Yan mama candy anapata shida jamani tujitahidi kuwaheshimu wazazi wetu wametuzaa kwa shida wametulea kwa shida tena tumekua tunawapa mtihani kuliko walikotoka Mungu tusaidie 🙏🙏🙏🙏
Chiko na dadako acha mungu awadhimbu 🤣🤣mimba haijaharibika leo wala kesho😅😅kuleni chuma hiyo zamu ni yenu halafu chiko wewe huzalishi acha kumlaumu dadako 😃😃😁😁😁😁
Khaaa 🙌🙌🙌🙌 candy nimekuogopa Gai and for you chiko mbona unalaumu dadake Kwa kosa lenye si Sahihi wallai and Zatiti ndio nimeamini kuwa ukupewa talaka Gai 😮 And ukirudi Kwa chiko ww n fala Sana wallai kubali Tasha tu
Wallah mlikuwa mwatuumiza sana w3ngnr humu ndio furaha yetu..coz kazi zitutie presha mahueihan9 nayo yatutie stress na nyinyi nanyi mtuongezee ..aah mtupe kama mlivyotupa mwanzo jaman....atakama marambil ama tatu kwa sku..tunawapenda wana busati❤
Asalaamu walekum... bwana yesu asifie yeyote atakayesoma hii coment uwe na maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Makwako pia
Ameeen inshalah
😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Ameen nawe pia uwe na maisha marefu
Amen❤❤😂😂
Imeniuma sana wakati mama candy anaomba msamaha kwa kosa ambalo sio lake na yote ni kwaajili ya mwanae😂 like kwaajili ya mama zetu ❤
Ni kweli kabisa. Mzazi hauwi jamani.
Ata mm
Mama yuko tayar kufanya lolote japokuwa nilakumumi ilimrad mwanaw akae sawa
😊😊😊😊😊😊Mama ni mama2
Nimeumia sana Daktari kupelekeshwa na Sania bila kosa jamn 😢 duuuh
Rafiki km sania hafai hata kidgo😢😢😢
😢😢😢😢
Daah jamani dactari ana tabu kweli huruma huzaa dhambi😂😂😂😂😂😂
Ni kweli kbs
😂😂😂😂Kandi hana shoo mbaa 😂😂😂Lakini zhambi zake sijuwi mwisho wake utakuwa aje😂😂😂😂😂
Na zambi huzaa mauti
Jaman wakwanz leo naomben ata like jaman
Like za nn jmn kwan mnalipwa
Kwani nafurahi nitakuwa WA kwanza leo kumbe wapendwa wezangu jamani mumelala TH-cam😅😅 haya nipe like Leo naomba like tano tu
Hapo vp
Yan mama candy anapata shida jamani tujitahidi kuwaheshimu wazazi wetu wametuzaa kwa shida wametulea kwa shida tena tumekua tunawapa mtihani kuliko walikotoka Mungu tusaidie 🙏🙏🙏🙏
Ad namuonea uruma mama candy
chiko kwisha habari yako na kizazi huna iyo ndo dwa yako anaee amin kuwa chika hana kizazi na ataaibika vibaya angonge lake hapa
Mie hapa
😅😅😅😅
😂😂😂😂kwishaaa
Candy mshukuru Sania 😅😅😅😅 na ulikuwa hautaki kumsamehe ungekiona cha moto😅😅😅
Candy anajua kuigiza, big up
Jamani chiko makosa siyamama niyahao walio valia vijora hasa huyo Sania ametia fora 😂😂
Navyenye sikapendi kama mshumaa vile
Naombeni like mekuwa wakwanza kilasiku nawapa nyie tu😢😂
Mimi wa Burundi 🇧🇮🇧🇮 like nataka
Hongela san
Yaan hii movie bila kendi hainogi tuñakupenda ❤❤❤❤❤❤
Kbs kendy anainogesh sana😂😂😂nautaira wake mi nawapend tu yey na sania😂😂
Hata samia
Hata sania🎉🎉🎉 love you sania🎉🎉🎉🎉
sasa kend sichizi
sasa kend sichizi🤣🤣
Chiko mbegu zenyewe unazo nyau ww😂😂
Alakini kweli 😂😂😂😂
Kimemramba 😂😂😂😂😂
😂😂😂hana
😅😅😅ndio hapo sasa chiko amechezwa shere bila kujijua😁😁
😂😂😂😂😂😂Mbavu zangu jamani
Kumenoga huku njoooowen jmn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😅😅😅😅
Daa! Polee mama Candy kwa kupata mtoto kichomi😳
Tasha amezama kwa Zatiti huku nako chiko amemtafuta 😂😂hapa kutaendaje jamni 😁je zatiti ataolewa ama atamrudia chiko…….🤣🤣🤣🤣
