Kuna watu mnawakubalia kuwa nao kwenye mahusiano haraka sana na mpaka mnalala kimapenzi bila hata kutenga muda kidoogo wa kumjua mtu... kilichomkuta siwema naomba mskilize sauti ikiwa chini🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
Hapo sawa kabisaaa nakubaliana na wewe kwani wengi hatujui kuwa wengi wanao tujia nakutupenda either kimapenzi au kirafiki kumbe wengine kwetu ni ndoano ama chambo ili wanaufaike kwa kile wanacho kusudia kwetu
Daah mi si mtu wa comment ila hii ni hatari nimejifunza mnoo Asante kaka lucas hakika umeletwa dunian kwa ajili ya kutufunza haswaa mungu atakulipa inshallah😢😢
mudi ni mwanaume wa ovyooo sana mapenzi siyo vita jamani mapenzi ni makubariano na upendo kutoka kwa watu wawili wapenda nao atimae wamekutana na baba Kenny muddy ni jini nn mbn anamfatiria siwema kama anamdai mshezi mkubwa uyo kijana ❤❤❤
Siwema pepo la ngono ni kitu cha ajabu sana yani mbk mtoto mdogo Kenny jamani ni unatembea na mume wa mtu mbk unajisaau wakati unajua ni baba Kenny na mama Kenny ni maboss zake siwema njia ya kurudi kijijini iyoo naiyona 😂😂😂 mume wa mtu ni sumu maziwa anayo mama Kenny ❤❤❤
Kuna watu mnawakubalia kuwa nao kwenye mahusiano haraka sana na mpaka mnalala kimapenzi bila hata kutenga muda kidoogo wa kumjua mtu... kilichomkuta siwema naomba mskilize sauti ikiwa chini🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
😂😂😂izi simulizi za wakubwa tutakua tunazisikiliza
Usiku 😂mcana tusiharibu swaumu zetu
Hapo sawa kabisaaa nakubaliana na wewe kwani wengi hatujui kuwa wengi wanao tujia nakutupenda either kimapenzi au kirafiki kumbe wengine kwetu ni ndoano ama chambo ili wanaufaike kwa kile wanacho kusudia kwetu
Hapo umesema@@SifaMukundabandi
Mungu atusaidiye jamani
@@QUEENJoseph-kh6cb
Amina Amina Amina
hakika MUNGU atukumbuke na aturehemu kwani wengi hatujielewi
Sijachelewa kihivo nimewahi😂😂lucas kipenzi sijawahi kuchoka kukusikiliza❤❤❤
wa 11 sio mbaya 🗣 aya mkuje tumsikilize siwema 🙏 kaka lucas
Wa kwanza Leo 🎉
Daah mi si mtu wa comment ila hii ni hatari nimejifunza mnoo Asante kaka lucas hakika umeletwa dunian kwa ajili ya kutufunza haswaa mungu atakulipa inshallah😢😢
Hatakama nimechelewa lkn nimefika acha nikae 🪑
Jamani mtalimbo mamamkwe kauona
mudi ni mwanaume wa ovyooo sana mapenzi siyo vita jamani mapenzi ni makubariano na upendo kutoka kwa watu wawili wapenda nao atimae wamekutana na baba Kenny muddy ni jini nn mbn anamfatiria siwema kama anamdai mshezi mkubwa uyo kijana ❤❤❤
Daa hii simulizi😭😭😭😭😭😭😭
😂Kweli ila nyie mungu anaumba kuna madem wamejaaliw vidude vitam km siwem kha! 😅Ila nimejifunza kitu pia asante San lukas wetu🎉
Kazi zuli lukas mungu akupe uezo zaidi🎉🎉❤
Saut yako ni nzuri san kak lucas mungu aibalik kaz ya mikono yako
Waooooh ❤❤🎉🎉 tuone siwema kafany nn ndan ya simulizi za kaka lucas lumbasi 😂😂
