MCHUNGAJI PETER MITIMINGI AFARIKI/MANENO YAKE YA MWISHO KABLA YA KIFO CHAKE/TUMUOMBE MUNGU/CORONA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- TANZIA: MCHUNGAJI PETER MITIMINGI AFARIKI DUNIA USIKU HUU
-
Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi ni kiongozi wa Kanisa la Warehouse Christian Center(WHC)
-
Mpaka anafariki alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Huduma ya the Voice of Hope Ministry, Mshauri wa Saikolojia wa BLCCC
-
Alifahamika zaidi kwa mahubiri na mafundisho yake kuhusu mahusiano na maisha ya ndoa yaliyoenea zaidi kupitia Mitandao ya Kijamii
Jamani inahuma pole sana mwanamke mwenzangu nimeamini mke wako amebaki mkiwa pole sana tena sana.
Yaani huyu baba ni mwanasaikolojia mzuri sana ... Mungu kampenda zaidi
Kwa kweli inauma ila acha Mungu abaki kuwa Mungu. Asante Mungu kwa ajili ya muda ambao umemruhusu atufundishe sisi wanao. Jina la BWANA lihimidiwe!!!!
nitakuliya sana umenifuza nanitayazigatiya kweli Mungu akupimuzishe mahali pema .kazi ya Mungu hahina makosa.amen R.IP
Mungu akulaze mahari pema peponi amen
Mungu ilaze roho ya mchungaji Peter mahali pema peponi ameni
Daahh poleni tanzania. Mwanzo Bishop Getrude Rwakatare then mwalimu Peter mitimingi may there souls Rip🙏😭😭😭😭
Kama ni maumivu yako ila Mungu atabaki kuwa Mungu.Baba Asante sana tena sana kwa yale yote umetufundisha .Kweli mwili ni kitu burr heri wale wakufao katika bwana
Pumzika kwa amani,mtumishi wa Mungu,akusamehe mapungufu yakibinaadamu,ili uweze kuuona uso wake.
Pumzika kwa amani mwalim wetu
Dah jamani Mungu nisaidie nisikufuru inauma sana Mungu akulaze mahali pema amina
Inalila wainalilahi rajiun pole sana sana ndungu zetu mungu amuake pema penye wema peponi inshallah
Dah! Tanzania tena! Mungu tukumbuke jameni
Pumzika kwa amani mtumishi wa mungu hakika tutayaishi maneno yako
😭😭😭😭😭😭 jamaniiiiii mimiii nimeumiaaaa.....I really can't believe this jamanii bado tulikua tunakuhitaji Baba.... lakini kazi ya Mungu haina makosa....may his soul rest in peace
Mafundisho bila jina la Yesu Kristo ni ubatiri mtupu ndugu yangu.
Innalilah wainna ileih Rajiun. Mm nimmoja Kati ya watu waliokuwa wakimfuatilia sana huyu mchungaji. Ni Mwalimu mzuri sana poleni sana familia
Mungu ni mwema siku zote. Hatuna buni kusema ahsante kwa Yesu
Umetoa Elimu ya Mahusiano,Ulianza vizuri na Umemaliza Vizuri,Mungu kakupenda zaidi yetu,Dr.na Mwl.Mitimingi.Nenda salama,nimeumia sanaa.
R.I.P
Innalilah wainnahray rajiun.Mungu akusamehe ulipokosea.inshaallah mwalimu wangu
Jamani huyu baba kweli so sad dunia nzima ime lost such wonderful man of God dah 😭😭😭😭😭😭 God have mercy on you rest in peace ✌️ who will be same like you your words will stay forever in our hearts 💕😢😢😢
Umenijenga ktk mahusiano ya Ndoa,nitakukumbuka daima. Pumzika kwa amani Mch Mitimingi.
Mungu amuweke mahali alipo jichagulia. My number one adviser.
R.I.P mchungaji , tutakukumbuka kwa mengi , na hasa mafundisho yako ya ndoa , Bwana ametoa Bwana ametwaa , jina lake litukuzwe.
Amina
Mungu wangu kwa nnii umwyaruhusu hayaaaaa,umetuaachia nanii
Mungu akupumzishe kwa amani baba Yangu tulikupend a ila Mungu alikupenda zaidi.
