Aki Angie leo umevaa vibaya sana unonyesha nani mapacha ni babamkwe yaani baba Brighton ama sokoro unafa kuonyesha Brighton mapacha coz ujue hapo niushango lasima uwe na kaheshima ukiwa hapo pia ww unaonyesha Avi nini jana ulikuwa umevalia vinzuri je leo kulikuwa na nini pia Riz p amevaa hivo?
waah yani unapanda kwa kiti mahali Guka amekaa na nguo umevaa hutaki hata kujua ataona nini .....heshima iliendaa wapi bebanga leso ukivaa hivyo unajifunga ....kujeni mnipige juu nimesema ukweli
Angy B kaa na mumeo plz maisha kwako yako sawa hadi babu wa mumeo yuko na permanent house and ye mum yuko town plz jikaze ununulie yr mum mahali pia yeye PL akusaidie mumujengee coz nakuona ww ukifika kwa PL husahau kbx
aki hii nayo heri watuite washamba lakini heshima ni kitu poa ....vaaa hivyo kama unataka but funga leso mkiwa na mzee kwa nyumba toa leso lakini mbele ya wazazi kwanza guka na shosho na unapanda panda kwa viti
Im suggesting the visitors room to have a double decor,kama unaagree na mm nipee like 😊
Weeeeee hati nkatamani Mungu nipariki na Mimi pia in Jesus name
Utabarikiwa weka Imani na ujitume...
Very smart, ameweza
House iko smart ❤❤ team kupitiana tupitiane tukisonga pamoja please 🙏🙏🙏
Done nipitie pia
Angie also remember your mom ❤too,,imeweza wow 🎉🎉 congratulations 👏🎉
Congratulations, team Angie nipitieni pia
This girl anatumia words juu huskia zinatumiwa😂😂 haziingilianii with the sentence😂
Your house is very beautiful 😍😍😍😍
❤❤
Very beautiful house and furniture's . Nyinyi ndio mnajielewa sio kelele za only with empty minded kama wengine. Congratulations guys
Beautiful house
Si rahisi very beautiful mwaaah gusii uwez pata rahisi
Vaaa heshima mbele ya sokoro wenu😢
@@Wanjaangel ukweli 🤣🤣 nipitie
Very beautiful ❤️❤️
By the way grandfather he looks like Briton ❤❤we love you guys from Uganda ❤❤
Waiting ❤❤ nipitie nikupitie team Angie
Please nipitie back
Done nipitie pia
@@Ve-ra-ta-ni-a34 done
Nice job good work 👍👍
Nyumba Iko tu sawa l m happy for you guys I love you❤❤
Baba avyy anaweza
Brighton pia you need to support this girl angalau ajengee mamake pia.
Congratulations mama
Ukitaka car shades ama any type of shade am here..plus pergolas and umbrellas
Good ,next celling
He knows how to arrange
Nyumba inaweza babygal❤ congratulations🎉more wins
Done nipitie pia
Akuna kazi ingine ispokua house tour
Mbona wivu...is her time... let her enjoy...
.
Hii ni wivu inakusumbua hivi😂😂😂
@@Catherinesiataongeza volume kabisaaaa 🔊🔊🔊🔊
Uyo mzee najua anahisi aibu😂unampanulia matako aje😂😊😂
😂😂😂
Na ujengeee mamako pia askie kama wamama wengine
I support you
Angie B naomba nmipee kazi ni install gypsum ceiling
Uko sawa mrembo
Iko poa bt on the paint do cream
God bless you mamaa 🙏🙏🙏🙏
Ange usisahau pia kujengea your mom please remember where you have come from as you enjoy your marriage baby girl much love from me
True
Mnamjua au mnassume Mamake Hana nyumba?
@@TajirisFamilyhana nyumba aki
Ya pia mm sikatai ajengee mamak lkn kumbukeni nikwabwana
True sikupenda venye mamake anakaa na yy nkuenjoy tu😢,she must do something
Next trip please visit you home back in ukambani na ujengee youre Mum please😊
Hakujuwa Hiyo Crem Imeharibu
Uyu anapenda kwa kina bwana kuliko kwao mm lazma ni jenge kwetu kwangu badae
Me too
@@RoseKamiti-t3h nipitie dear
You build your home first
Tuko kimoja
Mnipitie tugrow wote
Very smart house congratulations angie
Congratulations very nice❤❤❤❤
Congratulations to you both 🫶🏼🫶🏼🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Congrats 👏 👏 👏 👏 mama❤
Brighton anaweza lakini ww unamlet down na hayo mavaazi yako pliz. Badilisha kuvaa coz ww ni mzazi unamfuza nn Avi
hizi vazi zinanisinya sana
Your house is beautiful
Akh watu mkona wivu
Team kupitiana nipitieni
Angie kumbuka your blood mother too,
But 🎉
Congratulations building is not easy
Amesahau alikuwa ameachwa,, power ya mjulus ya mkisii,,wakamba ni wajiga na iyo kitu
😅😅😅😅😂😂why are you making me laugh 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mm ndio naona Kwany walirudiana lini imgn nliacha angie akiwa in pain but anyway that’s my happiness ukiwa happy mama
Ilikuwa kipindiree😅
Wow❤, nipitieni please team Angie
Aiyaaa kwani hawa walirudiana tena😂 lakini mapenzi wewe😂😂
Kisii na wapi
ongea tu kiswahili my honest suggestio
Angie B ungenipata live ningekushauri kitu hapo na haitaji typing pliz
Keep winning
Www aggi chakula zinakuonanga zine kimbia 100 metre kulanga Matiunda kama huna appetite
U can see mahali am standed
Congratulations 🎉🎉
Briton ni mwanaume anajielewa,wengine ni mastarehe town but ushiago hakuna nyumba
Nice job 🎉🎉🎉
Aki Angie leo umevaa vibaya sana unonyesha nani mapacha ni babamkwe yaani baba Brighton ama sokoro unafa kuonyesha Brighton mapacha coz ujue hapo niushango lasima uwe na kaheshima ukiwa hapo pia ww unaonyesha Avi nini jana ulikuwa umevalia vinzuri je leo kulikuwa na nini pia Riz p amevaa hivo?
