SMART BRAIN
well said
kazi kweli kweli
baba nimekuelewa sana
there is something behind
kuna kitu hapo kati ya magufuri na makonda
Hapo ukabila unahusika tukiacha uchapakazi wa makonda. Aliyoyafanya yalitosha kutumbuliwa lakini hili kabila washazoea kubebana sasa makonda anabebwa hadi kwenye uovu uliodhahiri hivi,
Anna carlos,fahamu kuwa rafiki wakaribu akiamu kukusariti anaweza,cloud niwasariti wakumbwa,kwamakonda, niulize usariti wao nikuonyeshe
Musa Lubacha hata mm nakubaliana na ww wamemchezea mchezo makonda ili atumbuliwe ila kila mwenye akili amelijua hilo
Nia yenu ilishajulikana ninyi. Mh rais ameshawajuwa vizuri sana. Unga hamuuzi tena.
ROSHAN WILSON Huyo rais si mungu wa kujua yote, kauli ya hapa kazi tu iende na haki.Hapa kazi bila haki ni UTUMWA!
kwa mf unazani,Mungu alipo mtu yesu kuja kuokowa ulmwengu,Mungu hakumuacha yesu mwenyewe poja na dhihaka alizofanyiwa,
nyie mnaomuona makonda hajakosea kuvamia clouds mnazo akili kweli au baba ako ndo katajwa na madawa ungefurahi nahatumii
mi sijawahi kuona MTU anatumwa kutibiwa, hadi siku za kutibiwa zinajulikana
kumbuka watu hawa wananguvu niwasimo,wanawatu,wanaushawi,wanapesa,wanafasi,wanaweza kununuavyobo vya kuzohofisha mapambano,zidi yao.naendea
2020 tupo naye hata yeye aweka Cv zake hadharani.
Picha lilianza kwa Shari tunakula kwa jasho na vyeti vyetu viko ndani but Makonda{Bashite}mayai anakula bata na masifuri yake
Sheria ifuatwe lazima,sio upendeleo tu hamtoendelea kamwe
Kuna Siri Kubwa sana kati ya MAKONDA na MAGUFULI.Time will tell..Watanzania mtagundua muda si mrefu, I promise..!
huyo makonda kabla hajataja wauza madawa angejitaja yeye mbebaji.kwani vita dhidi ya madawa nani kaipinga?vita dhidi ya madawa inaungwa mkono n.a. kila mtu.lakini asiwataje watu wengine kuwachafua n.a. wenye kuuza kweli akawaacha kwa rushwa za magari n.a. pesa.
Anna kumbuka makosa ya makonda niya pi?ukiaacha chukiza pastor gwajima
kitala mkumbo nmekuelewa
AFRICATANZANIA
saiz toka mwaka 2015 baada ya jamaa kuingia Ikulu, nyeus ni nyeupe, na nyeupe ni nyeusi. maana mkuu wa mkoa kuwa kama ndo kila nchin, hii ni hatari kwa watanzania jamani. na kwa mazingira kama haya, tanzania ya viwanda ndoto za abunwasi, na kamwe haiwez tokea. tanzania bado sana, na ni pale kila mtu anapokuwa na maamuzi yake pindi awepo madarakani haswaaa kipind hiki toka 2015. hivyo tuwe tu na mioyo migumu ndugu zanguni.
usiseme wana dar hawampendi sema ,vibaraka wa kwenye mtandao
MH. RAISI ANGESHATENGUA UTEUZI WA MAKONDA . ILA MNAONYESHA KUMLAZIMISHA NA KUMPANGIA KILE MNACHOKITAKA. MNAPOZIDI KUMLAZIMISHA NDIO NAYEYE ANAWATIA ADABU KWA KUTOMTENGUA MAKONDA. MKIKAA KIMYA MIEZI 2 WA 3 MAKONDA TUNAE MITAANI. NYAMAZENI MUONE.
Ana ishebeb umeandika ukrasa mrefu upumbavu sijui unatoka kolomije
mbona vita ya kupambana na wasenge imepotea ghafla.hamjiulizi kwanini?wabongo hatujielewi tutaburuzwa milele kwa kushabikia ujinga.
Kwasasa UNAWEZA kuongea hiyooooo?
Raisi katengua wacha maisha yaendelee
Fnya kz mzee
mbinu ngani itumike kukwamisha,kupambana nadawa,yakwaza nikumukwamisha,makonda,je tumukwamisheje, vyeti raisi kawaguduwa,wakaona haitoshi tufanyeje, tutafute rafiki wakaribu atusaidie katafutwa,nimuseme?
