JEMEDARI SAID ACHEKELEA Eng. HERSI KUNG'OLEWA, ALIWAZOMEA WAZEE WA YANGA SC.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • JEMEDARI SAID ACHEKELEA Eng. HERSI KUNG'OLEWA, ALIWAZOMEA WAZEE WA YANGA SC.
    Jemedari Said Kazumari ameelezea kwa ukubwa zaidi juu ya sakata la Rais wa Yanga SC, Injinia Hersi Said kung'olewa na watu wanaojulikana kwa jina la Wazee wa Yanga SC wakidai kuwa viongozi hao wa Yanga SC ambao ni Hersi Said na wenzie wapo katika klabu hiyo kinyume cha Katiba
    #yanga #yangasc #yangatv #yangaleo #yangalive #caf #cafcl #azamfc #jkupdates #simbasc #simba #simbaleo #simbalive #simbaliveleo #simbatanzania #simbatanzania #nguvumoja #daimambelenyumamwiko

ความคิดเห็น • 107

  • @user-pf6yw7vh1p
    @user-pf6yw7vh1p หลายเดือนก่อน +3

    Nyie utopolo msimtafute wa kumuangushia jumba bovu eleweni fact kesi ilikuepo na huyu magoma alihoji vitu vya msingi tangu mwanzo akapuuzwa katumia haki yake kikatiba kaenda mahkamani sasa Kazumari anaxungumza baya lipi kwani Wasafi c wanaiponda Simba siku zote mbona kimya,wacheni ujinga kaeni mezani musuluhishe ili trh 8 msipigwe 6

  • @NicholasMhina-dz5gz
    @NicholasMhina-dz5gz หลายเดือนก่อน +1

    Daah mnamshambulia Jemedari mpaka mmesahau Mzee Magoma Jemedari sio aliepeleka kesi mahakamani sio alieshinda hiyo kesi lkn yeye kuchangia au kunukuu alichoongea na mzee Magoma inakua shida hivi ni nani aliewaroga wana Yanga!

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani mpaka mtangazaji anashindwa kuongea anayoyajua ili na wengine waielewe issue ilivyo kwa sababu sababu ya watu wasiopiga miswaki vinywa vyao kutwa kutukana nakuongea utumbo natakataka tu..
    Inasikitisha Sana

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 หลายเดือนก่อน +1

    Jemedari hebu mpumzishe hersi inatosha tushajua unamchukia kiasi kwamba hta kumuona hutaki basi please acha kumuongelea vibaya.

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo หลายเดือนก่อน +1

    Yaani crown mmechemka kumleta jemedar na Goflea hwaongei kiweledi ispokuwa ushabiki zaidi na chuki.

  • @lusubilokorosso5661
    @lusubilokorosso5661 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hiyo Yanga ina katiba mbili? ya 2011 na 2020,hatari sana

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo la watu wa YANGA huyomzee yukosahii isipokuwa timubado inafanya vizuri amuwezi mkamuelewa hebu jiulizeni wanayanga MWENYEKITI wenu wa wanachama ninani? mana huyo mnayemuita raisiwenu nimfanyakazi wa mzamini sasa upandewenu wanachama mnawakilishwa nanani? kuweni makini timu inafanya vizuri na mnasema mnamafanikio alafu huku mnadaiwa mabilioni sasa mafanikio yakowapi? Mana mpira ni biashara nakwenye biashara mtu akifanikiwa inamana amepata faida sasa chakushangaza timu inasemekana imefanikiwa huku imeingia asara ya bilioni ambazo azijulikani ninani anaezidai angalieni GSM atakuja kujibinafsisha hiyotimu baada yakuona deni limekuwa nyingi na wanachama awanahuwezo wakulilipa hilodeni haposasa ndo mtakuja kumkubali huyomzee.

