Asante sana kwa tafakari ya neno la Mungu kweli matendo ya mitume sura kwanza inafudisha sana sana kuhusu wafuasi wake maandalizi ya kufa kweke bwana wetu Yesu kristu
asante kwa kazi njema ya neno la mungu maana hata kwawale wachovu wa neno sasa wanaokolewa naomba mungu akutie nguvu uzidi kulitangaza neno la mungu Amen
Wakisema kwa lunga tofauti imekuja hayo mambo ya mungu anasema kwa kwa lunga yenu wenyewe hawa ni makatekista nao niwakabila ya kutoka nchi mbali mbali duniani bwana Yesu utusamehe sisì wakosefu umekufa kwa ajili yetu sisi tuta tubu na kuiamini Njili
Asante sana kwa tafakari ya neno la Mungu kweli matendo ya mitume sura kwanza inafudisha sana sana kuhusu wafuasi wake maandalizi ya kufa kweke bwana wetu Yesu kristu
asante kwa kazi njema ya neno la mungu maana hata kwawale wachovu wa neno sasa wanaokolewa naomba mungu akutie nguvu uzidi kulitangaza neno la mungu Amen
Amen amen amen
Wakisema kwa lunga tofauti imekuja hayo mambo ya mungu anasema kwa kwa lunga yenu wenyewe hawa ni makatekista nao niwakabila ya kutoka nchi mbali mbali duniani bwana Yesu utusamehe sisì wakosefu umekufa kwa ajili yetu sisi tuta tubu na kuiamini Njili
Ameen
Amena
Maneno ya ushindi sana
Amen
ww unatumia bibilia ipi mbona majina utumiayo ni tofauti na hata usomavyo...