HAKIMI ANGEKUWA BONGO ANGETOBOA? RONALDO NDIO MASTA? SHERIA? SIKILIZA KESI ILIYOWAHI KUTOKEA BONGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 104

  • @AlodiaCharles-23
    @AlodiaCharles-23 ปีที่แล้ว +93

    Tuliopenda uamuzi wa hakimi tujuane kwa like

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 ปีที่แล้ว +5

    Hiyo nimeipenda sana jamaa yupo sawa

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 ปีที่แล้ว +6

    Hakim katisha sikuizi madem Wanafata mari tu😂 hatamimi kanifungua akiri pumbavu zao

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 ปีที่แล้ว +2

    Kwa nini asiwe baba kumwandika swali nahitaji kujibiwa

  • @SultanBakali
    @SultanBakali 4 หลายเดือนก่อน

    Munajuwa sana

  • @chamandaayolaiza1535
    @chamandaayolaiza1535 ปีที่แล้ว +2

    WANAWAK NDIO WAGOMVI XIKU ZOTE ATAXIJUI KWA NNI

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 ปีที่แล้ว

    Nikweli kabisa wanaume.tuwe.makini

  • @davidmbogo7503
    @davidmbogo7503 ปีที่แล้ว +2

    Kibongo bongo hii bimkubwa anapoteza mwana

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw ปีที่แล้ว

    Ashraf hakimi umejua kutufundisha jinsi ya kuishi na wanawake

  • @sautiyangu1
    @sautiyangu1 ปีที่แล้ว +2

    Unyama sana...

    • @anthonykavishe
      @anthonykavishe ปีที่แล้ว

      Sio unyama,wezi wamezidi

    • @sautiyangu1
      @sautiyangu1 ปีที่แล้ว

      @@anthonykavishe unyama aloufanya hakimi😁

  • @ngeleloembete2956
    @ngeleloembete2956 ปีที่แล้ว +1

    Kabla ya kuandika vyote hivyo Wali vitizama , ninavyo fikiri ni kwamba watakua Wali maliza pointi hiyo mapema
    Akifa mama Mali itarudi kwa kijana mtafutaji😅😅😊

  • @godlovemasamakibatandu2092
    @godlovemasamakibatandu2092 ปีที่แล้ว +2

    Kwanini mali za wanawake haziwekwi kwenye meza wagawane? Sheria ikiwa mbovu kwao wanalalamika zikiwa sawa kwao na zina wakandamiza wengine wanasema hawatendewi haki.

    • @joesimba
      @joesimba ปีที่แล้ว

      Mali zote zinawekwa mezani mnagawana pasu kwa pasu, ila wanawake ni wajanja huwa hawafanyi kosa kuingia kwenye ndoa na mwanaume ambae wamemzidi kipato

  • @dianajoseph6673
    @dianajoseph6673 ปีที่แล้ว +3

    Wanaume wa sasa utajiongelesha wewe na hakuelewi anakuacha na maneno yako nachangamoto zako😢😢😢😢humuombi hela na hakupi ukiwa na shida duh hatari sana😂😂😂😂😂

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 ปีที่แล้ว

    Lakin atakuwa kaachiaa hta paso za wenzetu huko na hta room mbili za master ndan na kifensi mchwara. Naamin hvo

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 ปีที่แล้ว +6

    Zari alitukosakosa kutupiga mzigo kwa Diamond, tumshukuru Mama Dangote alituokoa, tungepigwa hatari😂😂

    • @muthekimutheki
      @muthekimutheki ปีที่แล้ว +2

      Diamodi amshukuru @mangekimabi na followers wake coz walikiwasha mpaka Zari akahama...Hiyo vita haikuwa ndogo.😂

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 ปีที่แล้ว

      @@muthekimutheki 😂😂Zari Hana hamu na Mange

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 ปีที่แล้ว +4

    hakimi amefungua akili wengi Sana,,, but wanawake wafanye kazi sio kupigia hesabu pesa ya mume

  • @chrisbertludovick8908
    @chrisbertludovick8908 ปีที่แล้ว +7

    Frida Amani unazingua mapenzi ni wote wainjoy sasa unavyosema umetumikiq yaani nyie ni wale wale amna lolote tunawonq kama masextoy

  • @ramakadege7448
    @ramakadege7448 ปีที่แล้ว +2

    kwer milla mm mwenyew napenda km hiv c mda wote wakat mm naon stushion yake

  • @akimanaarlene851
    @akimanaarlene851 ปีที่แล้ว +4

    Nataka unijibu Millard sasa akipata mali zake akazipeleka kwa majina y’a watoto wake akhim kuna shida ama ?talaka ikikuja mali zipo kwa watoto hapo shelia inasemaje?

