Viongozi wa Kenya Kwanza wabadili kauli baada ya kukashifu maandamano ya vijana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • Baadhi ya viongozi wa Kenya Kwanza sasa wameonekana kubadili msimamo wao kuhusu vijana wanaofanya maandamano nchini. Kwa kauli moja, viongozi hao ambao hapo awali walikashifu maandamano ya vijana, sasa wanadai kuwa vijana wa Kenya wanastahili kusikizwa. Lakini kama Nimrod Taabu anavyoarifu, viongozi hawa wakiongozwa na Kimani Ichungwa na Aaron Cheruiyot hawakuonekana kubadili msimamo kuhusu mswada tata wa fedha

ความคิดเห็น • 300

  • @kelvinmunene9876
    @kelvinmunene9876 3 หลายเดือนก่อน +41

    Nabado Nyinyi wote nyumbani direct ,Ruto and his regime must go go go

    • @diedanoluoch8226
      @diedanoluoch8226 3 หลายเดือนก่อน +1

      Please munene let's make it a reality everyone in Kenya deserves better than Ruto

    • @radicalljinari3863
      @radicalljinari3863 3 หลายเดือนก่อน

      They must am sick of this idiots

    • @kelvinmunene9876
      @kelvinmunene9876 3 หลายเดือนก่อน

      @@diedanoluoch8226 yes sir! That's heard loud and clear Gen s tusikubali kupangiwa future na watu wachache wenye wamewaste this nations resources and telling citizens to live by their means !

  • @kamche3563
    @kamche3563 3 หลายเดือนก่อน +40

    Na bado....HII SERIKALI YA WEZI TUNATOA

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 หลายเดือนก่อน

      Wanatetea kauli zao sasa ili waendele kuiba na kunyanyasa raia na kuwabebesha madeni

    • @MaryMmm233-yh3hf
      @MaryMmm233-yh3hf 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa zakayo lazima ashuke chini asikize raiya

    • @dennismuhoro5822
      @dennismuhoro5822 3 หลายเดือนก่อน

      Hii lazima iende

    • @user-qy1kr4yy9b
      @user-qy1kr4yy9b 3 หลายเดือนก่อน

      Theives

    • @annekariuki4734
      @annekariuki4734 3 หลายเดือนก่อน

      Celebrated by who when most people are dead out of poverty...

  • @Elibuk
    @Elibuk 3 หลายเดือนก่อน +19

    Inner circle of dictator ruto, the youth will take you down

  • @wabannah9009
    @wabannah9009 3 หลายเดือนก่อน +28

    "I am Now a Proud Kenyan"[The Youth have taken over)"!!!.

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 หลายเดือนก่อน +1

      Time has come

  • @rosemarykagwiria2135
    @rosemarykagwiria2135 3 หลายเดือนก่อน +16

    Kimani ichungwa bure kabisa

  • @erickanyugo3253
    @erickanyugo3253 3 หลายเดือนก่อน +33

    Citizen TV badilisha headline: usiseme viongozi wa kenya kwanza, sema mabibi za Ruto.

    • @martinndagaru1671
      @martinndagaru1671 3 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣

    • @ladylotus3046
      @ladylotus3046 3 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅😅❤❤❤

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 หลายเดือนก่อน +1

      True wote hao mume wao ni ruto

    • @MaryMmm233-yh3hf
      @MaryMmm233-yh3hf 3 หลายเดือนก่อน +1

      Eeee anakosea sana😂

    • @RuthWanja-hn7so
      @RuthWanja-hn7so 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @doteaorwa9523
    @doteaorwa9523 3 หลายเดือนก่อน +6

    GENz don't be threatened by this 204 Mps, this is your future and your children, as a millennium each day I cry for voting wrongly and not heeding Uhuru speech, its time Genz we are at your back and support you fully, RUTO AND REGIME MUST GO ,GO

  • @mrpain158
    @mrpain158 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hizi ni fisi zimeamua kuvalia ngozi ya kondoo.tunawanjua Mr tutatenga.....amewatuma

  • @carolinekasiemeka9848
    @carolinekasiemeka9848 3 หลายเดือนก่อน +18

    😂😂😂😂😂Kimani Machungwa.... Heeee kweli uko na ulimi mbili kwa mdomo...

