HOUSE GIRL EP 35 | S2 | love story💞💕

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • #bongomovie #housegirl

ความคิดเห็น • 709

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 18 วันที่ผ่านมา +448

    Asalaamu walekum... bwana yesu asifie yeyote atakayesoma hii coment uwe na maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AnastaziaKimaro
    @AnastaziaKimaro 18 วันที่ผ่านมา +114

    Imeniuma sana wakati mama candy anaomba msamaha kwa kosa ambalo sio lake na yote ni kwaajili ya mwanae😂 like kwaajili ya mama zetu ❤

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 18 วันที่ผ่านมา +3

      Ni kweli kabisa. Mzazi hauwi jamani.

    • @AnsufatRakitc-z5d
      @AnsufatRakitc-z5d 18 วันที่ผ่านมา +1

      Ata mm

    • @HawaHussein-hq1lj
      @HawaHussein-hq1lj 17 วันที่ผ่านมา +1

      Mama yuko tayar kufanya lolote japokuwa nilakumumi ilimrad mwanaw akae sawa

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 17 วันที่ผ่านมา +1

      😊😊😊😊😊😊Mama ni mama2

  • @WaniaLameck
    @WaniaLameck 18 วันที่ผ่านมา +36

    Nimeumia sana Daktari kupelekeshwa na Sania bila kosa jamn 😢 duuuh

  • @melanianjau3244
    @melanianjau3244 18 วันที่ผ่านมา +44

    Daah jamani dactari ana tabu kweli huruma huzaa dhambi😂😂😂😂😂😂

    • @riziki8406
      @riziki8406 18 วันที่ผ่านมา +2

      Ni kweli kbs

    • @manirambonajeanne3876
      @manirambonajeanne3876 18 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂Kandi hana shoo mbaa 😂😂😂Lakini zhambi zake sijuwi mwisho wake utakuwa aje😂😂😂😂😂

    • @elitumainimathayo9405
      @elitumainimathayo9405 10 วันที่ผ่านมา

      Na zambi huzaa mauti

  • @AbduMjimba
    @AbduMjimba 18 วันที่ผ่านมา +49

    Jaman wakwanz leo naomben ata like jaman

    • @EuniceHaroun
      @EuniceHaroun 17 วันที่ผ่านมา

      Like za nn jmn kwan mnalipwa

  • @christinekemunto461
    @christinekemunto461 18 วันที่ผ่านมา +21

    Kwani nafurahi nitakuwa WA kwanza leo kumbe wapendwa wezangu jamani mumelala TH-cam😅😅 haya nipe like Leo naomba like tano tu

  • @RendinaaEliabi
    @RendinaaEliabi 18 วันที่ผ่านมา +10

    Yan mama candy anapata shida jamani tujitahidi kuwaheshimu wazazi wetu wametuzaa kwa shida wametulea kwa shida tena tumekua tunawapa mtihani kuliko walikotoka Mungu tusaidie 🙏🙏🙏🙏

    • @user-zt4rd5pr1e
      @user-zt4rd5pr1e 18 วันที่ผ่านมา

      Ad namuonea uruma mama candy

  • @UmmuJuhaynaAbuuIssa
    @UmmuJuhaynaAbuuIssa 18 วันที่ผ่านมา +44

    chiko kwisha habari yako na kizazi huna iyo ndo dwa yako anaee amin kuwa chika hana kizazi na ataaibika vibaya angonge lake hapa

    • @BarakaEdna
      @BarakaEdna 18 วันที่ผ่านมา

      Mie hapa

    • @EuniceHaroun
      @EuniceHaroun 17 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅

    • @Stellabby-zo7mw
      @Stellabby-zo7mw 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂kwishaaa

  • @LuciaBukula
    @LuciaBukula 18 วันที่ผ่านมา +13

    Candy mshukuru Sania 😅😅😅😅 na ulikuwa hautaki kumsamehe ungekiona cha moto😅😅😅

  • @shabanjuma7102
    @shabanjuma7102 18 วันที่ผ่านมา +16

    Candy anajua kuigiza, big up

  • @KuvunaGonda
    @KuvunaGonda 18 วันที่ผ่านมา +16

    Jamani chiko makosa siyamama niyahao walio valia vijora hasa huyo Sania ametia fora 😂😂

