SEIF SIMBA: AMLIPUA MWIGULU KUOMBA URAI KWA WACHEZAJI | SIMBA HAITOKAA ITOKEE KUFANYA UPUUZI HUO.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 32

  • @FaustineTango
    @FaustineTango 8 วันที่ผ่านมา +1

    Moja ya watu naopenda kuwafuatilia kwenye TH-cam ni huyu kaka very smart na hapepesi na ni ukweli mwigulu na mavunde wanapambana kwa ajili ya kuikwamisha simba

  • @jumaissa7760
    @jumaissa7760 9 วันที่ผ่านมา +3

    Kaka munguakujalie maisha malefu unajuwakuongelea mpira

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4et 9 วันที่ผ่านมา +3

    Nakukubali kaka unaongea vizuri sana wape vidonge vyao

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 8 วันที่ผ่านมา +3

    Yani selfu jinsi ulivyo kua huipendi YANGA Mimi nitakua namba Moja wewe namba mbili jinsi siwapendi utopolo VIBAYA sana siwapendi utopolo

  • @PerpetuaGadson
    @PerpetuaGadson 9 วันที่ผ่านมา +1

    Sema kaka

  • @DonatelaSanga
    @DonatelaSanga 9 วันที่ผ่านมา +1

    😅😅😅😅😅 seifu mngu akuweke kaka unayo yasema niyakwer kabisa ķaka

  • @omarysonky
    @omarysonky 9 วันที่ผ่านมา +1

    Seiph nakubali sana

  • @hamedrashid4356
    @hamedrashid4356 9 วันที่ผ่านมา +1

    Seif toa dawa kaka

  • @Husna-x1d
    @Husna-x1d 9 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani tuseme tu ukweli sefu anajua mpira

  • @honestrymes4549
    @honestrymes4549 9 วันที่ผ่านมา +1

    Bro upo sahihi sana

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 9 วันที่ผ่านมา +2

    🎉🎉🎉🎉❤

  • @SuzanKameta
    @SuzanKameta 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo ni kiongozi matope Hana akili

  • @JumaSuleiman-np3eb
    @JumaSuleiman-np3eb 9 วันที่ผ่านมา +1

    Uyo japhert inamuuma apo😅😅😅😅

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 8 วันที่ผ่านมา

    Yanga wanapenda kubebwa na mipira ya dhuluma

  • @siphaelySiphaely-nk7ey
    @siphaelySiphaely-nk7ey 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka 🙌 unajua mpira sana

  • @hassanjalikazi6754
    @hassanjalikazi6754 8 วันที่ผ่านมา +1

    Seff uko sasahihi sana nduguyako napatikana songa batini tanga

    • @semuhunge2310
      @semuhunge2310 8 วันที่ผ่านมา

      Sawa kaka ndugu yangu songa na maguzoni ni Moja @ seif mipapa

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 8 วันที่ผ่านมา

    Yanga wanabebwa sana aisee huo ndo ukweli

  • @jumasella-s2k
    @jumasella-s2k 9 วันที่ผ่านมา +1

    ukweri usemwe watu wanatumia madaraka Yao vibaya mbuge mpina ana mlalamikia sana mnguru kama natumia madaraka vibaya

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 9 วันที่ผ่านมา +2

    Uchawi chuki roho mbaya rushwa.

  • @MbanoMrage
    @MbanoMrage 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huu mziki wa seph hakuna shabik wa yanga anauweza. Sio God yanga, Mchome, wala mwalimu wa Yanga

  • @JamesPaul-o2h
    @JamesPaul-o2h 8 วันที่ผ่านมา

    Waambie ukweli hao

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 9 วันที่ผ่านมา +1

    Itafikia mahali wachezaji watanzania hawatapata nafasi.

  • @hamismwami2609
    @hamismwami2609 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mpira umeingiliwa

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 8 วันที่ผ่านมา

    Na mwingine ameongezeka MTANDA RC Mwanza

  • @swamadujumanne795
    @swamadujumanne795 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ila jafeth kumuhoji huyo jamaa huoni km anakuhalibia platifom yako yaani anachokiongea nimajungu taarabu ushubwada yani mpira umemshinda

    • @AbuuAyubu-t7c
      @AbuuAyubu-t7c 9 วันที่ผ่านมา

      Kumbukeni cocha wa yanga kasema hivi ligi ya bongo mbovu imeidumaza yanga mistake kuviriga maneno yanga wanamatawi yao yakupata ushindi sio siri ni wazi wazi akina dodoma jiji prison singida haaaahaaahaaa utopolo

    • @semuhunge2310
      @semuhunge2310 9 วันที่ผ่านมา

      @Swamadujumanne pole ndugu yangu Kwa kutojua vitu endelea kujifunza mm @ seif mipapa

    • @bone102
      @bone102 8 วันที่ผ่านมา

      Sasa kama Hujui video za Seif Simba ndo zinaviewers nyng zaidi sasa jiulize wewe kama sio tahira ni nani maana unasemaje anaharibu platform wakati video zake ndo zinaviewers nyng mfano hii ina viewer elfu 5 ndani ya dakika 15 Video za nyuma zinasiku 1 hazijafika viewers elfu 5 kasoro ya Kisugu 😂😂

    • @bone102
      @bone102 8 วันที่ผ่านมา

      Sasa kama Hujui video za Seif Simba ndo zinaviewers nyng zaidi sasa jiulize wewe kama sio tahira ni nani maana unasemaje anaharibu platform wakati video zake ndo zinaviewers nyng mfano hii ina viewer elfu 5 ndani ya dakika 15 Video za nyuma zinasiku 1 hazijafika viewers elfu 5 kasoro ya Kisugu 😂😂

    • @thomasaugust225
      @thomasaugust225 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂shida niww unaeangali upendi kuckia ukwl..seif ajawai kuongea uongo jamaa ananyoosha balaaah😅😅