I lack words to describe and express my sincere condolences to the friends and relatives of Dr. Peter Mitimingi wahhhhh then Death is just Unfair why this early when I had subscribed to His teachings from Kenya. Lala Salama with Angels
Doh R.I.P pastor mwendo umeumaliza imani umeilinda
My favorite mchungaji kweli R.I.P BABA😭
Rebeke Andjelani 😭
Innalillahi wainna ilahi rajiun poleni sana dugu jamaa na mfariki pia InshaAllh mwenyenzi mungu awajalisu subra🙏
Dah! Inauma kweli ila hamna jinsi Mungu kashapanga. Pumzika kwa amani papaaaa!
Kwa heri baba yetu tulikupenda lakin Mungu kakupenda zaidi
May your soul rest in peace ☮️🙏 Peter Mitimingi, ulikua mwenye busara na Upendo, you was more than a teacher, many of people marriage get hope through your lessons about Relationships, you change peoples mind,you make people to be more confidence and to know who we/they are for sure you was the Best no One can cover your position ever.. Nothing to say R.I.P 😭 Umeumaliza mwendo #kama unaamini Peter Mitimingi alifungua akili za watu wengi nakuleta matumaini katika ndoa na mahusiano comment R.I.P
Amen
R.I.P mjungaji na mwalimu Peter Miti mingi nita miss mafundisho yako jamani 😅😅😅😅😅
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuaangazie Apate rehema kwa Mungu apumzike kwa amani Amiina.
R. I. P.
Dk. Peter Mitimingi, hakika niliupenda sana ushauri na mafunzo yako mtandaoni na nilijipa nafasi kubwa ya kukusikiliza na kujifunza mengi kutoka kwako, ila Mungu kakupenda zaidi.
Innalillah wainnailayhi rajiuun Allah akuounguzie adhab ya kaburin mwlm wet haswa ya ndoa
Rest in internal peace pastor , Maneno yako yataishi daima katika moyo wangu, hasa mapenzi kabla ya ndoa
Eeeh Mungu wangu inaniuma kabisa moyoni mwalim muzuri mbona unaondoka mapema tumekuwa tungali nashida yako 😭😭😭😭😭😭😭😭RIP Peter Mitimingi
Corona ikikupiga uwe na hofu au unayo
Mwenyez amlaze mahal pema pepon atakumbukw daima
RIP my favorit Dr Peter Mitimingi MUNGU mahari kwake BABA mtumishi muzuri.
Munguakupokeye mutumishi
Ni taarifa ngumu kwa kweli. ilikua ni usiku tu wajana nimekua nikitazama kanda zake za mashauri ya ndoa.Mungu ailaze roho yake mahali pema.Amenisaidia kujua mengi kuhusu ndoa .Jinsi ya kumjua mchumba mzuri na njia yakuboresha ndoa.Ni pigo kubwa sana .Itachukua muda kumpata mwalim mwenye ujasiri na roho kama yake.
Pumzika kwa amani mchungaji,pole familia ,kanisa ndugu ,jamaa na rafiki wa mchungaji
Pumzika kw amani mtumishi wa Mungu tutaonana badae
R.I.P I followed you in you tube from Kenya may GOD comfort your family and Church
Shalom blessed be the name of the LORD thank you
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
Pia sisi mungu atupe mwisho mwema
Mungu kaanza kuchukua kondoo wake tukae tayali
Watanzania poleni sana.mungu awafariji
Hakika mafundisho yako yatadumu daima...vijana tunalia Mwl wetu hayupo tena,lakn mbingu zimevuna shujaa
Oooh jaman! Pumzik kwa jaman Baba, umetuachia pengo kubwa sana ulitufundisha mambo mengi kuhusu ndoa zetu na zikawa imara
R I P mungu akulaze mahali pema peponi ameen....
