Dagaa wa Mwanza
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
- #Dagaa #Mwanza #SimpoReviews
Historia ya mkoa wa Mwanza ilianza wakati ukiwa chini ya tawala za kitemi za wasukuma, wazinza, walongo, wakara na wakerewe kabla ya ukoloni. Wajerumani walipotawala Tanganyika eneo la Mwanza likawa mojawapo ya wilaya katika himaya ya utawala wa Kijerumani.
Utawala wa kikoloni wa Mwingereza ulipokabidhiwa uangalizi wa Koloni la Afrika Mashariki baada ya vita kuu ya Dunia, ulianzisha utawala wa majimbo yaani Provinces. Tanganyika ilikuwa na majimbo ya kiutawala manane (8) na mojawapo likiwa ni Lake Province.
2021 Nimelitembelea Jiji La Mwanza nakujifunza kumbe Hili Jiji bado lina watemi wengi na Ni miongoni mwa majiji Yenye historia Afrika Mashariki.
Usisahau ku like na Ku subscribe hapo chini
For more details
Click the link simpohd
Facebook.com/simporeviews
To advertise your services text
Message Simpo Reviews on WhatsApp. wa.me/message/...
Tafadhali Subscribe, Like na share video zetu ziwafikie watu wengi Zaidi. Je ungependa kutazama History, story ya wapi na Nani?
Nipo dodoma nahitaji kufanya biashara ya dagaa nahitaji connection yenu.
Mi nipo mkoani iringa nimfanyabiashara wa dagaa naomba conecksheni ya kupata mzigo wa dagaa
tuma namba