    • @SharonEmmanueli
      @SharonEmmanueli 3 หลายเดือนก่อน

      UMEONA

    • @eddieoricho4998
      @eddieoricho4998 3 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @miriamwangui1714
      @miriamwangui1714 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @naomiwanjiru5383
      @naomiwanjiru5383 3 หลายเดือนก่อน

      Kimani ningoma

    • @florencezawadi3784
      @florencezawadi3784 3 หลายเดือนก่อน

      Ameshtuka juu ameona nyumbani anaenda bila mmbadala😂hata achange mind vip wembe n ule ule...nyumbani lazima aende....

  • @bANana-yf1qm
    @bANana-yf1qm 3 หลายเดือนก่อน +6

    These work on orders, hata kuongea they must be told what to say.😂😂

  • @Edagwanathani
    @Edagwanathani 3 หลายเดือนก่อน +2

    And the church must give its stand! Always giving platform to politician liars.. Will you serve GOD or money? Tell us!..

    • @ladylotus3046
      @ladylotus3046 3 หลายเดือนก่อน

      Money as usual.

  • @juliuscanada
    @juliuscanada 3 หลายเดือนก่อน +2

    Vijana lets take votes kwa wingi come 2027 wazeeeeeee wote nimesema ruto regime waende nyumbani kupumzika Vijana its now the time to lead Kenya 🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪💪💪

  • @royleongaga4961
    @royleongaga4961 3 หลายเดือนก่อน +1

    To be honest all this current mp wote waende home to have this Gene z in power n Kenya will be good country

  • @janendegwa5462
    @janendegwa5462 3 หลายเดือนก่อน +6

    ichungwa you started story ya mashamba remove taxes on free hold land where do u want us to live

  • @jimmymulee7333
    @jimmymulee7333 3 หลายเดือนก่อน +1

    no1 is saying we don’t clear debt but means for clearing it is where lies the problem…cut costs aimed at providing a flamboyant life to government officials including the president…then bearable taxes will be sufficient to slowly clear debt and bring forth development..

  • @AlexWaiguru
    @AlexWaiguru 3 หลายเดือนก่อน

    Imani ichungwa unafaa kwenda nyumbani upumzike umeshindwa kazi

  • @AnampiuMarangu
    @AnampiuMarangu 3 หลายเดือนก่อน +1

    Politricks! What has changed?

  • @evansmakori3289
    @evansmakori3289 3 หลายเดือนก่อน +1

    They are now playing mind games
    we ain't kids =, we've got brains and we are seeing what you are doing

  • @juliusmuhia1353
    @juliusmuhia1353 3 หลายเดือนก่อน

    Ichungwa must go

  • @IREENKAIRUTHI
    @IREENKAIRUTHI 3 หลายเดือนก่อน

    Mwendazake Ichungwa

  • @Ashkyran
    @Ashkyran 3 หลายเดือนก่อน +2

    Reverse psychology

  • @PaulOpule-bt1lr
    @PaulOpule-bt1lr 3 หลายเดือนก่อน

    Kimani Gachungwa walk thé talk not sugar coating

  • @_21.8
    @_21.8 3 หลายเดือนก่อน

    Wanadhania wakiongea kwa upole tutashuka😂😂😂😂Tuesday nayo mtajua GEN-Z POWER.. Its simple AND clear;nyinyi ndio hamuelewi "ruto must go"..wakati wa vipindi imeisha my friend..

