ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Asante Sana kwa taaluma nzuri. Ubarikiwe
Nice asante kwa mafunzo
Asante sana dada nimekuelewa vizuri kabisa, hivi haiwekwi hamira?
Hujaonyeshaa namna ya kutengeneza unga ndo kitu muhimuu
Unga ni wa kiwandani / tayari umetengenezwa
Hongera sana Happy, Keep it Up.
Asante sana .
tamuje nimezila sana hizo shule ya msingi
Nimependa pishi lako latambi nilipenda mawasiliano kunavitu napenda kukuuliza naomba no yako machine hiyo nimeipenda nitaipata wapi
Gud girl, mjasiria mali mzuri, hongera sana keep it up
Thank you
Nami nimependa wapenzi jioni jioni unapata kuchangamsha mdomo hahaha. Asante mpishi
Nimepanda Honger sana
Dah hongera dada
Hiyo mashine ukienda pale Kariakoo Stand ya zamani ya Mbezi kuna maduka ya vyombo pale wanauza hizo mashine.
sh ngap
Mm cjajua jinc ya kuchanganya huo unga my dear nataman na mm kujua
Hongera sana
Safi na Hongera pia, nami nitapika..
Hongera mpenzi lakini hiyo kazi miaka miwili mgongo ushaaribika ndugu yangu
Una maana gani ndugu???
@@firdausgreen1391 anainama mda mwingi
@@kassimmanaramalika8592 kwahiyo ili usiumwe na mgongo kuna wakti yakubidi kukaa muda mwingi kwenye kikalio????
Dada naomb namb zako
Safi mjasiliamali
Ogera
Kwaujaso huo unaweza kuuza shl ngap?
Nimesahau ni muda mrefu sitengenezi ila chukua hata kg 1 km jaribio utajua ni sh ngapi
Asante sana
Ujasema jinsi ya kutayarisha pia vifaa vinavyotakiwaa
Thanks dada
Hizo machine zinauzwa wap na shingap
Kma upo Dar nenda maduka ya vyombo kariakoo
Hasa maduka ya wahindi
Mim nipo shinyanga nitaipata wap
Nenda maduka ya vyombo unaweza pata
Inauzwa shingapi mashine
Maandalizi jamanii
nip singida naipataje hy mashine?
Dada nakupa hongera kwa umakini wako unga unatia kiasi gani wa ngano nawadengu
Jaman kwa arusha hy machine unapatia wapi
Adelina Kivuyo nenda msikiti wa bondeni kuna duka la wahindi la vyombo
Mimi ndo biashara yang
Abuuu musa nichek inbox
Zinauzwa bei gani?
Tupe maelezo jinsi ya kuchanganya
Dadaaa tumiaangalau kibambaaa kupuliza hayo mafuaa
Sijaona unga umeuandaaje hadi kufikia hapo ulipoanzia pliiiz nakuomba anzia mwanzo
Kuna part 1 itafute humu humu
Mashine inaitwaj Dada
Mashine ya kutengeneza coocikies
@@CookingwithHappy sh ngp mashine
💖💖💖
Mashine hzo zinapatikana wap
Unga una changanyaje
nimeipenda mashine yako. Ninawezaje kuipata?
Nenda dukani na sema mashine ya kupambia keki au ya tambi watakupa
Happy Hely samahan sijaona mwanzo wa maandaliz jaman napenda naomba kuelekezwa
Tonj Chariz kuna part one ya hii, 'jinsi ya kupika tambi za dengu part 1'
Rose Joseph moris nitaipataje hiyo machine?
Madukani kariakoo au wapi zinapatikana
Dada ebu rudia haya mafundisho umeanzia kati bhana unatunyima ulichobarikiwa ebu rudia hiyo video toka unatengeneza
angalia part one anaonesha tangia mwanzo
Hongera sana . wanadamu hatuna shukurani
Tuwekee clip uliyoandaa unga jinsi yakukandaa tafadhali dada
clip ipo ya sehemu ya kwanza ameelezea vizuri namna alivyokuwa akitengeneza mchanganyiko wake.
Nimeelewa hapo ulipoanzia neno baada ya dakika 5 kuhusu uchanganyaji inakuwaje naona mimi peke yangu cjaelewa
Ziko vedeo mbili angalia kipande cha kwanza nimeelezea namna ya kuandaa
Asante
Utaumwa mgongo uwe unakaa
Dada hiyo mashine inapatikana kwa bei gani?
Agness Samson Nyamlosha 15000 au 20000 haizidi mim nlinunulia Zanzibar 10000
kama huna machine unaweza kutumia nn mbadala
Joyce Msemwa chujio la naz spesho lina matundu makubwa
Unaweza kutumia chupa za maji safi unatobotoboa mfuniko unajaza unga unaminya jikon
Waweza tumia chupa ya maji Safi toboa vitundu kwa nyuma kama Huna mashine
K
unga hatujaona unavyochanganywa
Angalia kuna part 1 na 2
Anayetaka mashine ninazo nauza
nuru rajab nataka shingapi??
