@@njambiwandeiya697,,,lakini kama ni hivo anasema, wanaume wengine awashuhuliki na familia ya Kwa kina mke wake, wajipendea kwao tu every Kila kitu.awakumbuki Kwa kina bibi, ila kama uwongo mama kamau usijaribu kwako na mikono Yako mwenyewe.....
Sound not clear. This man is not seeing far enough. How can you withdraw a case and your wife is involved. I'm sure that money this man will not get a penny. Wait and see😢
Pesa Iko kwa kina Vero,,Vero Ako na ujanja Fulani she wants to end up with the money,,she is outshined mama kamau ,,after pesa imeenda na baba Jeff,she planned to steal it and she did,,Soo ameficha pesa kwao ushago period!
Vero knows where the money is!! Samaa you already read the messages that pesa imechimbiwa kwa quarry!! Kwa akina Vero!! Huyu Vero angebaki cell 📱 mpaka pesa ipatikane!!
Mama kamau anajikanganya. She has said she decided to do this to build for her parents. Again is saying, she was taking the money to the bank. Which is which?
Nandio nashangaa woooote hakuna mtu anakumbuka kuwa pesa imechimbiwa kware, sasa wanaenda kwa Sam wavurute time mpaka vero aweze kupigia mamake pesa iondolewe, aiiii wanabore😊
Mama kamau wanaume wajengi kwa kina bibi wewe ukeongeya na baba kamau polepole ndio asandie watu wenu mum lakini naelewa ivo mama kamau ni uchungu sana mwanaume anashandia watu wao peke 😢😢😢😢
A good question have you ever asked baba kamau nataka kujengea wazazi wako akakataa, huyu mama anachesa mcheso wa paka na panya hw could you steal your own money?
Baba kamau if you are not careful...you will be next to b killed...you have all the evidence bt you are weakening the case by withdrawing it...shauri yako kitakuraba😮😮😮😮
If this money is still there, it will be found in Gathangari. Wacha mambo ya ki a Samuel. Vero ndio ako na pesa pamonja na Mama Kamau. Mtazungushwa hadi Yesu arundi bila mafanikio. Moja kwa moja mpaka Gathangari quick work. Twende Kazi.
Baba kamau why uchukue simu tu ya Vero Ata ya bibi chukua do wanacommunacate take your wife phone you sanitize again Ata mtajua who killed baba Jeff..uyu mzee ajichunge sana kichwa itapatwa river yala
Am in love with mama kamaus dressing code
Ako kwa rhythm safi sana bdo
Chugua number yake
Hatutaki kuskia story za pesa tena tunataka kujua kama baba jeff amekufa,naninani amemuua
True
Sure
Very true huyu mwanamke na bwanake hawajui chenye wanataka so far 😮
I think I support mama Kamau now. That is what it means to marry a foolish man who doesn't know the meaning of marriage.
Mwanaume mjinga!!
I support you
Anajua tu mashairi na kiswahili kikuyu😂😂
😂😂😂@@annwangoi1606
I also see the other kind of the coin, mwanaume asipochunga nyumba yake inabomoka tu hivyo
We ndio mjinga
Baba Kamau you need to be a man enough in such matters!
Huyu ni kama ata yeye aliziiba hafeel pain ya kupoteza pesa amefanyia miaka yote gulf
Huyo ata kama he's Half man.
Aki bona wale wanawake wamabaya hupata bwana wazuri,,
Hiki kimzee ni kinongwe tuu ama amekorogewa makojoo hajielewi kabisa
@@njambiwandeiya697,,,lakini kama ni hivo anasema, wanaume wengine awashuhuliki na familia ya Kwa kina mke wake, wajipendea kwao tu every Kila kitu.awakumbuki Kwa kina bibi, ila kama uwongo mama kamau usijaribu kwako na mikono Yako mwenyewe.....
Sound not clear. This man is not seeing far enough. How can you withdraw a case and your wife is involved. I'm sure that money this man will not get a penny. Wait and see😢
Na akicheza atapelekwa 6ft
I have ever seen a man like you you are a good person Baba kamau I know your pain but God is good
Samaritan God bless you
Let me side na mum Kamau juu amefungua Roho yake, it's good coz she didn't plan anything with killing this( stingy man)🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Waaa baba kamau unasikia kile huyu bibi unaita wako anasema,wewe uko karibu na yala river
Pesa Iko kwa kina Vero,,Vero Ako na ujanja Fulani she wants to end up with the money,,she is outshined mama kamau ,,after pesa imeenda na baba Jeff,she planned to steal it and she did,,Soo ameficha pesa kwao ushago period!
Hio pesa amupati Vero Ako na hio Doo na mama yake
Walai. Hawatapata anythng..
