Ummy Mwalimu: Marufuku Shisha, Ugoro I DSM Imeguswa I Dawa za Kulevya Zinahusika

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • “Sheria inasema ni marufuku kutumia Shisha, Ugoro na Sigara za Kieletroniki lakini nafahamu bidjhaa hizi zimekuwa zikitumika kwa miaka mingi hususani kwa Vijana pamoja na Wazee.” Mhe. Ummy Mwalimu Waziri wa Afya alipoongea na Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Habari Bungeni Jijini Dodoma.
    Ikiwa leo ni siku ya kutotumia Tumbaku duniani Mhe. Ummy Mwalimu, amekumbushia Sheria ya udhibiti wa bidhaa za Tumbaku sura 121 imezuia matumizi ya baadhi ya bidhaa za tumbaku kama vile Shisha, Ugoro na Sigara za Kielektroniki.
    #KutokaUkumbiwaHabari
    #CloudsDigitalUpdates

ความคิดเห็น • 9

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbona pombe hazuii ndio unaathiri vijana wengi , shisha haina nicotine sasa hii ni ushamba hajui nini kilichomo hapo , mbona mataifa ya magharibi amabao wana tumia hawajapiga marufuku , basi na sigara yeney nicotine nyingi zipigwe marufuku sio shisha tu hapa ni ubinafsi tu

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah hii nchi saii jamani ni hatari sana. Uhuru wa kuongea bado upo au bado jamani? Tumbaku tunalima sisi wenyewe watz sigara inapatikana kupitia Tumbaku. Shisha ina tatizo gani lkn? Nauliza tu waenga wetu wa karne ya nchii hii toka vizazi na vizazi mababu na bibii wa enzi izo. Mi nakumbuka bibi angu toka nazaliwa a navuta ugoro mpaka sasa bibi anavuta na Ana miaka 97 mpaka saii bado anavuta ugoro. Nauliza tu. Uhuru wa kuongea kwani upo? Tusije tukaongea saii tukasabisha mengine wallah🇹🇿viva mjomba magu.

  • @salumabdallah3495
    @salumabdallah3495 2 ปีที่แล้ว +1

    Je uvutaji wa sigara ni afya??

  • @ibraheemqassim3018
    @ibraheemqassim3018 2 ปีที่แล้ว

    Watu wa shisha mmetuponza

  • @frankngajilo7137
    @frankngajilo7137 2 ปีที่แล้ว +1

    Ushamba huo

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 2 ปีที่แล้ว

    Shisha Ndiyo hubbly

  • @walidsultan7486
    @walidsultan7486 2 ปีที่แล้ว

    Ugoro unalimwa tz

  • @ramadhanrajabu6772
    @ramadhanrajabu6772 2 ปีที่แล้ว

    Acheni mambo ya kijinga ugoroo em fanyeni tafiti ya sigara na ugoro ipi mbaya ndo mtaona mnatetea maslahi