Sharon na Melon ni pacha
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
- Ni bayana sasa kuwa pacha wawili Sharon mitekwa na Melon Lutenyo walitenganishwa wakati wa kuzaliwa katika hospitali ya Kakamega miaka 19 iliyopita. Chembechembe za msimbojeni yaani DNA zilizochukuliwa miezi miwili iliyopita zikibaini kuwa wazazi wa watatu hao wamekuwa wakilea watoto wawili wasio wao kwa miaka 19
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
hawa wako lucky coz wanafanana ni twins so ilikua easy for them to raise questions. how many other people wanalea watoto ambao sio wao juu ya negligence ya nurses. kama hawa twins hawakua wanafanana, nobody would ever have known! too many things going wrong in our hospitals.
Nani mwingine ameona huyo mama mevis akifinya jicho?
Nimeona kweli....na nikama alichukua huyo misichana kwa alijua
Nimkora
Mimi
Body language. ... she knows something
@@penny4310 exactly
Hallelujah kweli YESU ni muweza wa yote
Aki l feel ule mweupe anafeel atakuwa upuweke..Be strong my dear
Finally kila mtu kwao sasa na lyf iendelee
Am happy Angeline pia amepata aliye wake.Rosemary alikua anataka wote watatu
😆😆😆😆😆😅😅😅😅😅😅
yes she said alizaa twins ama triplets.
First alisema aliambiwa vichwa vitatu vinapumua baadae akazaa akaambiwa ni twins akakua confused 😆😆😆
Lilian Kwamboka hata mm nimefurahi maana angeumia sana na hasa mwenzie aliposema alijifungua watatu ingawa alikuwa tofauti na wenzie lkn nikawa nahofia pengine wake naye yupo na mtu mwingine daah
Nani ameona mama wa rangi ya Thao akinya jicho, ni Kaa she knows a lot about this, Our God is faithful it has taken 19years but ukweli umefichuliwa, acheni mungu aitwe mungu
kwanza huyu mweupe🙄🙄🙄i feel her..ako lonely ametenganishwa na family alio zoea hata karangi ka thao kame mchomea duh😊
😂😂😂😆😆
Pole sana melvis unaonekana umeumia moyo sana minute 2:26 Mungu akutie nguvu lkn ukweli umejulukana jipe moyo
Skip to 1:11 to see Angeline wink to her daughter
AFRICAN TIGRESS 😂 just saw it
AFRICAN TIGRESS lol had to go back!
R
Lucky for them because they were identical twins can you imagine if they were fraternal no one would ever known that the girls were switched at birth
My prayer for them just turned to be so. It's a good thing to always live in truth.
Huyo mweupe hajafell poa😢
Help me understand so Melvis mother is the brown lady right..!??
@@tafari988 pia mm si understand
Wallahi tena na sikitikia sana huyu mtoto ana fanana babake kwa bua alafu mamake nae mkorogo masha Allah ataanza2 maisha ya mama mweupe
Its so sad.. hurting
Ooh God! Malvis Ameonekana Kuwa yuko so Disappointed 😔 She not Happy at all.
God is really great
Waah damu ni nzito kweli. Wa ache tu coz 19 yrs ago hata wadumu walio kuwepo maybe walisha retire ama kufa. Na bahati mbaya hutokea uki imagine vile kuna uhaba wa nurses kwenye hospital nyingi. Sasa ndio wanakuja wanawake wakuzaa twins na mko wawili ward yote
Kwanza huyu mevis anafanana na babake mapua. Mwenye ameona ka Mimi like tukiendaga
Waah I thought Mevis is their sister Kumbe Ata yeye ni wa mbali
Mevis ni copy write ya huyo Mama hata afunge jicho,sharon na Mellon waende kk.
Hahaha
Duuh afadhali kila mtu kapata mtoto nilikuwa namhofia huyu mwenye mtoto mmoja kama asingekuwa wake daah...lkn hii inaonyesha kwenye nchi zetu wengi wanalelea watoto siyo wao hawa walifanana sana ndiyo maswali yakajitokeza je wale wasiofanana ndiyo unakuta mtoto ana tabia hata hamuelewi kazitoa wapi daah. ..hongereni na poleni
Damu ya mtu haiwezi potea mama ni mama mama hana mfano tafadhali Melvis kubali matokeo Mungu ana sababu kamili shukran
Thanks God blessing
Huyo mama Melvin alizaa watoto wa tatu? wapi mwengine?
