Mpaka Home MAISHA HALISI YA MWIGIZAJI ANKO BENI SELENGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 351

  • @esthernyambura625
    @esthernyambura625 3 ปีที่แล้ว +1

    🙋🙋🙋👍💖💕💖💕💖👌💖hongera sana kwa movie unazo igiza kaka mkizungumzia kanumba wakati wote naishiwa nguvu alikua msani wa kufurahisha sana ila basi tu

  • @allyjumaallyjuma692
    @allyjumaallyjuma692 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallaah Namkubali sana huyu broo ameitendea haki Nafasi yake ya sanaa kiukweli kama alivosema kuwa wanambania2 ila angekuwa mbali zaid ktk hii nche yuko sawa sana mimi kwenye filamu yoyote nikimkuta atakama sio mzur nikimkuta yume2 siachi kuangalia .Big up Akhy

  • @saidkulwa8807
    @saidkulwa8807 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaah umeni kumbusha mbali sana aiseee.weee sister endelea na moyo huo huo wa kuwa kumbuka wakongwe wa Filamu pamoja na muziki

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 ปีที่แล้ว +15

    Tulojua leo serengo Ben jina lake halis abdul tujuane😂😂🕺

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 3 ปีที่แล้ว +54

    Namkubali Sana Serengo, nikimuona naona Sura ya Kanumba. Mungu akutunze Serengo

    • @giftgodson5603
      @giftgodson5603 3 ปีที่แล้ว +1

      Kasema anaitwa selengo hiyo serengo umeitoa wapi?

    • @fatumahassan1371
      @fatumahassan1371 3 ปีที่แล้ว +1

      @@giftgodson5603 🤣🤣🤣🤣 namshangaa

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 3 ปีที่แล้ว +4

      Ww kaka mtundu sn hua nikiangaliaga muvizako nachekaga sn daaah!!! Mungu akulinde pena sn

    • @mimij7868
      @mimij7868 3 ปีที่แล้ว +2

      Yani kiukweli huyu mshkaji yupo vzr kiukomedi ,,,

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mimij7868 sanaaaa tena sn

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 ปีที่แล้ว +20

    Mashaallah Abduli mungu akulinde🙏🙏

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 3 ปีที่แล้ว +3

    hi serengo boy much love from congo zaire

  • @chazwilliam8882
    @chazwilliam8882 3 ปีที่แล้ว +3

    Salengo ktk Interview ametulia kweli unaweza sema si yeye dah bigap sana brother nazikubali kazi zako

  • @aminaabdallah9117
    @aminaabdallah9117 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda Sana Abdul ktk movie zako zote namkumbuka Ile wewe muhogomchungu ukiwamasterkey nayy alikua akchochoea waizi wachomwe ulipokutwaniwewe 😄😂weee

  • @idrissamuhamedi3289
    @idrissamuhamedi3289 2 ปีที่แล้ว +1

    Ank ben unajua sana wadau w kaskazn wmekumis sn broka 2nataka kz deile hongera sn

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 ปีที่แล้ว +7

    Jamaniii kumbe ni mmakua mwenzangu Daaaahhh karibu kwetu Masasi 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

    • @none9575
      @none9575 3 ปีที่แล้ว

      Hata mm mmakua lakin cjui pia yaongewaje hyo lugha hhhh

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 3 ปีที่แล้ว

      @@none9575 ooohh hujakaa kwetu Masasi ee

    • @nyotawauniquem7462
      @nyotawauniquem7462 3 ปีที่แล้ว

      Mwenyewe ndio nimejua leo, kumbe mmakua mwenzangu

  • @mariamjuma4136
    @mariamjuma4136 3 ปีที่แล้ว +17

    Nampenda sana uyu kaka ana show show of kbs katulia sn

  • @josephmonteiro5677
    @josephmonteiro5677 ปีที่แล้ว +1

    Yes nimependa kutoka🇲🇿🇲🇿

  • @alexkalonga3632
    @alexkalonga3632 3 ปีที่แล้ว +45

    Ila Mbengo TV mnazingua sana mnakuwa kama Matapeli hivi, picha na mlotuwekea ni tofauti video tunayoiona!!! Nyie ni Matapeli tu wa MB za watu!!

