Genre: Gospel Song: Ni Kwanini Artists: Kurasini SDA Youth Choir(KYC) written and composed by: Benjamin Kisare Video Dir: Holy Spirit Films Contact: +255 621 140 987
Barikiweni sanaaa vijana kurasini hakika MUNGU awainue viwango vya juu na kuzdi chapeni kazi ya BABA wa mbinguni nawapenda, audio kali video kaliii, huyo Dir. Holly spirit ni shiiiiidaaaaaaaa apewe maua yake tuu hakuna namna
Amen waimbaji mbarikiwe kwa ujumbe mzuri hata hivyo neno la mungu kutoka kitabu. cha waraka yakobo 1:8 mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote
Alie rudia kuangalia hii ktu km mm dondosha like nzito hpo...😊
🔥🔥🔥
Kama umefika hapa kupitia Dotto magari gonga like😅
Vijana wamefuata mtindo wa wazazi wao. Sauti ni ile ile
As traditional lovers of Kurasini main, we see hope in Kurasini Youth. Hongera kwa kazi mzuri
Vijana kurasini mlianza na imani na sasa ni kwanini tunamtafuta bwana hakika ujumbe mzuri kwa wote tunaomtafuta bwana YESU
Ujumbe mzito sana
Mmetuletea na dotto magari Kuna vitu vimeleta uhalisia blessed
Barikiweni sanaaa vijana kurasini hakika MUNGU awainue viwango vya juu na kuzdi chapeni kazi ya BABA wa mbinguni nawapenda, audio kali video kaliii, huyo Dir. Holly spirit ni shiiiiidaaaaaaaa apewe maua yake tuu hakuna namna
Wimbo hauchoshiii jaamaniiiii🎉🎉
Sisi tutafute kwanza ufalme wa Mungu, barikiweni sana Kurasini Youth Choir
Asanteni sana kurasini AY for this piece ni kumbusho kwetu who are in church for wrong reasons 🔥😊
Mungu azidi kuwaimalixha mkazidi kuxonga mbele zaid
Mtoto wa mama kizimukazi ndan congratulations
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri na mmependeza sana ❤ kurasini
Narudia rudia bila kuuchoka huu wimbo jmn mbarikiwe
Mbarikiwe watu wa Mungu......kazi isonge mbele zaidi
Wimbo mzuri Sana hakika Mungu azidi wawainua vijana wa Kurasini nimebarikiwa na ujumbe.
Mungu amewatumia vyema real pamoja na ujumbe uliohapa lakin saut zmepangiliwa vyema na kujaaaaa
Nimefurahia sana kumuona dotto magari ❤❤ asanteni sana kwa ujumbe nzito barikiweni!❤❤
kazi nzuri kwa kupeleka injili mbele.....nabarikiwa kwa njia ya pekee
Dotto Magari Yayeee kwenye Choir Sio poa
Ninyi vijana mbarikiwe na BWANA
The Holly Spirit mmetisha sana
Namshukuru Mungu kwa ajili ya kwaya ya vijana.
A very beautiful song from my favourite choir be blessed a lot 🙏🏻❤️❤. Nabarikiwa nikiwa hapa hapa Kurasin SDA Church..🙌🙌
So powerful as the kurasini main church choir. Love the energy and love for music.
Amen mbarikiwe kwa kazi nzuri mnayoifanya...natazama kutoka kenya
Kazi zur Mungu ni mwema ❤kurasini vijana
Am from Zambia and I am a victim of this song please pray for me
Naomba tu nipate huu ujuzi wa utunzi na uimbaji
Mungu Azidi kuwabariki na kuwaongoza.Amen
The message is deep! would we still follow Christ if..??......,Thank you so much Kurasini youth.
Kurasin bhna duuuu ...mungu awalinde vijana kurasin mnajua
Wow kazi nzuri saaaana mbarikiwe mnooooo🎉🎉
touching song & Video be blessed💥💥💥💥
Mmetisha Sana vijana @kurasini youth kwaya,, Bwana awabariki sana
Sisi mashabiki wa dotto magari mmetukusanya
Mbarikiwe na Bwana 🙏🙏🙏
Mwimbieni mungu mpaka yesu atakapo rudiiii😊😅😮
Hongereni sana nyimbo nzuri mnoooo nimebarikiwa sana na hii nyimbo
Wimbo mzuri sanaa mungu awa bariki sana
Mmehubiri neno kweli, Mungu na awabariki
Wimbo mzuri, Mungu awabariki mzidi kumtangaza
I keep listening to this song everyday,wat a blessing,God bless you guys, love from Kenya
Huyu baba yetu wa Mbinguni aendelee kuwatunza🤲
Kurasini Youth Choir… Like Father like Son..Good Job Keep it up🔥🔥🔥
Amen
Kweli kurasini mnabarikiwa kila siku nawapenda sana Kwa ujumla mmezingatia kanuni za uimbaji wa kanisa la waadventista wasabato love you moreeee ❤❤❤❤❤
Amen.....tutafute yasiyo ya kuharibika kwanza.