Leo was ishirini na tanu jamani
Ila sio mbaya
Da siwema somo wangu
Siwema pepo la ngono ni kitu cha ajabu sana yani mbk mtoto mdogo Kenny jamani ni unatembea na mume wa mtu mbk unajisaau wakati unajua ni baba Kenny na mama Kenny ni maboss zake siwema njia ya kurudi kijijini iyoo naiyona 😂😂😂 mume wa mtu ni sumu maziwa anayo mama Kenny ❤❤❤
Sijachelewa sana ❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉Kaka Lucas thanks❤
Wakwanza nipeni link zangu
🤣🤣 Lucas eti mpododo mbona umesisitiza sana kwenye mpododo🥰🥰🥰
Napenda sana sauti yko 🥰
❤asantee mashabik wa lucas tume rudi tenaa ❤❤❤❤
Hongera kaka Lucas 😍😍😍😍
Asante sanaa❤❤❤
Jaman siwema wa nyumban,😢Moro mgeta,🤣nimepata ndugu na nitapata wengi zaid,🤣🤣🤣🤣🤣
Duuh atali uyu middi chizi kweli khaa🇴🇲🇴🇲
ᴸᵉᵒ ˢⁱᵏᵘʷᵃ mbali😅😅😅
Nimevhelewa ila siovile❤❤❤❤
Nice story be blessed ❤❤❤🎉🎉🎉
Very stor so much ❤❤
Mudi🏃🏃unakimbia wakat mtarimbo huko wazi🤣🤣ila Lucas nimecheka kama chizi🤪🤪
Mtarimbo ni nini zena?
Asante sana nimjifunza
🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂mud kichaa kwer
Watu wanakaa na sim muda wote 😂😂😂😂😂
🤣🤣Yani
😂😂😂
Sw kaka usjl ☺️
Ayaaaaa!🙆♀️Nishaarib swaum sasa.
Pole mrembo umekojoa kojo au? Uwe unaniita usiku tunasikiliza tukimaliza saaf
🙏🙏🙏🙏 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Wa pili🎉🎉🎉🎉
Mm ni kama kawaida ni kupitikiwa 😂😂😂😂
Kwann mrembo
Duuuuh zamadhani kka lukasi
Jamani huyu mudi ni mutu am ni jini
🤔🤔ila watu jaman kwahiyo hamlari mchana mnashinda na simu😂😂😂😂
Wa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢🎉🎉
😂😂😂 kila siku wamwisho me naliya sijuw namliliya nani😂
Usilie basi😂😂😂
simulizi za minyanduano napenda kweli 😂😂😂
Kitukipya awo? Hujawayi kutupa bovu nisikirize kwanza alafu Lukas tumariziye Ariana niombi🎉🎉🎉🎉
Woooo ❤❤❤❤
Anamuchekea yeye mudi aje huku ngemupa dawa wmyake maana heeehee angeifanya tochi hiyo basitola yake pumbavu
Wow😊
Ostaz chogo anaoa kwaajili ya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani huyu siwema havhoki mbona anafululuza ivyo du anatia fora
❤❤❤❤❤
Napend sana sauti yko Lucas 💖
🤔🤔mudi,mudi,mudi 🤣🤣🤣🤣
Kwan ukiwa wakwanza ndo inakuaje yaan
😂😂😂😂😂 tujue yeye hazimi data yupo online 24,,
🎉🎉🎉❤❤❤
👍
😊
Mashaal ❤❤🎉🎉🎉😢😂270
🎉🎉🎉43
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩
Wapili
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jmn huyu dada kila mmoja anampanulia2😢😅😅
😂😂😂😂😂😂
😢😢😢🫣
Ramadhan ime anza baadhi kama hizi hatusikilizi 😢
Ndo maana nikaamua kuitoa mapema ili nimalizanenayo
Umefanya vizur kaka
Jmn siwema naye ila tamu sauti tyu ya lucasi jmn uuwiiiiiiii mm kila cku silala namwaza lucasi tu dah cjui kanipa nn yy sema hajui tu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤
❤❤❤
🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