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 หลายเดือนก่อน +1

    Kilicho semwa na wana sheria wa Yanga na kinacho elezwa hapa ni tofauti. Kule umeongelewa ujanja ujanja tu hapa kuna hoja ya msingi

  • @SelemaniMwelunguza
    @SelemaniMwelunguza หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jemedar anahusika katika hili anatakiwa afanyiwe Kaz mbona tunamchekea

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 หลายเดือนก่อน

    KWA NINI KWANZA WALIMTAFUTA JEMEDARI WAUGANE KWEYE KESI KWASABABU JEMEDARI ANAJULIKANA NI MNAFIKI UNAONA ANAVYO JILEZA KWAMBA ANAJIJUWA NIMNAFIKI SIO MCHAMBUZI WATU HAWA NDIO WANAO RUDISHA MAEDELEO YA SPORTIS TANZANIA

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Jemedari ni mmojawapo wa kuwashawawishi akina magoma

  • @severinantunuligwa4598
    @severinantunuligwa4598 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa kazinari ni mpumbavu kweli yaani unasema walikushirikisha wewe Kama Nani? Kumbe wewe ndio uliowashauri wafoji hizo Saini?

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga inawenyewe

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona nyie uto mnavichwa vigumu? Hukumu imetoka mahakamani Kazumali anahusikaje

  • @yusufukombo6807
    @yusufukombo6807 หลายเดือนก่อน

    Jemedari saidi mnafiki sana jibu maswali ya wenzio kulingana maelexo yako. Mpuuzi flani hivi

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k หลายเดือนก่อน +1

    Falahuyo jemedali

  • @christopherkomba7782
    @christopherkomba7782 4 วันที่ผ่านมา

    Uyu jamaa sura ngumu acheni yanga tumetembeza sana bakuli

  • @user-ob2cm8oc8s
    @user-ob2cm8oc8s หลายเดือนก่อน +1

    Tfda na tbs 😅😅😅

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 หลายเดือนก่อน

    Jemedari tuna kupenda Wana Yanga tusemee

  • @BensonAswile
    @BensonAswile หลายเดือนก่อน

    Wewe huiombei mema Yanga katika maisha yako.

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e หลายเดือนก่อน +1

    Jemedari,jemedari, jemedari,achana na YANGA y wanainchii,juwa yako, yawantu yaache ww mbona umbea unapenda sana mpaka umewafundisha hadi vijukuu vyako navyo havilali kabisa,achaaaa

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx หลายเดือนก่อน

    Magoma yupo sahihi anajielewa sio hao mbugira nyuma mwiko

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 หลายเดือนก่อน

    Sasa. Hivi tumehamia EFM baada ya HUYU FALA KUHAMA NA TUNAHAMA CROWN BAADA YA FALA KUHAMIA HUKO SO KIBA UJUE UMEUA MEDIA TAYARI

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂Hawez kuua midia kwa ukwel

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 หลายเดือนก่อน

    Jemedari baadhi ya wanaotajwa kuhusika wanakata kuwa hawakuhusika na saini zao zimegushiwa. Mfano: Fatuma Karume. Hapo usemi kitu una kalia kusema Magoma Magoma. Funga mdomo

  • @SaleheMohamed-fw5dm
    @SaleheMohamed-fw5dm หลายเดือนก่อน

    Nilichogundua adi waandishi wanamchukia heris du kweli.fanya jema upingwe

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana หลายเดือนก่อน

    Jemedari Said Acha ujinga na kushabikia mambo ya hovyo. Ukiwa km mwandishi huwezi kusema nasikia mashahidi waliitwa. Wewe ni mjinga na hupendi maendeleo ya Yanga

  • @SelemaniMwelunguza
    @SelemaniMwelunguza หลายเดือนก่อน +1

    Mmbea mkubwa

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 หลายเดือนก่อน

    Msajili vyama vya michezo BMT

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 หลายเดือนก่อน

    Jemedari ovyo ana chuki na yanga sc alitaka cheo hila akukidhi vtgazo😢😢😢

  • @user-tx3wd4rw8d
    @user-tx3wd4rw8d หลายเดือนก่อน

    Yaan jemedar kama msenge kwaiyo we jemedar unamuona magoma Yuko sahihi yaan we jemedar kuma sana

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna SAKATA lolote, kazumari acha kushadadia utabaki na AIBU......Eng haondoki wala baraza la wadhamini hawaondoki hata mmoja,....NJAA zinawasumbua ww na Magoma.