  • @mamasally707
    @mamasally707 3 หลายเดือนก่อน +1

    Do not pretend because you are in house of God.kenyans knows you. (Chameleons)

  • @jeffwasike9316
    @jeffwasike9316 3 หลายเดือนก่อน +4

    Not even worth listening too

  • @F7iw59hdrqy8
    @F7iw59hdrqy8 3 หลายเดือนก่อน +1

    ALL THE YOUTH READING THIS COMMENT'S ANYBODY WHO TAKES YOUR SIDE AFTER BEATING YOU WHEN YOUR INNOCENT YOU SHOULD THINK TWICE HUEZI PAKWA MAFUTA KWA MGONGO NA MTU AMESHA KUPIGA THEY WANT TO BE RE ELECTED 2027 SO THEY ARE ACTING ASIF THEY ARE ON YOUR SIDE AND FOR ME I WILL NOT VOTE FOR UDA LEADERS WITH THEIR IDEOLOGY BE IN SUPPORT AND SEE THE FUTURE ICHUNGWA NI BIBI YA RUTO AME SUPPORT AFTER PRESIDENT AME SUPPORT

  • @estherndanu8729
    @estherndanu8729 3 หลายเดือนก่อน

    Finance bill is un negotiable.hii inapita with or without demos.the nation must move forward

  • @melvinkanje
    @melvinkanje 3 หลายเดือนก่อน

    Unafki ndio Umewajaa mkishibisha matumbo yenyu hamna haja na mwananchi wa kawaida Shem on you!!

  • @MohamedAbdallahSaid
    @MohamedAbdallahSaid 3 หลายเดือนก่อน

    Corrupt people in Kenya are in millions. it's not the Policians alone, but it's their responsibility to fight it and not to be involved as leaders of stealing from the public

  • @gugahmediaafrica9405
    @gugahmediaafrica9405 3 หลายเดือนก่อน

    GEN Z consist of...mijikenda,luhyas,luos,somalis,arabs,kikuyus,and all

  • @randomvideos8678
    @randomvideos8678 3 หลายเดือนก่อน

    KENYA KWISHA

  • @SolomonAmere
    @SolomonAmere 3 หลายเดือนก่อน

    Tusikubali kupakwa ngo'mbe na sakayo,. Reject finance bill

  • @mutai_evans
    @mutai_evans 3 หลายเดือนก่อน

    Whatever they said before is still on record.

  • @lusarshameli7057
    @lusarshameli7057 3 หลายเดือนก่อน

    So basically they are saying the only ways the govt has to raise money are debt or excessive taxation?

  • @JulianMwende-d9p
    @JulianMwende-d9p 3 หลายเดือนก่อน

    Gen Zs bona mlipea Ichungwa ruhusa ya kuongea kanisani?🤔🤔

  • @swts4k
    @swts4k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Manipulative tactics. Msiwaamini hawa waongo. Psychology watu. Maintain focus.

  • @cyrilologe
    @cyrilologe 3 หลายเดือนก่อน

    Wasn't he the one who said yesterday na kiburi?

  • @kakaamo8827
    @kakaamo8827 3 หลายเดือนก่อน

    Reverse physiology,stay focused

  • @rashidhamad3538
    @rashidhamad3538 3 หลายเดือนก่อน

    please Gen z, never ever listen to them, they're all hypocrites

  • @meshackwarambo9351
    @meshackwarambo9351 3 หลายเดือนก่อน

    Please our leaders talk to us, make us understand that we are your bosses and make your explanation as simple as possible so that it can be understood. Be our servants.and not our bosses . That's my plea.

  • @falconinc.
    @falconinc. 3 หลายเดือนก่อน

    Msichanganywe,youths remain unbowed !!!

  • @leonardseur3717
    @leonardseur3717 3 หลายเดือนก่อน

    We go with your 1st words,

  • @jamohbabayaofamily4879
    @jamohbabayaofamily4879 3 หลายเดือนก่อน

    Kimani machungwa...wacheni ujinga mnaogopa gen zee

  • @marvinodhiambo8362
    @marvinodhiambo8362 3 หลายเดือนก่อน

    Ruto must have told them what to do...

  • @BIMZYKIMZY
    @BIMZYKIMZY 3 หลายเดือนก่อน

    Umeolewa n Ruto fala wee

  • @montkellskesesi5141
    @montkellskesesi5141 3 หลายเดือนก่อน

    We dont need ro listen yo the government, let them park and go home

  • @jobungure7195
    @jobungure7195 3 หลายเดือนก่อน

    I just want to c Ruto out

  • @faithmanthi5350
    @faithmanthi5350 3 หลายเดือนก่อน

    No retweet no surrender

  • @john-m2z
    @john-m2z 3 หลายเดือนก่อน

    Wanafuki warudi mbunge wafutulie Bali iyo financial Bill,tukiona

  • @corneliusselebwa1054
    @corneliusselebwa1054 3 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂 sio Photoshop tena?

