mashaalh mungu awabariki camera man anaonekana amechoka mkono anatikisha sana camera , hua hamuna stand ama, kama hamuna tujulisheni tuwafanyiye mchango mpate stand. ustadh salim mungu awalipe mnayo wapa watu mawaidha , kwanza mtu kua muisilamu ni amri ya allah subhana huu wa taala lakini jambo moja tunge penda muwa eleze hawa wa cristo kua kalimahtu laa ilah ila allah kwa wingi na kua tuona wengi wako na instrest ya kua wa isililamu lakini muwa waacha tu na mda unapotezwa kwa kitu isio na msingi zaidi mambo ya kwenda choo na maji aw mtu akifa hiyo ni ilimu wata pata baada ya wao kusilimu kwa maana mtawafikisha hizo mambo kesho nao wana endelea tu na mtindo wao kwa hivyo heri mupoteza wakati ya kua mwenyezi mungu pekee yake anafaa kuabudiwa na pia quran ndiyo kitabu ya kila mtu wala sio bibilia ambayo iliandikwa na watu, wao wana amini sana bibilia na mnawasomea sana, ila hali sio kitabu cha kuamini.na kwa kweli munawafunza sana lakini kuna wakati mda wenu inachukuliwa na kuingia choo na maji aw kuzikwa kwa sanda hiyo tabia wako naye hawataicha na wengine ni wabishi , lengo na mathumuni yetu ni kuwaita kwa uisilamu, nime ona mumewaacha wengi na hamukuwauliza nini inawakataza wawe waisilamu bado hawaja jua ni nini mfano ya uisilmau na kirso, wana ngangana tu na ubishi juu ya yesu il hali yesu hawajui wala hajatumwa kwao.
May Allah bless your work our Ustadhs. Sheikh Ali bado uko shida hapo. Please for the interest of the daawah stop interrupting ama kutia maneno nyingine since Sheikh Salim is talking to this people. It’s confusing when everyone is talking on his own . This people want to hear and understand the message slowly
Huyu hajaelewa huku uarabuni wanawake wana free choice wanadrive wanaenda darsa yani shule na kazi pia wanafanya hii sheria iko huku ya wanawake kuwa free aulize waliotoka huku uarabuni
Suratul Maida ina eleza kua manyani na nguruwe ni mayahudi kwa hivyo nguruwe alikua binadamu yahudi allah akawageuza wakawa manyani na manguruwe(Suratul Maida 60. Sema: Je! Nikwambieni yule ambaye ni mwenye malipo mabaya zaidi kuliko hayo mbele ya Mwenyezi Mungu? Ni yule ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani na amemkasirikia, na amewafanya miongoni mwao manyani na nguruwe, na wakamuabudu Shet'ani. Hao ndio wenye mahali pabaya na wamepotea zaidi njia iliyo sawa.
Sheikh saalim Assalam alaykum.Samahan naomba ukizungumzia HAMAS uwe makin maana HAMAS ni wafalestina wazawa na wako Kwa ajili ya kupgania nchi yao na sio uchokozi so tunaomba waislam muwe makini msifuate maneno ya wasio na elimu juu ya HAMAS
Ustadh salim shukran kwa daawatul naas lakini usiseme hamas ni kama alshabaab.. they are freedom fighters.secondly they were elected officially in 2007 by the Palestinians but the western wame impose Mohamud Abass of PLO
SHEIKH umesema kwamba hawa Mjahidini ni alshababu ,Hawa sio alshababu .Hawa ni Mjahidini wanapigania haki ya nichi yawo .kwani wadhulimia na hawa wayahudi .
Asalam aleykum
Leo nimewahi 😊
Allah awabariki mashekh zetu na Atubariki na sisi wote
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin pia sisi sote
Aamiin
Ma shaa Allah maustadhi wetu Allah awajaze kila la kheiri mzidi kufundisha dini yetu ya khaki... Alhamdulillah
Mimi niliogopa mapstor kwa uongo wao.
