TAHARUKI! KABURI LA MTOTO LAKUTWA LIMEFUKILIWA, MWILI HAUPO, MAMA WA MAREHEMU AISHIWA NGUVU...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- Simanzi na huzuni vimetalawa katika makaburi ya kitongoji cha Kipondoda wilayani Manyoni mkoani Singida Baada ya Watu wasiojulikana kufukua kaburi la mtoto Christian Samson aliyekuwa na umri wa mwaka mmoja na mwezi mmoja aliyezikwa siku ya Jumapili iliyopita.
Baada ya Kukuta Kaburi limefukiliwa ndugu kwa Kushirikiana na Wananchi katika kitongoji hicho Wametafuta Mwili Huo bila mafanikio kwa zaidi ya saa nne.
Hii si Mara ya kwanza Kutokea kwa vitendo vya ufukuaji makaburi katika Wilaya hiyo Mkuu wa wilaya ya Manyoni ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya hiyo Rahabu Mwagisa akiwa eneo la Tukio amezungumzia vitendo hivyo.
TAHARUKI! KABURI LA MTOTO LAKUTWA LIMEFUKILIWA, MWILI HAUPO, MAMA WA MAREHEMU AISHIWA NGUVU...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Serikali iwape nguvu sana viongozi wa dini kufundisha watu kwanguvu zote kuwa na imani na khofu ya Mungu
Subuhanallah ss. Mtoto wamempelekawapi jamani inauma daaaa Dunia ya mwisho ss kuchukua Maiti bilayakuogopa Allah atunusuru
Sema wabongo ushirikina unatutesa jamani duuh!!
Zamwizi 40 ipo siku watapatikana tu wana manyoni tu shilikiane kwa hili imekua kelo sas nawapa pole wafiwa ote na wana manyoni kiujumla🙏🙏🙏🙏.
Maajabu ya musa. Dunia kwisha.
jamani manyoni kwa uchawi hawajambo!... sasa mnamchukua maiti kumpeleka wp jmn?!!!
kila muosha huoshwa hao mbwa waliofukua mtoto nawao watafukuliwa ivoivo
Manyoni na Alusha mbona matukio n mengi kuna shida gan
Jamani Watu hawana hofu😭😭😭ya mungu
Poleni 🤭🤭
Poleni sana
Waaaa
Yesu tuokoe
Aa bara kumezidii kunaongoza dunia
Mkuu wa wilaya honggra
Duh
Mhuuu mbona makubwa
Au ndo mishikaki wanayotuziaga barabarani
Acheni uchawi nyie mnawapa viongozi na wananchi wengine wakati mgumu
😂😂😂# Diamond platnumz acheka sana baada yakuiona iyo video ebu bonyeza hapa uone kilisho muchekesha 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👆👇👇👇👇👇😂
th-cam.com/video/1GWOPw8mq98/w-d-xo.html
Khaaa kunamikowa inatisha
Manyoni sio mkoa ni wilaya ya mnyn mkoan sngd mm nipo manyon samalia