#live

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 13

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu jamaa ni kolo ndio maana haatupendi wana yanga tusikate tama wananchi wote pamoja dua zenu muhimu inshallah 🙏🙏🙏💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💛💛

  • @HamadiMgeja
    @HamadiMgeja 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kwani we inakuusu Nini hata ispo toboa? Mchambuzi mbuzi kweli

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Uliwahi kucheza mpira kweli wewe! 😂😂😂

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wana yanga utafika safari yetu huyu jama ni kama adui wetu mdomo yako ni ya kichawi hiyo kombe ni yetu ndoto yetu kawaida binadamu roho zao mbaya inshallah kwauwezo ya mungu ameni ameni

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wache kutubashiria na kutukatisha tamaa mwishwindwe na mulegee

  • @moussaaliabdallah1096
    @moussaaliabdallah1096 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa sijui anapambana vita ya wapi,anaongea utumbo,

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Al Hilal anacheza Libya ndio uwanja wao wa Nyumbani walioomba kutumia

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Malofa daah ila mangungu 😂😂😂😂

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ukiwaambia malofa ukweli wanaumia wanapiga kele kama madramu empty kila anaye waambia ukweli wanamwona ni simba sc shida malofa wana ishi kwa mazoea sana 😂😂😂😂

  • @GEOFREYMATHIASMAKINGILI-h4u
    @GEOFREYMATHIASMAKINGILI-h4u 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mchambuz au comedian hakuna anachojua ,

  • @CristinaGalus
    @CristinaGalus 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Roho mbaya tu mawani kama kobe nyooooo

  • @ManenoMaziku-c1c
    @ManenoMaziku-c1c 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    hivi kwani na huyu ni mchambuzi

  • @CristinaGalus
    @CristinaGalus 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Roho mbaya tu mawani kama kobe nyooooo