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 ปีที่แล้ว

      Ukiweka kwa watoto kwa wezetu watoto uwa ni wamama kwaiyo nisawa umempa mama zote ndio maana hawaaandiki watoto,

    • @akimanaarlene851
      @akimanaarlene851 ปีที่แล้ว

      @@albertkatuga2434 oooh 😯

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid2633 ปีที่แล้ว +1

    Millard huyu Akimi kafanya hivyo kabla ya kuoa kutokana na kushughulikia alipokuwa mdogo hata kupewa kipaumbele yeye mpaka kutoboa. Hiyo ipo sana kwa familia za kiarabu.

  • @ahmedelalawy639
    @ahmedelalawy639 ปีที่แล้ว +2

    Huyo mwanamke umemtoa wap milard hebu mtowe hajui hata kuongea

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 ปีที่แล้ว +2

    Watoto 3 Alipandikiza. Siku hizi ni kawaida una chukua msichana anakubebea mimba na unamlipa kwa mkataba. Unapandikizwa wala hawajafanya tendo la ndoa

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 ปีที่แล้ว +5

    Bora tugawane na Familia kuliko mpiga diri😂✌️🤗

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa sana big up kipindi kizuri kijana kajua kuelezea sana nimempenda sana milard utuletee tena huyo msomi tujue mengi❤️❤️🔥🔥🙏🙏🙏

  • @deusmallya3384
    @deusmallya3384 ปีที่แล้ว +3

    Mwanamidindo usagau

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 ปีที่แล้ว +2

    Hilo noma sana aysee kuomba omba mara kwa mara hataa kama Ni buku kwa men ni usumbufu

  • @stellahlinusi8215
    @stellahlinusi8215 ปีที่แล้ว +2

    kuna sisi nyie uombi pesa na upewi pesa nyie acha tu

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 ปีที่แล้ว +2

    Naomba kujibiwa swali lagu mm malisagu sija tirasivaa kila nilinunua nandikisha kwa mama je kwani tukiachana kunanini kitakua kinaonyesha kwamba nime trirasifaa

  • @drnasirmjuma15
    @drnasirmjuma15 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mwamba namkubali kinyama, hasa akimuongelea cr7

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 ปีที่แล้ว +9

    😂😂❤ nimejifunza sana kwa huyu mwamba

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme ปีที่แล้ว +2

    Yeye huyo jamaa kajitoa kwajili ya familia yake hao mliowataja wadogo zake na kaka zake na mama yake warabu hao hawana roho za kiswahili wapo kifamilia zaidi na huwambi kitu

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 ปีที่แล้ว +5

    Aaha diamond ndiomaana aoi

  • @abdulhakimsaleh6899
    @abdulhakimsaleh6899 ปีที่แล้ว

    Mie sikubaliani na huyo alotoa ufafanunuzi manake kwenye mara nyingi mtu unaekua nakua kwa ajili ya maslahi so lazma mjua huyo mtu na pia utafute usalama wa Mali yako kwa ajili ya familia kiujumla

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 ปีที่แล้ว +2

    Ndoa ni biashara kubwa sana huko ulaya hili limemkuta pia bill gates

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa ana madini mwambie atupe vitu anaonekana anavyo vitu vingi

  • @deusmallya3384
    @deusmallya3384 ปีที่แล้ว +2

    Ametisha

  • @thierrytiti886
    @thierrytiti886 ปีที่แล้ว +2

    Izo habari za ronaldo sio za kweli

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 ปีที่แล้ว +2

    Mwanasheria ameongea fact na huo ndo ukweli.....sheria za mirathi zipo ivo

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว +4

    Nivibaya kumpenda mtu kisa chake sio vzr kabisa sio tu kwa wanamme hata kwa wanawake iyo ndio komesha ya wanaokuja kwa kipesa zaidi kibongo kibongo utaacha watoto masikini babamdg na aunt watafaidi

