Ruto akutana na wazee Mandera akiendelea na ziara

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • Rais William Ruto sasa anasema atawaonyesha kivumbi wanaotaka kushindana naye katika uchaguzi mkuu wa urais wa mwaka wa 2027, akieleza kwamba tajiriba yake ya takriban miaka 30 kwenye ulingo wa siasa itamsaidia kupata ushindi

ความคิดเห็น • 34

  • @halimaissack4719
    @halimaissack4719 5 วันที่ผ่านมา

    Welcome to mandera Mr. President ❤ may God give you wisdom to lead our great nation to prosperity.

  • @AyubMutembei
    @AyubMutembei 5 วันที่ผ่านมา +4

    Cry 😭 everyday ..Home ni must

    • @HillaryKoech-pk2se
      @HillaryKoech-pk2se 5 วันที่ผ่านมา

      Endelea kuota ndoto ya kachaqwaaa...

  • @generalserikali2024
    @generalserikali2024 5 วันที่ผ่านมา +1

    You stood with mandera 💔😂😂kwani mmepewa ile millioni ?

  • @joachimmuli6586
    @joachimmuli6586 5 วันที่ผ่านมา +4

    Labda ajishinde mwenyewe ,Ile kivumbi ataona 2027 hawezi elewa

  • @generalserikali2024
    @generalserikali2024 5 วันที่ผ่านมา +1

    Wazee ni wa nini. 😂😂and I'm not campaigning. Unafanya nini mandera 😂

  • @elijahkainga394
    @elijahkainga394 5 วันที่ผ่านมา +3

    A pride comes before a fall

    • @GIDEONROTICH-s8j
      @GIDEONROTICH-s8j 5 วันที่ผ่านมา +1

      I'm not like considering him an Angel but He wins in everything he does

  • @lucyhager2356
    @lucyhager2356 5 วันที่ผ่านมา +5

    Lady kindiki admiring his love of life

  • @roherialmwahome8707
    @roherialmwahome8707 5 วันที่ผ่านมา +3

    Baba is one standing between you and sugoi 2027

  • @ElizabethnanjalaKuloba-g8i
    @ElizabethnanjalaKuloba-g8i 5 วันที่ผ่านมา

    Hakuna kitu kama hey masingaumba itakufaa kuna mungu binguni atafanya iliyo yake omba mungu akupee hekima na maarifaa

  • @danielekakoro5265
    @danielekakoro5265 5 วันที่ผ่านมา +3

    Tutawamalizia mapema

  • @qcentoh
    @qcentoh 5 วันที่ผ่านมา

    Okay 👍

  • @JanoAliv
    @JanoAliv 5 วันที่ผ่านมา +3

    Useless president

  • @generalserikali2024
    @generalserikali2024 5 วันที่ผ่านมา

    For hire wamepiga makofi 😢😢

  • @DanielLimo-jx7hz
    @DanielLimo-jx7hz 5 วันที่ผ่านมา +2

    When is this man ever working?
    Kila siku ni premature campaign na looting.

  • @antomike1007
    @antomike1007 5 วันที่ผ่านมา

    Aambiwe hajawai kuwa mungu

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 5 วันที่ผ่านมา

    Aache campaign kila siku hata yeye

  • @ChristineObiyaNordström
    @ChristineObiyaNordström 5 วันที่ผ่านมา

    Kasongo PEPO kuu muhuni wa serikali ya uhuni hawezi, huyu nimwenda ICC ' si ni namna hiyo? tunaelewena?'

  • @CliffOgada
    @CliffOgada 5 วันที่ผ่านมา

    😂😂🤣🤣

  • @harrynjenga
    @harrynjenga 5 วันที่ผ่านมา

    Ukweli. Sasa mtu kama Gachagua tayari ashapigana na wandugu zetu wa North Eastern meanwhile Ruto is solidifying and expanding his base. Ruto tawala Kenya tawala.

    • @abduratwaha3945
      @abduratwaha3945 5 วันที่ผ่านมา

      Hatuna undugu na mtu anaitwa njenga😂😂😂

    • @harrynjenga
      @harrynjenga 5 วันที่ผ่านมา

      @abduratwaha3945 si udinywe! Kwani Kuna mtu anakubeg ukue na undugu na Mimi nugu hii?

    • @ceciliawambui3994
      @ceciliawambui3994 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@abduratwaha3945weeeeeuh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jedidakariuki1830
    @jedidakariuki1830 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtu ako na kiburi

  • @marymuthonimichu5444
    @marymuthonimichu5444 5 วันที่ผ่านมา

    Useless leaders

    • @Muzammil99p
      @Muzammil99p 5 วันที่ผ่านมา

      Just like your papa 😂😂 amezaa senseless lady like you.