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 3 ปีที่แล้ว +3

      Na pia nashangaa nasubir kuon kijumba kizur kumbe 😎

    • @abdallahissa8323
      @abdallahissa8323 3 ปีที่แล้ว +6

      Mi kwa sababu hiyo naji unsubscribe

    • @fisjaykitamuliko1183
      @fisjaykitamuliko1183 3 ปีที่แล้ว +3

      @@abdallahissa8323 🤣🤣 ila kiukweli wamezinguwa

    • @wambuakasimu2431
      @wambuakasimu2431 3 ปีที่แล้ว +3

      Watching from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 wanazingua kweli

    • @fatumahassan1371
      @fatumahassan1371 3 ปีที่แล้ว +3

      Umeonaeee 😂😂

  • @GahSjj-sj6ok
    @GahSjj-sj6ok ปีที่แล้ว

    Da brather nilifikili unaubili kanisani kumbe nishee mashalaah

  • @ashuraissak8561
    @ashuraissak8561 3 ปีที่แล้ว +3

    Yani serengo unanikumbusa enzi zako na kanumba mliendana sana kama ndugu wa damu allah azidi kukuongoza inshaallah

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 ปีที่แล้ว +17

    Jamani kumbe muislamu minnilizani mkiristo mashalah

    • @dcgcnyanza8877
      @dcgcnyanza8877 3 ปีที่แล้ว

      Namkubali sana Ben blanco a,ka serengo

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 ปีที่แล้ว

      Huyu muislam Babu yake mzee bwagu kigogo alikuwa anakaa zamani

    • @hassanmnimbo457
      @hassanmnimbo457 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 ปีที่แล้ว

      Mie pia nimejua leo🕺😂😀

  • @mayiahnoah2157
    @mayiahnoah2157 3 ปีที่แล้ว

    Selenko God bless U wewe...
    Unanikumbusha kanumba walai....

  • @dianahasagi1022
    @dianahasagi1022 3 ปีที่แล้ว +2

    I love his character he plays all the way from 🇰🇪

  • @SengekaSilvester
    @SengekaSilvester 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde serengo

  • @simondelefa880
    @simondelefa880 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sana ktk kaz zako Mwamba .pamban kaka

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 3 ปีที่แล้ว +9

    Duuu mimi nilizani mkiristo kumbe musilamu allah akuweke

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro1452 3 ปีที่แล้ว +27

    Mungu akulinde na family yako insha'Allah 🙏❤️

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 3 ปีที่แล้ว +1

    Dah sikua na faham jamaa km ni muislam mashallah

  • @husseinjumaikunji622
    @husseinjumaikunji622 3 ปีที่แล้ว

    Aise mi nakukubali Sana mheshiwa. Nakumbuka kuna move moja uliigiza na marehemu Kanumba anko jj . Aise noma I'll ulikuwa mganga mle . Niliipenda ile kwikwi

  • @abdallaabedi2354
    @abdallaabedi2354 2 ปีที่แล้ว

    Kwamm binafsi namjua kama vumbi vumbindu ile ya matron asee mlitisha Sana baast apunzishwe pema peponi Mzee wetu majuto.

  • @godfreyraymond4464
    @godfreyraymond4464 3 ปีที่แล้ว +10

    Namkubali sana Ben sikujua kama mmakua mwenzangu Jamaa

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 ปีที่แล้ว +5

    Kumbe ww ni muislam miye nikajuwa mkristo masha allah😘😘😘😘😘🥰😘

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 3 ปีที่แล้ว +4

      Mnapendaga udini nyie

    • @salhamrisho8138
      @salhamrisho8138 3 ปีที่แล้ว

      @@joycenicodemus.2232 hapana sijamaanisha ivo my miye nikajuwaga hilo ben ndiyo jina lake asaa napiya move zake nyingi yu nakakti ni mkrsto

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 3 ปีที่แล้ว +3

      @@salhamrisho8138 hiyo mashaalah imetoka wapi kama sio udini ina maana angekuwa mkristo ungemsifia hivyo? Acheni mambo ya Udini watanzania nyie. Sisi ni waafrika imani hizi zisitugawe.

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 3 ปีที่แล้ว

      @@salhamrisho8138 haya pouwa my.

