Sheikh nakuomba ukiona yafaa na ukapata nafasi,tutajie MIJI iliyotajwa ktk Qur'an kwa majina ya Zamani,utujulishe MIJI hiyo kwa Majina ya Sasa,mfano MADIANA;kwa leo ni MJI GANI?nk,in shaa a LLAAHU.
ingekuwa malaika wanakuja moja kwa moja kwa nnvyowajua ingekuwa hatari. Huwa hawasiki lolote ila walilotumwa na Allah. Tingetia adabu sote. yani kama wanavyotoa roho ndio ingekuwa style leo/ Ahsante kwa darsa maridhawa
Masha allah.
Allah akupe afya njema ili uweze kutuelimisha zaidi,INSHAA ALLAH.
Pp
Mimi naangalia masheikh wengi wa Tanzania na Kenya lakini Sheikh Salim Msabah ufundishaji wake is best. Allah akuhifadhi.
Shekh Msabaha unanivutia Sana na darsa zako wewe ni mwingi WA elmu ya dini Allah akupe afya njema na neema za duniani na Aghera amiin.
Mashallah sheikh msabah aa wewe fundi bana dahh huzifatilia sana darsa zako tunapata ujumbe mzito inshallah Allah akupe umri mrefu
MASHAA ALLAH
Sheikh jazaaka llahu lkheir, he vp kuhusu ardhi saba
Maashaallah sh Msabbah ni Ulamaa mkubwa sana haingilii madhaahib wala hamdharau mtu anatoa elimu ya kimataifa ✔️✔️
Allaha akujaalie kheir sheikh msabah mashallah
Genius Msabahha !! Allah akutunze
.
Maashaallah, pure science
Jazzakallahu khairan
Maa Shaa Allah
Mwalimu wewe hodari wa maelezo, ALLAH akulipe kheri nyingi zaidi duniani na akhera.
Sheikh msabaha Allah akulipe malipo ya kheri unafanya kazi ya mitume na sisi tunasikiliza na kufuatiria darasa zako
Darsa zur sna Allaha atujaalie miongoni mwa waja wake wema
Sheikh uko vizuri mashallah. Tena una upeo lakini samahani hiyo minywele ipunguze ikate
Huo nimuonekano aliochagua na cmakosa katka dini ya kislam
MashaAllah
Sheikh nakuomba ukiona yafaa na ukapata nafasi,tutajie MIJI iliyotajwa ktk Qur'an kwa majina ya Zamani,utujulishe MIJI hiyo kwa Majina ya Sasa,mfano MADIANA;kwa leo ni MJI GANI?nk,in shaa a LLAAHU.
Lebanon uko
ingekuwa malaika wanakuja moja kwa moja kwa nnvyowajua ingekuwa hatari. Huwa hawasiki lolote ila walilotumwa na Allah. Tingetia adabu sote. yani kama wanavyotoa roho ndio ingekuwa style leo/ Ahsante kwa darsa maridhawa
Kiburi hakijengi kinabomoa
L