Hawa wanawake wote wapo together wanamchezea huyu bwana
Vero mkorogo iimeanza kushika
Pesa iko kwa kina vero,simple
Sasa ata hatuna haja na pesa kupatikana we want to know who killed baba Jeff. May justice prevail
Sure
ndio hapo dio tunataka sasa, familia ya marehemu jeff wakunje on set, tuone watanjitoa aje,
Mama kamau is the main suspect here awache kujifanya ati vile yeye ako inlove baba kamau chuma chako ki mwotoni huyo mama isa no
Mama mtobwi si watoepesa😮but nyinyi hamkunotice mama kamau alikua akijaribu kufinyia Vero macho za juu walilala police walipanga Mambo yote huko
sama is a booooring investigator not asking the right questions mama kamau alichukua pessa why dont aske her details.
something hidden behind the money
From when this story came up I said Vero knows alot😢. ..n I will say again n again.
I understand why mama kamau took the money
Ooh true mama kamau is very right ,if u both work and u never value her that's what happens so learn from that
Weee mama kamau ushindwe, mbona hukupeleka pesa kwen?weee ni mjinga sana
Baba kamau anaonekana mzuri ungemwabia akusaidie kujengea mama yako haungemfanyia ivyo
Mama kamau u know everything stop
Men don't help wife side. Mean
Weeee watu wapole Achana nao, ni moto wa kuotea mbali...Niko naye wa Haina hii....wanakiburi mbaya sana
@@Mamas-06ksure the are serious than you can imagine
Baba Kamau be a man enough or else you will lose even that money
Vero knows where the money is!! Samaa you already read the messages that pesa imechimbiwa kwa quarry!! Kwa akina Vero!! Huyu Vero angebaki cell 📱 mpaka pesa ipatikane!!
Imagine
Bure sana.... baba kamau
What is the difference between "taking" the money and stealing?
Wafungwe sana baba kamau
Eee...ngojea
Some men are so stingy i support mama kamash
Me too ,,makosa hapa ni Mm kamau kupatikana b4 deal ikuwe through nothing big
Mama kamau anajikanganya. She has said she decided to do this to build for her parents. Again is saying, she was taking the money to the bank. Which is which?
Vero alisema ukweli ameficha pesa kwao uko chini kwa kware mamake anajua Vero peana pesa
Nandio nashangaa woooote hakuna mtu anakumbuka kuwa pesa imechimbiwa kware, sasa wanaenda kwa Sam wavurute time mpaka vero aweze kupigia mamake pesa iondolewe, aiiii wanabore😊
Weeee wangapi wanasema I wish wangekuwa na baba kamau..kama his hubby..ma single muko wapi?????
Na by the way nikienda muthangari nichimbe quary si ntadosika
Samaa.. Mfanya kazi vizuri... Pesa iko kwa kina Vero muranga. Kwa kwaree.. Fatilia hiyo pesa kwa kina Vero. Acheni ujinga na nyinyi.
Huyo mama hapana 😊
Mr musa,oua follow up on what xaused baba Jeff s death,and who was this man with vero while transferring the black bag.
I understand mama kamau
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱wamama surely,na hii kuzungushwa yote😢
Huyu mama ana run supermarket na lazima ako na account yake.why was it hard to bank money direct instead of involving many people
Justice for baba jeff
Hapa mwatucheza......
Ngoja ...ngojeaa😂😂😂
What is wrong with some Ukuyu women like mama Kamau and Vero. Killing somebody to them is like kuchinja kuku
Mama kamau ok we hear u case lakini why didn't u keep the money u r self.
Baba kamau Jenga Kwa akuna Bibi wako bana usiangalia too kwako aki inauma mamakamau Sana so Jenga mamakamau aki Baba jeff
Aty anaumwa ju baba kamau anasaidia watu wao??? Uyu mama ni nyoka.....mwanaume usiwai sahau mahali umetoka kwa sababu damu ni nzito kuliko maji
Mama kamau wanaume wajengi kwa kina bibi wewe ukeongeya na baba kamau polepole ndio asandie watu wenu mum lakini naelewa ivo mama kamau ni uchungu sana mwanaume anashandia watu wao peke 😢😢😢😢
waiting....na isiwe ni porojo kwa headline tafadhali
Sasa samu pia amekufa ama😢😢😢😢😢
Woman you had a supermarket why didn't you help your family or employ them
Vero knows everything
Ng'ombe ni ng'ombe tu
🙄🙄🙄 hata pesa zikikosa acha mama Jeff apate justice ya mume wake basi😢😢😢na kwakweli mbinguni ni mbali very far away 😑😑😑
Pesa iko kwa akina vero 😢aliambia mamake kwa text
Veto anaenda jela
@@essy2023 yap but who kill baba Jeff 😥
@@alicechege700 very true
@@catenjoroge8158 ni kama ni vero na huyo wanaita Sam ili at long last abaki na hizo pesa
PESA IKO NA MAREHEMU!
waaa kwani gai kunawanaume wapole ivi yooooh
A good question have you ever asked baba kamau nataka kujengea wazazi wako akakataa, huyu mama anachesa mcheso wa paka na panya hw could you steal your own money?
