TH-cam, naomba kujua kama kwa vipimo hivyo vya 1/4kg ya sukari na 1kg ya ubuyu, ubuyu utakuwa mtamu kweli kuvutia wateja? Mimi ninataka kupika 2 na 1/4 (sado moja) ya ubuyu kwa 1kg ya sukari, je nitakuwa sawa? Nimeona wengine wanatumia vipimo kwa uwiano sawa (1kg sukari kwa 1kg ubuyu), nisaidie maana kesho nataka kuingia kwenye matendo (kutengeza)! Asante sana sana🙏🙏🙏🙏
@@Jastus100 kama utapimiwa vizuri ni kilo mbili na robo la ni kilo mbili kamili ambayo huku niliko sado ni shs. 2000/= , na ya unga wa ubuyu ambao haujachekechwa ni 3000/=
Wawoooooo thank you very much. unakipaji cha kufundisha very simple way na kueleweka Mashaalah Mashaalah Mashaalah
🙏🤲🤲
WOW,I have waited for this recipe .Thanks
Hope you will give me feedback
@@mziwandabakers8297 yes I will.
Barikiwa sana kwa somo kwa wiki sikosi 50000 asante dada
Mziwanda napenda Sana mapishi yako, you are very smart
😘🥰🥰
Hello...nmefuatilia vzr sana jnc ambavyo unafanya,,bnafc niseme uko vzr kusmma Kama mwl...pia naomba unisaidie orodha ya materials/vitu vinavyohtajka na hatua zake Yan 1,2,3....ili tufanye KAZI nzur zaidi... ahsantee na MUNGU akfanikishe katka elimu hiyo..barikiwa Sana.
Ma sha Allah,nitajaribu kupika
Hongera sana
Kazi nzuri naomba no zako
Waooo mtam san
Nice Mashaalla hv lengo la kuuweka kweny plastic bag kabla ya kuupack kwa vifuko nn mantic yke ?
More love my sister ❣️😋❣️
🥰
uo unga tutaupataje bandugu mbona tunauhitaji saaana.
Maji lita moja na nusu hadi mbili
Napenda SoMo lako dada
Naomba tufundishe na kashata za ubuyu
Vipimo vya ubuyu wa biashara
Mziwanda samahani naomba kuuliza swali ubuyu kilo 5 sukari kiasi gani inatumika ??
Hongera dada mi nakosa kila ck namwaga ubuyu
Usimwage uzia wanafunzi
Naomba dada kilo mbili na nus sukali kiasi gan
Nimekuelew Asante sana
Tuekee recipes dad Yan natak nijarb 🥰🥰
Tuwekee na mafunzo ya pilipili
Thanks, kunijuza nitajaribu.
Asante sana dear kwa kuzidi kutupatia maujuzi! Mimi ni miongoni mwa wanaofuatilia darasa lako hapa TH-cam, naomba kujua kama kwa vipimo hivyo vya 1/4kg ya sukari na 1kg ya ubuyu, ubuyu utakuwa mtamu kweli kuvutia wateja? Mimi ninataka kupika 2 na 1/4 (sado moja) ya ubuyu kwa 1kg ya sukari, je nitakuwa sawa? Nimeona wengine wanatumia vipimo kwa uwiano sawa (1kg sukari kwa 1kg ubuyu), nisaidie maana kesho nataka kuingia kwenye matendo (kutengeza)! Asante sana sana🙏🙏🙏🙏
Nina swali sawa na lako ,je umepata majibu M?
@@Jastus100 sijapata ila mimi nimeanza kupika sado moja ya ubuyu wa mbegu, sukari kilo 2 na unga wa ubuyu kilo moja kasoro na ubuyu unatoka super😋
@@evelynebiduga9626 sado ya ubuyu ni kama kilo gani eti
@@Jastus100 kama utapimiwa vizuri ni kilo mbili na robo la ni kilo mbili kamili ambayo huku niliko sado ni shs. 2000/= , na ya unga wa ubuyu ambao haujachekechwa ni 3000/=
@@evelynebiduga9626 nashukuru sana sorry kwa maswali mengi , naomba kujua hivi unalipa vizuri?
Nimejifunza kitu ubarikiwe kwa ku share nasi this video
Amiin
Jamani mwenzenu nikitengeneza ubuyu ukikaa kidogo uko kama unavunda, nimekosea wapi? naomba jibu,
Utakuwa unazidisha maji pia shira haivi vizuri
Hujaacha Shira ijivute umewahisha kuepua
Sijui vipimo nahisi
Samahani dada naomba nikusumbuwe kidogo
Ndio nakusikiliza kaka
Mimi.nikipika.baada.muda.kidogo.unakua.mgumu.naomba.kipimo.cha.maji.kwa.lita
Unga wa mabuyu unautoa wapi?
Me wangu mbn unanatana kdg lkn
Watu wa Kenya 🇰🇪 where can i buy ubuyu
Eastleigh
Shira nini dada
Sukari ukisha chemka na maji
Hivi Kama sina Radha naweza kutumia nini mbadala wake ili ubuyu uwe mtamu
Hiliki
@@mziwandabakers8297 Asante dear Mungu akubariki
naomba namba yako please
Tatzo linakuwa Nini mtu kupika ubuyu haukauki
Hi , i made mabuyu i kilo, sukari 1kg, maji1ltr, lakini imekuwa kama ugali hata baada ya kuicha masaa kumi na sita. Nitayafanyia nini ndio ikauke
Pole huo hauwezi kukauka ubuyu unakaukia jikoni ndio uzuri wake
Unga uliweka?😊@@mziwandabakers8297