Sisi wananchi wa dsm hatujamuhukumu makonda
muhidin zangira haki ndo inamhukumu lakini haki hiyo inakingwa na sheria kandamizi za ubinafsi
Naona nyie hamjaelewa kinachofanyika ,mnaona kwamba Makonda anafanya kazi kinyume cha maadili lakini si kweli na wale wanao tumbuliwa ni kwamba wako kinyume na Rais,Mtoto mwenye maadili mema hafanyi kitu bila kumshirikisha baba yake na huyo ndiye kipenzi cha Watanzania ndugu yetu Makonda.wasio mpenda waendelee tu kuisoma namba,CCM mi mbele kwa mbele,,naami mwalimu Nyerere yuko kwa baba na anatuombea,,,,alles gute
Theresia S baeleze wa Tz mindset zao ziko ktk chuki binafsi,hata upeo wa fikra umekua mfupi 😏
msukuma mwenzake huyo
HABARIZAMICHEZO
huna lolote...!
ukabilaaaaaaaaaaaa tuuu
mtangazaji hajielewi anaiyogopa maiki
kiukweli,nasikitika sana,swala la madawa siyo dogo kiasi kwamba uwataje wewe mkuu wa mukoa bila kuhusisha mamulaka ya juu, naendea
SIRI KUBWA MAGUFUR NA MAKONDA
magufuli ni dikiteta kabisa ashe udikiteta
amejiroga pekeyake daudi bashite munze wa ma 000000000000000000000000000000000000000000000000000000
Kosa Lako Kitila unatumia 'ad numerum au Argumentum ad populum' (Appeal to masses, appeal to majority, appeal to authority of many) Because the majority say so and so is true therefore, it is true... Suala la makonda ni paradox ( Nataka mtoto wangu wa kike awe mvulana), ni kazi ngumu ya uamuzi, kwa nini? 1. Kuna nguvu za watu wauza madawa wanaoombea makonda aachishwe au afe, na akiachia makonda kuna hatari ya biashara kuanza kushamiri, itakuwa ni ushindi wa biashara ya dawa. 2. Makonda na Askofu gwajima. Gwajima anaamini kuwa uaskofu wake utamfanya magufuri amwachishe makonda, na hivyo kutaleta udhaifu fulani kwa raisi anayejiamini. 3. Si kweli kuwa watanzania wote hawampendi makonda, wapo wanaomuunga mkono kwa wingi ingawa amefanya madudu mengi. 4. Profesa angalia duniani kote wapambanaji wa vita ya kulevya huwa hawana marafiki wengi (Duterte wa ufilipino, Mexico, Trumph, Indonesia...) So si suluhisho kumlaumu rais..tuache upepo wende wenyewe. AU?
kwahivyo nilazima mamulaka ya juu yalijuwa kwamba makonda akitaja wahusika wadawa zakulevya kunachangamto atazipata,ikajiandaa kupambana nazo.naendea
Wana Habari. kumbe mambo ya Makonda bado..? si mmezema mwaacha naye? shikamooni wana Habari wote
hakika tz tuna maprofessor feki wengi. hata ww ni feki. kabla ya madawa ya kulevya mlikuwa wapi? sema wananchi wa dar wanampenda makonda, vyombo vya habari ni nn bwana! acha porojo.
hahahhaa haya mliokimbia shule speech ya kiprof kwenu ni sheeda,prof hakung'ata wala kumeza ameongea ukweli wa mambo yalivyo sasa ulozoea kuukataa ukweli lazima mkuki moyoniiii.haya twende just kupita
hahahhaa haya mliokimbia shule speech ya kiprof kwenu ni sheeda,prof hakung'ata wala kumeza ameongea ukweli wa mambo yalivyo sasa ulozoea kuukataa ukweli lazima mkuki moyoniiii.haya twende just kupita
hahahhaa haya mliokimbia shule speech ya kiprof kwenu ni sheeda,prof hakung'ata wala kumeza ameongea ukweli wa mambo yalivyo sasa ulozoea kuukataa ukweli lazima mkuki moyoniiii.haya twende just kupita
hata busara inahitajika ili kuepusha shari mbona Obama ali2miwa kutokuwa na uraia wa USA lkn baada ya ck mbili alionesha ndipo rai wa usa wakamwamini zaidi
hata busara inahitajika ili kuepusha shari mbona Obama ali2miwa kutokuwa na uraia wa USA lkn baada ya ck mbili alionesha ndipo rai wa usa wakamwamini zaidi
Professor mkumbo uko vizuri ktk Hilo na wanaotoa hukumu ni sisi wananchi fanyeni mnavyotaka kwa sasa ila msisahau yote mnayotukwaza nayo tutajua LA kufanya. Semeni mnavyotaka kwa sasa ila dawa yenu inachemka..