Kwangu mimi sijui ugomvi ulitokea wapi bali napenda kusema tu tuheshimu kazi ya mtu coz hiyo ndiyo inalisha yeye na familia yake. Hata wewe Nay wa Mitego, sidhani utasikia vyema iwapo tutasema "wasanii ni wahuni, malaya, mateja na wanapenda kuishi fek life!!!!" Hiyo ni dharau kubwa kwa wasanii na hivyo basi hata wewe heshimu kazi ya mwenzako kama vile tu wewe ni kioo cha jamii. Nakuheshimu sana Nay kwa utunzi wako mzuri bali hapa ndugu yangu haukutendea binadamu mwenzako na mtafutaji kama wale wengine haki ili watoto wao wawe vizuri kwa maisha. Watoto ambao babazao ni mabodyguard watakuchukia bure na ni vyema utafakari sana kile ulichokisema, si kizuri. Hata anayefanya kazi ya chura na kulipwa $70 kwa mwezi ni bora tu kuliko kukaa nyumbani na kuwa mwizi ama changudoa. "Heshima ya mtu ni utu na hata yule mtukutu usimuone kiatu."
Mimi binafsi simuungi mkono ney wa mitego,Amedhalilisha Mabaunsa!lugha alioitumia inaleta ukakasi!Nikweli tuna uhuru wa kuongea lkn tuweni nakini natunachokiongea au kukiposti"kwa maneno yako utaesabiwa HAKI na kwa maneno yako UTAHUKUMIWA"
Mabaunsa nao wanatafuta rizki, si vyema kuwabeza katika njia zao za utafutaji. Sote hatuwezi kuwa na njia moja ya kuipata rizki. Diamond help them so that they can support their family
Basi mtafute kazi nyingine ya kufanya, maana hata mwarabu nae alisema wakati anafanyakazi kwa Diamond hajawahi kuwa na pesa Bank. Sasa yanini kujitutumua bila malipo.
Mim maoni yngu sis binaadamu tunatofautiana kimipango na kimaisha kwahyo unacho kiona kiko sawa na kinaweza kukuletea ugali ulio halali ni vzur. Ila si vyema kujidhalisha kwa kitu
Nay songa mbele fanya kazi achana na wakaanga chumvi km pesa ni zako na unajua umepataje anayetaka heshima akadai kwa familia yake,km fedha nae atafute zake km anaweza
HAWO MA BAUNSA WAMEKOSA KAZI ZA KUFANYA KWANI HILO NI JAMBO LA KUFATILIA MWAPENDA KUBAFILISHA MANENO SANA KAMA WANA WAKE AMA MUMEKOSA KAZI ZA KUWA LINDA WATU MJE MNILINDE MIMI NA SINA PESA KABISA BUREEE🇰🇪🇨🇿
Kama unaamin bongo touch mafala gonga like here
Uduanz huo
@@simonilucas4672 gg .gggggg.gggggggg
kataa naiyoo ney jembe kama unaamini ney haongop kima full like apo ndichi
Kwangu mimi sijui ugomvi ulitokea wapi bali napenda kusema tu tuheshimu kazi ya mtu coz hiyo ndiyo inalisha yeye na familia yake. Hata wewe Nay wa Mitego, sidhani utasikia vyema iwapo tutasema "wasanii ni wahuni, malaya, mateja na wanapenda kuishi fek life!!!!" Hiyo ni dharau kubwa kwa wasanii na hivyo basi hata wewe heshimu kazi ya mwenzako kama vile tu wewe ni kioo cha jamii. Nakuheshimu sana Nay kwa utunzi wako mzuri bali hapa ndugu yangu haukutendea binadamu mwenzako na mtafutaji kama wale wengine haki ili watoto wao wawe vizuri kwa maisha. Watoto ambao babazao ni mabodyguard watakuchukia bure na ni vyema utafakari sana kile ulichokisema, si kizuri. Hata anayefanya kazi ya chura na kulipwa $70 kwa mwezi ni bora tu kuliko kukaa nyumbani na kuwa mwizi ama changudoa. "Heshima ya mtu ni utu na hata yule mtukutu usimuone kiatu."
