JINSI YA KUPIKA WALI SAMAKI/MAHANJUMATI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.พ. 2025
  • #ZAINABUISSA#MAHANJUMATI#AZAMTV

ความคิดเห็น • 24

  • @meowzna
    @meowzna 6 หลายเดือนก่อน

    Kipindi Kizuri Saanaa🎉🎉

  • @HellenKakore-r9b
    @HellenKakore-r9b 2 หลายเดือนก่อน

    Unable mapishi maturity mama ongeza juhudi😊😊😊😊

  • @fulgencebanda1868
    @fulgencebanda1868 4 ปีที่แล้ว +3

    Dada nimependa sana kipindi chako, hakika tunapata somo zuri, big up

  • @frankie-nw3tq
    @frankie-nw3tq 3 ปีที่แล้ว

    Sante sana kupitia hii video nimeweza kupika wali samaki mzuri leo...👏👏👏👏

  • @happinessmkambeni8203
    @happinessmkambeni8203 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana nakufwatilia tangu unaonyesha on startv kweli nimejaribu Mara nyingi kufwata ur recepise zako na natoa Chakula kitamu sana ila leo nimefwatilia naona tangu wafanya marination kwa samaki hukuweka chumvi na kwa wali pia na kwa mchuzi pia sasa sijajua but nadhani wakati mwingine Wa kipindi ukumbuke thanks you

    • @rajabmtunguja5269
      @rajabmtunguja5269 2 ปีที่แล้ว

      Imewekwa hukuwa makin wakati wa kipind

    • @glorycharles
      @glorycharles 2 ปีที่แล้ว

      Chumvi ameweka kote ila wali sijaona akiweka mafuta ila chumvi kaweka

  • @medicristakessy1636
    @medicristakessy1636 2 ปีที่แล้ว

    Nice and good

  • @cesiliasaid6987
    @cesiliasaid6987 3 ปีที่แล้ว +1

    Napenda unavyo pika unaweka wazi kilakitu

  • @maryinyas9320
    @maryinyas9320 3 ปีที่แล้ว +3

    Ni vyema kutumia mwiko(wooden spoon )

  • @anasaweli5717
    @anasaweli5717 2 ปีที่แล้ว

    nice

  • @DianaMedard
    @DianaMedard 7 หลายเดือนก่อน

    Kpenzi unapokea wanafunzii🤔

  • @meshackbahati8025
    @meshackbahati8025 4 ปีที่แล้ว +2

    Samahani dada mi nilikuwa naomba siku kipindi jinsi ya kuandaa stock

  • @desirenathan3734
    @desirenathan3734 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤❤

  • @SelemaNdulabi
    @SelemaNdulabi 11 หลายเดือนก่อน

    Habari naomba kuliza kwani ni lazima samaki wakaangwe??

  • @abdullatifsalim7474
    @abdullatifsalim7474 4 ปีที่แล้ว +1

    Amzng

  • @glorycharles
    @glorycharles 2 ปีที่แล้ว

    Wali ulisahau kuweka mafuta au haiwekwi?

    • @DidaAlly-st2pq
      @DidaAlly-st2pq ปีที่แล้ว +1

      mh wali ukiwa wa naz hautiwi mafuta

  • @allymsham7129
    @allymsham7129 4 ปีที่แล้ว +1

    Sasa jaman sisi tunaotumia mchele was kawaida inakuaje hp

  • @meshackbahati8025
    @meshackbahati8025 4 ปีที่แล้ว

    Kwenye huyo samaki huwezi weka fish masala