Inshu ya sauti msiichukulie poa aiseee,Boresheni sound quality ni kawaida mnooo tena kwa shidaa.Nanga na Wakusmarta ni wakongwe msifanye kawaida fanyeni viwango vile vya Serious funny aiseeee
Nanga kiukweli bila uoga nakutabiriya kuwa utafika mbali Sana kupitiya kipaji choko kama usipo kigaribu ama kujichanganya; maana wewe nakuona kwenye picha ya mze majuto maana kana kwamba umefuzu kwake hayati mze MAJUTO
Umeuulza isije kuwa kipaimara 😂😂😂 nmechek sana
Big love wewe ni kiboko kumbe Sasa Tama za pesa zisikufanye ukapoteza talent yako hii nzuri
shambulio Laisia dah🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂 Nanga we kiboko nakukubali sn
Mmetisha sana
😅😅 eti muamini ndevu tu
Nanga umeuwa kaka
Ila nanga😂🙌
Hii Kali 😂😂😂😂
UNAHAMA🤣🤣🤣🤣
Nanga tunasemaga: Innalilah wa-inna ilayhi (ILAYHI) sio innalilah wa-inna lilahi.
Asante kk sikufanya kusudi ila sikuwa najua inavyotamkwa vizur nashukuru pia samahani km kunanilipo wakwaza
@@official_Nanga Hapana brother. I am just a daily fan. 😅🙌❤️
nanga safiiii tumepata mafunzo mengi hapa...
@@official_Nanga
😅dah aisee
Kanikoseaaaa
Inshu ya sauti msiichukulie poa aiseee,Boresheni sound quality ni kawaida mnooo tena kwa shidaa.Nanga na Wakusmarta ni wakongwe msifanye kawaida fanyeni viwango vile vya Serious funny aiseeee
❤😂
😅😅😅😅😅😅😅😅
Jey mdomo unamponza muda wote😅😅😅
😂😂😂😂😂
Hawa watu wanaharibiwa akili na huyo nanga
😂
Unaringia nyumba 😂😂
Nanga hamalizi kwa wema 😅😅😅😅😅
😂😂😂😂
Wakusmarta ume haribu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
NANGA UNAHAMA HAIWEZEKANI VIDEO ZAKO HAZINA SAUTI UNA SHOOT NA TECNO,NAKUAMBI UNAHAMA.
Nimerekebisha
nanga bahna hongera mzee unatisha ninja
Nanga kiukweli bila uoga nakutabiriya kuwa utafika mbali Sana kupitiya kipaji choko kama usipo kigaribu ama kujichanganya; maana wewe nakuona kwenye picha ya mze majuto maana kana kwamba umefuzu kwake hayati mze MAJUTO
Jitahidini vieo zenu ziwe na sauti kdg sauti zipo chini sana
Simu yako labda sauti ipo mbona yakutosha 😅😅
Bro simu yako mbovu. Nimesema nitoe Bluetooth labda nisikilize kwa simu lakini naona fresh tuu sauti.
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣
😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