Kwa kweli waandishi wengine wa habari ni bora wandishi. Kwa kweli iko kazi kweli kweli ya kupata waandishi wa habari ambao watakao weza kufikìri na kufahamu ni maswali yapi ambayo yanayoweza kumfanya mtazamaji kuweza kupata fursa ya kumwelewa msanìi ampemdaye/kumshabikia...! Maswali ya bora waandishi, maswali yao ni bora maswali kama vile walivyo bora waandishi...!
*huko INSTAGRAM kumechafuka, FOLLOW account yetu hii ili kutazama Video zote tulizokuwekea. **instagram.com/p/CIlHgpYAsMT/?igshid=wgxp8xe45d8i*
Mungu akupumzishe vema
Pumzika kwa amani mzee wetu tutakukumbuka daima
Jaman kila iitwapo leo hatutakuja msahau huyu mzee jaman upumzike kwa amani mzee jengua 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
inallh wainailaih rajiun Allah ampokee kwa wema ktk maisha yake mapya
Kwa kweli waandishi wengine wa habari ni bora wandishi. Kwa kweli iko kazi kweli kweli ya kupata waandishi wa habari ambao watakao weza kufikìri na kufahamu ni maswali yapi ambayo yanayoweza kumfanya mtazamaji kuweza kupata fursa ya kumwelewa msanìi ampemdaye/kumshabikia...! Maswali ya bora waandishi, maswali yao ni bora maswali kama vile walivyo bora waandishi...!
Stumai omary ,mungu hailaze roho yake mahali pema
Mungu amlaze pema
Lililopangwa na mungu hatuwez pangua hata angechagua simba bado rest in peace mzee😫😫😫😫😫😫
Innalilah...R.I.P Mzee wa Kidedea
Innalillah wainnailaih rajiun
Bora angechagua Simba tu jamani
Ukiwa msanii wa upuuzi hata ukiwa mzee hupewi hikma mkiwa watu wazima turudi kwa mungu
Tutakukumbuka daima
R.I.P tutakukumbuka daima
inallahi wainallhi lajiun
Eti amekufa ..when
We mzee ni hatari kweli umechagua kifo jaman si bora ungeipenda simba tu kwsb bado tulikuwa tunakuitaji
Jmn amejilalia mzee wa watu nenda salama baba
Mbona sielewi jamani, mnaandika amekufa halafu mna-dialogue nayeye...
Ndio kafa lakini wanarudio interview zake za zamani ndio wanatuma upya
@@senseiamazing1823 .. ook.
Nilitak nikujibu lakini kumbe umeshajibiwa,lakini umeelewa mpendwa!
Hakuna alicho tabiri hapo mtu yeyote wakawaida anaweza sema hayo maneno acheni upumbavu nyie
Kahawa inaongoza msukumo wa damu (pressure)
Nan kasema
Mskumo wa damu ndy pressure elmu ya wap hyo
We we kwani upo uku has billion
Pumzika Kwa amani Mzee wetu
Mwaisa
Malimu
🤐🤐🤐🤐
😂😂😂😂😂
Maneno yanaumba,alijiumbia kifo
Kkweri kafa
Huo ni utumwa wa malimwengu bora kifo haya sasa
Innalillah wainnaillah raj'un