The Heartbreaking story of Peres! 😢 "Sikuweza kuona babangu. Mama alinipata bado akiwa kwao. Alituacha watoto wawili, mimi na mdogo wangu ambaye yuko primary school. Nimeishi na shosh tangu nilipokuwa na miaka miwili. Nimekuwa na shida ya kutembea. Siwezi songa hata kidogo. Shosh ndiye amekuwa akinibeba nikienda haja zote, kuoga, kulala na kuota jua nje. Nimempa shida. Hawezi toka akienda mbali na akitoka, itabidi nisile hadi arudi sababu nikila, naweza jisaidia mahali niko sana sana kujikojolea 😢. Nimekuwa na miaka 20. Nishakuwa mkubwa. Shosh analia lia sana shida ya kifua sababu ya kunibeba beba. Hiyo imefanya anaugua sana siku hiz na vile miaka yake inasonga. Nimewahi saidiwa na wheelchair kitambo kidogo lakini mwenyewe alirudi akaichukua kwa maana nilishindwa kumlipa. Wakati huo, nilikuwa naweza jifanyia mambo mengine kama kuosha vyombo, kujisaidia na kujisukuma pole pole...." Peres Makanda Foundation A Community of Hope and prosperity. If you feel like supporting by donating or purchasing a wheelchair for Peres, Mpesa 07 13 48 14 36 phelix joel or WhatsApp for more information! #TheMessenger #makandafoundation #humanity
Despite her challenges,she can afford to smile.... such a wonderful soul.... thank you Mr Phelix for taking your time to visit, listening and engaging with the family....shosh has really tried to take care of her
Surely nyinyi viongosi wa Kenya you are bard people tunawapea uongosi na amusaidii watu kama ao na siwengi Mr phelix be blessed Mey the lord God be with you for the wark you are doing thank you so so much
The Heartbreaking story of Peres! 😢
"Sikuweza kuona babangu. Mama alinipata bado akiwa kwao. Alituacha watoto wawili, mimi na mdogo wangu ambaye yuko primary school. Nimeishi na shosh tangu nilipokuwa na miaka miwili.
Nimekuwa na shida ya kutembea. Siwezi songa hata kidogo. Shosh ndiye amekuwa akinibeba nikienda haja zote, kuoga, kulala na kuota jua nje. Nimempa shida. Hawezi toka akienda mbali na akitoka, itabidi nisile hadi arudi sababu nikila, naweza jisaidia mahali niko sana sana kujikojolea 😢.
Nimekuwa na miaka 20. Nishakuwa mkubwa. Shosh analia lia sana shida ya kifua sababu ya kunibeba beba. Hiyo imefanya anaugua sana siku hiz na vile miaka yake inasonga.
Nimewahi saidiwa na wheelchair kitambo kidogo lakini mwenyewe alirudi akaichukua kwa maana nilishindwa kumlipa. Wakati huo, nilikuwa naweza jifanyia mambo mengine kama kuosha vyombo, kujisaidia na kujisukuma pole pole...." Peres
Makanda Foundation A Community of Hope and prosperity.
If you feel like supporting by donating or purchasing a wheelchair for Peres,
Mpesa 07 13 48 14 36 phelix joel or WhatsApp for more information!
#TheMessenger #makandafoundation #humanity
How much is a wheelchair please?
Please let me know how it is and how I can send the money. Thank you.
I once bought one at Ksh. 18,500 for an adult
Ok how do I send it? Give me the number to use please 🙏
Despite her challenges,she can afford to smile.... such a wonderful soul.... thank you Mr Phelix for taking your time to visit, listening and engaging with the family....shosh has really tried to take care of her
A beautiful girl grandma has taken good care of her aki. Lets buy wheelchair family
Ilike the smile on her face
I like her big heart,she is ever smiling, blessings shosh,
😢😢😢 peris even if you have challenge bt yiu you have that smile,more grace shosh
despite everything she puts up a beautiful smile.I pray to GOD to open ways for you and brother Alex thank you and GOD BLESS. Pt 2 plz
My daughter yuko 17yrs now disabled,i wish angekua anaongea tu😢😢😢
Hugs
Take heart n know God is in control,much ❤❤❤❤
Wonderful girl and mother. We must help her. Please keep in touch with this family
Yani I feel her love and how she's so happy than those with everything .
Woyie
God bless this grandma
Wow she has a nice smile ,may God bless you babygirl 🎉
Kusema na kutenda..Servant of God on the Mission 🎉🎉
Allah akuzidishie palipo pungua ALLAH apajaze
May God bless you felix and the team
She is beautiful ❤️
Allah akuzidishie inshaallah 🙏
Kazi nzuri phelix
May GOD heal you gal
Surely nyinyi viongosi wa Kenya you are bard people tunawapea uongosi na amusaidii watu kama ao na siwengi Mr phelix be blessed Mey the lord God be with you for the wark you are doing thank you so so much
The smile on her face is big
Woow nice work felix God bless you
May God bless you more and more Mr phelix
May God bless you philex uko na homa Hadi kuna mwenye ame comment eti si wewe😢
Good job
Felix wapi follow up jameni ya Brighton and peris
Care giving is not easy, I feel for shosh
She beautiful ❤️
Phelix mungu akubless
Mungu saidia huyu mtoto
❤❤❤
Amrumiaye maskini umkopesha Bwana naye atamlipa kwa tendo lake njema, leo hii imeniuma sana Mungu ambariki huyo gogo 😢