  • @pelisiuskalikule1345
    @pelisiuskalikule1345 หลายเดือนก่อน

    Jemedari Said umepwaya huna facts unakwepa kwepa maswali ya mwandishi

  • @nbanba7138
    @nbanba7138 หลายเดือนก่อน +1

    Huna unacho kijua nyanyaza kuku wee na ndomana unaulizwa una jing'ata

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 หลายเดือนก่อน

    Duuuuh huyu Jemedari mbona analisemea sana kiaaina halafu anajificha kwenye koti la Magoma

  • @user-dt6in5pc1h
    @user-dt6in5pc1h หลายเดือนก่อน +1

    Huyu.jemedar.hajui.lolote.then.ninamashaka.naelmuyake.

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 หลายเดือนก่อน

    Jemedali sasa akifikaga hapa ndo utamjua vizuri kama ni mchambuzi bora

  • @ahmedjeizan4431
    @ahmedjeizan4431 หลายเดือนก่อน

    Huyu msenge Anashiriki hili kwa 100% kuna mawasiliano yote na hao kina mikundu sijui magoma msenge

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 หลายเดือนก่อน

    Ila crown mmekosa watu wote ndio mumlete jemedari kweli

  • @SalimuRamadhani-nl7bp
    @SalimuRamadhani-nl7bp หลายเดือนก่อน

    Wewe jemedari hakika we ni shga sana kwani huwa waliwa tko nini

  • @lamama.
    @lamama. หลายเดือนก่อน +1

    mbona hueleweki

  • @amoschacha6401
    @amoschacha6401 หลายเดือนก่อน

    Shida ya shabiki wa yanga hawatak ukwel, wanataka uongo kama wanaoupata kwa Eng

  • @joachimnangale9214
    @joachimnangale9214 หลายเดือนก่อน +1

    Hujui kitu wewe,SI uende jkt?

  • @SaleheMohamed-fw5dm
    @SaleheMohamed-fw5dm หลายเดือนก่อน

    Wanakomaa sula kukuza majambo ysngu ianguke duh hii nchi inawanafiki jmn

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt หลายเดือนก่อน

    Hiii tunasema adui mueembee njaa hapo kazumali umefurahi sanaa ila mnalolitengeneza halina afya ktk mpira wetu wa tanzania

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    WAMEZITOA AKINA JEMEDARI SAID NA GEOFREYA

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics หลายเดือนก่อน

    Hii ngómbe inajikuta inajua wakati hajui kitu. Katiba za michezo zinasajiliwa RITA?? Ngoja akaishushe daraja JKT

  • @user-ll5tg7iq7b
    @user-ll5tg7iq7b หลายเดือนก่อน

    Nyie mnajadili upuuzi Magoma hana hadhi ya kuishitaki yanga.ushauri wangu kwenu waandishi muiteni Magoma mfanye nae mahojiano hapo studio na siyo kumfuata uchochoroni.tumeona hata makazi yake ni duni hata hao waliokuwa wanasikiliza shauri lake nao wanajambo lao ndiyo maana mahakama zetu haziaminiki.

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 หลายเดือนก่อน

    Hivi Jemedari una akili kweli! Je hao wazee walisimama na nani mahakamani? Huoni walipeleka kesi mahakamani walighushi saini?

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k หลายเดือนก่อน

    Alyi towa jemedali atahalibu ledio

  • @tabumayuhana47
    @tabumayuhana47 หลายเดือนก่อน

    HUYU JAMAA ANAYAPENDA SAANA MAGUMU YA YANGA, HEBU ANGALIA ANAVYOIJUA HII KESI KUTOKA KIINI CHAKE!!! MARA NYINGI DUA ZAKE HAZIKUFUA DAFU NA WALA HAONI AIBU!!! SHIDA YAKO NI NINI ETI NDUGU HUYU NA YANGA JAMAANI!!!