    • @Nat-wu4kj
      @Nat-wu4kj 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @kelvinmunene9876
      @kelvinmunene9876 3 หลายเดือนก่อน

      Watajua hawajui

  • @BlessedfavouredmaggieofChrist
    @BlessedfavouredmaggieofChrist 3 หลายเดือนก่อน

    Shame shame shame 😢😢😢
    We don't trust youuuuuuù NO
    NEVER

  • @jeremiahnganda6146
    @jeremiahnganda6146 3 หลายเดือนก่อน

    Now I understand that ichungwa is a mad man. Ruto is truly a dictator. How can he be that feared by people who are employed by Kenyans

  • @ruthwittmann3392
    @ruthwittmann3392 3 หลายเดือนก่อน

    Hatuwataki tena waende zao

  • @salavynick6888
    @salavynick6888 3 หลายเดือนก่อน

    Waongo siku zao kwisha

  • @abdab8466
    @abdab8466 3 หลายเดือนก่อน

    Gzen chukueni Kura election ikija msimamishe vijana

  • @JacksonBahati-y3q
    @JacksonBahati-y3q 3 หลายเดือนก่อน

    Bure kabisa hao wote

  • @raphaeloloo9641
    @raphaeloloo9641 3 หลายเดือนก่อน

    Mnafiki machungwa ulisema wanaenda kfc

  • @osumbacollinsmitende1194
    @osumbacollinsmitende1194 3 หลายเดือนก่อน

    Msitubebe ufala, we are far way these nonsense. These kind of people should never be allowed to continue manipulating Kenyans

  • @kevinkamau9007
    @kevinkamau9007 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nyamaza mbwa

  • @richiemuli6065
    @richiemuli6065 3 หลายเดือนก่อน

    Acheni kutuweka box

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 3 หลายเดือนก่อน

    Kalaleno on Tuesday tuko kwa groun💪

  • @moureentrizer3993
    @moureentrizer3993 3 หลายเดือนก่อน

    Tutaona nani atatii mwenzake sasa, it's us vs the mf our parents elected

  • @johngeorge4834
    @johngeorge4834 3 หลายเดือนก่อน

    Mkona mchezo sana

  • @kevinasuma4916
    @kevinasuma4916 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa jamaa kina ichungwa ndio nani sana na badoo mandamano ibakucha kwa mingi

  • @GbNero
    @GbNero 3 หลายเดือนก่อน

    Story Ya IPhone Na KFC Na Uber Imekufa Tayari?

  • @-bz7kr
    @-bz7kr 3 หลายเดือนก่อน

    # 204 crooks

  • @juliusmuhia1353
    @juliusmuhia1353 3 หลายเดือนก่อน

    Ndii ni hypocrite mwizi wa kijificha akijifanya mzuri devil's

  • @mikemunda
    @mikemunda 3 หลายเดือนก่อน

    Uda nyumbani 2027

  • @kymdante1712
    @kymdante1712 3 หลายเดือนก่อน

    Ichungwa juzi wewe ndo ulisema wanaenda maandamano na Uber na kula KFC 😂😂 Genz si wanjinga kenya

  • @eogato46
    @eogato46 3 หลายเดือนก่อน

    Hogwash

  • @suzy1926
    @suzy1926 3 หลายเดือนก่อน

    Ooooh kwanza when its coming from bibi ya ruto its a definate a fake statement kama kawa....my friend kimani ichungwa plz we are nolonger fools in this country we know who u r😂

  • @geofreymatsilikaserwa4801
    @geofreymatsilikaserwa4801 3 หลายเดือนก่อน

    Iphone, uber na KFC imeenda wapi sasa? Useless

  • @AbdulHakeem-eo9ep
    @AbdulHakeem-eo9ep 3 หลายเดือนก่อน

    Mnafki mkubwa

  • @frankdzombojun1343
    @frankdzombojun1343 3 หลายเดือนก่อน

    Racheal’s co wives.