Bei gani my
Unauza beigan mashine
ata mimi natak mashine
Dada unaandaaje
Pitia vedeo youtube
Asante Sana kwa taaluma nzuri. Ubarikiwe
Nice asante kwa mafunzo
Asante sana dada nimekuelewa vizuri kabisa, hivi haiwekwi hamira?
Hujaonyeshaa namna ya kutengeneza unga ndo kitu muhimuu
Unga ni wa kiwandani / tayari umetengenezwa
Hongera sana Happy, Keep it Up.
Asante sana .
tamuje nimezila sana hizo shule ya msingi
Nimependa pishi lako latambi nilipenda mawasiliano kunavitu napenda kukuuliza naomba no yako machine hiyo nimeipenda nitaipata wapi
Gud girl, mjasiria mali mzuri, hongera sana keep it up
Thank you
Nami nimependa wapenzi jioni jioni unapata kuchangamsha mdomo hahaha. Asante mpishi
Nimepanda Honger sana
Dah hongera dada
Hiyo mashine ukienda pale Kariakoo Stand ya zamani ya Mbezi kuna maduka ya vyombo pale wanauza hizo mashine.
sh ngap
Mm cjajua jinc ya kuchanganya huo unga my dear nataman na mm kujua
Hongera sana
Safi na Hongera pia, nami nitapika..
Hongera mpenzi lakini hiyo kazi miaka miwili mgongo ushaaribika ndugu yangu
Una maana gani ndugu???
@@firdausgreen1391 anainama mda mwingi
@@kassimmanaramalika8592 kwahiyo ili usiumwe na mgongo kuna wakti yakubidi kukaa muda mwingi kwenye kikalio????
Dada naomb namb zako
Safi mjasiliamali
Ogera
Kwaujaso huo unaweza kuuza shl ngap?
Nimesahau ni muda mrefu sitengenezi ila chukua hata kg 1 km jaribio utajua ni sh ngapi
Asante sana
Ujasema jinsi ya kutayarisha pia vifaa vinavyotakiwaa
Thanks dada
Hizo machine zinauzwa wap na shingap
Kma upo Dar nenda maduka ya vyombo kariakoo
Hasa maduka ya wahindi
Mim nipo shinyanga nitaipata wap
Nenda maduka ya vyombo unaweza pata
Inauzwa shingapi mashine
Maandalizi jamanii
nip singida naipataje hy mashine?
Dada nakupa hongera kwa umakini wako unga unatia kiasi gani wa ngano nawadengu
Jaman kwa arusha hy machine unapatia wapi
Adelina Kivuyo nenda msikiti wa bondeni kuna duka la wahindi la vyombo
Mimi ndo biashara yang
Abuuu musa nichek inbox
Zinauzwa bei gani?
Tupe maelezo jinsi ya kuchanganya
Dadaaa tumiaangalau kibambaaa kupuliza hayo mafuaa
Sijaona unga umeuandaaje hadi kufikia hapo ulipoanzia pliiiz nakuomba anzia mwanzo
Kuna part 1 itafute humu humu
Mashine inaitwaj Dada
Mashine ya kutengeneza coocikies
@@CookingwithHappy sh ngp mashine
💖💖💖
Mashine hzo zinapatikana wap
Unga una changanyaje
nimeipenda mashine yako. Ninawezaje kuipata?
Nenda dukani na sema mashine ya kupambia keki au ya tambi watakupa
Happy Hely samahan sijaona mwanzo wa maandaliz jaman napenda naomba kuelekezwa
Tonj Chariz kuna part one ya hii, 'jinsi ya kupika tambi za dengu part 1'
Rose Joseph moris nitaipataje hiyo machine?
Madukani kariakoo au wapi zinapatikana
Dada ebu rudia haya mafundisho umeanzia kati bhana unatunyima ulichobarikiwa ebu rudia hiyo video toka unatengeneza
angalia part one anaonesha tangia mwanzo
Hongera sana . wanadamu hatuna shukurani
Tuwekee clip uliyoandaa unga jinsi yakukandaa tafadhali dada
clip ipo ya sehemu ya kwanza ameelezea vizuri namna alivyokuwa akitengeneza mchanganyiko wake.
Nimeelewa hapo ulipoanzia neno baada ya dakika 5 kuhusu uchanganyaji inakuwaje naona mimi peke yangu cjaelewa
Ziko vedeo mbili angalia kipande cha kwanza nimeelezea namna ya kuandaa
Asante
Utaumwa mgongo uwe unakaa
Dada hiyo mashine inapatikana kwa bei gani?
Agness Samson Nyamlosha 15000 au 20000 haizidi mim nlinunulia Zanzibar 10000
kama huna machine unaweza kutumia nn mbadala
Joyce Msemwa chujio la naz spesho lina matundu makubwa
Unaweza kutumia chupa za maji safi unatobotoboa mfuniko unajaza unga unaminya jikon
Waweza tumia chupa ya maji Safi toboa vitundu kwa nyuma kama Huna mashine
K
unga hatujaona unavyochanganywa
Angalia kuna part 1 na 2
Anayetaka mashine ninazo nauza
nuru rajab nataka shingapi??
Bei gani my
Unauza beigan mashine
ata mimi natak mashine
Hongera sana
Mim nipo shinyanga nitaipata wap
Dada unaandaaje
Pitia vedeo youtube