Sama uwe na backup channel ikirushwa nje inaangukia kulet kwingine
Already kuna Samaritan official
@@samuelkamau1777 ooh basi anafaa kuiweka active itumike kwa maswala kama hayo tusipitwe na uhondo
Baba kamau jipange run for your life.
Could you please number the episodes it's really very hard to follow the story
😂😂😂😂wah upendo namuuaji Tena 😢autaenda mbali ww mwanaume 😅
Baba kamau be a man enough or else next time you will 6 under fit😂😂😂😂
Baba kamau wwe ni bure kabisa
hii pesa itapotea, endeni uko kwenye zimechimbiwa, mapema dio best.
Lakini bona wamama wengine mko na roho ya unyama na mmepewa waume wazuri
After getting money tutalia zote either ukufe ama uwe kipofu 😊
Baba kamau ni ng'ombe Tu
I stand na mama kamau although baba Jeff aliaga😢😢
I thought Vero said she hid the money ushago Kwai from her msg to her mother
Fuuuundaaaa sana fuuuundaaaa sana wewe mama Kamau ulikuwa unataka kupata red carpet huko ama kuku ndio uwekwe poa 😏😏😏😥😥
Hii ni fudaaa kabisa eti anaweka pesa kwa ngunia....pia anakaa ngunia tu haina akili
@@malaikajabali-oj2fh hiii ni kono kono😏😏
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ngombe ni ngombe tu
Huku ndio kuna bamba, banger after fracas 😂, we need vayolence
Twende kazi sasa ,kumechemka tena ,
This baba kamau is not serious
Hiyo pesa haipatikani
Ngojea
Baba Kamau ni yeye amejifikusha hapa...dealing with these criminals in a very soft way
Musa tumechoka na mapesa ... justice for Baba Jeff nuguii ,
Ulichukua dio mukule na jamaa ya maziwa na bando uko na mtoto na yeye wacha kuleta maneno mingi peana pesa za wenyewe hio ingine utasolve bandae
Huyo vero nikutaka kuazungusha atowe pesa , sam anamuekerea
Mama kamau hope utaona hii text fanya kazi tafuta pesa yako ....mamako akae maisha yenye unataka
Free advice😂😂😂😂😂😂😂
Waiting sana from gulf chokaa is my bass
Hizi za gulf ndizo tunafichanga huku.Chunga tu usitume .
C nipewe tu huyu baba Kamau 🤔🤔🤔
nimeanza kuelewa mama kamau sasa ,i know the pain ya kuona wazazi wakiteseka
Why not sanitizer mama kamau phone
Baba kamau ni mwanamke,wewe ni bure sana
Wizi wote washikwe justice for this guy mbwa ma malaya wote jela
Baba kamau if you are not careful...you will be next to b killed...you have all the evidence bt you are weakening the case by withdrawing it...shauri yako kitakuraba😮😮😮😮
Okuyu, ukiandika majina yake next septic tank,
I hate how Baba Kamau is too soft
How did this end
Hawa wanawake hawajamaliza kuuwana hii deal iko na watu wengi sana
Hata mimi siwezi kaa na mtu hawezi saidia wazazi wangu lakini peana pesa
Vero has the money...afinywe kinembe na pliers..aongee
Mko hapa expecting kupata pesa ama
Nasimeasange inasema pesa ziko ushagoo😊
Huyu vero ni mkora coz message was so clear akiambia mama yake watu wasiende huko chini kwa kware
If this money is still there, it will be found in Gathangari. Wacha mambo ya ki a Samuel. Vero ndio ako na pesa pamonja na Mama Kamau. Mtazungushwa hadi Yesu arundi bila mafanikio. Moja kwa moja mpaka Gathangari quick work. Twende Kazi.
Pesa ziko kwa kina veloo amechimbia uko.angewapeleka kwao
Anaitwa veroo kasia
Hiyo pesa haitapatikana sama huyu Vero is playing with ur mind
Baba kamau why uchukue simu tu ya Vero Ata ya bibi chukua do wanacommunacate take your wife phone you sanitize again Ata mtajua who killed baba Jeff..uyu mzee ajichunge sana kichwa itapatwa river yala
Baba siu change uwe muhubiri juu vile unakaa kuna kits umepewa
Mzunguko tena 😮
Samaritan work on the sound please