NASSORO AGEUKA MBOGO STESHENI KISA MEJA KUHAMIA YANGA | HAWA NI MAMLUKI | MZEE WA KIBUYU AWATULIZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Nasoro nampa big up Sana ,viongozi wajiangalie kipindi cha yanga ya bakuli kulikuwa hakuna mamluki.
Ww mpira sio chuki bana mtu anaama kutokana na team ikiwa mbovu ung'ang'ania kwani team ni nn aise uyo nasoro fala sana alafu yule jamaa anaonekana anaroho mbaya
bro mpira sio wakuweka chuki. tazama ulaya team zakikweli na wachezaji wengine hata wamebeba makombe ya dunia na wanahama team hasimu. ilimradi chama ataitumikia bendera ya yanga safi tu. (MPIRA BIASHARA BRO )
Kumbe dosa ni chizi aisee naendelea kuelewa.,sasa ss tuliozaliwa miaka ya themann inakuaj
Mzee ni mzee tuu 🎉🎉
Nasiro Yanga ni ya wote unataka ouleta ubinafsi wengi tumeteseka na Yanga na tunamkaribisha Meja usijifanye wewe ni Yanga zaidi
Ktk kitu nAsoro leo kafeli team sio kabila wa demu
Kwel kabisaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu jamaa chuki tu...
Yanga ya babake
Huyo Fala Tu
Anyamaze hawezi kuingilia nafsi ya mtu
Mm ni mwananchi lakini meja kuhamia yanga jambo la kawaida,hakuna mamluki Acheni chuki kwani atapata uongozi gani mwacheni meja afurahie sio kumkataa meja wakati ni mapenzi yake Acheni usenge huo.
Kama hujui na unyamaze tu
Mpira sio vita muelimisheni huyo. Kila mtu yupo huru kuhama au kuhamia timu yoyote.
Sio kweli kulikua kuna team inaitwa young boyz sio young africa muongo huyo
Meja msenge angalia sasa unafedheheka boya wewe
Sio kweli kabila sio timu kuama kupo tu
Huyo hajui kuwa kuna Shabiki wa Yanga aliihama Yanga na kwenda Azan au labda akikuwa hajazaliwa
Nasoro umekosea sana hayo maneno yako. Kwan lazima mtu awe simba au yanga? Tumia akil broo
Unalingqna umri au mnapishana miaka mitatu halafu unamwita mwinzio eti mzee.
Koma sana we huamulii mtu cha kupenda Kama hana raha alikokua inakuumiz8a nn yanga ni ya wanainchi na sio yako
Nasoro jazba nyingi hakuna maarifa wala ufahamu anaropoka tuh umeambiwa usome historia Kwanza ya yanga utaelewa simba wote walikuwa yanga na ukiangalia hata leo utagundua mshabiki wa simba wengi wanahamia yanga kwa sababu ndo asili Yao walikuwa yanga kama sio yeye basi babu yake na bibiake nasoro zero kabisaaaa
kama anaongea point 👉👉 vile
Dosa mshamba huna lolote unalojua...Simba haikutoka kwa Yanga Mshamba wewe.
Mpira sio chuki