Shwaaa😅😅😅😅
Kutoka kenya 🇰🇪team hamamu tutiane nguvu jamni
Nani kaona mama candy kaongea kingerezaa😅😅😅are u serious😂😂😂
Mama candy anajua kizungu😂😂
😂😂😂😂😂,nimedhani nimeskia vibaya
Afadhali leyo nimekuwa 160 nimejitahidii😂😂❤❤❤❤❤❤
Ubaya umbwela 🤣🤣Chiko yamekukuta ndo wamtafuta Zatiti wangu 😂😂😂aaah huyo niwa Tasha baba tuliza madevu yako 😁😁😁kma unangoja harusi ya Tasha na zatiti tujuane
Siwapend hawa watu nampenda zatiti na Tasha ka na wewe unawakubal gonga like
Cendy tangu nimeanza kuangalia hii Movie leo nakupa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mama candy anapata tabu kwel #
sijawah pata like naomba hata moja🙏🙏
😂😂😂😂
Hizo like huwa mnazifanyia nn
Wenye tumeisubiri hii kwa moyo wote tusalimiane kwa like
Mambo
Kazi nzr busat tiv tupo pamoja
Jaman wanaokua wa mwisho Kila siku kuangalia house girl like hapa😂😂
😂😂😂😂😂Why are you shouting nah😂
😂😂😂😂😂😂😂@@millysitati8844
Mi ndo wamwisho Kila siku jmn😂😂😂
@@user-co4tm6dr4c inatakiwa uwe rafiki yangu
Hizi like mwaziomba mwazifanyia nn jamani mumekuwa omba omba sana😂😂😂
Wa kwanza leo tangu ianze hii movie
Hongera kazi nzur🎉🎉
Chiko na dadako acha mungu awadhimbu 🤣🤣mimba haijaharibika leo wala kesho😅😅kuleni chuma hiyo zamu ni yenu halafu chiko wewe huzalishi acha kumlaumu dadako 😃😃😁😁😁😁
Team saudi arabia hello🎉🎉❤❤
Busat mko vzr sana kuwahisha kazi na mungu awaongoze yn hatulali kazkaz
Naomba jina la wimbo please naupenda xana
Sania na candy jamani na pia chiku ndo mwanzo huo malipo ni hapa hapa dunian acha umkumbuke zatiti sasa
Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani 😂😂😂
Amnaga show mbovu kwakweli kama kwenye hii muv umejifunza kitu like hapa mwaga makopa
Gonga like kama naww hukapendi kasania 😂
Team strong nimekunywa panadol za kenya Leo najihisi kuandamana 😂
😂😂
😂😂😂😂
Wakwanza leo🎉nipeni like zenu jamani❤hata5 nidashukuru wapendwa
Assalamualyikum Wana busat Leo nime kuwa was kwanza naombeni like
Waalaikum salam warakhmatullah wabarakatuh
Candy jini bwengo kweli😂😊
Duuu huyu cendy
Dokta safi sana
Jamani nilisubiri kwa hamu
Ww candy umemugeuka tena huyo doctor ww sania acha kumufundicha tabia mbaya 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
Wa kwanz leo jaman naomb like💃
Waa Candy kuna siku kitakuramba tuu sana umemuletea mamako shida aki uko mbaya Candy sanaa sanaa
Sania na candy🙌ila mnanogesha movi
Saanaa yaani wakiondoka na me siangalii move
Shiiii 😏😏😏
@@AishaOthumani-wt6pz yaan tuvituko hatuishi kila kona wenyewe mov inatufundishaa hiii wapew mauwa yao🌹🌹
Ee chiko baba hapo ni kwako lala,, na mtoto huna😂😂😂😂😂
Ati ni kwake🤣🤣
Tiem zatiti na tasha like hapa🎉🎉🎉
Nimekua wakwanza comment jmn
Jamn ya kalibia move nzima ni upande mmoja waka kuna sehm nyingi kwa tasha na kai had bibi zuu jama hamen
KunAaaa sehem naipendaaa mnoo mnoo palee zatiti anaandika text na kuifuta na pale anaposubili tasha ampigiee
Tumemmisi Kaiii na Zuuu
Chiko acha kuongopa, unapopokea taarifa kama hizi kwanza kabisa unalegeza tai kwanza
😂😂😂😂😂😂
Zatiti ss tasha anacheleweaha mambo anasema tu pembeni anafaa kuwa mke lkn akionana nae hasemi atachukuliwa
Sijapeda zattii apokeye iyo sim😮 like
Mimi naye like hata moja hamuwezi nipa?
