Jamaa Ana Wanadada Wengi Hutumia Logarithms Kuwahesabu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2017
- Carolyne mwenye umri wa miaka 30, aliwashangaza wengi alipoomba apatanishwe na mke mwenzwa mwenye umri wa miaka 26, akikiri kuwa maisha yamekuwa magumu bila mke mwenza.
"Mimi nilioleka 2008 baada ya miaka minne nikaskia bwanangu ana mtoto nje ya ndoa na akasema kuwa hawezi muachilia mtoto wake na basi alitaka kumuoa mwanadada huyo. Tulipopatana na mwanadada huyo nilimtusi na nikampiga sana huku bwanangu akiniunga mkono. Sasa bwanangu amegeuka ameanza kunitusi na kunipiga akisema kuwa mimi ndio sababu kuu mtoto wa mke mwenza alifariki, akisema mie ndiye niliyesababisha kile kifo. Saa hizi nimefukuzwa kwangu." Alisema Carolyne akiongeza kuwa alitaka wapatanishwe na mwanadada huyo kwani ana matumaini watarudiana na bwanake katika harakati ile.
"Mwanaume ana miaka lakini sijui alikuwa anakula nini sura inaka changa na mapenzi chungu nzima. Mimi nasomea udaktari huku mkewe akiwa wakili, Sikujua ana mke.
Katika harakati ile mwanaume ule akaniomba nimzalie na nilipopata mimba nikajua ni mapacha hapo ndipo wawili wao waliponichapa na katika harakati ile nikapoteza mtoto mmoja. Niliwasamehe lakini siwezi taka kuwa mke mwenza. Jamaa huyu ana wanadada wengi sana anaweza tumia Logarithms kuwahesabu." Alisema Lucy akiwafurahisha wengi. "Halafu hujifanya amefanya udaktari hawezi kuwa mgonjwa, jamaa ana mapenzi akikuingiza box kwisha."
Huyu jamaa amekodisha karibu nami nao wasichana wana umbea mwingi kwani nina marafiki wengi wavulana na jambo hilo humkasirisha sana. Aliongeza Lucy akisema kuwa atamuita Carol na mwanaume huyo ajaribu kuwapatanisha.
I respect that second gal.she has alot of respect to the first wife
Wow bilusi hongera mashaallah
Ddddddddddd
Sweet learned gals,nimewapenda sana ladies 💞
This made me cry!!!
two broken women advising each other. I love my country peeps !!!!!!!
i congrat lucy for her kind heart God bless you dea
The whole drama is from this luhya man,,,i don"t blame this ladies but i can give my credit to Lucy,she sounds very mature with good heart despite being 26 yrs.
Whaaaa Lucy congratulations hiyo roho uko nayo ni one in a million aky
The second woman has a golden heart thats why she qualified for nursing 💛
lucy you're so sweet ...i like how you put things
woow very nice lucy👏👏👏👏👏
Lucy u r somehow wise.
Pole Lucy, kweli Mungu ndiye anajua kesho ya mtu, you are a wise lady, pongeza, na lea mtoto wako dada.
😚😚😚😚😚 Lucy, Gidi na Ghost haahaaaa, Mluhya mapenzi kibao, caro kakufa naye, 😍😍😍😍😍😘. n kali sana
Wow Lucy God bless your beautifull heart....Forgiveness is the key to find your peace...Carol wish you all the best.
waaaahooo Lucy such a kind girl!!
Kali sana uyo mwanaume
Congratulations, Lucy I like your heart. a kind one. hehehehe umenipendeza.
Hahahaha uuuuuwwiiiii dunia simama nishuke congrats gals God help you
That story is the best.
Desperation of the highest.😏😏 Pole Lucy sana😔
Jamani waluhya tunajua kupendaa
jamani watu duniani tungekuwa kama hawa carol na lucy,yaani wanaume kama huyu mwanaume wangeshika adabu,upendo ni kitu muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku.wakati mwingine hawa wanaume wetu ndio wanakuaga wachonganishi sana,hongera sana wewe mke mdogo kwa upendo wako kwa dada yako huyo.kwa busara zako.woww,wathing frm switzerland.11.06,17.
Mariam Fritsi Ni kweli. Unapata madada wanapigana na wote wamedanganywa. Heri waungane wamtandike huyo mwanaume.
wow wsichana anaweza kuwahesabu na logarithm
The lady is very humble
Woi Lucy the 1st kikuyu lady ambae she's humble,big up mamake Brian, mwanamke mwenye heshima kweli
This was so great hahaaaa...
Nataka mluyha pia mimi anipe mapenzi
Hehehe
Hehehe walunje na mapenzi ni noma sana
me too i like to know
Lucy ako na roho nzuri
So painful but lucy ako n roho ya utu,big up
Hii ni kali 😈Luhya in the house
.mapenzi chungu nzima
share the audio link with friends.
Radio Jambo KENYA Lazma Gidi
Radio Jambo KENYA plz mukuwe munatulatea patanisho kilasiku
Lucy Ana Roho safi
mapenzi nayo haaaahaaaaa na kuambia
Both of you ladies are professionals a lawyer and Medical Doctor what the hell do want in a funny sounding boy a medical lab concentrate in your professional careers another sweet loving man will come by one day. Warning to both of you nyani ni nyani! Tofauti ni ile miti.
😅😅😅😂😂😂wepukulu!! walunje noma
Lucy ako na roho mzuri
Lucy you are a good girl. I love you.
Mundu khu Mundu
luhya "pastors"
waluhya mapenzi moto atsee
heheeeeee uuuuwiiiii patamu hapo
wa Luhya na omena na ugali mapenzi moto moto yawa Lucy girl God bless you for your kind heart
Beatrice chege omena c kwa waluhya Bali wajaka hupenda.