  • @jumakibasame3210
    @jumakibasame3210 หลายเดือนก่อน

    Huyu asili yake Kula panya, pia ameferi kimaisha ndio maana anachukia maendeleo ya wengine

  • @user-xg9ix9ex9h
    @user-xg9ix9ex9h หลายเดือนก่อน

    Wewe alikiba kama unataka hiyo redio ichukiwe endelea na huyo mjinga wako

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    MNAMHOJI JEMEDARI(SIMBA) MCHOCHEZI

  • @Marjeby
    @Marjeby หลายเดือนก่อน

    Kesi ya kukazia huku!?Jamaa liongo sana aiseee

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 หลายเดือนก่อน

    Kudhihilisha uongo wako
    Mbona ameendelea kukataaa na amemtuhumu karani wa mahakama kuwa ametoa siri kwa kuwapa nakala ya hukumu

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 หลายเดือนก่อน

    Mmbeya muongo hujua
    Wewe ulivyo na sura ngumu kwa Yanga ungesema tu

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 หลายเดือนก่อน

    Bodi ya Wazamini ya Yanga ipo kwa mjibu wa KATIBA ipi?

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 หลายเดือนก่อน

    Hata bado

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo หลายเดือนก่อน

    Watu wanamuona huyo Mzee tu. Kiufupi kuna vigogo wako Nyuma yake hizi timu 2 Simba na Yanga msizichukulie poa kwa wale wenye D mbili tu ndio wataelewa.
    KIUFUPI HUYU MZEE ANA KITU

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 หลายเดือนก่อน

    Wewe Jemedari huna weledi kabisa. Unashabikia ujinga

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 หลายเดือนก่อน

    Kwani Jemedari ndiye alitoa hukumu? Kaiulizeni mahakama

  • @user-hu2vo1jm8o
    @user-hu2vo1jm8o หลายเดือนก่อน +1

    hakuna mchambuz mpuz kama huyu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    KUMBE MHUSIKA NI JEMEDARI SAIDI NA KINA MAGOMA,AMESEMA WALIMSHIRIKISHA

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j หลายเดือนก่อน

    jemedari unapotaka kufatilia jambo vizuli unatakiwa utafute ukweli pande zote tana kikweli kusikia jambo siobusala kulizungumzia

  • @SaleheMohamed-fw5dm
    @SaleheMohamed-fw5dm หลายเดือนก่อน

    Uyo aliyezua mjadala boya kama maboya wengine jemedali.kaungane nae .maana uyu jamaa toka usajili wa chama kapinda pinda adi kanyooka mwenyewe tuliza mshono mzee.doz inakuja mwez wa nane lig kuu tabu iko pale pale

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ni mchumba tu,badala ya kuhangaikia ya mchezaji Wake yeye anashabikia Magoma.

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy หลายเดือนก่อน

    Kazumari ww ni mfu tokea lini ukaiongelea yanga kwa mema ww unaiongelea kwa ubaya tu hufi au hugonwi na gari unachefua huna.uchambuzi.unachuki tu ww

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana หลายเดือนก่อน

    Hivi inaingia akilini Yanga ishtakiwe wasipeleke wanasharia. Yaani ww ni wivu tu mbwa koko ww

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 หลายเดือนก่อน

    Kwanini Yanga tusikatae kufanya kazi na hiki kituo cha redio anachofanyia kazi huyu mkuda?

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk หลายเดือนก่อน

    Mpuuzi huyu majungu unayaweza

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 หลายเดือนก่อน

    Huyu nae ndio kundi la wahusika. Walee wasioitakia yanga mazuri. Mshindwe na mlegee. Huna hata kadi ya uwanachama hai unabweta bweta.

  • @MathiasLima-b7v
    @MathiasLima-b7v หลายเดือนก่อน

    Huyu jemedali nihajitambuu

  • @user-xh9cf9rn5q
    @user-xh9cf9rn5q หลายเดือนก่อน

    Acha ushamba ww,mbona una wivu badala ya kumsapoti kijana mwenxiwe ktk uongozi wa michezò.