Leo nimewai mnipeeni like jamani
Nampenda Sana zatiti nampenda zaititi nampenda Sana zatiti jamani zatiti
Sasa chiko ni namna gani ingine nesi akusaidie,amtie candy mimba au😂😂😂,aaaaweeeeh 😊...ila poleee
Huyo candy mimba ilishatoka.
Mda mrefu chiku a ajua Leo pole 😂😂😂
🤣🤣🤣
Hivi nyinyi watu hamlalagi siku moja moja mkachelewa😅😅😅
Na leo nimekua wa kwanza naomba like ❤
Jaman move tamu nimekubali lkn mda mbona mumepunguza jameni chukueni maua yenu tem b
Came down ,,,kam down vipi chiko😂😂😂😂iyo ilitoka kitambo bana😂😂😂
Huyu sania na candy sijui ni waeke fungu gani kwa kweli walicho mfanya docter😅😅
Congo hatulale tuko bomba naomba ata link kumi
Nimewahi na mimi like zangu wa 44
Sania ni mutoto mubaya anamudanganya kendy😂😂😂🤣🤣🤣🇧🇮🇧🇮
Nimewahi Léo nipe basii at like 20 basi
Jaman leo nmewah naomben like😂
Super hero mkurya wa kwanza ku like mzigo huu
❤❤❤❤🎉🎉nilitoka out but nimeshindwa kulala kbla ya kuangalia house girl haha kazi iendele you can believe now huku oman ni sa nane ❤❤❤❤🎉
Sania ni hatari sana ni muharibifu mbaya sana.
kazi nzuli sana ila haimanishi tusiombane like
😂😂
Wewe shida jamanii mbn unashida ivoo
Weeeh Leo nimewahi jmn narudi n comment
Mpo vizur san ❤
Wakwanza mimi nahomba like please 🙏
Na mie like jaman hata 5 hv 😢,,,
@@user-qm5fz7ee2g towa salam utapata Zaid ya hizotano🤣😂😂
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
Mmh Yan mama mwenyewe anashindwa kuelewa mwanae ni wakina gan candy weeeee ni shida
Chiko n zwazwa kam mazwazwa wengne tu😅😅😅😂😂😂
Zwazwa😂😂😂😂😂😂
Team Riyadh wekeni tick
Kirasiku naskia nipeni like mnapelekawapi naminipeleke
Ndugu wanapendana hawa chiko na dada ake
Mambo ni moto hongereni sana busati tv❤❤❤❤😊
Mi Kai kingereza chako kinaniboa😂😂😂
Umeona nawe?akiongwa English hadandishi
Akiongea
Pole sana mman candy najua unaumia kwa sababu ya mtoto wako asifundwa na muzazi 😅chiko na bado utasema we huzai nacheka kama mazuri 😅😅😅
Jaman candy uongeee kwa kituo. na kichambo unajua nitakukodi.❤
Nawakubalini Bali sana busati tv
😂😂ukurasa wa machozi kwa bwana chiko umeanzaaa ndo kwanza page ya kwanza maji utaita mma mzee😂😂😂
Khaaa 🙌🙌🙌🙌 candy nimekuogopa Gai and for you chiko mbona unalaumu dadake Kwa kosa lenye si Sahihi wallai and Zatiti ndio nimeamini kuwa ukupewa talaka Gai 😮
And ukirudi Kwa chiko ww n fala Sana wallai kubali Tasha tu
Sania oeeeeee ameokolea jahazi kwn siri ingefichwa paka lini
😀😀😀😀ana idea za haraka
Kazi nzuri sana wana Busati tv🇹🇿
Kazi iendelee
Wallah mlikuwa mwatuumiza sana w3ngnr humu ndio furaha yetu..coz kazi zitutie presha mahueihan9 nayo yatutie stress na nyinyi nanyi mtuongezee ..aah mtupe kama mlivyotupa mwanzo jaman....atakama marambil ama tatu kwa sku..tunawapenda wana busati❤
Ila kend jmn umeamua kumgeuzia mzgo nes