Alhamdullah . Kila jambo linalo mfika kiumbemwenyez Mungu ameandika ,pole sana Jussa nawa walewe wote walipoteza maisha mwenyez Mungu awajalie kaul thabit amsamehe makosa wagonjwa wapone . Amiin 😭😭😭😭😭
Wallah machozi yananitoka. Allah atawalipia. Alhamdulillah uko hai . Allah atakujaalia speed recovery, ALLAH awaafu wote na awarahamu maiti wetu wote in sha Allah
Allah atamfanyia wepesi kipezi chetu Allah atakufanyia shifaa kipezi chetu na Hao waloyafanya haya Mungu atawahukumu kila La heri jussa wetu tunakupenda na tutazidi kukupenda kamwe hatutokusaliti tunakupenda sanaaaaaa..... Zaidi ya sanaaaaaaaaa...
@@munasuleyman3159 Kila wakati dua. Hasa nyakati za sala. Allah anapokea dua hivyo tuviombee dua Visiwa vyetu mema. Mwenyezi Mungu! Tulishie maskini wenzetu, waponyeshe wagonjwa wetu,wastiri mayatima wetu,wakinge wanaonyanyaswa kijinsia. Amiin.
Dah Allah akujaalie uzima urudi ktk majukumu yko na hao walowatuma na walfanya Allah awahukumu hapahapa duniani sote tuwaone na Akhera awafyeke Jahannam wakae milele. Aamin
Shukuran njema zmfkiye Allaha Kwa kuturejesheya jusa wetu akiwa hai na salama ishalla kwauwezo wake Allah atakurejesheya afwa njema nakila alokuzulumu ishalla Mungu amuangamize
Muungu awaponye walewote walio pata majiraha na matatizo katika kipindi kile kigumu cha mpito na wale walio kwisha tangulia muungu awasamehe makosa yao Amiin
'Bismil'Lahimaashallah Mola akuzidishieni imani na ehsani ya upendo wahesiya za nyoyo thabit juu ya ubinadam wenu..na mshikamano wa kuaniyana..amin, na hilo c jmbogeni kwetu.. kwani ndivo khasa ilivo khulka ya Zenjybabar tangu..azal tukiyaona juu ya wazee wetu washao tangulia mbele ya haki.. M/Mungu awarehm amin. Ishaallah tunamuombea Mola amzidishie afyayake Mh Jussa na amzidishie imani ya subira ktk yalio mfika na yaliotokea tukijuwa kuwa yote hayo ni maandiko ya Muumba, lililobakia na la mhimu zaidi ni mshikamano wa kulijenga Taifa jipya palipo na matumaini ya kusonga mbele na kusahau na kuyazika kbs!! Yote yaliopita na kwa uwezo wke..Allah atajalia yale yote yanayo tgmewa na kwa manufaa ya wote..Yaa Rabby tufungulie kheri ktk Kisiwa chetu, na wape nguvu na busara za uwongozi wao uwe ktk mikono yako..juu ya sheriya na uadilifu..amin'
@@linmixtv waaaallah katika mtu ulio ongea ukweli ww mmoja wake yani hawa wanakuwa watu wazuri ila majini karibu na uchaguzi wanakuwa wafanyama kasoro mkia asa
Wapi! Wasnzibari wachafu sana! Unapikwenda uchafu watu wanatupa taka bila kujali iwe beach, barabarani kwmeye makaazi...machupa, foils, kokwa za ubuyu, Pampers etc....eti udi! Hahaha
Yaani siku nimeskia huyu mtu ameumizwa nilihuzunika sana,lakini ninachomkubali ni mtu mwenye moyo wa kishujaa,na ameonesha uzalendo,tuko pamoja mh jussa na Allah yupo nasi
Allah amjalie apone na wale wote walioumia wapone pamoja na majeruhi wote na waliotangulia mbele ya haki Allah awajalie jannat firdausi na sisi tulio kuwa hai Allah tujalie mwisho mwema Isha Allah
Alhamdullillah Allah Akupe Nafuu Na Upone Haraka Ismail Jusa Ladu. Mwenyezi Mungu Ndie Ajuaye. Kwakweli Inauma Sanaa
