MAKONDA JESHI LA MTU MMOJA.HODI HODI MBEYA, TAZAMA MBEYA ILIVYO FUNGUKA, MAKONDA OYEEE, MITANO TENA KWA MHE RAIS MAMA WA TAIFA LA TANZANIA DKT SAMIA SULUH HASSAN 🇹🇿❤🇹🇿.
Hili jeshi la mtu mmoja one man show,wachawi wanatafutana kaa mbali soma alama za nyakati,mama Samia alisoma Alama za nyakati,mwanajeshi wa akiba special force,tulirni picha lina staring full mashol art
MAKONDA JESHI LA MTU MMOJA.HODI HODI MBEYA, TAZAMA MBEYA ILIVYO FUNGUKA, MAKONDA OYEEE, MITANO TENA KWA MHE RAIS MAMA WA TAIFA LA TANZANIA DKT SAMIA SULUH HASSAN 🇹🇿❤🇹🇿.
Hili jeshi la mtu mmoja one man show,wachawi wanatafutana kaa mbali soma alama za nyakati,mama Samia alisoma Alama za nyakati,mwanajeshi wa akiba special force,tulirni picha lina staring full mashol art
Ajaribu nape nayeye muone kama itskuwa hivi haya bwana ni karama toka kwa Mungu tu
Jeshi la mtu mmoja jembeee 🎉🎉🎉🎉
Kaka si uende na huko kwetu mkoa wa kilimanjaro hususan ndungu
Cha urisi huzidi Makonda kiboko duniani
Ugopa mtu anajulikana hadi Marekani aliwaambia ushoga Tanzania hatutaki wakamwambia hakuna kukanyaga Marekani sahivi wanamwangalia tu kwa tz.
Chapa kazi magu kaenda ila kaacha mwanae nakukubali makonda
Kwakweli makonda anakubalika
Tuachen utan makonda anaelekea uko mbelen kuja kugombea urais n hali yake Kwan wananchi wanampemda
Wakati mwingine wananchi wasiendekezwe. Wajifunze kusikiliza
Hata Mbeya wamekukubari basi wewe ni Jembe. Maana hao ni mcharuko kweli.😂
Watu wanahisi wapo na Magufuli
Piga kazi
Jendaje chapa kazi kaka lipuwa