ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
PATANISHO : MOSES - WAKATI TULIKUWA PAMOJA HAKUKUBALI NISOME KATIBA YAKE....
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ม.ค. 2022
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
That's a real African man. Our ancestors would clap for him
Who else is missing ghost
The guys is so cool kasichana kalikataa kutulia sasa kana regret karudi kako na kiu
Karibu useme ukweli😂😂
Walai 😂😂😂 desperate woman
Hii kali...in four yrs of marriage..umekula katiba two yrs pekee...Kemunto toa ngoma..wacha kukazia mzee...Mpe mzee vitu.
🤣🤣🤣 jamani
I love it when couples decide to reunite life is a journey.lakini bibi ako na maneno sasa mtoi shule tena wa 4yrs!
Michel ni mwanume🥰
Mtoto anakuja na sahani yake, ukipendwa pendeka wacha maringo mingi
Baba akitaka watoto mwenyewe anajua bile atawashugulikia 😀
Napenda huyu dem anajielewa ako na stands zake
Katiba 2yrs hio nitatoka nje mimi
Waaah alioa bibi wa pili pia akahepa waaah ka spirit kabaya akii
Very good guy
Good guy 🤜🤛
Sinjawahi sikia family planning a 12 years. Labda iko kenya na wamama hatujui
😂😂😂😂😂
Kuna coil ya 12yrs.
Coil
This is true African man, active man in bed! Uko na mwanaume mzuri sana Kemunto, tiga obojinga.
Kiberiti ngoma
Michael ni mkisii polite sana; Maureen ndiyo kiherehere tena mjanja
Ukisii inaingilia wapi surely
@@francojr6597, surely? 😛
@@nahyialetomia9284 haha
7 years really
Good advice Gidi wapimwe kwanza.👏👏 But hiyo ya 40 I disagree with you kabisa. Huku kwetu life begins at 40. We get married and start family at 40.😏😏
Mzee apewe haki yake
Katiba lzima isomwe
Mwanamke alitoka life ikamtandika uko nje Sasa alimemua ata kua bibi wa pili ni sawa🤣.
Nje maisha magumu 😂😂😂
@@aishachambo8663 🤣🤣
Hawa wanawake kama wangekuwa na pesa hawange kaa na wanaume
Wanaume sometimes have some value,mtu ameenda ametangataga amekwama sasa ndio anarudi then u accept easily like that, sasa ndio utaona moto
Niulize Kemunto uliolewa uede kulala na kukula kwa wenyewe 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂waaaah .
@@user-pg3ro8fe6w 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🤭🤭🤭🤭
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Huyu mrembo mm ningechapa haki
Na vile kundinywa ni tamu
Punguza hiyo bangu
Hahaha hii life wacha tu
@@ceciliahcyra871 mimi sipendi
Huyo kemunto hajui utamu wa hiyo kitu
@@maxwelomondi hakuna kitu tamu kama hiyo
Wee mjinga saaana mke Wee jameni
ata paka ni kitu ya kunyima mtu sasa
Wacha 12yrs hata 2yrs nakuacha tu #Burekabisa
Katiba inafaa kusomwa kila siku pia mm siwezi kumbali mtu wa kunipimia huyo dem akwende
Hahahahaha
😂😂😂
🤣🤣🤣
Haha 🤣
Duh shukuru huyo mwanaume angekuwa mwengine 🤔🤔
🤣🤣ni Maisha imekuwa ngumu pahali alienda, hakuwa naanja nauyo mume wake
Kabisa
Hii nimateso mourene jirekebishe bure utapoteza
7yrs hiyo n mingi za tu mapema na unaendelea kukuza
wakisii na watoi wavulana tu
Miaka 7😳
7yrz ?????? Am sorry for that......
Be serious kemunto .kuacha boma mwingine atakuja waishi azae mfululizo😂😂😂🤣🤣! A man will concentrate another side hutaongea.So Wacha utoto,na haki yake mpe.
