Vijana kutoka Ethiopia wavuka mpaka kazi Kenya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 42

  • @ThaddesusNyaenya
    @ThaddesusNyaenya ชั่วโมงที่ผ่านมา +18

    Kenya ni majuu . Ni sisi wakenya hatujui tu😂😂😂😂😂😂

    • @Esty1248
      @Esty1248 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂ukweli

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 56 นาทีที่ผ่านมา +1

      Kweli 😅😅

    • @edwinmaywa
      @edwinmaywa 56 นาทีที่ผ่านมา +2

      ​@@Esty1248walai kumbe juu watu wanatoka uganda rwanda congo burundi somali na Ethiopia ahahaha

    • @ThaddesusNyaenya
      @ThaddesusNyaenya 53 นาทีที่ผ่านมา +1

      @@edwinmaywa ndio. Ukiambia mtu huko nchi zingine kesho tunaenda Nairobi mtu halali 😆😂😆😂😆

  • @faithpius6401
    @faithpius6401 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Mungu awafungulie milango ya mingi zaidi

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +15

    Kenya ni majuu ni vile tu corruption imezidi

    • @ThaddesusNyaenya
      @ThaddesusNyaenya 53 นาทีที่ผ่านมา

      @@karutyericscomedies2783 hapo umegonga ndipo

  • @dennismwangi8778
    @dennismwangi8778 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Yaani Kenya imekuwa majuu flani 😂😂

    • @Leoh270
      @Leoh270 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      😂😂hadi huku watazania wamejaa

  • @pharoah-ahmose6075
    @pharoah-ahmose6075 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    There's no problem. They come and go back daily .No problem

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wow..

  • @Oti_world
    @Oti_world 6 นาทีที่ผ่านมา

    It's okay, Africa is one. Let's leave together and work together.

  • @NancyWanjiru-w2g
    @NancyWanjiru-w2g 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Congrats kumbe kenya luna kazi mingi hivo

  • @henrymwangi2055
    @henrymwangi2055 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Wacha wakuje umasikini nikitu baya

  • @damariswamaitha9688
    @damariswamaitha9688 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Heri wao wanapata

  • @sammihmwangi2707
    @sammihmwangi2707 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    😂 😂 Aty hawabaguii kazi, sema unawalipa mia sita na unawafanyisha kazi mingi minus lunch, when did people of peaceful religion start telling lies 🤥

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 52 นาทีที่ผ่านมา

    Bora warudi kwao wasihamie kwetu

  • @divinahogamba
    @divinahogamba 59 นาทีที่ผ่านมา

    Kwani wanajua kiswahili

  • @swts4k
    @swts4k ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sisi hatuna pa kuvuka. Uganda, SSudan, Somalia, Ethiopia, au TZ....tumekwamia huku

    • @AbdiKani-fw5mr
      @AbdiKani-fw5mr 30 นาทีที่ผ่านมา

      Ur not welcome in somalia

  • @SnrBach
    @SnrBach 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Na hapa pia kuna tamaa ya mshahara kubwa hata kama kazi kidogo.

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mnipee 3 wawe wafanyikazi kwangu

    • @KevinSibwoga
      @KevinSibwoga ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Am here 👋

    • @magicmind6458
      @magicmind6458 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Watakuua na warudi kwao. Jamtaki kulipa wakenya vizuri ndio mchukue hawa wa nje.

  • @NyamiraAfricannews888
    @NyamiraAfricannews888 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Apa kenya ni usembe tu

    • @mukovomassivestarsdannyboy8455
      @mukovomassivestarsdannyboy8455 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Ingekuwa ni uzembe Kenya haingekuwa hapo. Hii nchi imejengwa kwa bidii that's why foreigners are coming here.

  • @our10picks18
    @our10picks18 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Wakenya ni maringo mob na kubagua job! 😏

    • @scolakenya
      @scolakenya 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unamaanisha kuna kazi hapa

    • @SnrBach
      @SnrBach 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      This is the comment I was looking for. Kweli kabisa.

    • @our10picks18
      @our10picks18 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@scolakenya Job mingi sana! Even Ugandans flock to Kenya to do jobs that Kenyans despise!

  • @OmuroAli
    @OmuroAli 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Diyada

  • @noahjenkins8408
    @noahjenkins8408 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Warudi tu

  • @Car-z6w
    @Car-z6w ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    This is what surprises me. Many young people from neighboring countries are all over Kenya! But vijana wetu wakenya choose work.
    Burundi guys are killing it selling coffee. Boys was Kenya flock Java base and keg dens, complete opposite na wageni. Same has vijanawetu wakienda Western countries aka uarabunithey don't choose jobs. What really is wrong?

    • @magicmind6458
      @magicmind6458 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      The pay is low compared to our economy. For foreigners the money is a lot according to their currency when they change.

    • @Car-z6w
      @Car-z6w 57 นาทีที่ผ่านมา

      @magicmind6458 I have interacted with many of those people and can confidently say they live well both here and back home. The wazees of before akina Njenga Karume and the like walianza hivyo. And they built empires and actually many of them were uneducated. Check out and see everywhere kwanzia viiji mpaka upper Nairobi kiosks za Tanzanian masaai's all over.
      Boca industry imekuwa yao pia. Where are we getting it wrong?

  • @achibelatotolakijaka4687
    @achibelatotolakijaka4687 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Hawa hata Saudi Arabia huwa wanafukuzwa sio wazuri kabisaa Hawa wabaya sana

    • @samuelmbugua8414
      @samuelmbugua8414 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwanini tuambie.

    • @achibelatotolakijaka4687
      @achibelatotolakijaka4687 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @samuelmbugua8414 wanaeza kuua mtu na wakimbie na hasira za karibu

    • @Billcl8nyon
      @Billcl8nyon ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@samuelmbugua8414 mostly they enter saudi Arabia illegally , that is why . They are even killed in the process of entering, others rotting in overcrowded jails.

  • @b.9811
    @b.9811 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    600 bob the whole day
    Hata kama ni cheap labor hiyo ni unyanyasaji
    The good thing they came and go back😂

    • @edwinmaywa
      @edwinmaywa 53 นาทีที่ผ่านมา

      Hio iko sawa nakumbuka nikienda mjengo naata wababa wenye familia walienda tulilupwa 300 per day without food 2016-2017 so sad niliacha nanikasema sitawai akiio kazi they are very exploited heri hawa ata