Saudi Arabia wanawake wanasoma, wafanya kazi,biashara na kudrive
Assallam aleikum mashekhe wetu Allah azidi kuwahifadhi
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin
Asalam alaikum kazi nzuri
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Oh nimechelewa leo
mashaalh mungu awabariki camera man anaonekana amechoka mkono anatikisha sana camera , hua hamuna stand ama, kama hamuna tujulisheni tuwafanyiye mchango mpate stand. ustadh salim mungu awalipe mnayo wapa watu mawaidha , kwanza mtu kua muisilamu ni amri ya allah subhana huu wa taala lakini jambo moja tunge penda muwa eleze hawa wa cristo kua kalimahtu laa ilah ila allah kwa wingi na kua tuona wengi wako na instrest ya kua wa isililamu lakini muwa waacha tu na mda unapotezwa kwa kitu isio na msingi zaidi mambo ya kwenda choo na maji aw mtu akifa hiyo ni ilimu wata pata baada ya wao kusilimu kwa maana mtawafikisha hizo mambo kesho nao wana endelea tu na mtindo wao kwa hivyo heri mupoteza wakati ya kua mwenyezi mungu pekee yake anafaa kuabudiwa na pia quran ndiyo kitabu ya kila mtu wala sio bibilia ambayo iliandikwa na watu, wao wana amini sana bibilia na mnawasomea sana, ila hali sio kitabu cha kuamini.na kwa kweli munawafunza sana lakini kuna wakati mda wenu inachukuliwa na kuingia choo na maji aw kuzikwa kwa sanda hiyo tabia wako naye hawataicha na wengine ni wabishi , lengo na mathumuni yetu ni kuwaita kwa uisilamu, nime ona mumewaacha wengi na hamukuwauliza nini inawakataza wawe waisilamu bado hawaja jua ni nini mfano ya uisilmau na kirso, wana ngangana tu na ubishi juu ya yesu il hali yesu hawajui wala hajatumwa kwao.
Maashaallah baarakallah..sheria ya kuwa mwanamke haendeshi gari na sheria zengne zote zimetolewa nkiwa uku gulf hiyo sheria hakuna
Masha Allah
Mashallah mashekh wetu mungu awape wepesi Kwa Kila jambo
Aamiin amiin amiin
MashaAllah kazi nzur sana walim wetu namuomba ALLAH awajaliye siku nyingi zakuishi awalinde na hasadi
Aamiin amiin amiin sote
May Allah bless your work our Ustadhs. Sheikh Ali bado uko shida hapo. Please for the interest of the daawah stop interrupting ama kutia maneno nyingine since Sheikh Salim is talking to this people. It’s confusing when everyone is talking on his own . This people want to hear and understand the message slowly
Masha Allah mimi nafatilia kabixa nipeni like zangu
Karibu sana
Assalamu Alaykum Sheikh Salim. Barakallah fiq
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Anataka mungu ampe rizki kila Siku kumomba mungu Siku moja
Uko sawa shekhe kweli kabsa
Huyu hajaelewa huku uarabuni wanawake wana free choice wanadrive wanaenda darsa yani shule na kazi pia wanafanya hii sheria iko huku ya wanawake kuwa free aulize waliotoka huku uarabuni
Good teachings
Mashalla Allah ❤❤❤
Allahamdulillah
Sawa kabisa.
Mashallah mafunzo mazuri
Masha Allah
MASHAALLAH
Maashallah Maashallah Maashallah
Manshaallah ❤
Maashalah
Asalamu alakumu mashala
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Am muslim.Islam is perfect bt am not..if i make a mistake blame me..not islam❤☝️
Islam is the way but many of us go with heart desires 😢😢😢
@@yia73 exactly my brother
Perfect dose sis
@@Jingajinga64 thankk bro
Perfect in what ways? Read sura 5:51
Jesus said love your enemy,bless those who curse you,pray for those percecuting you.
NGURUWE HEHEHE😅 EVEN THE NAME SOUNDS DISGUSTING 😅😅😅
Suratul Maida ina eleza kua manyani na nguruwe ni mayahudi kwa hivyo nguruwe alikua binadamu yahudi allah akawageuza wakawa manyani na manguruwe(Suratul Maida 60. Sema: Je! Nikwambieni yule ambaye ni mwenye malipo mabaya zaidi kuliko hayo mbele ya Mwenyezi Mungu? Ni yule ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani na amemkasirikia, na amewafanya miongoni mwao manyani na nguruwe, na wakamuabudu Shet'ani. Hao ndio wenye mahali pabaya na wamepotea zaidi njia iliyo sawa.
That's why muslim converts take Islam very serious
Sheikh saalim Assalam alaykum.Samahan naomba ukizungumzia HAMAS uwe makin maana HAMAS ni wafalestina wazawa na wako Kwa ajili ya kupgania nchi yao na sio uchokozi so tunaomba waislam muwe makini msifuate maneno ya wasio na elimu juu ya HAMAS
Asalam alykum mwalimu
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@@salimdaawah123 njoo mutembelea uku bungoma county walimu ,kimilil subcounty
@@isahbarasa inn shaa Allah tutapanga hilo
@@salimdaawah123 mashalla
Ustadh salim shukran kwa daawatul naas lakini usiseme hamas ni kama alshabaab.. they are freedom fighters.secondly they were elected officially in 2007 by the Palestinians but the western wame impose Mohamud Abass of PLO
Nimekuelewa
Tumetelesha hapo
Swadakta
SHEIKH umesema kwamba hawa Mjahidini ni alshababu ,Hawa sio alshababu .Hawa ni Mjahidini wanapigania haki ya nichi yawo .kwani wadhulimia na hawa wayahudi .
Hezbollah sio Hamas
Hamas iko gaza strip
Hezbollah ndio ni militant group iko Lebanon
Shukuran kwa ukumbusho huo