Alhamdullah . Kila jambo linalo mfika kiumbemwenyez Mungu ameandika ,pole sana Jussa nawa walewe wote walipoteza maisha mwenyez Mungu awajalie kaul thabit amsamehe makosa wagonjwa wapone . Amiin 😭😭😭😭😭
Masha Allah mapokezi ya mheshmiwa jussa yameonesha jins gani upendo umoja na uzalendo wa kweli katika chama cha ACT wazalendo
Yess rasta
Ismail Jussa yuko salama na tumefurahi kuona upo hai
We will make togeza zanzibar beta
Tupo pamoja
Wallah machozi yananitoka. Allah atawalipia. Alhamdulillah uko hai . Allah atakujaalia speed recovery, ALLAH awaafu wote na awarahamu maiti wetu wote in sha Allah
+255777290221
Mashallah ❤❤ kiongozi wetu Kwa kurejea nchini
Mashaallah. Nikobali na, nyumbani. Ila nimefurahisana Allah ape wepesi zadi
Allah atamfanyia wepesi kipezi chetu Allah atakufanyia shifaa kipezi chetu na Hao waloyafanya haya Mungu atawahukumu kila La heri jussa wetu tunakupenda na tutazidi kukupenda kamwe hatutokusaliti tunakupenda sanaaaaaa..... Zaidi ya sanaaaaaaaaa...
ماشاءاللہ
Twasubiria na upokezi wa Masheikh إن شاء اللهَ
Allah atujaalie afya njema na furaha ya kudumu
Amiin
ALLAH atawafanyia wepesi na wao watoke kwenye hio zahma
Inasikitisha kwa kweli Allah akufanyie wepesi jusa twakupenda sote
Mashaalla kiongoz wetu
Allah akuvue hilo na jengine yaarabby
Pole xana kiongozi jusa kwakweli inatuuma Sana kwawaliyo tufanyia CCM hatuwasamehe mpaka mwisho wauhai wetu
Ya Rab tunakuomba mponyeshe na waponyeshe ndugu zetu wote.
Allah tunakuomba vijaalie Visiwa vyetu barka utulivu na amani.
Amiin.
Aamiin
Amin yarab
Amein Yarab
@@munasuleyman3159
Kila wakati dua. Hasa nyakati za sala.
Allah anapokea dua hivyo tuviombee dua Visiwa vyetu mema.
Mwenyezi Mungu! Tulishie maskini wenzetu, waponyeshe wagonjwa wetu,wastiri mayatima wetu,wakinge wanaonyanyaswa kijinsia. Amiin.
Aliyetuma yatendeke haya tunamlaani Watanzania woote Bara na Visiwani. Pole sana Jusa
Exactly dada
Tunakupenda baba ishalla Mungu akupe maisha marefu yenyeher na baraka
Nina furaha km zote kumuona Jussa wetu 💗💗💗💗💗💯
Jusa ni mwanasiasa mkweli nampenda sana wazanzibari mumtumie sana huyo jamaa ni tunu hiyo
Waliyomtendea vbaya jusaa hawana usoooo .... Looolll mungu awalaaani wotee
We wait that day our shekh be free wallah all Zanzibar will be happy inshallah allah give them shifaa
😭😭😭😭😭😭😭
Naam inshaallah tunawaombea na wao watolewe wallah 😢😢
Amiin Insha'Allah
In shaa allah mwenyezimungu akufanyie wepes jussa
Dah Allah akujaalie uzima urudi ktk majukumu yko na hao walowatuma na walfanya Allah awahukumu hapahapa duniani sote tuwaone na Akhera awafyeke Jahannam wakae milele. Aamin
Mungu akufanyie wepesi wa afya na siha jusa hadi nalia kwa uchungu mungu aendelee kutupa subra
Mashallah mashallah nawapenda sana
Mw. Mungu akulinde na kila shari akujalie uzima na afya njema
Ameeyn
Karibu nyumbani Jussa.Mwenyezi Mungu akujaalie upone haraka insha Allah
For real, Jussa is the coming Maalim Seif Shariff Hamad, note and underline my words.
