Nakupenda sana nakufwatilia tangu unaonyesha on startv kweli nimejaribu Mara nyingi kufwata ur recepise zako na natoa Chakula kitamu sana ila leo nimefwatilia naona tangu wafanya marination kwa samaki hukuweka chumvi na kwa wali pia na kwa mchuzi pia sasa sijajua but nadhani wakati mwingine Wa kipindi ukumbuke thanks you
Kipindi Kizuri Saanaa🎉🎉
Unable mapishi maturity mama ongeza juhudi😊😊😊😊
Dada nimependa sana kipindi chako, hakika tunapata somo zuri, big up
Sante sana kupitia hii video nimeweza kupika wali samaki mzuri leo...👏👏👏👏
Nakupenda sana nakufwatilia tangu unaonyesha on startv kweli nimejaribu Mara nyingi kufwata ur recepise zako na natoa Chakula kitamu sana ila leo nimefwatilia naona tangu wafanya marination kwa samaki hukuweka chumvi na kwa wali pia na kwa mchuzi pia sasa sijajua but nadhani wakati mwingine Wa kipindi ukumbuke thanks you
Imewekwa hukuwa makin wakati wa kipind
Chumvi ameweka kote ila wali sijaona akiweka mafuta ila chumvi kaweka
Nice and good
Napenda unavyo pika unaweka wazi kilakitu
Ni vyema kutumia mwiko(wooden spoon )
nice
Kpenzi unapokea wanafunzii🤔
Samahani dada mi nilikuwa naomba siku kipindi jinsi ya kuandaa stock
❤❤❤❤❤
Habari naomba kuliza kwani ni lazima samaki wakaangwe??
Amzng
Wali ulisahau kuweka mafuta au haiwekwi?
mh wali ukiwa wa naz hautiwi mafuta
Sasa jaman sisi tunaotumia mchele was kawaida inakuaje hp
Taam sana mi brai apa
Napenda sana kupika
Kwenye huyo samaki huwezi weka fish masala