ULIZA UJIBIWE NO 25 (2024)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 13

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 9 หลายเดือนก่อน

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin

  • @mohammadabdallahmzee3825
    @mohammadabdallahmzee3825 10 หลายเดือนก่อน +1

    assalaam alaykum sayyidiy. kuna taarifa kupatwa kwa jua tar 8.4.2024 unawanasih nin waislam
    Pia tupate faida je jua au mwezi likipatwa hupatwa ulimweng mzima au baadh ya sehem na km ni baadh je sehem ambayo haikupatwa mwei au jua nao wafanye sunna ya kusuf au khusuf km kufuata mwezi wa kimataifa?

    • @muzafarsharif9465
      @muzafarsharif9465 10 หลายเดือนก่อน

      sheikh hawajui vibatali hao😂😂😂

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @AdamHajj-zm6cp
    @AdamHajj-zm6cp 10 หลายเดือนก่อน +1

    Masha allah tabaraka llah

  • @zeynaaly1948
    @zeynaaly1948 10 หลายเดือนก่อน

    Sheikh izudin Alwy mm swali langu nauliza hivi je naweza kufunga sunna ya sita nikimaliza nikafunga swaumu ya Ramadhan ilionipita kwa dharura ya kisheria

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 10 หลายเดือนก่อน

      Naam unaweza

    • @zeynaaly1948
      @zeynaaly1948 10 หลายเดือนก่อน

      Ahsant kwa kunijuza ila kuna baadhi husema huwez kufunga sunna ya sita mpaka ukamilishe funga ya ramadhan ambazo umepata dharura

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 9 หลายเดือนก่อน

      @@zeynaaly1948 Naam hao wanakosea, maana siku sita ni siku chache tu na ambazo zipo ndani ya mwezi wa Shawaal peke yake. Lakini kulipa funga ya Ramadhani unaweza kulipa muda wowote hadi ramadhani nyingine ije.

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 10 หลายเดือนก่อน

    sheikh hawajui vibatali hao😂😂

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 10 หลายเดือนก่อน +1

    MASHAALLAH

  • @KautharyMwinyi
    @KautharyMwinyi 9 หลายเดือนก่อน

    Mwanamke alieachwa baada ya kujifungua eda yake inakuwaje