Amina
Mungu azidi kuwabariki ktk kazi yake
Amen waimbaji mbarikiwe kwa ujumbe mzuri hata hivyo neno la mungu kutoka kitabu. cha waraka yakobo 1:8 mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote
Hongereni sana vijana hongera rafiki yangu Mr five nmeona na nmefurahia uhusika wako
Mbarikiwe watumishi wa Baba
Waooo wimbo mzuri sana,mbarikiwe na muende mbali
Blessed and highly favoured 😇
Mungu azidi kuwapigania hata ukamilifu wa dahari mbarkiwe zaidi
MUNGU awabariki Sana 🙏❤️ nimebarikiwa 🎉
To God be the glory for such a strong,nice and touching song be blessed
What a powerful song!,may God bless you all
Ameen.... and be blessed..
Hallelujah hallelujah 🙏🙌🙌🙌
What an item😍, God bless you for blessing me
Mungu azidi kuwabariki sanaa
❤❤ MUNGU azidi kuwabariki🙏🙏
Nabarikiwa san kwakwel kurasi ni home of music nikwanin tumeamua kumfuat bwana?
Kazi nzuri na ujumbe mzuri Mungu awabariki vijana kurasani
Mbarikiwe Sana wapendwa
Mbarikiwe sana vijana wetu,kazi nzuri,my favourite song,good and inspirational message.Nabarikiwa sana
Amen
Bwana awabariki sana vijana kurasini,huu ni ujumbe wenye mafundisho makuu ndani yake.
Kazi nzuri vijana
Asante Mungu mtoa vipawa. Kurasini ya zama za mwl kibaso naisikia kwa hawa vijana. Hakika akifa musa unainua joshua. Jina lako litukuzwe.
Amen
Amina..mbarikiwe
Waoo...
My day will be so blessing due to this song...
A powerful and well composed song of the time! Mungu wa mbinguni awazidishie baraka zake mfanyapo kazi yake.
Tuna kila sababu ya kumtafuta bwana
Wimbo umenibariki sana Mungu azidi kuzitunza karama zenu🙏
Aminaaaaaaa...ni kwa nini...
Weh hii kanisa ya kurasini imebarikiwa kweli..❤
Amina
Barikiwen sana vijana wa Mungu
Wimbo mzuriiiiii sana na ujumbe wake ni mzuri mbarikiwe sanaaaaaaaaaaaaa
I even forgot it is youth choir
asant ujumbe ni mzur sanaaaa
Mungu Awabariki vijana
Wimbo mzuri sana mbarikiwe 🙌🙌muende mbali 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hakika kuna hazina kubwa sana ya jumbe kwa waimbaji hawa vijana NIMEBARIKIWA SANA
Amina mbarikiwe sana, Mungu azidi kuwainua mfike mbali.. Ila hii sauti ya kwanza ni balaa🙌 yaani iko pow sana🤝
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Mnanibarikiiii sana Bwana ainuliweeee
Mbarikiwe vijana kurasin, ujumbe ni mzur cna❤❤❤,kazi isonge mbele
AMEN, mungu azidi kuwainua kwa viwango vingine.
Mungu azidi kuwabariki
Mungu awabariki kazi nzuri
Hongeleni Sana vijana mungu awabariki
Hi good people of kurasaini be blessed all
Mungu awabaliki sana tunabalikiwa na wimbo Amina.
Can't listen enough of this song,God bless you kurasini youth.
Hongereni wimbo hauchoshi nimeangalia zaidi ya mara mia hongereni Salome mmeimba vizuri mno namona debora hapo
Glory be Our Almighty God.
Hongereninsana kazi nzuri sana .songeni mbele
Barikiweni sana kwa song kali, ujumbe kama woteee!❤
Wengi walifuata kwa ajili ya vitu...wimbo unazungumzia mambo ya kweli kabisa
Waoooo wimbo mzr mubalikiwe na MUNGU ❤❤❤❤
Wimbo mzuri
🎉🎉🎉 mpewe maua yenu watu wa Mungu, kazi ni nzuri mno, wimbo mtamu na ujumbe mzuri ssna ❤
Barikiwa sanaa