#live

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 11

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 21 นาทีที่ผ่านมา

    Huyu jamaa ni kolo ndio maana haatupendi wana yanga tusikate tama wananchi wote pamoja dua zenu muhimu inshallah 🙏🙏🙏💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💛💛

  • @HamadiMgeja
    @HamadiMgeja 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kwani we inakuusu Nini hata ispo toboa? Mchambuzi mbuzi kweli

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Uliwahi kucheza mpira kweli wewe! 😂😂😂

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 54 นาทีที่ผ่านมา

    Wana yanga utafika safari yetu huyu jama ni kama adui wetu mdomo yako ni ya kichawi hiyo kombe ni yetu ndoto yetu kawaida binadamu roho zao mbaya inshallah kwauwezo ya mungu ameni ameni

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wache kutubashiria na kutukatisha tamaa mwishwindwe na mulegee

  • @moussaaliabdallah1096
    @moussaaliabdallah1096 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa sijui anapambana vita ya wapi,anaongea utumbo,

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Al Hilal anacheza Libya ndio uwanja wao wa Nyumbani walioomba kutumia

  • @CristinaGalus
    @CristinaGalus ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Roho mbaya tu mawani kama kobe nyooooo

  • @GEOFREYMATHIASMAKINGILI-h4u
    @GEOFREYMATHIASMAKINGILI-h4u 20 นาทีที่ผ่านมา

    Mchambuz au comedian hakuna anachojua ,

  • @ManenoMaziku-c1c
    @ManenoMaziku-c1c 35 นาทีที่ผ่านมา

    hivi kwani na huyu ni mchambuzi

  • @CristinaGalus
    @CristinaGalus ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Roho mbaya tu mawani kama kobe nyooooo