Zamani nilikuwa najuwa kama sisi wa Congo 🇨🇩 ndio tuna sifa ya kujisifia, ila wa Tanzania mumetuzidi aisee😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwizi kweli sura ina sema😂😂😂
Kama ngiri kweli😂😂😂
Baadhi ya vitu vija bei hasa Dhahabu, chains hizo za madini tofauti. Vinasaidia kwa mambo ya kiroho baada ya kufuata utaratibu wa mtu husika. Ndo maana ukiwa mtu mweusi ukienda kwenye hizi duka za warabu ambao wanatengeneza Pete, ukitaka kutengenezesha ya kwako kwao na hasa madini ya kiwa na uzito mkubwa, wanakuuliza sana kua unataka kuitumia kwa lipi, wakati hata wao wamezivaa
Sio Uongo Thamani Alizo Taja
Ngoja uwaone TRA watakutembelea so mda umetoa siri yako😂😂😂😂😂
Pengo nimuongo kinyama mil78 unaijuwa wewe au nihilo pengo ndomil78😂
Kuna story zengine n zakupitisha muda 😂
Cheni za 78ml mzee umetoboa 😂
Wewe pengo unakicha 😂
On air