😂😂😂Na vile napenda mundinyano maureen nakataa
Unafaa ulete, tujue niaje.
Hehehe team mundinyano hapa mimi mpaka msee anasema tosha!!
@@mwendapoleee muhimu sana, kufa dereva kufa makanga.
Katiba napenda ikisomwa sana
Mm nkiolewa Katiba lazima isomwe kila siku hadi mzee atakua akisema leo sitaki nmechoka
Huyu mdada aki eti 7yrs waaa!! Zalia karibu karibu kaa angali nguvu alea watoi wake 🤣🤣🤣
leo Ghost angecheka yake yote
Effects of family planning..low libido
Huyu Msichana ako na ujinga sana
Huyu jamaa anasema anataka mtoto mvulana una uhakika huyo mvulana kwani anajipa mwenyewe
@@lilianawah1946 haha, una nibaba
@@lilianawah1946 mm sikukuwa najua hio mambo but mwalimu wetu alikuwa ana niambia ukitaka mtoto mschana ile nyakati mukifanya mapenzi aty mwanaume anafaa aingize mboro ndani sana
@@benardpaul1247 ndani sana ni boy sperm yake ina kufa haraka
@@lilianawah1946 ulidanganywa na nani..
Nko inchi ingne ama😅kwni kuna kuanga na family planning ya 12yrs🤭🤭
Hio niukora alikuwa anachezea bwana akamshow she is lucky the other one left bure apate mwingine na aseme sitaki mke mwenza na katiba anasoma 24/7 angelilia kwa choo!
Huyu jamaa anakaa fafu tu😂😂😂😅🤔🤔
Kemundo hutaki ngono 🤣
😄😄
Katiba manenoz
12 yrs heeeeeeeee
Hakuna family planning ya 12yrs... Then sisi wamama usipojipanga wee ndio utaachwa ukiumia... Huyo jamaa anasound kama mkora tu
IUCD /COIL
Coil
Sauti 😏
Wow huyo mwanamke anyenyekee huyo jamaa ni mpoa
Mukisiiii anapata tabu
This guy only represent men not boys
Kemunto amekula shida inje aka shika Adabu fitina bure tu
asijaribu kuitisha fare!
😂😂😂💔💔💔💔
Family planning ya 12 years ni ipi?
IUCD /COIL
Hii ya 12 years nigani pia mimi niweke🤔🤔🤔
IUCD / COIL
🤔🤔
Sasa akirudi atakuwa mke wa pili😋
Nop yule alioa pia alileft soo anakuja kama wa kwanza....
Family planning ya 12 year's 🙈🙈🙈
Ushenzi!
Ni upumbafu huo
Pekejeng two yrs n wamekaa.kwa ndoa 4yrs lol
Michael is polite but confused. Kemunto tunza Ndoa yako.
Family plannig ya 2yrs 🤔🤔🤔🤔ooh sijai sikia hiyo najua 5 ndiyo mwisho
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌katiba isomwe 🤣🤣🤣🤣
Hakuna family planning nya 12 years
Eti 2weeks minus Katiba aki wasichana wetu wakisii echieni
😂😂😂😂
Huyu mrembo kama amekataa katibu yake asomewe aende nyumbani atafanya ni nyumbani 🤣🤣🤣
ghost ako wapi??
Family planning ya 12yrs ndio gani
🤣🤣🤣🤭
huyu ni kama alieka dunga ya 7 years
huyu jamaa ndo wale magwiji. never allow a woman to sit on your head
huyu shida imemkula
Where is ghost bwana Gidi
🤣🤣🤣🤣🤣hii uchumi inaogopesha watu kuzaa wanafungia watoto kwa tumbo
Unatoka kwa boma yako unawachia mwanamke mwigine hio ni upus,Mimi ukikataa na katiba kaa nayo na that’s the end of us Michael alicheza kama yeye hapo
🤣🤣🤣yani jamaa alikuwa amejipanga na huyo dem wa pili kwani🤣🤣
😂