Mashallaah Namkubali sana huyu broo ameitendea haki Nafasi yake ya sanaa kiukweli kama alivosema kuwa wanambania2 ila angekuwa mbali zaid ktk hii nche yuko sawa sana mimi kwenye filamu yoyote nikimkuta atakama sio mzur nikimkuta yume2 siachi kuangalia .Big up Akhy
Nakupenda Sana Abdul ktk movie zako zote namkumbuka Ile wewe muhogomchungu ukiwamasterkey nayy alikua akchochoea waizi wachomwe ulipokutwaniwewe 😄😂weee
Aise mi nakukubali Sana mheshiwa. Nakumbuka kuna move moja uliigiza na marehemu Kanumba anko jj . Aise noma I'll ulikuwa mganga mle . Niliipenda ile kwikwi
@@salhamrisho8138 hiyo mashaalah imetoka wapi kama sio udini ina maana angekuwa mkristo ungemsifia hivyo? Acheni mambo ya Udini watanzania nyie. Sisi ni waafrika imani hizi zisitugawe.
Jamani naomba usaindizi.. Kuna filamu huyu kaka ameicheza Na sikumbuki inaitwaje, huyu kaka alizaliwa wakiwa mapacha mmoja akafariki Na Bandae huyu kaka alipelekwa Kwa nganga akaingizwa kwenye ulimwengu Wa ndoto kupambana... Basi naomba nisaindiwe hiyo filamu inaitwaje wenzangu
Una kumbukumbu kinouma Sumi,ila dokii hakuwa kaole alikuwa Mambo hayo.Igizo la Hujafa hujaumbika au maisha 2000 walikuwepo akina jerry, bambo,kelvin,mashaka,kahabi,rachel,Nina,Nora,kemmy,Bahati,Zawadi, Bupe,kisa na akina bi mwenda na mama haambiliki.
🙋🙋🙋👍💖💕💖💕💖👌💖hongera sana kwa movie unazo igiza kaka mkizungumzia kanumba wakati wote naishiwa nguvu alikua msani wa kufurahisha sana ila basi tu
Mashallaah Namkubali sana huyu broo ameitendea haki Nafasi yake ya sanaa kiukweli kama alivosema kuwa wanambania2 ila angekuwa mbali zaid ktk hii nche yuko sawa sana mimi kwenye filamu yoyote nikimkuta atakama sio mzur nikimkuta yume2 siachi kuangalia .Big up Akhy
Daaah umeni kumbusha mbali sana aiseee.weee sister endelea na moyo huo huo wa kuwa kumbuka wakongwe wa Filamu pamoja na muziki
Tulojua leo serengo Ben jina lake halis abdul tujuane😂😂🕺
Namkubali Sana Serengo, nikimuona naona Sura ya Kanumba. Mungu akutunze Serengo
Kasema anaitwa selengo hiyo serengo umeitoa wapi?
@@giftgodson5603 🤣🤣🤣🤣 namshangaa
Ww kaka mtundu sn hua nikiangaliaga muvizako nachekaga sn daaah!!! Mungu akulinde pena sn
Yani kiukweli huyu mshkaji yupo vzr kiukomedi ,,,
@@mimij7868 sanaaaa tena sn
Mashaallah Abduli mungu akulinde🙏🙏
hi serengo boy much love from congo zaire
Salengo ktk Interview ametulia kweli unaweza sema si yeye dah bigap sana brother nazikubali kazi zako
Nakupenda Sana Abdul ktk movie zako zote namkumbuka Ile wewe muhogomchungu ukiwamasterkey nayy alikua akchochoea waizi wachomwe ulipokutwaniwewe 😄😂weee
Ank ben unajua sana wadau w kaskazn wmekumis sn broka 2nataka kz deile hongera sn
Jamaniii kumbe ni mmakua mwenzangu Daaaahhh karibu kwetu Masasi 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Hata mm mmakua lakin cjui pia yaongewaje hyo lugha hhhh
@@none9575 ooohh hujakaa kwetu Masasi ee
Mwenyewe ndio nimejua leo, kumbe mmakua mwenzangu
Nampenda sana uyu kaka ana show show of kbs katulia sn
Yes nimependa kutoka🇲🇿🇲🇿
Ila Mbengo TV mnazingua sana mnakuwa kama Matapeli hivi, picha na mlotuwekea ni tofauti video tunayoiona!!! Nyie ni Matapeli tu wa MB za watu!!
