🚨Sakata la Mzize na Yanga,Ofa zilizotua mezani Yanga wamezikataa,Alikamwe Afunguka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 27

  • @OnesmoLeonard-k4t
    @OnesmoLeonard-k4t 2 หลายเดือนก่อน +1

    YANGA BINGWA

  • @hamisikapute598
    @hamisikapute598 2 หลายเดือนก่อน +7

    Wkt Lawi anaondoka nyie wote mlimdozoa ati abaki Simba lkn kwa huyu wa Yanga mnabadilisha kauli. Yanga ni timu kama hizo nyingine ina project yake, acheni abaki atimize ndoto ya klabu yake.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mchambuzi unashauri km wew simba, hatutoi mzize

  • @AhmedMussa-q9f
    @AhmedMussa-q9f 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hili sio sakata ila nyinyi ndio mnataka ionekane sakata.Mzize bado yupo km mmekasirika nendeni FIFA.fuataneni na Magoma

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kamwe ameshawapa makofi ya kwenye mashavu na masikio. Fei yuko vizuri kuliko mzize, jitahidini kumshauri aende huko mnakokutaka ile tsifa stars ifanye vizuri.

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wanaojitia mawakala ndio wanaowatia wazimu wachezaji kwa tamaa zao.

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mchambuzi ni mpuuzi hajiamini eti wamruusu kwani Yanga anaiona timu ndogo?

  • @OnesmoLeonard-k4t
    @OnesmoLeonard-k4t 2 หลายเดือนก่อน

    Tengenezeni academy acha kukalili

  • @yusuphsaad4349
    @yusuphsaad4349 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ww km nani.... Uipangie Yanga sio nyinyi mlosema huyo mzize bado sana inabidi akuwe na kujifunza kwa wengine

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 2 หลายเดือนก่อน +2

    National team imewasaidia nin hadi sahiz? Aende halafu wakampige benchi au wafanya udalali? Acheni ujinga na ushamba wa kizamani, mpira sahizi unafanana kila sehemu...Wachezaji wa Yanga mnawakalia kooni kila siku ila madunduka hamsemi...Toweni udalali wenu...

  • @AhmedMussa-q9f
    @AhmedMussa-q9f 2 หลายเดือนก่อน

    Wacheni kutojiamini na sisi ni wakubwa hata mbuyu umeanza km mchicha.kwani chama,hakwenda huko na akarudi

  • @dreadlocksspecialist7195
    @dreadlocksspecialist7195 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nyinyi vichaa kweli ni wachezaji wangapi wamefanya makubwa taifa stars na hawakutoka nje bado mtu anaulizwa swali hili anajibu vingine nyie mazumbukuku kweli

    • @econmirajifacts5411
      @econmirajifacts5411 2 หลายเดือนก่อน

      Nyie wachambuzi ni wajinga tu sinyie mlikuwa mnamlaumu lamek lawi kwenda nje au kwa sababu leo ni mchezaji wa yanga uchambuzi wa kijinga timu inayotaka maendeleo haiuzi wachezaji ovyo nenda all ahaly leo kama utampata pec tau.

    • @econmirajifacts5411
      @econmirajifacts5411 2 หลายเดือนก่อน

      Haswa wewe jemedar kwa yanga sawa kumuuza mzize ila simba na lamek cio sawa kuuzwa nje na cost ila aje simba milioni sitini umeona nyingi kamchukue mchezaji wa simba umpeleke mchambuzi uchwara .

  • @OnesmoLeonard-k4t
    @OnesmoLeonard-k4t 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka timu aitengenezwi kwa mtu kuuzwa

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 2 หลายเดือนก่อน

    National team kwa gharama ya Mzize kuwekwa bench? Hamkumuona Mzuva avokuwa akifanyiwa na hao maarabu hata akipangwa asipewe pass kufunga? Mayele mwenyeww ankutana na hiyo adha!!!

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 2 หลายเดือนก่อน

    hapa sasa ndo tutaona media zetu zinavyochukulia mambo kishabiki, yaani mzize kuwa yanga inakuwa nongwa, kwani hapo yanga hachezi? ao yanga mnawaona je hasa.

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi waandishi kweli mtu anatakuoa anaanza kupamba ukumbini..kweli kabla huja kubaliana nae.kwa ridhaa ya wazazi wake..na mwenye ukumbi anawashutumu wazazi hata posa hana..duuuuh mzize mchezaji wa yanga..vilabu vinakuja kwa wachambuzi wanamtaka mzize..heeeeh ..aaaa sawa wachambaji..

  • @JabariKapindya
    @JabariKapindya 2 หลายเดือนก่อน

    Wee jemadari hee hee ndo Nini Sasa.Mzize piga kazi.

  • @allydaud612
    @allydaud612 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nasisi tuna kazi nae hayawahusu makolo nyie

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 2 หลายเดือนก่อน

    kwani hiyo yanga mnajikuta mnaiona je hasa ni kama dodoma jiji eeeh..? muwe na adabu, hizo wydad zimesha shuka viwango zimebakiza majina tu, yanga ndo inathibitisha kuwa ni timu kubwa, nyie si mnaionaga tu kama pamba jiji mnaiongelea kirahisi tu, sasa huko nje heshima ya yanga ndo hiyo ni kubwa. maana yake yanga ina wachezaji wa kuonekana na timu zenye majina kama hizo mlakini yanga nao kwa sasa wako juu, acheni propaganda na ujuaji mwingi.

  • @YohanaErasto-kp9oy
    @YohanaErasto-kp9oy 2 หลายเดือนก่อน

    wamwachie vipi? we mchambuzi hujielewi hata mifano huoni kuna msuva aling'ara na yanga akaenda huko kwa warabu kikowapi saivi pia samata

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 2 หลายเดือนก่อน

    Usiwapangie watu,ikiwa Yanga anapata nafasi dakika 20, je warabuni ataingia dakika ngapi?

  • @mabagamendez1156
    @mabagamendez1156 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe mchambuzi haujui kitu yanga ni kubwa kuliko unavofikilia wewe acha mzize abaki yanga tu maana timu kubwa razima ibaki nawachezaji wazuri ila mnaangalia faida tu

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 2 หลายเดือนก่อน

    Wachambuzi wa ovyoo kabisa

  • @JabariKapindya
    @JabariKapindya 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni ushabiki,Mzinze atakwenda ulaya kupitia Yanga,watanzania tu watu wa ajabu ,Yanga hawastahili kuchukua ubingwa wa Afrika?

  • @allydaud612
    @allydaud612 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tafuta wa kwako umpeleke wivu unakusumbua kolo mkubwa wewe