JEMEDARI SAID ACHEKELEA Eng. HERSI KUNG'OLEWA, ALIWAZOMEA WAZEE WA YANGA SC.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- JEMEDARI SAID ACHEKELEA Eng. HERSI KUNG'OLEWA, ALIWAZOMEA WAZEE WA YANGA SC.
Jemedari Said Kazumari ameelezea kwa ukubwa zaidi juu ya sakata la Rais wa Yanga SC, Injinia Hersi Said kung'olewa na watu wanaojulikana kwa jina la Wazee wa Yanga SC wakidai kuwa viongozi hao wa Yanga SC ambao ni Hersi Said na wenzie wapo katika klabu hiyo kinyume cha Katiba
#yanga #yangasc #yangatv #yangaleo #yangalive #caf #cafcl #azamfc #jkupdates #simbasc #simba #simbaleo #simbalive #simbaliveleo #simbatanzania #simbatanzania #nguvumoja #daimambelenyumamwiko
Nyie utopolo msimtafute wa kumuangushia jumba bovu eleweni fact kesi ilikuepo na huyu magoma alihoji vitu vya msingi tangu mwanzo akapuuzwa katumia haki yake kikatiba kaenda mahkamani sasa Kazumari anaxungumza baya lipi kwani Wasafi c wanaiponda Simba siku zote mbona kimya,wacheni ujinga kaeni mezani musuluhishe ili trh 8 msipigwe 6
Daah mnamshambulia Jemedari mpaka mmesahau Mzee Magoma Jemedari sio aliepeleka kesi mahakamani sio alieshinda hiyo kesi lkn yeye kuchangia au kunukuu alichoongea na mzee Magoma inakua shida hivi ni nani aliewaroga wana Yanga!
Yaani mpaka mtangazaji anashindwa kuongea anayoyajua ili na wengine waielewe issue ilivyo kwa sababu sababu ya watu wasiopiga miswaki vinywa vyao kutwa kutukana nakuongea utumbo natakataka tu..
Inasikitisha Sana
Jemedari hebu mpumzishe hersi inatosha tushajua unamchukia kiasi kwamba hta kumuona hutaki basi please acha kumuongelea vibaya.
Yaani crown mmechemka kumleta jemedar na Goflea hwaongei kiweledi ispokuwa ushabiki zaidi na chuki.
Kwa hiyo Yanga ina katiba mbili? ya 2011 na 2020,hatari sana
Tatizo la watu wa YANGA huyomzee yukosahii isipokuwa timubado inafanya vizuri amuwezi mkamuelewa hebu jiulizeni wanayanga MWENYEKITI wenu wa wanachama ninani? mana huyo mnayemuita raisiwenu nimfanyakazi wa mzamini sasa upandewenu wanachama mnawakilishwa nanani? kuweni makini timu inafanya vizuri na mnasema mnamafanikio alafu huku mnadaiwa mabilioni sasa mafanikio yakowapi? Mana mpira ni biashara nakwenye biashara mtu akifanikiwa inamana amepata faida sasa chakushangaza timu inasemekana imefanikiwa huku imeingia asara ya bilioni ambazo azijulikani ninani anaezidai angalieni GSM atakuja kujibinafsisha hiyotimu baada yakuona deni limekuwa nyingi na wanachama awanahuwezo wakulilipa hilodeni haposasa ndo mtakuja kumkubali huyomzee.
Kilicho semwa na wana sheria wa Yanga na kinacho elezwa hapa ni tofauti. Kule umeongelewa ujanja ujanja tu hapa kuna hoja ya msingi
Huyu jemedar anahusika katika hili anatakiwa afanyiwe Kaz mbona tunamchekea
KWA NINI KWANZA WALIMTAFUTA JEMEDARI WAUGANE KWEYE KESI KWASABABU JEMEDARI ANAJULIKANA NI MNAFIKI UNAONA ANAVYO JILEZA KWAMBA ANAJIJUWA NIMNAFIKI SIO MCHAMBUZI WATU HAWA NDIO WANAO RUDISHA MAEDELEO YA SPORTIS TANZANIA
Huyu Jemedari ni mmojawapo wa kuwashawawishi akina magoma
Huyu jamaa kazinari ni mpumbavu kweli yaani unasema walikushirikisha wewe Kama Nani? Kumbe wewe ndio uliowashauri wafoji hizo Saini?
Yanga inawenyewe
Mbona nyie uto mnavichwa vigumu? Hukumu imetoka mahakamani Kazumali anahusikaje
Jemedari saidi mnafiki sana jibu maswali ya wenzio kulingana maelexo yako. Mpuuzi flani hivi
Falahuyo jemedali
Uyu jamaa sura ngumu acheni yanga tumetembeza sana bakuli
Tfda na tbs 😅😅😅
Jemedari tuna kupenda Wana Yanga tusemee
Wewe huiombei mema Yanga katika maisha yako.