Na pia nashangaa nasubir kuon kijumba kizur kumbe 😎
Mi kwa sababu hiyo naji unsubscribe
@@abdallahissa8323 🤣🤣 ila kiukweli wamezinguwa
Watching from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 wanazingua kweli
Umeonaeee 😂😂
Da brather nilifikili unaubili kanisani kumbe nishee mashalaah
Yani serengo unanikumbusa enzi zako na kanumba mliendana sana kama ndugu wa damu allah azidi kukuongoza inshaallah
Jamani kumbe muislamu minnilizani mkiristo mashalah
Namkubali sana Ben blanco a,ka serengo
Huyu muislam Babu yake mzee bwagu kigogo alikuwa anakaa zamani
😂😂😂😂
Mie pia nimejua leo🕺😂😀
Selenko God bless U wewe...
Unanikumbusha kanumba walai....
I love his character he plays all the way from 🇰🇪
Mungu akulinde serengo
Nakuelewa sana ktk kaz zako Mwamba .pamban kaka
Duuu mimi nilizani mkiristo kumbe musilamu allah akuweke
Mungu akulinde na family yako insha'Allah 🙏❤️
Dah sikua na faham jamaa km ni muislam mashallah
Aise mi nakukubali Sana mheshiwa. Nakumbuka kuna move moja uliigiza na marehemu Kanumba anko jj . Aise noma I'll ulikuwa mganga mle . Niliipenda ile kwikwi
Kwamm binafsi namjua kama vumbi vumbindu ile ya matron asee mlitisha Sana baast apunzishwe pema peponi Mzee wetu majuto.
Namkubali sana Ben sikujua kama mmakua mwenzangu Jamaa
Kumbe ww ni muislam miye nikajuwa mkristo masha allah😘😘😘😘😘🥰😘
Mnapendaga udini nyie
@@joycenicodemus.2232 hapana sijamaanisha ivo my miye nikajuwaga hilo ben ndiyo jina lake asaa napiya move zake nyingi yu nakakti ni mkrsto
@@salhamrisho8138 hiyo mashaalah imetoka wapi kama sio udini ina maana angekuwa mkristo ungemsifia hivyo? Acheni mambo ya Udini watanzania nyie. Sisi ni waafrika imani hizi zisitugawe.
@@salhamrisho8138 haya pouwa my.
@@joycenicodemus.2232 kweli kabisa udin umetawala kwa hawa watu
Maashalah Abdul jina zuriiii sana unatakiwa ulitendee Haki
Hungera sana serengo Abudul hamdi. Allaha. Akuhifadhi
Hongera san. Karosi kumbe ina watoto wawili hkeri😘
MashaAllah mi najua unaitwa Ben tu 😱
beni nakukubalii mchapaa kazii , lkn siku hizii ckuonii ktk movie, tupe vitu, napenda huna tafrani ya mitandao
Kwahio umeonyesha gari ziri nyumba kali alafu mnaonyesha vitu vingine uboya tu
😅 Serengo upo serious jmn kwenye interview,hata kucheka..hahaaa! Tofauti na ukiwa kwenye movie..big up then
Hongera sana aaaa
Jamaa hana shidaa na hicho ki interview mna mdharirisha maisha magum sana
SERENGO, KADOKOA NYAMA🤣🤣🤣UPANDE WANGU NAKUKUBARI❤️.
Mziwanda njoo tufanye maisha
Masha allah kumbe muislam
Kanumba kaondka na bongo movie hat mkikataa
Nakusubili sana pamoja sana💗💗💗
Hongera selengo kwa kukomba mboga na jenipha
Hongera sana kaka beni unafanya vizuri sana kwenye huba
Mbego TV mimi naji Ansubscribe mana mmezidi uongo, iyo nyumba sasa iko wapi apo
AISE UMRI UMEAONGA SI JUZI TU ULIKUWA CHALII , MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
NAMFAHAM KAMA SERENGO AU BLANCO 🔥🔥🔥🔥 NAKUKUBALI BROOO BIG UP SANA
Weee dem jirekebishe maisha hayendi hivyo
Ben Ben huyu jamaa anaweza sana
Mm nkajua jina lake Ben
Hongera sn, serengo! Ila mling'ara Sana kpnd Cha kanumba.ukweli ndo huo, ingawa nyie wote mnapendwa na cc mashabiki mbaka leo
Hyu jmaa mm namfaham kma beni masanduku yaani kma unatka ucheke ,unatka kujifunza zarau, jeuri ,utemi hpa umefka
What can I say is that, I appreciate you more
Maashaallah very nice broo Allah SW akupe umri mfef
Sio mfef ni mrefu shekhe
🤣🤣🤣🤣😂😂
Mashallha Kaka Ben ongera Sana! Napenda Sana! Unavyo fanya kazizako!
Hongera brother
Manshallah napendaga uigizaji wako mkorofimkorofi
Abdulhaliim, uko njema 😄😄. Naikumbuka movie yenu "jumba la maajabu".