Wale walomtesa Jussa Allah atawaongoa....jemedari kaingia leo tunampokea.....💃💃💃💃💃💃💃
Shukuran njema zmfkiye Allaha Kwa kuturejesheya jusa wetu akiwa hai na salama ishalla kwauwezo wake Allah atakurejesheya afwa njema nakila alokuzulumu ishalla Mungu amuangamize
Pole sana kiongozi, Mwenyezi Mungu ndie hakimu kuliko mahakimu wote
+255777290221 by duli mpemba
Huu ndio utamaduni wa Zanzibar , I love this, dufu zuri sana
Mashaallah Allah azidi kumpa shifaa na kila mweny marz Allah amponye na alotangulia amps kauli thbt walobaki awape mwisho mwema
Mungu akuvuwe hili na jengine. Na awalipe hao waloyafanya hayo... Mungu IBARIKI Zanzibar na watu wake. Amin
Masha Allah jusa ata kama wamekufanyia mabaya lakn sis bado tunakupend
Asante kiongozi wetu mungu akupe umri mrefu lnshaallh lla hatuwez kusahauu yalio tutokea lkn lnshaallh mungu yupo na atatulipia kw dhulluma llio tokea lnshaallh
Mungu atujalie naupendo uwo uwo act oyee ishaallah allah atafanya wepes
Mashaa allah allah akuvue hili na jengine in shaa allah utapona vizur allahumma amin allah akulindeni kwa kila shari na baalaa
Ammin
Aamin
Muungu awaponye walewote walio pata majiraha na matatizo katika kipindi kile kigumu cha mpito na wale walio kwisha tangulia muungu awasamehe makosa yao Amiin
Amiiiin
Ammin ya rabby
Ameen
From Kenya ni nn kilifanyika
@@aishaharuni2937 kama ungelikua unafuatilia sasa za Tanzania ungejua lililotokea
Allah akuvuwe na kila hasada 🤲
Allah Akuvue hili na jengine ndugu yetu shujaa wetu
Pole sana
Allah amjalie uzma jemedari wetu apowe inshaallah
'Bismil'Lahimaashallah Mola akuzidishieni imani na ehsani ya upendo wahesiya za nyoyo thabit juu ya ubinadam wenu..na mshikamano wa kuaniyana..amin, na hilo c jmbogeni kwetu.. kwani ndivo khasa ilivo khulka ya Zenjybabar tangu..azal tukiyaona juu ya wazee wetu washao tangulia mbele ya haki.. M/Mungu awarehm amin. Ishaallah tunamuombea Mola amzidishie afyayake Mh Jussa na amzidishie imani ya subira ktk yalio mfika na yaliotokea tukijuwa kuwa yote hayo ni maandiko ya Muumba, lililobakia na la mhimu zaidi ni mshikamano wa kulijenga Taifa jipya palipo na matumaini ya kusonga mbele na kusahau na kuyazika kbs!! Yote yaliopita na kwa uwezo wke..Allah atajalia yale yote yanayo tgmewa na kwa manufaa ya wote..Yaa Rabby tufungulie kheri ktk Kisiwa chetu, na wape nguvu na busara za uwongozi wao uwe ktk mikono yako..juu ya sheriya na uadilifu..amin'
Maa shaaa allah
Hayo km ACT haimo ktk serekali unafikiri yangefanyika? Askari wangepiga watu hapo .