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 3 ปีที่แล้ว +1

      @@joycenicodemus.2232 kweli kabisa udin umetawala kwa hawa watu

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 3 ปีที่แล้ว +8

    Maashalah Abdul jina zuriiii sana unatakiwa ulitendee Haki

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 3 ปีที่แล้ว +1

    Hungera sana serengo Abudul hamdi. Allaha. Akuhifadhi

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera san. Karosi kumbe ina watoto wawili hkeri😘

  • @hawwahawwa8533
    @hawwahawwa8533 3 ปีที่แล้ว +7

    MashaAllah mi najua unaitwa Ben tu 😱

  • @suleimansalim8744
    @suleimansalim8744 3 ปีที่แล้ว

    beni nakukubalii mchapaa kazii , lkn siku hizii ckuonii ktk movie, tupe vitu, napenda huna tafrani ya mitandao

  • @manyerereboniphace7989
    @manyerereboniphace7989 3 ปีที่แล้ว +8

    Kwahio umeonyesha gari ziri nyumba kali alafu mnaonyesha vitu vingine uboya tu

  • @mariachuri7123
    @mariachuri7123 3 ปีที่แล้ว +29

    😅 Serengo upo serious jmn kwenye interview,hata kucheka..hahaaa! Tofauti na ukiwa kwenye movie..big up then

  • @peteveprosper7186
    @peteveprosper7186 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa hana shidaa na hicho ki interview mna mdharirisha maisha magum sana

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 3 ปีที่แล้ว +37

    SERENGO, KADOKOA NYAMA🤣🤣🤣UPANDE WANGU NAKUKUBARI❤️.

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 3 ปีที่แล้ว +1

    Mziwanda njoo tufanye maisha

  • @sautinassor2102
    @sautinassor2102 3 ปีที่แล้ว +2

    Masha allah kumbe muislam

  • @davidoscooper237
    @davidoscooper237 2 ปีที่แล้ว

    Kanumba kaondka na bongo movie hat mkikataa

  • @farijimartin7031
    @farijimartin7031 3 ปีที่แล้ว +2

    Nakusubili sana pamoja sana💗💗💗

  • @elishasamson77
    @elishasamson77 3 ปีที่แล้ว

    Hongera selengo kwa kukomba mboga na jenipha

  • @neemachendwa6827
    @neemachendwa6827 3 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana kaka beni unafanya vizuri sana kwenye huba

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbego TV mimi naji Ansubscribe mana mmezidi uongo, iyo nyumba sasa iko wapi apo

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo6126 3 ปีที่แล้ว

    AISE UMRI UMEAONGA SI JUZI TU ULIKUWA CHALII , MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO

  • @deewyzeeofficial3512
    @deewyzeeofficial3512 3 ปีที่แล้ว +16

    NAMFAHAM KAMA SERENGO AU BLANCO 🔥🔥🔥🔥 NAKUKUBALI BROOO BIG UP SANA

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y 3 ปีที่แล้ว +1

    Weee dem jirekebishe maisha hayendi hivyo

  • @bukheribukheri798
    @bukheribukheri798 3 ปีที่แล้ว

    Ben Ben huyu jamaa anaweza sana

  • @JumaIddi-o6f
    @JumaIddi-o6f 6 หลายเดือนก่อน

    Mm nkajua jina lake Ben

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sn, serengo! Ila mling'ara Sana kpnd Cha kanumba.ukweli ndo huo, ingawa nyie wote mnapendwa na cc mashabiki mbaka leo

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty 6 หลายเดือนก่อน

    Hyu jmaa mm namfaham kma beni masanduku yaani kma unatka ucheke ,unatka kujifunza zarau, jeuri ,utemi hpa umefka

  • @charlesndallo515
    @charlesndallo515 3 ปีที่แล้ว +3

    What can I say is that, I appreciate you more

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 3 ปีที่แล้ว +6

    Maashaallah very nice broo Allah SW akupe umri mfef

    • @geofreynjanga6794
      @geofreynjanga6794 3 ปีที่แล้ว

      Sio mfef ni mrefu shekhe
      🤣🤣🤣🤣😂😂

    • @rashidisereman6974
      @rashidisereman6974 3 ปีที่แล้ว

      Mashallha Kaka Ben ongera Sana! Napenda Sana! Unavyo fanya kazizako!