Wakusini hatuna kuiga maisha hapo tu tunajikubali bhn ... mashallah kaka Abdul
Kabisaaa 🤣
MaashaAllah kumbe wa kwetuu
Jamani naomba usaindizi.. Kuna filamu huyu kaka ameicheza Na sikumbuki inaitwaje, huyu kaka alizaliwa wakiwa mapacha mmoja akafariki Na Bandae huyu kaka alipelekwa Kwa nganga akaingizwa kwenye ulimwengu Wa ndoto kupambana... Basi naomba nisaindiwe hiyo filamu inaitwaje wenzangu
Kwani msipoweka picha ya gorofa hatuangalii?
🤣🤣🤣labda walidhani hatutaangalia
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 hawa wanapenda sana kuzigua .
Ni upuuzi wao tu huo jamaa yangu
🤣
wee dem nakupendaga sana unasauti ya kibabe safi sana
Tom boy huyo
Anajua sana huyo pia hana nyodo yuko really
Kali sanaa hii
Mtalaam huyo sana anajua mpaka anaudhi
Wee selengo kitanda kimvulugika.😀😀😀😀😀
Nakukubali sana ben ,kilanga komo ndani ya magic house
Ben next time heshimu interview, simu weka silence.
Ben branco nakubali mwamba
Serengo Yuko vzr Sana🇴🇲
Kumbe mmakua mwenzangu
Naipenda saaaaan mzee beny
Mashaaallah mashaallah jina zuri
auncle selengo nmekupata na jamaa hhuyu hahahahahahaaha fire
Bwana masanduku kumbe we ni mmacua
Una jina la Kaka angu Mashaallh
Eeeeh muislam kumbe me nlijua benson
👍👍 uko vizur kaka
Mashaallah Jina zuri
Mpaka home ya zamaradi tv ishawapiga bao, maana anaenda mpaoa vyumban mpka jikon seblen kila mahali tunaona sasa nyie jaman
Heeee abduli ahmad masha Allah me najua naitwa benjamini
Umeonaee eeeh 🤣
Mi pia Ben ndio nimezoea yaaani
😁😁😁😁
@Fatherjaytz ndio ttz kuwa sio muslam mtihan
@Fatherjaytz nimecheka,sema swali zuri hilo
Mwambien arudi kwenye gem anaweza
😂😂😂😂😂 huo mjengo mzr ndo umewapiga picha au
Selengo,wajukuu zangu wanampendasana
Upo vizuri kwa kujieleza ndgu
Beni mlizi na akina sophia nakumbuka big up bro nakukubali🤲🔥
Duuuuh kumbe wewe nimwilamu.mashallah.pia hongera sana pia nakupenda bure mmakua mwezangu
Kumbe mjukuu wa Rajab hatia ambae alikua msanii pia redio Tanzania enzi hizo...
Nilitegemea na lile jumba na mgari kwenye kava ni halisia
Aiseeee nakukubali sana
Daaah nampenda Sana huyu jamaa 😅😅😅
Kumwambia mama wawatu rasta kama pweza ilieparalaizi ache
mmakua.zai salama uwani.from mozambique
Mashaallah uko vzr
Jamani beni kufa kwa Kaka k ume potea tinahitaji kukuona kwenye gemu bana
Mnano mwaka 2000 kaigiza kwenye " MAISHA" pamoja na Dr cheni , shwebe,muongo Mchugu,lina ,max,doki etc ..kitambo mno from North Dakota USA
Typing bhana😜
Mwaka uo mm nko tumboni hhhh
Una kumbukumbu kinouma Sumi,ila dokii hakuwa kaole alikuwa Mambo hayo.Igizo la Hujafa hujaumbika au maisha 2000 walikuwepo akina jerry, bambo,kelvin,mashaka,kahabi,rachel,Nina,Nora,kemmy,Bahati,Zawadi, Bupe,kisa na akina bi mwenda na mama haambiliki.
Maisha marefu kwako beni, nikikuona namic marehemu mliendana sana
Majibu mazuri sana serengo kanumba ludi duniani muone serengo wako huku anatia huruma anakukumbuka kanumba
Ukovizur san
Ben kumbe mmakuwa mwenzangu
Mashaallah Abdul
Kwan aitwa abdul😀mashallah jina zur nalijua leo
@@rehemasalim4590 mimwenyewe sijawahi juwa kama Muslim wallah nimefurahi
@@saumuabdi1802 tupo wengi
Nakukubali sana ktk jambo lako Allah akuhifadhi na familia yako
Nakupenda msaniiwetu ukovizuli ❤️❤️❤️🙏🙏🙋👏👏❤️🔥
Kama nakuona kaka ukiwa gereg