😂😂😂😂😂
Mama Melvins ni mdomo bagg sana uwezi amini aliabiwa na mukuga kijijini mm sipedii mama wa mdomo iyo
Hivi ndo madoctors walifanya nikatolewa familia ya akina Uhuru
🤣🤣🤣🤣🤣🤣LOl
Hahahah
😂
Hahhaha....
😆😆😆
Daaaa kweli hawa walitenganishwa kbs shalon na melon si kwa kufanana huko. Kweli hawa wametoka tumbo moja kbs. Kweli Mevis mama yake ni huyo mwanamke mweupe.
Afadhali huyo brown hajakosa mamake. But huyu mhubiri anataka kuchukua wote wakue wake Aii wewe tosheka na Hao wawili mum. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Niliwabia kitaabo akuna aja ya DNA mama shalon apewe wasichana wawili mwigine mmoja hii ni kenya nikaabiwa ni aca bangi sasa mmeona
Afazali uyo mama mweusi alifunga kibwebwe awapate wote watoto kutaka kumzulumu mwenziwe naa yy pia aliuwona uchungu ivyo ivyo hakufa kama ulivyo kufa wewe lakini naa yy aliumiza meno leba wakati wa uchungu mpene mwanawe wakaaze maisha atamzowea tuuu damu nzito kuliko maji
Ata nimefikikia about this to much coz i got twins afterwards i was told he had passed away maybe he was sold or what?
Was the body released to you, ? If I was told my child was dead I woulda request to take the body with me.
Me too...nlizaa poa 2 boys baadae nkaskia mmoja alikufa...na vile sonko alipata maiti za watoi hos mmoja... nkajua tu the is something fishy
Ooh God Sasa wataamua aje aki
Ati DNA inaitwa jina gani?😌😌
Msimbojeni
Msoo Faith 🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋me me me me teacher,..... TNA inaitwa musiombe jeni😂😂😂kitu sichaelewa ni,....nini hii hawataki tuombe jeni!!!!...ni kuku?...ni Mayai!!!!😕
Woi, ni milima tu haipatani. Hii damu hii, ni nzito sana
Wala hakukuwa na sababu ya DNA result maana kwa DNA ya macho tu ilionekana hongera kwao kujua ukweli
The girls love each other no doubt, but Sharon and Melon is going to get the attention and Mevis must feel it more with all the attention on the twins, she must feel she's not the twin anymore. So sad.
Kwani macho hamuoni mpaka DNA ndio mjue ukweli
😂😂
@@tkprotich 🤣🤣🤣🤣 waende wachukue huduma namba . Halafu wanakaa warembo
The gouverment or social society should interfere in this matter for the sake of both families and make sure they get opportunity to remain together.
kwani huyu mama mweupe hata macho haoni huyy msichana mweupe ni wake
😂😂😂😂🤝
Alhamdulilah MaashAllah
enh these girls itisha compasation at cio dhambi muish kama wow !! ilaa kuna uo mevis kafanana namm ,anyway I will act next year acha iishe ya meron na Sharon
Woi kwa melvis dio itauma sana pole
Chako ni chako hata kiende wapi kinakurudia tu asifiwe mungu
kwani hao Dakari warikua na nia gani?
This is very sad
They do not have to report the hospital, just put the teens to live together as relatives.. what is meant to be will eventually be. A court case will further complicate the matter even if they will win the case. God already brought them back together, and they should appreciate that first..How many people out there raise kids that are not theirs?
Wah huyo mweupe anafanana na baba yake kichwa aki
True hata mama wana fanana
I feel so bad for her..she's not happy at all to go to that family.. 😥
Can u please help me to understand?have been waiting for this results for so long but really don't understand what the results is now...pls help me
@@CandyAgogohemaa the results is those two darkskin who looks a like are identical twins belongs to one mum from kakamega the other one with light skin belongs to the woman from Nairobi so one of the twins was switched at birth with that light skin girl
Omg...I thought as much...thanx so much
Thanks for your explanation
Huyu hilo jicho lina nini kwani😕
Washukuru mungu sana kila mtu amepata wake
I'm sorry
Ila mama wawili mjanja alikua anawataka wote watatu daa mungu mkubwa muishi kwa amani
Waishukuru mitandao ya kijamii wasingepatana
Body language ya huyo mama. .. Anajuwa kitu. .may be alidhania wake atakufa huko clinic. . Akabadilisha. ... ukweli umetoboka sasa kila mtu kwa mamake. .. na majina mbadilishane pia sio yenu . Na birth certificate. .... mmmh dunia haipungui maajabu. ..
