Tabora waongo wala kwani walicheza na Yanga na Azam kivipi mbona wakiwa wanacheza na Simba sababu nyingi wanatoa jamani hixi team nimegundua Simba inaogopeka sana tena sanaaaa❤❤❤❤
Ni kweli hersi huwa anahonga timu ? Je hata simba ameshawahi kuwahonga na kupigwa ndani nje ? au? Simba pia huwa wanahongwa? Alifungwaje mara 4 mfululizo? Kumbe na simba huwa wanahongwa?😅😅😅😅😅.
Jmn miraji mbn unasema mzigo umewekwa kwa ajiri ya simba tu? Nawakti waliwekewa mzigo kwa Yanga ikafa, mzigo tena azamu akayeyuka napia msemaji wao anasema kila mechi mkuu wamkoa anaweka mzigo sa we vipi inamaana haujafatria?
Million 50 ni za mkuu wa mkoa sio mali ya club maana yk zitatoka km tabora watamfurahisha aliahidi yaaaaaaan wakishinda huo mchezo!!!! Tabora hawana mamlaka nazo
Alafu klabu gani itatoa shilingi milioni 50 ikiwa nbc anampa bingwa milion 100 mbona binadamu wanapenda kudanganyana kama anatoa mkuu wa mkoa sawa ila nae anapaswa kutafakari sana juu ya hilo
Sikubaliani na kuandika hersi na Maria ni dhahabu kwa mpira wa Tanzanian. Hersi hajui kuchagua wachezaji alikuwa anamajasusi ndani ya simba wakimpa habari nani simba anataka kusajili ndio yeye hukumbilia kusajili wachezaji hao na ubora wake ni kuhonga na kununua mechi hii ndio dhahabu? Watanzania punguzeni unafiki na kupeana vyeo visivo na uasilia
Mwanangu miraji ivii awa wasafi awakuonii au craun fm. Wakupe nafasiii mwamba unaujuaa sana mpiraaaa
Hata Mim natamani iwe hvo,Jamaa anaongea Mpira haongei ushabiki ✍️
Namkubali mwanangu miraji mara moja
SIMBA SC, Should take a game at a time, Go for the maximum 3 points and plenty of goals. Once they beat Tabora, pressure will be on YANGA, .
Miraji nakubali
UBAYAA UBWELAA🔥🦁
Oflei Chikola,Vimacho vidoooogo!!!
Miraji. Good
UBAYA UBWELA😂😂😂🎉🎉🎉
Lufiji hapa ikwilili milaji chagamba pamoja
Kofi Olomide siyo engineer, ni Mchumi
ERSI ndio zaidi koliko kalia
Hata kuandika hujui unamuwaza tu Hersi😂
Ila mirajii chagamba atapinda bega so kwa mibaooo hyooo
Pamoja ndugu zangu
Chagamba nimenunua Kigodoro cha kuweka Begani ili kupunguza maumivu ya mabanzi ya Miraji. Ila sijui nakupataje
Mraji kumaninaaaaa 😅😅😅😅
Uchawa mbaya miraj
kikubwa dua
Tabora waongo wala kwani walicheza na Yanga na Azam kivipi mbona wakiwa wanacheza na Simba sababu nyingi wanatoa jamani hixi team nimegundua Simba inaogopeka sana tena sanaaaa❤❤❤❤
Simba wanacheza nje na ndani ya uwanja. Wanautaka ubingwa kwa lazimana dhulma uwanjani😅
Miraji unachanganyikiwa
Ni kweli hersi huwa anahonga timu ? Je
hata simba ameshawahi kuwahonga na kupigwa ndani nje ? au? Simba pia huwa wanahongwa? Alifungwaje mara 4 mfululizo? Kumbe na simba huwa wanahongwa?😅😅😅😅😅.
Kufanya mahojiano na huyu jamaa inabidi mabega yako yawe vizuri maana kila saa anakandamiza tu😂
❤❤
wanabena kabira moja
🦁❤️❤️❤️❤️💪💪💪🙏🙏
Against yanga Africans waliahidiwa 20 million na wakapewa na mkuu wa mkoa wao!!! Yy ndio yuko nyuma ya ahadi hizo
Ilikuja hyo baada ya nyie young kupata kipigo
@nAwakubali sana nyie
Dah miraji umefurahisha yaani ungekua mchezaji wewe hee jeuli wewe
Tff ndio wanaibua Mambo ya vibali mechi ya Simba ikiisha watawaluhusu wacheze.
hakuna hao wanawakwisha hahao tabola mechi yakwanza walicheza na Simba walinyimwa vibali wanamaliza kucheza na Simba tu wacheji walilusiwa acheni ukilitimba
Miraj mara moja😅
Miraji hajapigiwa kula, ameteuliwa
Miraj punguza utabiri
Jmn miraji mbn unasema mzigo umewekwa kwa ajiri ya simba tu? Nawakti waliwekewa mzigo kwa Yanga ikafa, mzigo tena azamu akayeyuka napia msemaji wao anasema kila mechi mkuu wamkoa anaweka mzigo sa we vipi inamaana haujafatria?
Match ya yanga hizo ahadi ulizickia ?
Miraji haijapigwa kula, aliteuli kula haijapigwa, na km alipigiwa kula tupe maelezo kamili alipigiwa lini?
Zilipigwa kula kasikilize intevw ya hersi na wasafi
Fuatilia mpira acha kuwa na mihemko
Million 50 ni za mkuu wa mkoa sio mali ya club maana yk zitatoka km tabora watamfurahisha aliahidi yaaaaaaan wakishinda huo mchezo!!!! Tabora hawana mamlaka nazo
Alafu klabu gani itatoa shilingi milioni 50 ikiwa nbc anampa bingwa milion 100 mbona binadamu wanapenda kudanganyana kama anatoa mkuu wa mkoa sawa ila nae anapaswa kutafakari sana juu ya hilo
Sikubaliani na kuandika hersi na Maria ni dhahabu kwa mpira wa Tanzanian.
Hersi hajui kuchagua wachezaji alikuwa anamajasusi ndani ya simba wakimpa habari nani simba anataka kusajili ndio yeye hukumbilia kusajili wachezaji hao na ubora wake ni kuhonga na kununua mechi hii ndio dhahabu? Watanzania punguzeni unafiki na kupeana vyeo visivo na uasilia
Una ushahidi juu ya hayo unayosema juu ya rushwa au unafuata mkumbo na maneno ya mtaani
@alfanimsuya3125 wewe ni lawyer hata unauliza ushahidi.
Kila kitu kinajulikana
@nasseralshaibani6995 zungumzai jambo lililo la kweli acha kudanganya watu
@alfanimsuya3125 huo ndio ukweli mungu ndio shahidi
😅ila chagamba utopolo Wala ujifichi 😊
Kwani Kuna shida gani?😂
𝐾𝑎𝑘𝑎 𝑚𝑖𝑙𝑎𝑗𝑖 𝑦𝑎𝑛 𝑙𝑒𝑜 𝑢𝑚𝑒𝑛𝑖𝑠ℎ𝑎𝑛𝑔𝑎𝑧𝑎 𝑠𝑎𝑛𝑎 𝑢𝑚𝑒𝑖𝑤𝑒𝑘𝑒𝑎 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑎 𝑎𝑢 𝑘𝑢𝑖𝑝𝑖𝑚𝑎 𝑛𝑎 𝑝𝑜𝑝𝑐𝑜𝑛 𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖 𝑎𝑖𝑠𝑒𝑒