Jemedari,jemedari, jemedari,achana na YANGA y wanainchii,juwa yako, yawantu yaache ww mbona umbea unapenda sana mpaka umewafundisha hadi vijukuu vyako navyo havilali kabisa,achaaaa
Magoma yupo sahihi anajielewa sio hao mbugira nyuma mwiko
Sasa. Hivi tumehamia EFM baada ya HUYU FALA KUHAMA NA TUNAHAMA CROWN BAADA YA FALA KUHAMIA HUKO SO KIBA UJUE UMEUA MEDIA TAYARI
😂😂😂😂Hawez kuua midia kwa ukwel
Jemedari baadhi ya wanaotajwa kuhusika wanakata kuwa hawakuhusika na saini zao zimegushiwa. Mfano: Fatuma Karume. Hapo usemi kitu una kalia kusema Magoma Magoma. Funga mdomo
Nilichogundua adi waandishi wanamchukia heris du kweli.fanya jema upingwe
Jemedari Said Acha ujinga na kushabikia mambo ya hovyo. Ukiwa km mwandishi huwezi kusema nasikia mashahidi waliitwa. Wewe ni mjinga na hupendi maendeleo ya Yanga
Mmbea mkubwa
Msajili vyama vya michezo BMT
Jemedari ovyo ana chuki na yanga sc alitaka cheo hila akukidhi vtgazo😢😢😢
😂😂😂😂Ety chuk kwakip
Yaan jemedar kama msenge kwaiyo we jemedar unamuona magoma Yuko sahihi yaan we jemedar kuma sana
Hakuna SAKATA lolote, kazumari acha kushadadia utabaki na AIBU......Eng haondoki wala baraza la wadhamini hawaondoki hata mmoja,....NJAA zinawasumbua ww na Magoma.
Jemedari Said umepwaya huna facts unakwepa kwepa maswali ya mwandishi
Huna unacho kijua nyanyaza kuku wee na ndomana unaulizwa una jing'ata
Duuuuh huyu Jemedari mbona analisemea sana kiaaina halafu anajificha kwenye koti la Magoma
Huyu.jemedar.hajui.lolote.then.ninamashaka.naelmuyake.
Jemedali sasa akifikaga hapa ndo utamjua vizuri kama ni mchambuzi bora
Huyu msenge Anashiriki hili kwa 100% kuna mawasiliano yote na hao kina mikundu sijui magoma msenge
Ila crown mmekosa watu wote ndio mumlete jemedari kweli
Wewe jemedari hakika we ni shga sana kwani huwa waliwa tko nini
mbona hueleweki
Shida ya shabiki wa yanga hawatak ukwel, wanataka uongo kama wanaoupata kwa Eng
Hujui kitu wewe,SI uende jkt?
Wanakomaa sula kukuza majambo ysngu ianguke duh hii nchi inawanafiki jmn
Hiii tunasema adui mueembee njaa hapo kazumali umefurahi sanaa ila mnalolitengeneza halina afya ktk mpira wetu wa tanzania
WAMEZITOA AKINA JEMEDARI SAID NA GEOFREYA
Hii ngómbe inajikuta inajua wakati hajui kitu. Katiba za michezo zinasajiliwa RITA?? Ngoja akaishushe daraja JKT
Nyie mnajadili upuuzi Magoma hana hadhi ya kuishitaki yanga.ushauri wangu kwenu waandishi muiteni Magoma mfanye nae mahojiano hapo studio na siyo kumfuata uchochoroni.tumeona hata makazi yake ni duni hata hao waliokuwa wanasikiliza shauri lake nao wanajambo lao ndiyo maana mahakama zetu haziaminiki.
Hivi Jemedari una akili kweli! Je hao wazee walisimama na nani mahakamani? Huoni walipeleka kesi mahakamani walighushi saini?
Alyi towa jemedali atahalibu ledio
HUYU JAMAA ANAYAPENDA SAANA MAGUMU YA YANGA, HEBU ANGALIA ANAVYOIJUA HII KESI KUTOKA KIINI CHAKE!!! MARA NYINGI DUA ZAKE HAZIKUFUA DAFU NA WALA HAONI AIBU!!! SHIDA YAKO NI NINI ETI NDUGU HUYU NA YANGA JAMAANI!!!
Huyu asili yake Kula panya, pia ameferi kimaisha ndio maana anachukia maendeleo ya wengine
Wewe alikiba kama unataka hiyo redio ichukiwe endelea na huyo mjinga wako
MNAMHOJI JEMEDARI(SIMBA) MCHOCHEZI
Kesi ya kukazia huku!?Jamaa liongo sana aiseee
Kudhihilisha uongo wako
Mbona ameendelea kukataaa na amemtuhumu karani wa mahakama kuwa ametoa siri kwa kuwapa nakala ya hukumu
Mmbeya muongo hujua
Wewe ulivyo na sura ngumu kwa Yanga ungesema tu
Bodi ya Wazamini ya Yanga ipo kwa mjibu wa KATIBA ipi?