  • @reginapeter5546
    @reginapeter5546 3 ปีที่แล้ว

    Hongera brother

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 3 ปีที่แล้ว +4

    Manshallah napendaga uigizaji wako mkorofimkorofi

  • @salumallynannume6724
    @salumallynannume6724 3 ปีที่แล้ว +1

    Abdulhaliim, uko njema 😄😄. Naikumbuka movie yenu "jumba la maajabu".

  • @salmawangu2589
    @salmawangu2589 3 ปีที่แล้ว

    Wakusini hatuna kuiga maisha hapo tu tunajikubali bhn ... mashallah kaka Abdul

  • @OmanOman-ep7bw
    @OmanOman-ep7bw 3 ปีที่แล้ว +2

    MaashaAllah kumbe wa kwetuu

  • @faithwemamusic5266
    @faithwemamusic5266 2 ปีที่แล้ว

    Jamani naomba usaindizi.. Kuna filamu huyu kaka ameicheza Na sikumbuki inaitwaje, huyu kaka alizaliwa wakiwa mapacha mmoja akafariki Na Bandae huyu kaka alipelekwa Kwa nganga akaingizwa kwenye ulimwengu Wa ndoto kupambana... Basi naomba nisaindiwe hiyo filamu inaitwaje wenzangu

  • @shabanially4794
    @shabanially4794 3 ปีที่แล้ว +18

    Kwani msipoweka picha ya gorofa hatuangalii?

  • @alayoboyboy6846
    @alayoboyboy6846 3 ปีที่แล้ว +5

    wee dem nakupendaga sana unasauti ya kibabe safi sana

  • @666richking3
    @666richking3 3 ปีที่แล้ว

    Anajua sana huyo pia hana nyodo yuko really

  • @ramsybreezy9861
    @ramsybreezy9861 3 ปีที่แล้ว

    Kali sanaa hii

  • @666richking3
    @666richking3 3 ปีที่แล้ว

    Mtalaam huyo sana anajua mpaka anaudhi

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 3 ปีที่แล้ว

    Wee selengo kitanda kimvulugika.😀😀😀😀😀

  • @leahvenas4140
    @leahvenas4140 3 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana ben ,kilanga komo ndani ya magic house

  • @oredinondo7876
    @oredinondo7876 3 ปีที่แล้ว +3

    Ben next time heshimu interview, simu weka silence.

  • @hamissusinga4164
    @hamissusinga4164 3 ปีที่แล้ว +3

    Ben branco nakubali mwamba

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 3 ปีที่แล้ว +1

    Serengo Yuko vzr Sana🇴🇲

  • @felistermilanzi5167
    @felistermilanzi5167 3 ปีที่แล้ว +5

    Kumbe mmakua mwenzangu

  • @josephyvandra744
    @josephyvandra744 2 ปีที่แล้ว +1

    Naipenda saaaaan mzee beny

  • @munatwalib2808
    @munatwalib2808 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashaaallah mashaallah jina zuri

  • @NiderTV
    @NiderTV 3 ปีที่แล้ว

    auncle selengo nmekupata na jamaa hhuyu hahahahahahaaha fire

  • @emmanueltheblack6360
    @emmanueltheblack6360 3 ปีที่แล้ว

    Bwana masanduku kumbe we ni mmacua

  • @bahlaoman6467
    @bahlaoman6467 3 ปีที่แล้ว +2

    Una jina la Kaka angu Mashaallh

  • @mustafagonga5973
    @mustafagonga5973 3 ปีที่แล้ว +1

    Eeeeh muislam kumbe me nlijua benson

  • @aminasaid7657
    @aminasaid7657 3 ปีที่แล้ว +10

    Mashaallah Jina zuri

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 3 หลายเดือนก่อน

    Mpaka home ya zamaradi tv ishawapiga bao, maana anaenda mpaoa vyumban mpka jikon seblen kila mahali tunaona sasa nyie jaman

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 3 ปีที่แล้ว +19

    Heeee abduli ahmad masha Allah me najua naitwa benjamini

    • @fesalchambuso8023
      @fesalchambuso8023 3 ปีที่แล้ว

      Umeonaee eeeh 🤣

    • @naimaislam552
      @naimaislam552 3 ปีที่แล้ว

      Mi pia Ben ndio nimezoea yaaani

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 ปีที่แล้ว

      😁😁😁😁

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 3 ปีที่แล้ว

      @Fatherjaytz ndio ttz kuwa sio muslam mtihan

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 ปีที่แล้ว

      @Fatherjaytz nimecheka,sema swali zuri hilo

  • @michaeldaudi2980
    @michaeldaudi2980 3 ปีที่แล้ว

    Mwambien arudi kwenye gem anaweza

  • @elizabethverael1709
    @elizabethverael1709 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 huo mjengo mzr ndo umewapiga picha au