  • @humphreyodhiambo512
    @humphreyodhiambo512 3 หลายเดือนก่อน +19

    we cannot listen to this people no matter what they say, REJECT THE FINANCE BILL 2024

  • @ahmedfeleb4877
    @ahmedfeleb4877 3 หลายเดือนก่อน +16

    ile stori ya kfc na uber iliendaje 😂😂😂

    • @annekamau5288
      @annekamau5288 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂ata Mimi na shangaa. Now they are lying without brinking😅😅

  • @MuxidiinMahat
    @MuxidiinMahat 3 หลายเดือนก่อน +88

    Double standard @kimani Ichungwa...mnafiki number one

    • @wamaithachege4316
      @wamaithachege4316 3 หลายเดือนก่อน +3

      Bure kabisa

    • @eddieoricho4998
      @eddieoricho4998 3 หลายเดือนก่อน +2

      Stay focused

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 หลายเดือนก่อน +3

      Huyo ni nyoka hafai wanatajirika wakinunua property now wanabadilisha kauli Genz should not accept kabisa this people's should be removed from office

    • @HarunMbugua-k2e
      @HarunMbugua-k2e 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kenyans are not against taxation.The Simple language that our political class is not getting is that Kenyans are against over taxation and double taxation.Kenyans don't want to be punished because the previous govt took loans and didn't pay.Dont we have the relevant offices that deals with misuse of public funds or what is the work of Eacc they seem to have evidence of who and how our money was looted.Then they should act.We Kenyans we don't forget they told they have a plan on how to revive the economy without high fuel prices,to save us from fulizas,to borrow loans from inside our country to buy fuel with kshs then what happened in their first budget public participation was nothing to them they used their numbers in parliament.I think it is high time we forget about this so called electing suits in our elections coz they are misusing our political right.

    • @edwinkipngeno7549
      @edwinkipngeno7549 3 หลายเดือนก่อน

      Wherever this sheep belong,ichungwa mrudishe huko

  • @hotep7942
    @hotep7942 3 หลายเดือนก่อน +33

    Why were they allowed to speak?you see how the church has always been in bed with our enemies

    • @nzyukomuia5527
      @nzyukomuia5527 3 หลายเดือนก่อน

      Why by the way!

    • @Allpro007
      @Allpro007 3 หลายเดือนก่อน

      Check history, the Bible came first for pacification and brutal military power to subjugate and plunder wealth, it is still true today , nothing has changed

    • @erickithuka6997
      @erickithuka6997 3 หลายเดือนก่อน

      The devil hides in church

    • @lakeinrocks
      @lakeinrocks 3 หลายเดือนก่อน +1

      These con churches are what we need to boycott. They thrive from our sadaka and hide these criminals. BOYCOTT CHURCHES THAT GIVE THIEVES A MOUTHPIECE

    • @florencezawadi3784
      @florencezawadi3784 3 หลายเดือนก่อน +1

      The same question nlikuwa nauliza mbona kanisa zina wapea nafasi😢wanaudhi...ndio mana mungu anatuadhibu...mbona hawapeleki huo upuzi kwa mosques?juu mapastor n walafi na hawamuheshimu mungu...huezi izi upuzi kwa misikiti n makanisa tuh

  • @Edagwanathani
    @Edagwanathani 3 หลายเดือนก่อน +16

    Wanafiki!.. We're not going to listen to hypocrites. Kwanza wameua vijana wenzetu. We are pouring to the streets full force. Away with Ruto!

  • @mr.i5310
    @mr.i5310 3 หลายเดือนก่อน +45

    Sisi si watoto wenu bana,ma askari wenu wanatuua

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 3 หลายเดือนก่อน +2

      four days ago, you were calling ichung'wah "the great son of kenya" !! what do you stand for??

    • @mr.i5310
      @mr.i5310 3 หลายเดือนก่อน

      @@johnbrown3235 we kwani unanifuata fuata,only a fool doesn't change his mind

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@mr.i5310very true... you change your mind every four days...if you keep on like that, you might be left with nothing!! but thanks for your honesty.