    • @marymele9714
      @marymele9714 18 วันที่ผ่านมา +1

      Navyenye sikapendi kama mshumaa vile

  • @sophiajj2296
    @sophiajj2296 18 วันที่ผ่านมา +47

    Naombeni like mekuwa wakwanza kilasiku nawapa nyie tu😢😂

  • @LaillaNyadu
    @LaillaNyadu 18 วันที่ผ่านมา +23

    Mimi wa Burundi 🇧🇮🇧🇮 like nataka

  • @saidamwavuo9926
    @saidamwavuo9926 18 วันที่ผ่านมา +42

    Yaan hii movie bila kendi hainogi tuñakupenda ❤❤❤❤❤❤

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh 18 วันที่ผ่านมา +1

      Kbs kendy anainogesh sana😂😂😂nautaira wake mi nawapend tu yey na sania😂😂

    • @OmanMobile-py5bq
      @OmanMobile-py5bq 18 วันที่ผ่านมา

      Hata samia

    • @bayahamisi
      @bayahamisi 18 วันที่ผ่านมา

      Hata sania🎉🎉🎉 love you sania🎉🎉🎉🎉

    • @NasibuAlly-wb9uv
      @NasibuAlly-wb9uv 17 วันที่ผ่านมา

      sasa kend sichizi

    • @NasibuAlly-wb9uv
      @NasibuAlly-wb9uv 17 วันที่ผ่านมา

      sasa kend sichizi🤣🤣

  • @zainabsabas1807
    @zainabsabas1807 18 วันที่ผ่านมา +23

    Chiko mbegu zenyewe unazo nyau ww😂😂

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 18 วันที่ผ่านมา

      Alakini kweli 😂😂😂😂

    • @user-yp7qy2qf7k
      @user-yp7qy2qf7k 18 วันที่ผ่านมา

      Kimemramba 😂😂😂😂😂

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 18 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂hana

    • @riziki8406
      @riziki8406 18 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅ndio hapo sasa chiko amechezwa shere bila kujijua😁😁

    • @user-mr5yf1hp7t
      @user-mr5yf1hp7t 17 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂Mbavu zangu jamani

  • @user-xf3uj9xg2o
    @user-xf3uj9xg2o 18 วันที่ผ่านมา +24

    Kumenoga huku njoooowen jmn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @riziki8406
      @riziki8406 18 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅

  • @user-pu3dz7mh2f
    @user-pu3dz7mh2f 18 วันที่ผ่านมา +8

    Daa! Polee mama Candy kwa kupata mtoto kichomi😳

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 18 วันที่ผ่านมา +5

    Tasha amezama kwa Zatiti huku nako chiko amemtafuta 😂😂hapa kutaendaje jamni 😁je zatiti ataolewa ama atamrudia chiko…….🤣🤣🤣🤣

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 18 วันที่ผ่านมา +26

    Kutoka kenya 🇰🇪team hamamu tutiane nguvu jamni

  • @user-ts9eh9gc1e
    @user-ts9eh9gc1e 18 วันที่ผ่านมา +12

    Nani kaona mama candy kaongea kingerezaa😅😅😅are u serious😂😂😂

    • @violangaira
      @violangaira 18 วันที่ผ่านมา +1

      Mama candy anajua kizungu😂😂

    • @GlycerySadkin
      @GlycerySadkin 17 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂,nimedhani nimeskia vibaya

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 18 วันที่ผ่านมา +8

    Afadhali leyo nimekuwa 160 nimejitahidii😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 18 วันที่ผ่านมา +5

    Ubaya umbwela 🤣🤣Chiko yamekukuta ndo wamtafuta Zatiti wangu 😂😂😂aaah huyo niwa Tasha baba tuliza madevu yako 😁😁😁kma unangoja harusi ya Tasha na zatiti tujuane