    • @joesimba
      @joesimba ปีที่แล้ว

      Hilo swala ni la wanawake wenzako sio wanaume

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว +2

      @@joesimba kwanini hakuna wanawake wanyepesa kuliko wanamme wapo kunamuda usijue kama mwanamke ndio anapesa kuliko mumewe kama anaheshima mf hakuna mwalimu wa msingi kamuoa mwalimu wa sec au nurse mwanamme ka muoa doctor tena sio kwa mapenzi ni kipata na cord ya benk Mme ndio mmiliki , kunawafanya biashar wanawake wakubwa tu wametapeliwa na mapenzi mbona maganda ya ndizi madume mengi tu usipokuwa makini iyo ni tabia sio jinsia

    • @joesimba
      @joesimba ปีที่แล้ว

      @@edinakyaruzi9226 Yaah upo sahihi, ila ni nadra sana kukuta mwanamke anamzidi mwanaume wake kipato, kwasababu sio asili ya mwanamke kuvutiwa na mwanaume ambae ana kipato cha chini kuliko yeye, ndo mmeumbwa hivyo and it's okay.

  • @zenyewe
    @zenyewe ปีที่แล้ว +4

    hiyo pre nap kama ukiwa na mpunga mrefu mkifika mahakamani inapigwa mafekeche jaji anapindua meza 😂😂

  • @ريهامبنتمام
    @ريهامبنتمام ปีที่แล้ว +2

    Eti angetoboa. Yani hakimi hakutoboa bado.

  • @navukalunavatanzi6227
    @navukalunavatanzi6227 ปีที่แล้ว +2

    Sielewi sisi wanawake tuna shida. Mali inayotakiwa kugawana ni kuanzia hiyo 2020 yaani mtu umkute mtu na mali yake halafu unataka nusu nusu shida

    • @stellah3844
      @stellah3844 ปีที่แล้ว

      Hata kwenye miaka kakosea Hakimi ana 24 yeye kasema ana 23

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว +2

    Hao woote wanamwiga Michael Jackson marehemu.

  • @fuled6358
    @fuled6358 ปีที่แล้ว +2

    Eti anatumikia hahaha! akili zao zile zile tuu..

  • @zuhmas2
    @zuhmas2 ปีที่แล้ว +20

    Hakimi for life

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 ปีที่แล้ว +3

    Hii inaonyesha ni namna gani nirahisi kupindisha Sheria ya Tanzania ila sio ya nchi nyingine

  • @mariamabass5621
    @mariamabass5621 ปีที่แล้ว +2

    Milard huyo frida mchaga pesa mbele

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 ปีที่แล้ว +4

    Hizo sheria za Tanganyika sio z sheria z Hakim😅😅😅

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 ปีที่แล้ว +2

    Mama mkwe mkifa ahera panawasubiri, Sasa mwanamke anaharibu mwili wake kwa kubeba mimba jee malipo ya uharibifu wa mwili haustahili nusu kwa nusu ya Mali? Mama mkwe umemmaliza mwanamke mwenzako

    • @gilmangeorge366
      @gilmangeorge366 ปีที่แล้ว

      Mwili hauribiki mungu ndo alisema mwanamke atazaa tyuuuu

  • @slayseyfer7749
    @slayseyfer7749 ปีที่แล้ว +2

    Mama kaandika urithi ni wa hakimi

  • @balljmushi9599
    @balljmushi9599 ปีที่แล้ว

    Mimi nmeipendaa xhannaa,,huo uamuzi wa --Hakimi,,,,mpka naumwaa!!!.