    • @Kibiro-tt6ch
      @Kibiro-tt6ch 3 หลายเดือนก่อน

      @@johnbrown3235true n vizuli Kuwa na musimamo

  • @jamesmusembi4688
    @jamesmusembi4688 3 หลายเดือนก่อน +15

    We will take them to their respective homes...hawa wanatuchezea...Ballot ya 2027 ata tushaawasahau kama nyinyi ni wetu...you deserve to stay at home😂

  • @KenJuma-tz2hg
    @KenJuma-tz2hg 3 หลายเดือนก่อน +9

    Nyinyi tunawatoa kwanza

  • @kyalojulius1767
    @kyalojulius1767 3 หลายเดือนก่อน +7

    Dont listen to this fake leaders, wenye they have double speech, ata muongee nini mambo yenu hatutaki lazima reject finance bill

  • @1_TOONCH
    @1_TOONCH 3 หลายเดือนก่อน +14

    Hawa hatuwezi bargain nao. I hope hii pain itatufikisha 2027.

  • @SammyMaina-ru9bl
    @SammyMaina-ru9bl 3 หลายเดือนก่อน +14

    Politicians vigeugeu

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb 3 หลายเดือนก่อน +9

    GZ wasikubali sauti za uongo za viongozi wa UDA

  • @lynnedarling1135
    @lynnedarling1135 3 หลายเดือนก่อน +25

    These are just ruto's puppet..do not trust them

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 หลายเดือนก่อน +1

      Exactly ndio waendele kula

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 3 หลายเดือนก่อน +6

    Flowers girls. Wa ruto atakavyo sema wanaiga ,jana walisema mengine na leo wana sema tofauti ,shida sikusikizwa shida ni ruto mwenyewe ni disaster.

  • @HESBONLUKHUBI-hm2sp
    @HESBONLUKHUBI-hm2sp 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ondoa hio kitu mnaita Finance Bill completely

  • @jamesnganga6387
    @jamesnganga6387 3 หลายเดือนก่อน +4

    Gen Zs forever👊👊👊👊👊👊👊👊

  • @zekeb2888
    @zekeb2888 3 หลายเดือนก่อน +1

    Corrupt opportunists who have no shame 😂. Little do they know our generation isn’t about any political formation or any specific individual. It’s about getting rid of the corrupt political culture in Kenya in it’s entirety.

  • @BORDERSSAFARISTRAVEL
    @BORDERSSAFARISTRAVEL 3 หลายเดือนก่อน +1

    🇰🇪🇰🇪 TUESDAY 🇰🇪🇰🇪
    OCCUPY PARLIAMENT
    RUTO MUST GO
    # GEN Z 🇰🇪 KENYA 🇰🇪👑👑👑 KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 KENYA

  • @jimmymulee7333
    @jimmymulee7333 3 หลายเดือนก่อน +1

    its not like this guys are so interested in not borrowing debts bt truth be told is that it seems the former regimes have piled up the debts to a place where government aren’t eligible to ask 4 extra debts..hence to suffice their personal needs they bring that baggage to common mwananchi than cut down on their huge expenditures to accommodate best interest of the nation…

  • @Zack_the_great_602
    @Zack_the_great_602 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ni siasa too wanatuchezea,,,but deep inside ....they are planning something

  • @scienceguy5259
    @scienceguy5259 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kimani ichungwa KFC chicken eating,uber riding comment was just gold

  • @Revolute003
    @Revolute003 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ichungwa kumamako

  • @susannyambura3759
    @susannyambura3759 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe machungwa uongo yenu munafikiria watu ni wajinga mumeongea mtufunge macho ndio mpitishe hio finance bill no no no

  • @lukucity
    @lukucity 3 หลายเดือนก่อน +2

    So everyone is trying to own Gen Z

  • @MULLAMUSICWORLDWIDE
    @MULLAMUSICWORLDWIDE 3 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo strategy tunaiona tu , Tuesday lazima

  • @purityruwa6536
    @purityruwa6536 3 หลายเดือนก่อน

    Uongoo.....just talking nothing else. Mnaongea vitu zingine while doing others