TUIOMBEE SIMBA| BADO WANA NAFASI YA KUSHINDA UBINGWA KAMA YANGA ATAFUNGWA MECHI ZOTE ZILIZOSALIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 52

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t หลายเดือนก่อน +5

    Oscar umesahau msim ulipoanza ulisema yanga watamaliza nafasi ya 5??? Haya sasa tuambie kimetokea nini

  • @david255chengula5
    @david255chengula5 หลายเดือนก่อน +6

    Osca atakuwa amesha kunywa konyagi tayar sio bure

  • @kitaurosalim6562
    @kitaurosalim6562 หลายเดือนก่อน +1

    Angalieni hesabu zenu.Hamjazipata vizuri.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 หลายเดือนก่อน +3

    Simba wanatakiwa kutengeneza timu siyo ubabaishaji huu

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 หลายเดือนก่อน +2

    Azam atashika nafasi ya pili Oscar acha kuwadanganya makolo wenzio

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl หลายเดือนก่อน +1

    Asante. Huyo. Oscar. Oscar. Ameshakunywa. Huyo. Ni. Mlevi. Sana

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 หลายเดือนก่อน +4

    SIMBA NAFASI 3 Haina MAOMBI🤣🤣🤣🤣

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 หลายเดือนก่อน +3

    Azam atakuwa mshindi wa pili

  • @JohnMakao-is9fm
    @JohnMakao-is9fm หลายเดือนก่อน +1

    Ubingwa upi wa nafasi ya pili au moja

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 หลายเดือนก่อน

    Kama huna wachezaji wazuri omba mpaka matako yapike viraka hupati ng,oooo

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 หลายเดือนก่อน +2

    Kwiki Oscar mwehu😂😂😂😂😂😂

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh sema Madunduka wamevurugwa

  • @alfredkatuma426
    @alfredkatuma426 หลายเดือนก่อน

    Oscar ni tapeli

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 หลายเดือนก่อน +1

    Shirikisho walifuta

  • @YussufMussa-sg5bv
    @YussufMussa-sg5bv หลายเดือนก่อน +1

    Simba hawezi kuwa bingwa kwa mcmu huu

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus5270 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli vichaa ni wengi ??!

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 หลายเดือนก่อน

      WOTE HAO BANGI

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 หลายเดือนก่อน +1

    Boli linatembea amecheza na nani? Amecheza na timu ya 15 na 16

  • @ScardySangah
    @ScardySangah หลายเดือนก่อน +2

    Simba hata akimfunga Azam, halafu Azam akashinda mechi zake zilizobaki zote na Simba akashinda zote bado Simba atamaliza nafasi ya 3

    • @barakahenry8888
      @barakahenry8888 หลายเดือนก่อน

      Umeona eee!
      Ugumu wa mtani kuipata nafasi ya pili.
      Utofauti wa magoli yaani Goal difference bado inampatia nafasi kubwa Azam kumaliza nafasi ya pili hata kama ktk hyo mechi yao atashinda Simba na baada ya hapo kila mmoja ashinde mechi zake zote.

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 หลายเดือนก่อน +1

      Si kweli. Simba akimfunga Azam na akishinda mechi zilizobaki atafikisha point 71. Azam akifungwa na Simba na akashinda mechi zilizobaki atafikisha point 69. Simba atashika nafasi ya pili. Lakini na pia Yanga akishinda mechi tatu kati ya tano zilizobaki atakuwa amekuwa bingwa kwa kufikisha point 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yeyote.

    • @user-jr4md1dw3v
      @user-jr4md1dw3v หลายเดือนก่อน

      Mnazungumzia kushindwa tu. Muonekano uliopo Kila timu kati ya 3 za juu itapata droo.

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg หลายเดือนก่อน +1

    Hii ni Abunwasi

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. หลายเดือนก่อน +1

    azam akimpiga simba anamzid point 4 ak draw anamzid point 1 akipigwa azam anazidiwa na simba point 2 mbona ni hesabu nyepesi.