Baba mch, Mungu ailaze roho yako mahali pema
Dah neenda kapmzke kazi umemaliza .....wew ni kamanda shujaa
R l.P mchungaji tulipenda mafundisho yako Sana lakini hatuna jinsi jina la Mungu liinuliwe
Heeeeeeee!!!!! yesu wangu,mungu mpunzishe salama m2mishi wako ame maliza kazi
🤲mungu msamee uyu baba pale alipokuaga kosea umpumzishr kwaamani
Inauma
Kazi umemaliza brother
Pole sana ina uma mucungaji Mungu akupe upumu zike salama 😭😭😭😭
Kama vile siamini jaman,Niliyapenda sana mafundisho na semina zako mchungaji,RIP
Mungu akupe kauli sabitih nimejifunza mengi kwako umenielimisha vyema
Nenda salama baba tutakukumbuka daima
Kweli inaumiza sana
Pumzika kwa Aman mchungaj
Mungu muweza wa yote, Dah mungu mlaze mahali pema
R.I.P pastor mchungaji mitimingi mungu akulaze mahari pema peponi amina
Bado Mungu anabaki Kua Mungu tuendelee kuomba
Inalilai waina iraihi rajiun
Rest in peace doctor...I was his die hard fan on TH-cam
Dash,tupole Kwa sote Amen🙏
Hakuna sehem nimesikia mtumishi ametaja jina la Yesu Kristo kwahiyo sina hakika na mafundisho haya kama yanatoka kwa Mungu alie umba ulimwengu huu kwanini jina la Yesu limekuwa gumu kulitaja huwezi kuomba bila kutaja jina la Yesu ukadhani Mungu atasikia maombi yako unajidanganya ndugu yangu Yesu aliishinda mauti hivyo tulio mwamini hatuna hofu yeyote na mauti funguka macho.
Mchungaji Peter Mitiminga Upumzike kwa Amani, Tutakukumbuka Daima😭😭😭😭🙏🙏🙏
Pole sana
Rest in peace peter I used to listen to your teachings tutakutana Paradiso sisi zote niwasafiri
Mbona hizi vifo vyia gafla kwa Watumishi wako Mungu, wanaondoka wakati wanaitajika. Oh pumzika kwa amani kazi ya Mungu Haina makosa.
😭😭😭I can't imgn,Rip
Kwa kweli inauma sana
Hata katika hili Bwana tunakuhitaji saaaana, unatufundisha kukutafuta wewe zaidi, Mitimingi, jembe, pumzika kwa amani baba yetu.
Kazi umeimaliza salama
Mungu tusaidie
Mwendo umeumaliza imani umeilida pumzika salama
Death is a uncertainty, it is really pourable,. Ooh God.who knows his end?..it is a big secret!.. Let's build a good relationship with God!R.I.P man of God..Go dad and rest in peace many were still in need of u!
Mungu wambinguni na haipokee nafsi yko
Mtumishi , nini kimekukuta mtu wa mungu jmn ,kiukweli inauma ana , nilikuwa nakufatilia mafunzo yako baba ,, eee mungu umrehemu huyu baba , alikuwa ni kioo cha jamii ,lkn yote tumshuru mungu ,
Pumzika mchungajiii wetu
R . I, P Mungu aipumzishe roho yako mahali pema peponi. Amen
Duh Pumzika kwa Amani Mchungaji!😭😭
poleni sana watanzania
RIP mchungaji utakumbukwa kwa mafundisho yako matamu naamini mafamilia wengi walirekebisha ndoa zao kupitia maelezo yako.😭😭😭😭
Duuuh nimeumia Sana R.I.P
Pumzika kwa Amani Mchungaji Mafundisho yako yataendelea kuwa kumbukumbu ndani ya kila mtu
Rip mchungaji 😭😭😭😭😭Waah Ata siamini
I can't believe oooh!😭 RIP baba
Allah amuweke anapostahili
Ni kweli Mtumishi rip
Jaman Jaman Jaman
Mungu Naomba Isije ikawa Kwei
😭Mwalimu Wng Wa Kiiman
Wa Kiroho
Mwalimu wangu wa Kiimani
Mwalimu Wangu Wa Kimaisha
Nilijifunza Vingi Kupitia Wewe
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Acha Leo Nilie Na Moyo Wangu 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔
Jamani what happened. ? But... Yeye ni Mungu kila wakati.
RIP mchungaji ila kuna wakati hofu ni muhimu.
Innalilahi wainailaih rajiun poleni sana Allah awape nguvu na subra kwa kipindi hichi kigumu
dah!! mungu wangu
Gone too Earlier oh my God! We will always remember you.
Noooo😭😭😭😭😭😭 ..
Rip mitimingi nlikuwa napendaa mafundisho yake anyway safiri salama