Thts wat have been thinkin bt mungu akamprove wrong...mama wa ongwaro shez behind all ths mess
Seriously. ? don't be negative
KENYAAAA POLISI WAOGOPESHA NA MADAKTARI TAMAA NYINGI UKIONA POLISI BADALA USEME YES NIKO SLM LAKINI KENYAAA NDIO UMEONA NYOKA NA DAKTARI NDIO HAO
jameni vp huyu mama hakujuwa kama amezaa mapacha ??????
@@mamitomamita6284 alijuwa but akapewa mtoto si wake. ..swali ni vipi watoto kwa nasari wakabadilisha. Coz kila mtoto huwa na namba na jina kwa nasari. ...i doubt
Duh hii inataka moyo sanaa
Kuna kitu sijaelewa hawa wasichana nani aliwapea manjina wote juu inaenda kuwa sawa yote?
All families should come together for the sake of these girls.
Wah
Ukweli ni kua ukweli itakaa ikiwa ukweli haijarishi ni kwa muda gani mbali itakaa kua ukweli.
Amen
Any boy to tell mi in english are they twins or just familiar????
Twins changed at birth
@@izhaantv7451 thx dear
Huyu dem brown fate yake ni gani ama mamake ni mgani
Mamake ni huyo brown.
New word ya kiswa ' msimbojeni' ni DNA
Not new
@@kevinchisaka8711 Nini not new
Msimbojeni is not a new word in Kisw.it's been there since time immemorial
Wanashtaki hospital y nn? The one bihide this ako tu hapo mtu mwerevu anaerewa
Khai 🤔🤔🤔
Sasa kila mtu aanze kuzoea kwao
Hawa madoctor nyoko sana, ndio maana mtu unaweza kuzaa mtoto amekufa huenda ni uzembe wao
Sasa kila mtu aende kwao bass
Medics,be sure God is watching you, the messes some of you are doing to peoples lives and health,you will live to pay. Imagine carrying a baby for 9 months,going through the scary labour process or CS,only for someone to tell you the baby has died yet it has been sold or given to another person! Utu umeenda wapi jameni?
I need help also to find my biological father whom I hear that he is a Kenyan ,am 25 years old but I don't know my biological father and i would love to find him and my roots.Please...i need help.
Kenya is huge. Do you know your fathers names?
@@kalex3433 yaaaa.....i know that dear,he is Oketcho James that's what I was told😏
Aaaw Lulu and Rashid
Mola awape subra
Chembechembe za?
Msimbonzeni
nilijua tu coz ata sura zimaonyesha
huyu dem brown cc wa kina mapacha ...
Mess😕
Citizen iko na slay king kama reporter wao....ati "patsa" tena si pacha??
Weupe ata wanafanana n mapacha na mama yao weusi ni evident
Mungu hamfichi mnafiki hata machoni utamjua tu acha malezo yake
Mmmmmmmmmh unakusudia nini ?
@@sheikhibrahimabdullahikeny1509 wewe unaongea kama huyo mama aliiba? remember DNA imethibitisha huyo mama mweupe ni mama Mevis
Ata watangazi ni pacha mshare kila kitu kuanzia bed mpaka kazi
iyo ilionekana kitambo,Lakin mm stakubali ntaenda penye nimenyonya,iyo nikama kuzaa mtoto bila baba
Next ni malawyers...
Patsa ,tsembetsembe😂
White mum she the mother to mevis they look alike.
Read a book titled TWO IN ONE. Similar story.
Yeah
Milima haikutani Bali binadamu hukutana
At a Mimi nmeona akilifinya
Naked truth Kenyan mara u have tried
Uzuri kila mmoja alijisatiti kumaomesha aliye kwake
Maskini nani alifanya kitendo hiki Mungu atabaki kwa Mung.
Hosptali wanamakosa san
Hehe