Nguo imekuvaa dada
Congratulations 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤
Congratulation angie b
Ayia, si ungeonyesha. Cctv. Adioo wezi wwaxijueee. But.
Malisafi hunafanya nini kwa screen 😊😊😊
Enjoy your self mama you really cried now it's time for you to rejoice
Hawakuwai achana
Na ujengee mamako pia hizi tumeziona sana
Huyu akili yake ni kdg kiasi
Mbona unaonyeshana cctv hiyo ni privacy
Brighton tell your wife a change dressing code yake please anambo na hizi tunguo anavaa
Alipendewa hutu tunguo. You are from different generation
Nipitieni guys
Amejaribu😊
Mjifunze kupitia watu 😂
Hadi babu ako confused
Nipitieni guys ❤
Nitafutieni mkisii please, uwhe hii pressure ya wakisii hapana
My man is a kisii
team Aggie nipitieni please 🙏
✅ done
Done nipitie pia
@@judymulewa9302 done
@@kate4kanini done
Jengea mamako
😂Aki
Team Aggie tupitianeni please
Done nipitie pia
Na hii nyumba haijaisha huko juu ukuta refu
Nyumba iko poa,lakin apo kwa mavazi ziii hiyo valia mkiwa na bwanako si kwa wazazi
waah yani unapanda kwa kiti mahali Guka amekaa na nguo umevaa hutaki hata kujua ataona nini .....heshima iliendaa wapi bebanga leso ukivaa hivyo unajifunga ....kujeni mnipige juu nimesema ukweli
my thoughts too🤔
But ni ukweli mama
Kwa ni walirudiana ngai hiyo madharau yote
Angie remember your mom keep your mom in a good Position
Wow❤
Such a beautiful house na mnipitie pia🤗kusubscribe ni bure😊
Done nipitie pia
laini wewe aai
UA house imeweza,but wea is roofing?
Ceiling?
Angie mmehama Nairobi kabisa ama?
Angy B kaa na mumeo plz maisha kwako yako sawa hadi babu wa mumeo yuko na permanent house and ye mum yuko town plz jikaze ununulie yr mum mahali pia yeye PL akusaidie mumujengee coz nakuona ww ukifika kwa PL husahau kbx
Good trial bb girl
Am also married in gusii land, nimeanza kujenga, kindly ni connect na mtu wa cctv
Enda kisii town pale market plaza ulizia hapo..Uko side gani ya kisii mrembo???
Weeee huyu Guka amejionea Mimi kama mluhya my mom won't allow me to even greet my grandmother nikivaa hivi call me old fashioned
aki hii nayo heri watuite washamba lakini heshima ni kitu poa ....vaaa hivyo kama unataka but funga leso mkiwa na mzee kwa nyumba toa leso lakini mbele ya wazazi kwanza guka na shosho na unapanda panda kwa viti
Angie your now a mother and Mke wa mtu,vaanga nguo mrefu yenye unaficha mapaja Yako when in public
Badilisha dressing cote hukiwa kwa wazazi please
Team Angie nipitieni nitawapitia pia.
Done nipitia pia
@@fidyayu nimekupitia adi nimetoka kucoment Kwa vedeo zako 🥰
Done nipitie pia
@@judymulewa9302 done 113
Nipitieni guys please
House tours mingi aki chage ssa
😂😂😂😂😂you make laugh angie b😂😂
Aki si kwa ubaya hayo mavazi nayo zii walai
Aki 🤔🤔😏😏
For town it's OK lakini mbele haha ya mzaa wueew
@@laurineakinyi7294 walai si poa acha havae hayo mavazi huko town
Funikia mafi
Na siuvaange vizuri msichana uko mrembi lakini mavazi
Najua mko kisii kuact kipindi ingine😂😂😂
Mnipitieni please