Wallah umenena ....hta siku moja yasinhefanyika
Sasa hivi tunaweza kufanya tutakavyo
Sherehe hii yengependeza tungepata madaraka lakini ccm watu washamaliza kazi yao bardi saiv watawacha mufanye mtakavo saiv
Fact bab hakika
@@linmixtv waaaallah katika mtu ulio ongea ukweli ww mmoja wake yani hawa wanakuwa watu wazuri ila majini karibu na uchaguzi wanakuwa wafanyama kasoro mkia asa
Jussa in shaa allh kila la kher mwenyezmungu atatupa kher wallah dah hatar sana
Pole Allah atajalia haki ya wazanzibar itarudi kwa nguvu za Allah inshaallah wamekuuumiza wewe ni mpambanaji
Allah azidi kukulinda na maaduwi, Allah ndiye hakimu wa haki
Polesananusa Allah jibri (A.S) amesema kumwambia Mtume (SAW) wemahauozi nazambi haisahauliki na Allah hafi ukishajuaivo fanyautakavo Kama ulivolima ndivo utakavovuna nakwavovotevile utavowafanyiawatu naww utalipwa kwakitendoicho polesanajusa Allah atubariki sote waislaam nawaumini.
Hongereni waislamu muliomo katika vyombo vya dola kwa kutufanyia unyama mkubwa mungu atawalaani hapa duniani na kesho akhera😢😢😢😢🤲🤲🤲🤲🤲
WALIYOYAFANYA HAYA WATALIPWA HAPA HAPA DUNIANI IN SHAA ALLAH MAZALIMU HAWA
Pole sana Allah atadhidi kukuponya
Maa shaa Allah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Alhamdulilah. Mungu atakuafu inshaalwah
MashaaAllah tunafurah kubwa sanaaa wallah
Machozi ya furaha..
Sasa sijui anajiskiaje yule alietenda mabaya kwa mwenzake...??
Ubaya haudumu...
Kila la kheri Jussa
Walofanya Mungu atawarudi kwa HARAKA SANA KWA DHULMA WALOIFANYA...
Wahalifu willasakwe wahukumiwe kwa vitendo walivyovifanya, nyimbo na kudemka haitosaidia kitu.
From Kenya ni nn mbaya
Sasa umekua kilema kwa kuendekeza siasa umepata faida gani zaidi ya hasara pole Sana jussa this is the lesson
Pole sanaa kipenz chetu Kila
Alie husika kuku piga ww Allah Ata hukumu
In sha allah
Allah atakuafu kwa rehma zake
Daaa! Allah akulinde kiogozi
🤲😪😪Amiin amiin amiin Yaa rabbyl Allaha.mina insha Allaha
MashaAllah tabaraka Allah
Hii ni zaidi ya mapenzi ama kweli wazanzibar tuna mahaba duuu mungu azidi kuimarisha afya yako mh jussa
Mna mapenzi au mmeshikwa na ibilisi?
@@jumakapilima5674 upendavo tafsir yaliyoyafika watu simadogo kama nww ungelijuwa kuwa niubilisi au nimapenzi
@@jumakapilima5674 Iblis mkubwa ni wewe. Usiopenda kuwaona wazanzibar wanapendana. Hasid mkubwa wewe
@@jumakapilima5674 ww itakuwa ni mchawi wewe si bure, hasidi mkubwa
@@badranassor3303 Kupendana huku mnatiana fitna na chuki kila kukicha?
Yaani MashaAllah MashaAllah munainda
Mash allah upendo wenu ni hali ya juu I like it
الحمد لله على السلامه. الله يعطيك الف عافيه
Ila wazanzibar sie kwa manjonjo 😁 tungekua tupo huru na nchi yetu aaah tungeifukiza udi nchi nzima na maasumini kila pahali aaah hatuna dogo wenyewe 😁
😁😁😁😁😁😁😁
Kweli
Kweli
Ujinga huo,,,,,,,nenda Syria uone kama watu wanapiga ngoma kwa Uhuru kama hivyo!!
