Sheikh Alhadi bado ajakubali kukaa bench haishi vijembe Aache mwenzie apige kazi ningependelea Mufti ampe Ushehe mikoani huko ampeleke hata kigoma😂😂😂😂 akatulie huko
Masheikh wetu eti wao ndio wanamuogopa zaidi mungu kwa sababu wao ndio wanamjua zaidi!?! So Warid na Alhad Mussa wanamuogopa mungu zaidi?Hivi unaweza kumuogopa mungu huku unavimada kila kona!?mie binafsi sio katika mashaikhe nao wahesabu kama wanazuoni wala warithi wa mitume kabisa wahuni watupu
Mtume katukataza kumdhania mtu vibaya sas wew unaushahid gan haya wew ndo nwenye sifa hio ya hao kaka muheshin san huyo mtu ni nwamba katika masuala haya ya kielim
Kma jambo hulijui uliza pia hao unaosema hakuna masheikh inawezekana sio ww t at baba yako hana thaman mbele ya Mw/Mungu.zaid y hao ww wa kumtukana mtu kama Walidi...???kuna sheikh aliejipambanua kwa elim bora na anaefanya kaz yake y dini kwa usahih zaid y Walid.?kuna sheikh unaemjua ww wenye umri wa Walid.kushuka chini mwenye elim zaid ya Walidi.?eb kamsome Walidi.vizur ujue kasoma wap na wap kwa masheikh gan kwa waalim gan kwenye vyuo gan na zipi.?ndo maama at icho cheo alikua akitaki alitaka abaki kua mwalim wa din t ww kua na adabu na waalim wa dini tafadhal
@@ismailmussaa-nd6ji sijamtaja walidi nimetaja twariqa ya naqshiband wacha kukurupuka kujibu elewa kwanza, hata Kama Ikiwa huyu sheikh walidi anaelimu kubwa kias gan Ikiwa hawez kueneza haqq hawez semwa anaelimu kiufupi n kuwa Bida'a siku zote haiwezi kuwa salama kwa yeyote aliyeko ndan yake, masheikh baada ya kuinusuru sunnah ya Mtume wanainusur Bida'a na kuwanusuru mashia.
ALLAH Sw..Amlinde shekhe walid na Shari zote INSHAALLAH
Dah mwenyezi mungu amlinde Sheikh wetu WALID. Huyo bado Ana chuki sana moyoni kwake. Ugonjwa huu wa moyo ni mtihani
Vyeo hivi vya kidunia,,,,,,,!!!!
Hao waliokufa hawawezi kukuombea (rejea hadithi ya "Akifa mwanadamu matendo yake hukatika ila kwa mambo matatu..."
Wao wanahitaji dua zako!
Halulihaluli
Mnao koment kuhusu alhad ndiyo wenye vinyongo na yeye
Anaemuomba Maiti ni Mushrik .Maiti Hawezi Kukuombea Ila Wewe Unaweza Ukamtilia Dua Yeye.
Wallah hawa masheikh wetu mtihani sana mungu atawaongoza inshallah but sio katika wale aliyowataja mtume s.a.w kuwa ndio warithi wa mitume
Basi ni wewe .
Mtihan mkubwa huu
acheni kukomenti hivyo ndugu zangu
Sheikh Alhadi bado ajakubali kukaa bench haishi vijembe Aache mwenzie apige kazi ningependelea Mufti ampe Ushehe mikoani huko ampeleke hata kigoma😂😂😂😂 akatulie huko
Ana nongwa sana huyu
Shekh Alhad kubali tuu matokeo mbona bado unakinyongo na mwezio hii SI sawa mnatutia aibu waislam
😅😅😅
Waislam kutaniana ni sehemu ya upendo na kudumisha udugu wa Kiislam. Muislam haipendezi kumtafsiri muislam mwenziwe kimakosa tu. "Wa llahu aalam"
Utani sawa lakini huyu hapo Bado kama vile panamuuma sijui kwa nini
Nyinyi mnaokoment ndio matatizo hapo amekosea nn Athenian kuchochea mambo
umesema kweli mungu akuzidishie heli na akufishi mu umini na akukutanishe na waja wema pepeni
Masheikh wetu eti wao ndio wanamuogopa zaidi mungu kwa sababu wao ndio wanamjua zaidi!?! So Warid na Alhad Mussa wanamuogopa mungu zaidi?Hivi unaweza kumuogopa mungu huku unavimada kila kona!?mie binafsi sio katika mashaikhe nao wahesabu kama wanazuoni wala warithi wa mitume kabisa wahuni watupu
Acha kuongeaa vituu usvyovijuaa shekhee utakuja kupata laana we shekhee walid unamjuaa vizurii wewe acha uhunii broo utapataa laana
Acha kuongeaa vituu usvyovijuaa shekhee utakuja kupata laana we shekhee walid unamjuaa vizurii wewe acha uhunii broo utapataa laana
Acha kuongeaa vituu usvyovijuaa shekhee utakuja kupata laana we shekhee walid unamjuaa vizurii wewe acha uhunii broo utapataa laana
Una ushahid na unalosema au lengo lako kumchafua sheikh wetu pia ujue umeongea neno zito unaushahid kua umemuona shekh na hao vimada
Mtume katukataza kumdhania mtu vibaya sas wew unaushahid gan haya wew ndo nwenye sifa hio ya hao kaka muheshin san huyo mtu ni nwamba katika masuala haya ya kielim
Jumuhiya maridhiano ndioyale walio kubaliana namakufar kwamba DINI zote sawa???😢😢😢
Wewe kafir tu, huna akili
KUMBE MUFTI MKWEO NDIO MAANA KIBRI KINGI
Nakshi banndi wavaa sketi, halaf mnasema kuna masheikh hapa bakwata n kirusi
Kma jambo hulijui uliza pia hao unaosema hakuna masheikh inawezekana sio ww t at baba yako hana thaman mbele ya Mw/Mungu.zaid y hao ww wa kumtukana mtu kama Walidi...???kuna sheikh aliejipambanua kwa elim bora na anaefanya kaz yake y dini kwa usahih zaid y Walid.?kuna sheikh unaemjua ww wenye umri wa Walid.kushuka chini mwenye elim zaid ya Walidi.?eb kamsome Walidi.vizur ujue kasoma wap na wap kwa masheikh gan kwa waalim gan kwenye vyuo gan na zipi.?ndo maama at icho cheo alikua akitaki alitaka abaki kua mwalim wa din t ww kua na adabu na waalim wa dini tafadhal
@@ismailmussaa-nd6ji sijamtaja walidi nimetaja twariqa ya naqshiband wacha kukurupuka kujibu elewa kwanza, hata Kama Ikiwa huyu sheikh walidi anaelimu kubwa kias gan Ikiwa hawez kueneza haqq hawez semwa anaelimu kiufupi n kuwa Bida'a siku zote haiwezi kuwa salama kwa yeyote aliyeko ndan yake, masheikh baada ya kuinusuru sunnah ya Mtume wanainusur Bida'a na kuwanusuru mashia.
What is he talking about? Kutangaza kuwa mkewe ni binti wa Mufti????.
th-cam.com/video/6OH0mA0yLMI/w-d-xo.htmlsi=zkMu3PBVJ0eArHqF
Tumaini la wanadam
Shekh mpaka leo hajakubali kbs shekh walid kuchkua nafasi yake maskini..!
Yani huyu jamaa sjuw ana shida gani na shekh walid
Yani mpaka sasa anaamini cheo cha mkowa anafkir ni chake binafsi yani huyu jamaaaa non sense
Ana husuda