Nimekua wa 6 leo piga kelele kwa yanga yetu❤❤
Hiii ikitoka itakuwa powa😂😂kibwana kama Jack 🥷
Hongera mabingwa, naona huu mwaka mmekuja kivingine
Inshaallah mungu awape afya njema
Hongera uongozi wa nyanga nawachezaji naona tukifika mbali sana mwaka huu
Wanamasiyala
Kwa sisi wapenzi wa movie nguo Kama hizi zilivaliwa kwenye movie inaitwa "THE BLACK SHEEP AFFAIR". Daaaaaah I Love My Team 🔰🔰💛💚💛💚
Kuna vitu yanga wanafanya kama wanapoteza mda hivi mwisho wa siku mtu anakula chuma tano wanasema kanunua
Acha Woga !😅
Kwani wewe unakereheka nini!,
Ikifungwa kuna Nogwa Gani?
Timu Kubwa za Ulaya zinafanya mambo makubwa Zaidi hii! Lakini zinafungwa!
Usiogope kufungwa ni Mchezo na kufunga ni Mchezo .
Aliyefungwa atasononeka na Aliyefungwa atafarijika na kufurahi.
Yanga wanatafuta kutufurahisha sisi Wanachama na Mashabiki.
Sure boy anavituko sana akiwa mazoezini lakni kwenye suara la mechi anakuwa Siriazi nampenda kweli
Kibwana unautani wewe, eti ningekuwa 40 yes ungekuwa hapa wewe😂
Timu kubwa Mambo makubwa
Nomaaaa Saaaana aiseeeee 🔝💪 Wananchiiiiii 💚💛✨🌟
sure boy hajawai kuwa serious🤣🤣
Hii yangu ya preez enjinia heris kuna siku team moja itakuja kula kumi mana vijana wako very very strong
Jongereni sana kupata vifaa vya kufanyia masaji mwili nitiba nzuri sana💚💚🤲
Jeshi la kurinda Burudan (JKB)
Wandawa 🎉😊
wazee wachaka sasa mwendo wa kikomandooo💚💚💚💙🖤💙😄🤣🔥
Hv vifaa makolo wanavyo kweli😂😂😂😂
Allaah Akbar
Hii yanga level za mbele aiseee
Yanga Daima mbele Nyuma mwiko
Heshima kwako mr Prez
ila nguo zimewapendeza kama wanajeshi frani 😂😂😂
Mambo aya yanapatika yanga tu
Dah miili ya kibwana na msheri vazi alijafit hapo sure boy zimefit
Sema yanga wanavitu kuliko makolo mara kisoma mwendo mara mambo yakivita sio powa
Yaan Kila siku timu yetu inakuja na mambo mapyaaa Hadi rahaaaa jamani njoo ujiunge nasi ufurahi
Ila kibwana na Sure boy😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Toeni mabomu please Sureboy hatakawia kujiripua uyo😂😂😂😂😂
Yanga laa
Yanga noma sana
😂😂😂😂sure boy kwani inauma au
Sisi ndo yangaaa
jamani yanga mwaaaah naenjoy sana kuona masihara yenu
😂😂😂yanga rahaaa
400k mpenja see you soon
Kibwana umewaka
Chama la wana
Ila sure boy anafirahisha punguza punuza😅😅😅😅
Kibwana sasa😂😂
💛💚💛💚🤲🙌🙌🙌
Tuna timu kubwa yenye wataalamu wa kila aina
😂😂😂msheri anajiona kama steling ivi
❤❤❤
Ika yanga raha bwana
Iko kijimba huko nyuma ni cha khane na kibwana amaaa😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Hii yenyewe 😂😂 Sure boy kakubali
farid msenge kinoma ni bonge la comedian yan ukimuangalia tu unaanza kucheka kabla ajafanya chochote
Vizur Sana wananchiiiiiii
Utopolo ni utopolo tu😊😊😊
Jaman sureboy😂
Samahanini makolo kwenu yapo haya?
💚💚💚💚💚✔️✔️✔️✔️
Wala haturingi
my team 🔰
😂😂😂😂😂😂😂 ila yanga Inanipa Raha jamn
Sure boy ana utani sasa 😂😂😂😂
Msheri anasura ya kijeshi kabisa,angekuwa mwanajeshi tu.
Kibwana shida yako watu wafupi tuonekane wakorofi tu😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥
Sure boy vp mbona km unabanwa😅😅😅😅😅😅
Sasa mbona kama ulaya
Bado hawaja sema
It's amazing😅😅😅
Babu kaju
Kibwana unamiaka 17
🎉🎉🎉😂😂good
hapo makolo wakiona watajua wanazindikwa 😂😂
Iv hakuna namna hawa wachezaji wangezeekea hapa 😝
Ila sure boe 😅😅😅😅
💚💛🖤
Maji yana tekenya kibwana una balaa wewe😂😂😂
Shua boy umepatikana leo
🎉🎉🎉🎉💚💚💛💛💪💪
Duuuu sisi kama sinema vile
Kwan inauma
Sauti ndogo mtuongezeee
Dah😍😅😅😅😅😅
Sureboy😂💚
Kibwana bwana eti maji yanatekenya
Sure boy😂😂😂😂😂😂
Kibwana bhana😅
Kwa hiyo msheri unajiona kama chuck noris duuh raha yanga nyie naona makolo wanafuatilia kimya kimya
Babu kaju 😂😂😂
Timu ina raha hii
Ila babu kaju😀😀😀😀
Woyooooo
Sure boy msumbufu nyie😂😂😂😂
Sawa😅😅😅😊😊😊😊
Babu kajuuuuu😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤😅😅😅
Sureboy 😂😂😂😂
Sure Boy, Kibwana acheni utani kwenye mambo muhimu. Mtapitwa na mengi mkiendelea hivyo. Tabia za namna hiyo zimewarudisha nyuma wengi. Kila session mnayopewa ni ya muhimu. Be serious
Tulia wew usiwapangie watu jinsi ya kuish we kolo yan kila kitu unachukulia personal
Tuna wachezaji wazawa wazuri sana Yanga hata haturingi 😂😂💚💛💚💛🙏🙏