Violet Angaya omena ni ya western yote.before it was all called the great Nyanza it had north Nyanza (western),central kisumu and surrounding,South Nyanza kisii and surrounding
N mrenda c umena
hii ilikuwa kali mapenzi nayo
Makosa Caro ulifanya
Lucy ur a gud girl love Usirudiane na uyo jamaa Mungu atakupa wako.
Lusi ni mwanamke bora mashaallah mungu akuhifadhi my love wangu
Hahaha Gidi atafutiwe huyo mlugha..funny
Mtoto wangu haezilelewa na mwanaume mwingine, just the same way i can't raise someone else's kid, come rain come sunshine...
Wa ndinyole imbalikha vindu shi
I salute both of you ladies and especially Lucy for her kind heart
Lllpplr
Plppll
Ppp
Pl
Ppppp
Pia mimi na miss advice watu hutoa anyway nyc show
😂😂😂😂 Kali sana
Wasichana wameru wanakuanga na wivu hawawezi kua wawili kwa mme..... Meru ladies wivu muache
Yaan huyu lucy ni mtaratibu kweli
Maragoli kweli
uyo jamaa na mapenzi
Chavakali mapezi kizunguzungu
Daaaah
Lucy for president
dada lucy pongezi ponge ponge ,kusoma ni kitu muhimu
hahahhahahah hii ni nomareeee
uuu loglithims kuwahesabu
😂😂😂..that guy.Hii ndo Sautisol waliimba "Mapenzi ya Kiluhya".
Lucy wote wanakuanga roho safi
Caroline dunia ni mviringo
Feel the pain too
😃😃😃😃😃mlunje waaaah mapenzi moto moto 😂😂😂😂
Mtoto wangu useme alelewe na mwanaume mwingine.afu ati aite mwanaume mwingine baba.wee msichana unaotaaa.wakati ulizaa nae ulikuwa unafikiria nini.rudi kwa bwana huyo mwingine aendeeeeeeeeeeeee.
😂😂😂😂😂kumbe waluhya wanamapenzi Kali hivo lol
waluhya mpooooo!!😂😁😀
Khrystal Valencia luhya in the house wow
gidi naomba number
hahaha aki ya nani uyo mwanamume ni hatari 😂😂😂 Kweli mapenzi ni utamu ulio jaa uchungu on th other scene
Logarithm
hata mmi natafta huyo jamaa😂😂😂😂😂😂
Sasa
Ata mimi nitaenda chavakali kutafuta uyo jama anipe mapenzi moto moto 😂😂😂😂😂😂
Safinah latina walinje ni wanoma 😂😂😂
Safinah latina niko hapa mimi mmoja😂😂😂😂😂😂
Safinah latina Niko hapo
Dunia ina mambo aty anaweza Tumia rogarithim?heheheeee
Aki hta Meh umenichekesha man man
Hapo kupigwa kuni n kibao
😂😂😂😂😂😂maragoli tuko juu
This is a very sad situation. That man does not deserve either women and Caroline is a fool to go back to him. She Will never have peace living with a man who loves another woman.
Don't judge....
🤣🤣🤣🤣🤣Ako wapi huyo jamaa
mluhya na mapenzi😂😂😂😂😂😂😂😂
huyo mluya naye mapenzi nayo😩😩😩😩😩
gidi na gohost amujambo mimi sijambo hila sitaki kupataniswa nataka kuwahulisa swali yangu ndo nikuje upataniso ipo ama amna Jina ni Akinyi tafadhali ukipata uwo ujumbe nijibu namba *966536102986 asante sana ninawapenda kupika maheleso uwesiku njema
Mwanamke mpumbavu sana huyu
mluhya mapenzi.......tafathali mje na mkija msije pekee enu kujeni nafafiki zenu
This was hilarious
Marie Kaposh Sorry sister ningependa unisaidie namba ya wakina gidi pliz
Shindano Kibengo @ sina aky , skiza alafu utaskia wakisema ile number watu utumia kutuma ujumbe , pengine uwaulize kupitia hio, l just watch here tube, siko Kenya
Hata mm siko Kenya nawatch kwa you tubu pia mm Niko antlanta,USA
Ooh , poa maybe jaribu kutafuta there E-mail uwa inbox
Poa asante sana vp tunaeza kua mafriend kwa fb, messanger au kwa whatsap ama vp sister
aki niko chavakali na hayo mapenzi yanipita yakienda meru kiambu😂😂😂😂yenyewe hawa watu kwa maneno tu utasema kwetu siendi, natulia papa hapa
😂😂
inaweza haiwezi😂😂😂😂
😁😁😁😁😁
walunje ni wanoma sana, at that age ako na wife shags na watoi kama five,hes just playing with you ladies he isn't serious. mtapangwa
mpangike.
😂😂😂😂😂😂....nimependa hawa madem,,!
Sikua uchungu pia wewe unafanya mwenzako aachwe na bwana yake halafu ati patanisho
😂😂😂😂😂 waluhya kube wana mapenzi motomoto waa
We are great in that sector
Caro your good but your husband ndio mbaya.
haha chavakali men
It's like she caused the death of the other gal baby, ,
luhya guys no way na vile hao watu wanapenda ugali na chai cheiii and beating women no way
some galz r into BDSM n shyt....each 2 their own ...each 2 their own
some galz r into BDSM n shyt....each 2 their own ...each 2 their own
Pikwa kabisa kwani wewe ninani wapika mwenzako
Pigwa*
Kama nimimi ningekutwanga pia ful Idiot