  • @raphaelonyango5690
    @raphaelonyango5690 ปีที่แล้ว +4

    Walianza mahusiano 2018 ila walioana 2020, fanya utafuti vzuri

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 ปีที่แล้ว

    Hii sheria ibadilishwe ili watu tuowe lasivo tutawazini tu

  • @angelelisante8852
    @angelelisante8852 ปีที่แล้ว +2

    Iko vizuri hakimi ameweza maana kunawatu wapo kimaslahi zaidi

  • @popiya2368
    @popiya2368 ปีที่แล้ว +2

    Prenup

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 ปีที่แล้ว

    Hapa tujifunze wanawake kutafuta wenyewe pesa

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 ปีที่แล้ว +2

    Kwani
    Kutoboa
    Kumeanzia
    BoNGo.
    We vipi

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS ปีที่แล้ว +2

    ALISHAJUA MKEWE YUPO KIMASLAHI.

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 ปีที่แล้ว

    Sasa ivi tunawaongopa sana.

  • @صالحالصوافي-غ5و
    @صالحالصوافي-غ5و ปีที่แล้ว +2

    Wanawake tutafute hera😂😂

  • @qwueenalimoja9071
    @qwueenalimoja9071 ปีที่แล้ว

    Uleno kunaaki sana zawanawake

  • @jumazahoro
    @jumazahoro ปีที่แล้ว +2

    Wez2 hakuna njia tafaut

  • @gloryprotas1043
    @gloryprotas1043 5 หลายเดือนก่อน

    Hii nikiboko aisee😂

  • @David-zb6kk
    @David-zb6kk ปีที่แล้ว

    Bongo Hakimi angerogwa

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz ปีที่แล้ว

    Demu akiomba ela anaboa sn

  • @ridhiwanishafii813
    @ridhiwanishafii813 ปีที่แล้ว

    KAMA TULIVYOKUBALIANA MZIGO UPO KWA MOTHER 😂😂😂😂

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 ปีที่แล้ว

    Nikweli bisa

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว +3

    TULIO UPANDE WA MWANAMAMA KWAMBA AMEONEWA TUJE HAPA

    • @mustaphasuleiman2055
      @mustaphasuleiman2055 ปีที่แล้ว

      Uko peke yako,hajaonewa she was a gold deager

    • @rebeccampeta6650
      @rebeccampeta6650 ปีที่แล้ว

      Tupo pamoja ukifuatilia dada kumbe ana pesa kuliko kaka

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 ปีที่แล้ว

      @@rebeccampeta6650 hahah ww ni Msengeee

    • @rebeccampeta6650
      @rebeccampeta6650 ปีที่แล้ว

      @@gidionkadaraja1403 upo sahihi kuniita hvo

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana

  • @rebeccampeta6650
    @rebeccampeta6650 ปีที่แล้ว +2

    Huyo dada ana pesa kuliko Hakimi acheni manenomaneno

    • @jeffyasin2977
      @jeffyasin2977 ปีที่แล้ว

      sasa Mali anataka za nn

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 ปีที่แล้ว

      Hahaha et mwanamkee ana pesaa wew rebecca matakoo nn

    • @rebeccampeta6650
      @rebeccampeta6650 ปีที่แล้ว

      @@jeffyasin2977 mahakamani kwanza mkitaka kutalakiana lazima muorodheshe mlivyo navyo mahakama ndiyo huwa inawauliza wahusika

    • @rebeccampeta6650
      @rebeccampeta6650 ปีที่แล้ว

      @@gidionkadaraja1403 asante

  • @qwueenalimoja9071
    @qwueenalimoja9071 ปีที่แล้ว

    wanaumewengine awajiongezi kaka wanapenda kupiga mzigo2

  • @PesaMadafu
    @PesaMadafu ปีที่แล้ว

    8:40 prenups

  • @deofanta541
    @deofanta541 ปีที่แล้ว +2

    Habari milad naweza kupata mawasiliano ya wakili

  • @handasonshaban8248
    @handasonshaban8248 ปีที่แล้ว +2

    🎉

  • @musamr.tomorrow8515
    @musamr.tomorrow8515 ปีที่แล้ว

    Powa tuu Kwani sote sindugu 🤞🏻🤞🏻🤞🏻

  • @AMBINHED
    @AMBINHED ปีที่แล้ว

    Millard Ayo umeongea fact 👌

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp ปีที่แล้ว

    Inaitwa preanup

  • @chuseboy
    @chuseboy ปีที่แล้ว +2

    WAache Sasa kutuomba omba😅😅