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 หลายเดือนก่อน

    Huyu naye mjinga sanaaaaa

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 หลายเดือนก่อน

    Simba anacheza asl

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx หลายเดือนก่อน +1

    Mgunda sikocha

  • @daudiyaqhambe5837
    @daudiyaqhambe5837 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji mashimo alisema mwanzo wa msimu yanga atachukua nafasi ya tatu

  • @leonardmadelemo3043
    @leonardmadelemo3043 หลายเดือนก่อน

    Wewe Oscar na Baba levo acheni kupotosha umma mpaka sasa simba akishinda mech zake zote pamoja na hicho kiporo na Azam pia ashinde mech zake zote bado azam atakuwa juu ya simba by any how...,bado simba aombe maombi azam adondoshe point si chin ya michezo na zaid ili simba ipate upenyo

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian หลายเดือนก่อน

    Uyu oscari alisema yanga atakuwa nafasi ya tatu

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 หลายเดือนก่อน

    BANGI SIO SAFII🤣🤣🤣YANGA TO LOSE ??

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 หลายเดือนก่อน

    Acheni ukuda na unafiki

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 หลายเดือนก่อน

    Watatoa sare hao

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t หลายเดือนก่อน

    Oscar unaongea kwel,,,simba chini ya mgunda azam ana kaz kubwa hachomoki

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    KWA WAAMUZI KAMA WALE WALIOCHEZESHA SIMBA NA TABORA ,KWA UCHEZESHAJI ULE SIMBA ANAFUNGA AZAM

  • @mackysuphian
    @mackysuphian หลายเดือนก่อน

    Kesho simba na azam wana droo

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 หลายเดือนก่อน

    Edo wewe mtu wa mpira!! Azam akipata nafasi yapili, narudisha kadi yangu uanachama CCM!!!

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 หลายเดือนก่อน

    JAMANI KWA SASA TATIZO LA SIMBA KUMALIZA NAFASI YA PILI NI AZAM FC NA WALA SIYO VINGINEVYO...!

  • @thirdsurveyor7784
    @thirdsurveyor7784 หลายเดือนก่อน +8

    Wewe Oscar si ulisema Simba bingwa, Azam namba 2 na Yanga namba 3?

    • @Taito-brand
      @Taito-brand หลายเดือนก่อน +1

      Kak alisema yanga ya. Tano ya tatu alimpa singida na 4 ihefu kak😂😂😂😂

    • @jamalijamali6820
      @jamalijamali6820 หลายเดือนก่อน +1

      Ameshasahau😂

    • @ulicydickson6816
      @ulicydickson6816 หลายเดือนก่อน +1

      Amejisahau

    • @AbubakariKisweka
      @AbubakariKisweka หลายเดือนก่อน +1

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤ ​@@Taito-brand

  • @henelckneatunga2720
    @henelckneatunga2720 หลายเดือนก่อน

    MNA VITUKO SIMBA ATAPATA UBINGWA POINT HATAZICHUKUA WAPI NA JE YANGA HATAFUNGWA ZOTE?

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga anahitaji pointi 8 tu

    • @emanuelpetro9591
      @emanuelpetro9591 หลายเดือนก่อน

      Ni saba7 tu

    • @komboame5492
      @komboame5492 หลายเดือนก่อน

      anahitaji point 6 tu yanga abebe ubingwa

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 หลายเดือนก่อน

    Team MP Points
    Azam 25 57
    Simba 24 53
    Next Game
    Azam vs Simba
    Simba akishinda mechi na Azam msimamo utakua hivi
    Team MP Points
    Azam 26 57
    Simba 25 56
    Simba akicheza mechi yake ya kipolo, msimamo utakua hivi
    Team MP Points
    Simba 26 59
    Azam 26 57

  • @ScardySangah
    @ScardySangah หลายเดือนก่อน

    Simba hata akimfunga Azam, halafu Azam akashinda mechi zake zilizobaki zote na Simba akashinda zote bado Simba atamaliza nafasi ya 3