  • @KhadijaMdee
    @KhadijaMdee 18 วันที่ผ่านมา +33

    Siwapend hawa watu nampenda zatiti na Tasha ka na wewe unawakubal gonga like

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw 18 วันที่ผ่านมา +3

    Cendy tangu nimeanza kuangalia hii Movie leo nakupa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 18 วันที่ผ่านมา +18

    Mama candy anapata tabu kwel #

  • @NicksonVakuvala
    @NicksonVakuvala 18 วันที่ผ่านมา +52

    sijawah pata like naomba hata moja🙏🙏

    • @user-wm7gu8os2i
      @user-wm7gu8os2i 18 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @shabanjuma7102
      @shabanjuma7102 18 วันที่ผ่านมา

      Hizo like huwa mnazifanyia nn

  • @Franciscah-ks5zq
    @Franciscah-ks5zq 18 วันที่ผ่านมา +49

    Wenye tumeisubiri hii kwa moyo wote tusalimiane kwa like

  • @JudithKauwa
    @JudithKauwa 18 วันที่ผ่านมา +21

    Kazi nzr busat tiv tupo pamoja

  • @SospeterAmosy
    @SospeterAmosy 18 วันที่ผ่านมา +36

    Jaman wanaokua wa mwisho Kila siku kuangalia house girl like hapa😂😂

    • @millysitati8844
      @millysitati8844 18 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂Why are you shouting nah😂

    • @SospeterAmosy
      @SospeterAmosy 18 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂​@@millysitati8844

    • @user-co4tm6dr4c
      @user-co4tm6dr4c 17 วันที่ผ่านมา +1

      Mi ndo wamwisho Kila siku jmn😂😂😂

    • @SospeterAmosy
      @SospeterAmosy 17 วันที่ผ่านมา

      @@user-co4tm6dr4c inatakiwa uwe rafiki yangu

  • @PeninahOdongo
    @PeninahOdongo 18 วันที่ผ่านมา +8

    Hizi like mwaziomba mwazifanyia nn jamani mumekuwa omba omba sana😂😂😂

  • @salehnasra-c7k
    @salehnasra-c7k 18 วันที่ผ่านมา +14

    Wa kwanza leo tangu ianze hii movie

  • @user-wp7sd7fy4c
    @user-wp7sd7fy4c 18 วันที่ผ่านมา +15

    Hongera kazi nzur🎉🎉

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 18 วันที่ผ่านมา +4

    Chiko na dadako acha mungu awadhimbu 🤣🤣mimba haijaharibika leo wala kesho😅😅kuleni chuma hiyo zamu ni yenu halafu chiko wewe huzalishi acha kumlaumu dadako 😃😃😁😁😁😁

  • @EmmilianaWekesa
    @EmmilianaWekesa 18 วันที่ผ่านมา +12

    Team saudi arabia hello🎉🎉❤❤

  • @saumJuma-q3e
    @saumJuma-q3e 18 วันที่ผ่านมา +7

    Busat mko vzr sana kuwahisha kazi na mungu awaongoze yn hatulali kazkaz

  • @IsmailabdallaNjama
    @IsmailabdallaNjama 18 วันที่ผ่านมา +9

    Naomba jina la wimbo please naupenda xana

  • @MercySilvester
    @MercySilvester 18 วันที่ผ่านมา +6

    Sania na candy jamani na pia chiku ndo mwanzo huo malipo ni hapa hapa dunian acha umkumbuke zatiti sasa

  • @jayvannyclassic191
    @jayvannyclassic191 18 วันที่ผ่านมา +14

    Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani 😂😂😂

  • @faustafadhili1680
    @faustafadhili1680 18 วันที่ผ่านมา +28

    Amnaga show mbovu kwakweli kama kwenye hii muv umejifunza kitu like hapa mwaga makopa

  • @hypogotz8705
    @hypogotz8705 18 วันที่ผ่านมา +22

    Gonga like kama naww hukapendi kasania 😂

  • @FatmaRashid-i3h
    @FatmaRashid-i3h 18 วันที่ผ่านมา +12

    Team strong nimekunywa panadol za kenya Leo najihisi kuandamana 😂

    • @TunuAdam-gc9rc
      @TunuAdam-gc9rc 18 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂

    • @Amina-n3r
      @Amina-n3r 17 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @niyonkuruevangeline1514
    @niyonkuruevangeline1514 18 วันที่ผ่านมา +8

    Wakwanza leo🎉nipeni like zenu jamani❤hata5 nidashukuru wapendwa

  • @SadaMwambungu
    @SadaMwambungu 18 วันที่ผ่านมา +9

    Assalamualyikum Wana busat Leo nime kuwa was kwanza naombeni like

    • @user-lt9yx2mh9k
      @user-lt9yx2mh9k 18 วันที่ผ่านมา

      Waalaikum salam warakhmatullah wabarakatuh

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 18 วันที่ผ่านมา +23

    Candy jini bwengo kweli😂😊

  • @MauwaSama-t1v
    @MauwaSama-t1v 18 วันที่ผ่านมา +17

    Jamani nilisubiri kwa hamu

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 18 วันที่ผ่านมา +16

    Ww candy umemugeuka tena huyo doctor ww sania acha kumufundicha tabia mbaya 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂

  • @totooboki8072
    @totooboki8072 18 วันที่ผ่านมา +20

    Wa kwanz leo jaman naomb like💃

  • @GloriaNekesa-tz3ph
    @GloriaNekesa-tz3ph 18 วันที่ผ่านมา +7

    Waa Candy kuna siku kitakuramba tuu sana umemuletea mamako shida aki uko mbaya Candy sanaa sanaa

  • @user-yf9lj9kp6q
    @user-yf9lj9kp6q 18 วันที่ผ่านมา +25

    Sania na candy🙌ila mnanogesha movi

    • @AishaOthumani-wt6pz
      @AishaOthumani-wt6pz 18 วันที่ผ่านมา +1

      Saanaa yaani wakiondoka na me siangalii move

    • @FailaQueen-qm4dt
      @FailaQueen-qm4dt 18 วันที่ผ่านมา +1

      Shiiii 😏😏😏

    • @user-yf9lj9kp6q
      @user-yf9lj9kp6q 18 วันที่ผ่านมา

      @@AishaOthumani-wt6pz yaan tuvituko hatuishi kila kona wenyewe mov inatufundishaa hiii wapew mauwa yao🌹🌹

  • @esthermabuga1259
    @esthermabuga1259 18 วันที่ผ่านมา +5

    Ee chiko baba hapo ni kwako lala,, na mtoto huna😂😂😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 18 วันที่ผ่านมา

      Ati ni kwake🤣🤣

  • @user-zf8jx2zj9u
    @user-zf8jx2zj9u 18 วันที่ผ่านมา +4

    Tiem zatiti na tasha like hapa🎉🎉🎉

  • @LydiaLoiruki
    @LydiaLoiruki 18 วันที่ผ่านมา +9

    Nimekua wakwanza comment jmn

  • @BerthaMisana
    @BerthaMisana 18 วันที่ผ่านมา +7

    Jamn ya kalibia move nzima ni upande mmoja waka kuna sehm nyingi kwa tasha na kai had bibi zuu jama hamen

  • @JosephaSulle-yi4zr
    @JosephaSulle-yi4zr 18 วันที่ผ่านมา +2

    KunAaaa sehem naipendaaa mnoo mnoo palee zatiti anaandika text na kuifuta na pale anaposubili tasha ampigiee

  • @AngelamerisBinamungu
    @AngelamerisBinamungu 18 วันที่ผ่านมา +8

    Tumemmisi Kaiii na Zuuu

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 18 วันที่ผ่านมา +7

    Chiko acha kuongopa, unapopokea taarifa kama hizi kwanza kabisa unalegeza tai kwanza

    • @user-yp7qy2qf7k
      @user-yp7qy2qf7k 18 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 18 วันที่ผ่านมา +1

    Zatiti ss tasha anacheleweaha mambo anasema tu pembeni anafaa kuwa mke lkn akionana nae hasemi atachukuliwa

  • @fatumahdadah8092
    @fatumahdadah8092 18 วันที่ผ่านมา +7

    Sijapeda zattii apokeye iyo sim😮 like

  • @MoohajezAmagove
    @MoohajezAmagove 18 วันที่ผ่านมา +20

    Mimi naye like hata moja hamuwezi nipa?