Hata bado
Watu wanamuona huyo Mzee tu. Kiufupi kuna vigogo wako Nyuma yake hizi timu 2 Simba na Yanga msizichukulie poa kwa wale wenye D mbili tu ndio wataelewa.
KIUFUPI HUYU MZEE ANA KITU
Wewe Jemedari huna weledi kabisa. Unashabikia ujinga
Kwani Jemedari ndiye alitoa hukumu? Kaiulizeni mahakama
hakuna mchambuz mpuz kama huyu
KUMBE MHUSIKA NI JEMEDARI SAIDI NA KINA MAGOMA,AMESEMA WALIMSHIRIKISHA
jemedari unapotaka kufatilia jambo vizuli unatakiwa utafute ukweli pande zote tana kikweli kusikia jambo siobusala kulizungumzia
Uyo aliyezua mjadala boya kama maboya wengine jemedali.kaungane nae .maana uyu jamaa toka usajili wa chama kapinda pinda adi kanyooka mwenyewe tuliza mshono mzee.doz inakuja mwez wa nane lig kuu tabu iko pale pale
Huyu jamaa ni mchumba tu,badala ya kuhangaikia ya mchezaji Wake yeye anashabikia Magoma.
Kazumari ww ni mfu tokea lini ukaiongelea yanga kwa mema ww unaiongelea kwa ubaya tu hufi au hugonwi na gari unachefua huna.uchambuzi.unachuki tu ww
Hivi inaingia akilini Yanga ishtakiwe wasipeleke wanasharia. Yaani ww ni wivu tu mbwa koko ww
Kwanini Yanga tusikatae kufanya kazi na hiki kituo cha redio anachofanyia kazi huyu mkuda?
Mpuuzi huyu majungu unayaweza
Huyu nae ndio kundi la wahusika. Walee wasioitakia yanga mazuri. Mshindwe na mlegee. Huna hata kadi ya uwanachama hai unabweta bweta.
Huyu jemedali nihajitambuu
Acha ushamba ww,mbona una wivu badala ya kumsapoti kijana mwenxiwe ktk uongozi wa michezò.
Hivi huwa amsikii hahibu kujadili vitu ambavyo hamna data navyo
Watafungwa wawe fundisho Kwa wengine
Katika kosa walifele kumleta huyo choko
Huyy nae msenge
Kazumali unasema huna uwezo wa ku-question wakati wewe ni mwandishi. It seems haujui hata misingi ya kazi yako. Hata kibalance story. Ukiambiwa/kusikia jambo unashadadia tu. Unayoyazungumza unaonekana tu unashabikiaga ujinga. Watu wanakuona. Yanga inajielewa kuliko wewe unavyofikiri. Acha ushamba na kuwa biased. Yanga ni taasisi inayoendeshwa kwa mujibu wa sheria. Hakuna jambo la namna hiyo. Huko tulikwisha toka
Yanga wako well focused na vision na mission zao. Utabaki kujiabisha tu.
Hadi mm Yako atazomewa
Ovyooo!
Hata na wewe msaidie magoma na uchambuzi wako wa hivyo na mahakamani katoke ushahidi
TUMFUATE EDDO KUMWEMBE ANATUMIKA NI MCHOCHEZI
Ww mmawia unalolote ndonya unashupaliiia ndo maana magoma alikutafuta ww bwabwaz mwenzie
Jemedari rais wa yanga ameenda shule!
Hiki kiredio kinaenda kufa
Mwongo tu wewe huna lolote mpaka sasa hakina mashiko
Kama una huakika usiseme uongo wewe tunakujuwa
Rushwa tu.
Unachukia tu we
Wala hang'oki, chuki yako Injinia tu
wewe jemedari mjinga sana
Nauzur jamaa wana kuhoji vizuri unajibu utumbo fuk
Waodoke hatuwataki wainziwamadalaka
Huyumbeakaaa kolohuhu
Jemadari una ujuaji mwingi sana. Kuna nyakati kama hujui kitu ni vema kukaa kimya. Mwandishi makini kazi yake kubwa ni ku-balance story lkn kwako wewe chanzo chako mwanzo mwisho ni Magoma. Very biased in your opinion. Na wenzio ndiyo wanakuona jembe hapo. Hii ndiyo quality ya media yetu Tanzania. We have a long way to go
Mshamba wewe, Kanavyozungumza utafikiri kanajua lolote...unaongeaje vitu ulivyosikia...Limbukeni wewe...viredio vyenu siku hizi vinajaza wajinga na wapumbavu wakishaona mic wanatema mate tu...
Ona kanavyocheka kichawi, sura kama kamecheleweshewa mshahara...
Hako kafitini kengine eti kanamsogezea mic na mdomo wake ka una bandeji...
Huyu anatafuta kufirwa
Utopolo wana mapovu
Jemedali mpumbavu,
Wata'ngatuka mnaowajua nyie