Moja ya watu naopenda kuwafuatilia kwenye TH-cam ni huyu kaka very smart na hapepesi na ni ukweli mwigulu na mavunde wanapambana kwa ajili ya kuikwamisha simba
Kumbukeni cocha wa yanga kasema hivi ligi ya bongo mbovu imeidumaza yanga mistake kuviriga maneno yanga wanamatawi yao yakupata ushindi sio siri ni wazi wazi akina dodoma jiji prison singida haaaahaaahaaa utopolo
Sasa kama Hujui video za Seif Simba ndo zinaviewers nyng zaidi sasa jiulize wewe kama sio tahira ni nani maana unasemaje anaharibu platform wakati video zake ndo zinaviewers nyng mfano hii ina viewer elfu 5 ndani ya dakika 15 Video za nyuma zinasiku 1 hazijafika viewers elfu 5 kasoro ya Kisugu 😂😂
Sasa kama Hujui video za Seif Simba ndo zinaviewers nyng zaidi sasa jiulize wewe kama sio tahira ni nani maana unasemaje anaharibu platform wakati video zake ndo zinaviewers nyng mfano hii ina viewer elfu 5 ndani ya dakika 15 Video za nyuma zinasiku 1 hazijafika viewers elfu 5 kasoro ya Kisugu 😂😂
Moja ya watu naopenda kuwafuatilia kwenye TH-cam ni huyu kaka very smart na hapepesi na ni ukweli mwigulu na mavunde wanapambana kwa ajili ya kuikwamisha simba
Kaka munguakujalie maisha malefu unajuwakuongelea mpira
Nakukubali kaka unaongea vizuri sana wape vidonge vyao
Yani selfu jinsi ulivyo kua huipendi YANGA Mimi nitakua namba Moja wewe namba mbili jinsi siwapendi utopolo VIBAYA sana siwapendi utopolo
Sema kaka
😅😅😅😅😅 seifu mngu akuweke kaka unayo yasema niyakwer kabisa ķaka
Seiph nakubali sana
Seif toa dawa kaka
Jamani tuseme tu ukweli sefu anajua mpira
Bro upo sahihi sana
🎉🎉🎉🎉❤
Huyo ni kiongozi matope Hana akili
Uyo japhert inamuuma apo😅😅😅😅
Yanga wanapenda kubebwa na mipira ya dhuluma
Kaka 🙌 unajua mpira sana
Seff uko sasahihi sana nduguyako napatikana songa batini tanga
Sawa kaka ndugu yangu songa na maguzoni ni Moja @ seif mipapa
Yanga wanabebwa sana aisee huo ndo ukweli
ukweri usemwe watu wanatumia madaraka Yao vibaya mbuge mpina ana mlalamikia sana mnguru kama natumia madaraka vibaya
Uchawi chuki roho mbaya rushwa.
Huu mziki wa seph hakuna shabik wa yanga anauweza. Sio God yanga, Mchome, wala mwalimu wa Yanga
Waambie ukweli hao
Itafikia mahali wachezaji watanzania hawatapata nafasi.
Mpira umeingiliwa
Na mwingine ameongezeka MTANDA RC Mwanza
Ila jafeth kumuhoji huyo jamaa huoni km anakuhalibia platifom yako yaani anachokiongea nimajungu taarabu ushubwada yani mpira umemshinda
Kumbukeni cocha wa yanga kasema hivi ligi ya bongo mbovu imeidumaza yanga mistake kuviriga maneno yanga wanamatawi yao yakupata ushindi sio siri ni wazi wazi akina dodoma jiji prison singida haaaahaaahaaa utopolo
@Swamadujumanne pole ndugu yangu Kwa kutojua vitu endelea kujifunza mm @ seif mipapa
Sasa kama Hujui video za Seif Simba ndo zinaviewers nyng zaidi sasa jiulize wewe kama sio tahira ni nani maana unasemaje anaharibu platform wakati video zake ndo zinaviewers nyng mfano hii ina viewer elfu 5 ndani ya dakika 15 Video za nyuma zinasiku 1 hazijafika viewers elfu 5 kasoro ya Kisugu 😂😂
Sasa kama Hujui video za Seif Simba ndo zinaviewers nyng zaidi sasa jiulize wewe kama sio tahira ni nani maana unasemaje anaharibu platform wakati video zake ndo zinaviewers nyng mfano hii ina viewer elfu 5 ndani ya dakika 15 Video za nyuma zinasiku 1 hazijafika viewers elfu 5 kasoro ya Kisugu 😂😂
😂😂shida niww unaeangali upendi kuckia ukwl..seif ajawai kuongea uongo jamaa ananyoosha balaaah😅😅