  • @user-lz1qv1xe4w
    @user-lz1qv1xe4w 18 วันที่ผ่านมา +7

    Leo nimewai mnipeeni like jamani

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 18 วันที่ผ่านมา +20

    Nampenda Sana zatiti nampenda zaititi nampenda Sana zatiti jamani zatiti

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 18 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa chiko ni namna gani ingine nesi akusaidie,amtie candy mimba au😂😂😂,aaaaweeeeh 😊...ila poleee

  • @user-ec9hg8dx5g
    @user-ec9hg8dx5g 18 วันที่ผ่านมา +4

    Huyo candy mimba ilishatoka.
    Mda mrefu chiku a ajua Leo pole 😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  18 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 18 วันที่ผ่านมา +3

    Hivi nyinyi watu hamlalagi siku moja moja mkachelewa😅😅😅

  • @SaudaAthuman-x2f
    @SaudaAthuman-x2f 18 วันที่ผ่านมา +5

    Na leo nimekua wa kwanza naomba like ❤

  • @NellyKombe
    @NellyKombe 18 วันที่ผ่านมา +5

    Jaman move tamu nimekubali lkn mda mbona mumepunguza jameni chukueni maua yenu tem b

  • @RuthNyongesa-me9cx
    @RuthNyongesa-me9cx 18 วันที่ผ่านมา +4

    Came down ,,,kam down vipi chiko😂😂😂😂iyo ilitoka kitambo bana😂😂😂

  • @riziki8406
    @riziki8406 18 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu sania na candy sijui ni waeke fungu gani kwa kweli walicho mfanya docter😅😅

  • @VgmukomboziOficiel
    @VgmukomboziOficiel 18 วันที่ผ่านมา +8

    Congo hatulale tuko bomba naomba ata link kumi

  • @SaidiHafsa
    @SaidiHafsa 18 วันที่ผ่านมา +5

    Nimewahi na mimi like zangu wa 44

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 18 วันที่ผ่านมา +2

    Sania ni mutoto mubaya anamudanganya kendy😂😂😂🤣🤣🤣🇧🇮🇧🇮

  • @JessicaIrakoze-w4e
    @JessicaIrakoze-w4e 18 วันที่ผ่านมา +16

    Nimewahi Léo nipe basii at like 20 basi

  • @MehmetSubrah
    @MehmetSubrah 18 วันที่ผ่านมา +13

    Jaman leo nmewah naomben like😂

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t 18 วันที่ผ่านมา +4

    Super hero mkurya wa kwanza ku like mzigo huu

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustin 18 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤🎉🎉nilitoka out but nimeshindwa kulala kbla ya kuangalia house girl haha kazi iendele you can believe now huku oman ni sa nane ❤❤❤❤🎉

  • @ProsperMollel
    @ProsperMollel 17 วันที่ผ่านมา +2

    Sania ni hatari sana ni muharibifu mbaya sana.

  • @franktodory
    @franktodory 18 วันที่ผ่านมา +41

    kazi nzuli sana ila haimanishi tusiombane like

  • @HawaJums
    @HawaJums 18 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe shida jamanii mbn unashida ivoo

  • @buru1235
    @buru1235 18 วันที่ผ่านมา +4

    Weeeh Leo nimewahi jmn narudi n comment

  • @lovenessmichael7098
    @lovenessmichael7098 18 วันที่ผ่านมา +4

    Mpo vizur san ❤

  • @MRSSUMAILI123
    @MRSSUMAILI123 18 วันที่ผ่านมา +19

    Wakwanza mimi nahomba like please 🙏

  • @user-qm5fz7ee2g
    @user-qm5fz7ee2g 18 วันที่ผ่านมา +27

    Na mie like jaman hata 5 hv 😢,,,

    • @user-wm7gu8os2i
      @user-wm7gu8os2i 18 วันที่ผ่านมา

      @@user-qm5fz7ee2g towa salam utapata Zaid ya hizotano🤣😂😂

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 18 วันที่ผ่านมา +3

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @MoreniObote
    @MoreniObote 18 วันที่ผ่านมา +3

