Kuliko mulinganishe Komasava na watu wa inje then badae utasikia” wasani wetu wanaitaji Kwenda international “😂 Ukweli ni akuna msani Tz anaweza kujitowa vile Simba anafanya Akuna Matata ni kazi nzuri nafasi yake Na mtu yeyote akikuwa na shindanisha Diamond na awa watoto wenu mutakua naonekana munajishusha eshima nakuonekana amuko profesional
Sijui watanzania wakoje.mtu akifanya kazi vizuri lazima wampige vita ilikua Alikiba sasa Mario.diamond kama mtamshusha ni nyie lkn sio kwa mashabiki. Hakuna metata ni video amblyopia haina maadili.paula kalianika turbo lake nje kwani angelifunika ningekua halionekani? Alafu uisifie hakuna matata
Waandishi na mashabiki ndo wanaoua vipaji vya wasanii wadogo kuwafananisha na majayant kama diamond yan wanampabichwa af akiforce anakula za uso kwanza wasanii wabongo inapaswa wajue vitazao kimzik co na diamond maana d hana mshindan hapa Tz wasanii wote kawapiga gep kubwa sana wanachotakiwa wamtumie kama mfano ili nao wafike aliko
Huwezi compare komasava na io hkn matata, ni kama dhahabu na chuma
Diamond platnnam ele é bom
Kil msanii akifanya vzur lazm ashindanishwe na mond
Nimetizama show zote mbili ya mabantu na diamond zote zikikuwa successful
Awe ya mondi ilikuwa nomaaa kuliko ya mabantu
RAVAYNYN DIAMONDI🎉🎉❤❤
Sky❤❤❤
Mario asijichanganye kwa Diamond
Kabisa!!!!! Ataisha
Napenda huyu Dem anavyo Tangaza anatone nzuri
Mm nakubali mabantu sanaaa
Jamani harmonize yuko wapi?
Hiyo radio ganj
All song is good but Omar must do remix with international artist to promote his song
Kuliko mulinganishe Komasava na watu wa inje then badae utasikia” wasani wetu wanaitaji Kwenda international “😂
Ukweli ni akuna msani Tz anaweza kujitowa vile Simba anafanya
Akuna Matata ni kazi nzuri nafasi yake
Na mtu yeyote akikuwa na shindanisha Diamond na awa watoto wenu mutakua naonekana munajishusha eshima nakuonekana amuko profesional
Hakika mzik wetu unaenda far
Diamond Platnumz analazimisha baadhi ya Media ambazo zilikua hazichezi wala kuzungumzia kazi zake sasaivi zinamzungumzia ikiwemo hii Media😂😂😂😂
😂😂😂 marioo
Kwanini bifi ilianza lini
Sijui watanzania wakoje.mtu akifanya kazi vizuri lazima wampige vita ilikua Alikiba sasa Mario.diamond kama mtamshusha ni nyie lkn sio kwa mashabiki. Hakuna metata ni video amblyopia haina maadili.paula kalianika turbo lake nje kwani angelifunika ningekua halionekani? Alafu uisifie hakuna matata
Kwanini kuongea kuwa Mario ana Vita na Mondi ? Huu ni ujinga mtupu.
Mario anatakiwa kuwa na adabu.
Waandishi na mashabiki ndo wanaoua vipaji vya wasanii wadogo kuwafananisha na majayant kama diamond yan wanampabichwa af akiforce anakula za uso kwanza wasanii wabongo inapaswa wajue vitazao kimzik co na diamond maana d hana mshindan hapa Tz wasanii wote kawapiga gep kubwa sana wanachotakiwa wamtumie kama mfano ili nao wafike aliko
ℎ𝑎𝑤 𝑤𝑎𝑡𝑎𝑛𝑔𝑎𝑧𝑎𝑗𝑖 𝑢𝑗𝑢𝑤𝑒 𝑛𝑑𝑖𝑜 𝑤𝑎𝑐ℎ𝑜𝑐ℎ𝑒𝑧
Kil msanii akifanya vzur lazm ashindanishwe na mond
Ndio sijuui 😂 iyoo ni nini na Harmoo alisemaga hivi vitu pale airporti