ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Huyu jamaa ni kolo ndio maana haatupendi wana yanga tusikate tama wananchi wote pamoja dua zenu muhimu inshallah 🙏🙏🙏💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💛💛
Kwani we inakuusu Nini hata ispo toboa? Mchambuzi mbuzi kweli
Uliwahi kucheza mpira kweli wewe! 😂😂😂
Wana yanga utafika safari yetu huyu jama ni kama adui wetu mdomo yako ni ya kichawi hiyo kombe ni yetu ndoto yetu kawaida binadamu roho zao mbaya inshallah kwauwezo ya mungu ameni ameni
Wache kutubashiria na kutukatisha tamaa mwishwindwe na mulegee
Huyu jamaa sijui anapambana vita ya wapi,anaongea utumbo,
Al Hilal anacheza Libya ndio uwanja wao wa Nyumbani walioomba kutumia
Roho mbaya tu mawani kama kobe nyooooo
Mchambuz au comedian hakuna anachojua ,
hivi kwani na huyu ni mchambuzi
Huyu jamaa ni kolo ndio maana haatupendi wana yanga tusikate tama wananchi wote pamoja dua zenu muhimu inshallah 🙏🙏🙏💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💛💛
Kwani we inakuusu Nini hata ispo toboa? Mchambuzi mbuzi kweli
Uliwahi kucheza mpira kweli wewe! 😂😂😂
Wana yanga utafika safari yetu huyu jama ni kama adui wetu mdomo yako ni ya kichawi hiyo kombe ni yetu ndoto yetu kawaida binadamu roho zao mbaya inshallah kwauwezo ya mungu ameni ameni
Wache kutubashiria na kutukatisha tamaa mwishwindwe na mulegee
Huyu jamaa sijui anapambana vita ya wapi,anaongea utumbo,
Al Hilal anacheza Libya ndio uwanja wao wa Nyumbani walioomba kutumia
Roho mbaya tu mawani kama kobe nyooooo
Mchambuz au comedian hakuna anachojua ,
hivi kwani na huyu ni mchambuzi
Roho mbaya tu mawani kama kobe nyooooo