Wapi! Wasnzibari wachafu sana! Unapikwenda uchafu watu wanatupa taka bila kujali iwe beach, barabarani kwmeye makaazi...machupa, foils, kokwa za ubuyu, Pampers etc....eti udi! Hahaha
Tunamuomba Allah akuponyeshe kwa haraka kwa uwezo wake bdo tunakuhtaji ktk harakat zakuijenga zanzbar yetu
Sasa nikipi kinachosherehekewa kushangaza sana
Alhamdulillah
Yaani siku nimeskia huyu mtu ameumizwa nilihuzunika sana,lakini ninachomkubali ni mtu mwenye moyo wa kishujaa,na ameonesha uzalendo,tuko pamoja mh jussa na Allah yupo nasi
Allah akupe nguvu ishaaa allah
Madhila na makovu ya uchaguzi hayo! Mwenyezi Mungu atutie nguvu na wote walioathiriwa awape wepesi ktk yote wanayopitia.INSHAALLAH..!
Mwenyezi mungu akupe nguvu zaidi kiongozi wetu
pole jussa bha
Allah akujalie afya nzur kiongoz wetu jussa
Inshallah Alha atakuwafu baad y dhik sio dhik kher itapatkn inshallah
Allah amjalie apone na wale wote walioumia wapone pamoja na majeruhi wote na waliotangulia mbele ya haki Allah awajalie jannat firdausi na sisi tulio kuwa hai Allah tujalie mwisho mwema Isha Allah
Ammin ammin
@@alirashid1727 Insha Allah
Kwanini msiheshimu Dua wengine mnafanya mambo mengine tu
Allah atakujaalia uzima inshallah🙏🏾
Imenifurahisha hii
ALLAH AKUHIFAZI
😭😭😭😭 speedy recovery in sha allah.Na Waliotenda hilo allah atawalipa malipo wanayostahiki.kwani malipo ya allah ni bora zaid.
Alhamdulillah alaaa kulli hali mungu mkubwa utapoa baba etu uendelee na majukumu yko
Allah awanusuru kwa hili na jengine inshaAllah
Allah azidi kumpa shifaa jussa yarrab
Umeniza sana lakini tumwachie Allah yeye ndo kila kitu Allah atakusimiya na atakupa uzima wako wewe nakila alohasirika yaraab
Dah inauma sana
Masikini aliniliza jussa allah akujaaliye umri mrefu akupe na afya na allah ndio hakeem wa yote alhamdulilah
Allah awalaani waliompiga na waliokuwa sababu ya hilo 😰😰😰 Allah akupe sihha na afya na subra jemedari wetu
Zanzibar tuwe Na akili tunawapigisha wazanzibari wenzetu kutoka Kwa watu wengine kisa ni kudai haki , iko siku yatakwisha In'shaa'Allah
Hupokezi unaniliza kikwel mungu atawalipia
ALHAMDULILLAH ALAA SSALAAMA AKHUI
Ammmeeeeeennn
Allah amfanyie wepes inshaallah
ALHAMDULILLAH KWA KURUDI UKIWA UPO MZIMA WA AFYA ALLAH S W ATAZIDI KUKUPONYA IN SHAA ALLAH BIIDHINI LAAH
allah kariim
Inasisimuwa na inasikitisha kusikia , mungu akujalie upone haraka amin, hakika jussa kutokwa na machozi inatia majonzi sana
Poe sana, M/Mungu atakusaidia inshaAllah
Pole sn jusa wetu
Mungu akupiganie Jussa
Machoz yetu kwako hayato mwagika bure mwenyezimungu atayalipa kwa kher
Wallah mn najikuta nalia kwa uchungu
Looooh watu wabaya Mungu atawarudi kwa HARAKA. NA ALOKUWA SABABU.........
Hio kumswalia mtume huku vigelegele,na kucheza. Ni kufru na sio neema.
Kuna aliekata kiuno hapo? Kwaio mtu asitikisike acha chuki ww