  • @melchermuyungi3327
    @melchermuyungi3327 หลายเดือนก่อน

    Hivi huwa amsikii hahibu kujadili vitu ambavyo hamna data navyo

  • @SALVATORYLYIMO-ni6fp
    @SALVATORYLYIMO-ni6fp หลายเดือนก่อน

    Watafungwa wawe fundisho Kwa wengine

  • @ErnestBoniface
    @ErnestBoniface หลายเดือนก่อน

    Katika kosa walifele kumleta huyo choko

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel หลายเดือนก่อน

    Huyy nae msenge

  • @benedictgamuya8855
    @benedictgamuya8855 หลายเดือนก่อน

    Kazumali unasema huna uwezo wa ku-question wakati wewe ni mwandishi. It seems haujui hata misingi ya kazi yako. Hata kibalance story. Ukiambiwa/kusikia jambo unashadadia tu. Unayoyazungumza unaonekana tu unashabikiaga ujinga. Watu wanakuona. Yanga inajielewa kuliko wewe unavyofikiri. Acha ushamba na kuwa biased. Yanga ni taasisi inayoendeshwa kwa mujibu wa sheria. Hakuna jambo la namna hiyo. Huko tulikwisha toka
    Yanga wako well focused na vision na mission zao. Utabaki kujiabisha tu.

  • @harunivilimba7279
    @harunivilimba7279 หลายเดือนก่อน

    Hadi mm Yako atazomewa

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v หลายเดือนก่อน

    Ovyooo!

  • @IdrisaHasanfaki
    @IdrisaHasanfaki หลายเดือนก่อน

    Hata na wewe msaidie magoma na uchambuzi wako wa hivyo na mahakamani katoke ushahidi

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    TUMFUATE EDDO KUMWEMBE ANATUMIKA NI MCHOCHEZI

  • @user-us7wo7jf8s
    @user-us7wo7jf8s หลายเดือนก่อน

    Ww mmawia unalolote ndonya unashupaliiia ndo maana magoma alikutafuta ww bwabwaz mwenzie

  • @zuberikupaza1184
    @zuberikupaza1184 หลายเดือนก่อน

    Jemedari rais wa yanga ameenda shule!

  • @shedadiabdul654
    @shedadiabdul654 หลายเดือนก่อน

    Hiki kiredio kinaenda kufa

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 หลายเดือนก่อน

    Mwongo tu wewe huna lolote mpaka sasa hakina mashiko

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 หลายเดือนก่อน

    Kama una huakika usiseme uongo wewe tunakujuwa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb หลายเดือนก่อน

    Rushwa tu.

  • @noelymwakasege2428
    @noelymwakasege2428 หลายเดือนก่อน

    Unachukia tu we

  • @BensonAswile
    @BensonAswile หลายเดือนก่อน

    Wala hang'oki, chuki yako Injinia tu

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j หลายเดือนก่อน

    wewe jemedari mjinga sana

  • @nbanba7138
    @nbanba7138 หลายเดือนก่อน

    Nauzur jamaa wana kuhoji vizuri unajibu utumbo fuk

  • @eliushalinga648
    @eliushalinga648 หลายเดือนก่อน

    Waodoke hatuwataki wainziwamadalaka

  • @tumwitikemanda7601
    @tumwitikemanda7601 หลายเดือนก่อน

    Huyumbeakaaa kolohuhu

  • @selemapingon9286
    @selemapingon9286 หลายเดือนก่อน

    Jemadari una ujuaji mwingi sana. Kuna nyakati kama hujui kitu ni vema kukaa kimya. Mwandishi makini kazi yake kubwa ni ku-balance story lkn kwako wewe chanzo chako mwanzo mwisho ni Magoma. Very biased in your opinion. Na wenzio ndiyo wanakuona jembe hapo. Hii ndiyo quality ya media yetu Tanzania. We have a long way to go

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 หลายเดือนก่อน

    Mshamba wewe, Kanavyozungumza utafikiri kanajua lolote...unaongeaje vitu ulivyosikia...Limbukeni wewe...viredio vyenu siku hizi vinajaza wajinga na wapumbavu wakishaona mic wanatema mate tu...
    Ona kanavyocheka kichawi, sura kama kamecheleweshewa mshahara...
    Hako kafitini kengine eti kanamsogezea mic na mdomo wake ka una bandeji...

  • @ahmedjeizan4431
    @ahmedjeizan4431 หลายเดือนก่อน

    Huyu anatafuta kufirwa

  • @MtungaJunior
    @MtungaJunior หลายเดือนก่อน

    Utopolo wana mapovu

  • @MussaCharles-l9p
    @MussaCharles-l9p หลายเดือนก่อน

    Jemedali mpumbavu,

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 หลายเดือนก่อน

    Wata'ngatuka mnaowajua nyie