CAF: Watoa sababu za Yanga kupangwa kundi 'A' kama Simba • Mamelodi anasubiri mbeleni.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- LIGI ZIMERUDI
• Pata mikeka ya uhakika
• Mikeka inakufata yenyewe kwenye sim yako
• Huduma ni kila siku
Gusa link hii 👉🏾 rb.gy/1im9c8 ili kupata MAOKOTO YA UHAKIKA.
Wote ni makingwa wa nchi zao, hatariii.
Ni kweli kabisa kundi letu gumu lakini inshaallah hawa wote tunauwezo wa kupishana nao cha msingi ni maandalizi ya mapema tuh tutatoboa inshaallah
Hapo yanga ni underdog Kama nimekuelewa hv
MC ALGER ni tofaut USM ALGER
Wote ni mbingwa wa nchi zao, hatariii.
Mazembe atapigwa nje ndani al hilay nae atapigwa nje ndani usm alger nae nje ndani, jumla tutafuzu kwa kishindo kwa pint 18
watanzania amujuwe kudadisi soka msimu uliopita tena wasirikisho ndio unaesabu eti unaijuwa TP ujuwe TP kwenye clabu bingwa usimchukulie ivyounavyo mchukulia wamesajili wamejipanga na yanga mujuwe nitimu ndogosana kwa TP mazimbe mutaiona msimu huu
Hilo kundi la yanga ni gumu sana nawaomba tu wasikate tamaa
HAPO SIONI TIMU ITAKAYOTUSUMBUA YANGA ROBO FAINAL HIYOOOO
Jipeni matumaini😊
Tv ya huyu mganga wa kienyeji! Hana lolote kwenye mpira c mchambuzi huyo ni chawa wa utopolo hana mbinu za uchambuzi wa mpira huyo
Tuombe uzima tu