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 3 ปีที่แล้ว

    Selengo,wajukuu zangu wanampendasana

  • @hamzaseifrwambo5657
    @hamzaseifrwambo5657 3 ปีที่แล้ว +1

    Upo vizuri kwa kujieleza ndgu

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 3 ปีที่แล้ว +1

    Beni mlizi na akina sophia nakumbuka big up bro nakukubali🤲🔥

  • @sophiaharidi4672
    @sophiaharidi4672 3 ปีที่แล้ว

    Duuuuh kumbe wewe nimwilamu.mashallah.pia hongera sana pia nakupenda bure mmakua mwezangu

  • @hindisaid2413
    @hindisaid2413 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe mjukuu wa Rajab hatia ambae alikua msanii pia redio Tanzania enzi hizo...
    Nilitegemea na lile jumba na mgari kwenye kava ni halisia

  • @zainabzz7241
    @zainabzz7241 3 ปีที่แล้ว

    Aiseeee nakukubali sana

  • @nancymark698
    @nancymark698 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaah nampenda Sana huyu jamaa 😅😅😅

  • @hamadimwechiwa9835
    @hamadimwechiwa9835 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumwambia mama wawatu rasta kama pweza ilieparalaizi ache

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 3 ปีที่แล้ว

    mmakua.zai salama uwani.from mozambique

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah uko vzr

  • @irenemagreti5921
    @irenemagreti5921 3 ปีที่แล้ว

    Jamani beni kufa kwa Kaka k ume potea tinahitaji kukuona kwenye gemu bana

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 3 ปีที่แล้ว +4

    Mnano mwaka 2000 kaigiza kwenye " MAISHA" pamoja na Dr cheni , shwebe,muongo Mchugu,lina ,max,doki etc ..kitambo mno from North Dakota USA

    • @rukiasadiki9992
      @rukiasadiki9992 3 ปีที่แล้ว

      Typing bhana😜

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 3 ปีที่แล้ว +1

      Mwaka uo mm nko tumboni hhhh

    • @petermaro9852
      @petermaro9852 3 ปีที่แล้ว +1

      Una kumbukumbu kinouma Sumi,ila dokii hakuwa kaole alikuwa Mambo hayo.Igizo la Hujafa hujaumbika au maisha 2000 walikuwepo akina jerry, bambo,kelvin,mashaka,kahabi,rachel,Nina,Nora,kemmy,Bahati,Zawadi, Bupe,kisa na akina bi mwenda na mama haambiliki.

  • @florampayo6593
    @florampayo6593 3 ปีที่แล้ว +1

    Maisha marefu kwako beni, nikikuona namic marehemu mliendana sana

  • @niokoemahenge4312
    @niokoemahenge4312 3 ปีที่แล้ว

    Majibu mazuri sana serengo kanumba ludi duniani muone serengo wako huku anatia huruma anakukumbuka kanumba

  • @halimabianga2466
    @halimabianga2466 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukovizur san

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 3 ปีที่แล้ว +2

    Ben kumbe mmakuwa mwenzangu

  • @saumuabdi1802
    @saumuabdi1802 3 ปีที่แล้ว +15

    Mashaallah Abdul

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 ปีที่แล้ว

      Kwan aitwa abdul😀mashallah jina zur nalijua leo

    • @saumuabdi1802
      @saumuabdi1802 3 ปีที่แล้ว

      @@rehemasalim4590 mimwenyewe sijawahi juwa kama Muslim wallah nimefurahi

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 ปีที่แล้ว

      @@saumuabdi1802 tupo wengi

    • @rajabuwazir6948
      @rajabuwazir6948 3 ปีที่แล้ว

      Nakukubali sana ktk jambo lako Allah akuhifadhi na familia yako

  • @mgorakatembo2642
    @mgorakatembo2642 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda msaniiwetu ukovizuli ❤️❤️❤️🙏🙏🙋👏👏❤️🔥

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 3 ปีที่แล้ว +1

    Kama nakuona kaka ukiwa gereg