    Mmh Yan mama mwenyewe anashindwa kuelewa mwanae ni wakina gan candy weeeee ni shida

  • @SaadaHaroun
    @SaadaHaroun 18 วันที่ผ่านมา +2

    Chiko n zwazwa kam mazwazwa wengne tu😅😅😅😂😂😂

    • @esthermabuga1259
      @esthermabuga1259 18 วันที่ผ่านมา +1

      Zwazwa😂😂😂😂😂😂

  • @laventerkadagi4880
    @laventerkadagi4880 18 วันที่ผ่านมา +6

    Team Riyadh wekeni tick

  • @ميريالشمري-ح9ب
    @ميريالشمري-ح9ب 18 วันที่ผ่านมา +5

    Kirasiku naskia nipeni like mnapelekawapi naminipeleke

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ndugu wanapendana hawa chiko na dada ake

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mambo ni moto hongereni sana busati tv❤❤❤❤😊

  • @anifermhando4847
    @anifermhando4847 18 วันที่ผ่านมา +4

    Mi Kai kingereza chako kinaniboa😂😂😂

    • @GlycerySadkin
      @GlycerySadkin 17 วันที่ผ่านมา

      Umeona nawe?akiongwa English hadandishi

    • @GlycerySadkin
      @GlycerySadkin 17 วันที่ผ่านมา

      Akiongea

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 18 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana mman candy najua unaumia kwa sababu ya mtoto wako asifundwa na muzazi 😅chiko na bado utasema we huzai nacheka kama mazuri 😅😅😅

  • @SasherKhamisi
    @SasherKhamisi 11 วันที่ผ่านมา +1

    Jaman candy uongeee kwa kituo. na kichambo unajua nitakukodi.❤

  • @Ramsagang
    @Ramsagang 18 วันที่ผ่านมา +5

    Nawakubalini Bali sana busati tv

  • @mercyassy5469
    @mercyassy5469 18 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂ukurasa wa machozi kwa bwana chiko umeanzaaa ndo kwanza page ya kwanza maji utaita mma mzee😂😂😂

  • @buru1235
    @buru1235 18 วันที่ผ่านมา +1

    Khaaa 🙌🙌🙌🙌 candy nimekuogopa Gai and for you chiko mbona unalaumu dadake Kwa kosa lenye si Sahihi wallai and Zatiti ndio nimeamini kuwa ukupewa talaka Gai 😮
    And ukirudi Kwa chiko ww n fala Sana wallai kubali Tasha tu

  • @user-bf3ij2ie5k
    @user-bf3ij2ie5k 18 วันที่ผ่านมา +1

    Sania oeeeeee ameokolea jahazi kwn siri ingefichwa paka lini

    • @levinaernest4364
      @levinaernest4364 18 วันที่ผ่านมา

      😀😀😀😀ana idea za haraka

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s 18 วันที่ผ่านมา +3

    Kazi nzuri sana wana Busati tv🇹🇿

  • @SayiWales
    @SayiWales 18 วันที่ผ่านมา +6

    Kazi iendelee

  • @bintijumachongoa892
    @bintijumachongoa892 17 วันที่ผ่านมา

    Wallah mlikuwa mwatuumiza sana w3ngnr humu ndio furaha yetu..coz kazi zitutie presha mahueihan9 nayo yatutie stress na nyinyi nanyi mtuongezee ..aah mtupe kama mlivyotupa mwanzo jaman....atakama marambil ama tatu kwa sku..tunawapenda wana busati❤

  • @user-nn4mp6fj8r
    @user-nn4mp6fj8r 18 วันที่ผ่านมา +4

    Ila kend jmn umeamua kumgeuzia mzgo nes