Kweli kabisa
Ongeraa saaana chibu dangotee unapenda maendeleo ya vijana wenzakoo Big Up saanaa
Hata.wanao.mlinda.rais
Ni.mabossa.nay.vizuri.umeongea. true story about life
Faustine Kiwia hahahaa subutu
hongera sana kwako bro baunza unatambua umuimu wa mtu Mungu akusaidie
Like yako tafadhali .....kama umegundua jitu LA ni muoga ...
kama unaamini ma bounce wote wanahongwa na bia gonga like.
true boy
True boyyyyyyyyy
Kama unaamini bongo Touch ni boya gonga like nyingi hapa
choko kabisa sio boya.kwasababu kutukanwa wanapenda wenyewe wasenge hawa
Mabogas
Wanazingua Sana kumchanganya rais na upuuzi wao
Diamond Mungu akubaliki xana brother kwa kuwa inua vjana
Haya maisha mabaya sana,,,Mjue sana Mungu ili amani iingie
We neema huna lolote. Kaondoka kwako, ndio unaongea ujinga huo. We nani mpaka umpige mkwala. Usimtishiye mwanaume mwenzako.
Upuuzi tu unaongea mwanangu so big up Mr True boy
Namukubali san jitu lakale ila siyo vizuri Ney wamitego 😭
Lax major MS
Saw kk
Jamaa linafurahisha sana kweli bia tamu sanaaaaa😂😂
Goood jitu la kale
Msema kweli ni kipemzi cha mungu ,,,na penda ukweli wako
Na mm ni jitu la kale namba 2 i like that name
Mbona hii habari ni kama maji na mafuta haziendani na cover yake,tafuteni habari na muzitoe kiufasaha.
kweli we we jitu LA kale umenena kwa busara nzuri sana
Nakubar xaaana Ney wa mitego
Unaongea powaaah kabixa hahaha
Kaz n kaz Tata pga kazi
anaye muunga nay mkono gonga like
Ney hajaongea vibaya kaongea point kubwa sana wanaomaindi hawajaelewa
Kusema kweli hatuogop
julieth jackson choko Tu
Mimi binafsi simuungi mkono ney wa mitego,Amedhalilisha Mabaunsa!lugha alioitumia inaleta ukakasi!Nikweli tuna uhuru wa kuongea lkn tuweni nakini natunachokiongea au kukiposti"kwa maneno yako utaesabiwa HAKI na kwa maneno yako UTAHUKUMIWA"
Ramadhan aldawiyya From Zanzibar. ..U super star usitupe Kibali cha kuongea UTAKACHO hata kama ni Udhalilishaji/upotoshaji...
Good Sana ney ney Ana chukiwa kwa sababu Ana ongea ukwer ukwer una uma Sana ira kumbuka Kama umejisahau unakumbushwa arafu vilevile no faida kwao
True boy
Kaka mstarabu anaongea vizuri Kwa utulivu. bila jazba pamoja na kashifa zote.
Sana mi nimemuelewa vilivooo
Nani huyo?
Achen ufala bongo lalaaaa nyie picha ya rais na bordguard wake imehusikaje apo 🙄
Central bo
Mabaunsa nao wanatafuta rizki, si vyema kuwabeza katika njia zao za utafutaji. Sote hatuwezi kuwa na njia moja ya kuipata rizki. Diamond help them so that they can support their family
Kama umemuelewa bausa Chibu analipa mkwanja na
Ji2 la Kale 2ko pamoja brother
Hahaha nay bhana!!
Masasi mwaka 2011 nilikuepe br bar na eneo jingine ilikuwa ni jibo bar.
THE BIGGEST BOSS NASRI TV
nyie siku zote mtakuwa wasenge ney hana kosa mbali yuko tetea kimbalua chenu ila we uko na bifu na mr nay
Sasa uyo unayesema anatetea yey ndo mnyonyaji anamzungusha mtu anamlipa elfu10 wabongo bhana kwa kutetea ujinga tuko vizuri
Gd
mafala nyie yaani mnatuwekea picha ya rais kuwa anamfokea ney, kumbe ni huo ujinga wenu huo, shenzi zenu mnatupotezea muda
wanatumalizia mb tyu hawa
😂😂😂😂😂
Msitumie pich ya mtu kupata viewers wa kutosha
Kuma sana hawa wasenge
Mnatuwekea picha ya uongo
Kama umesikia baunsa kasema sio hela ndoro gonga like 😂
🤣🤣🤣🤣
Mabausna gan wanalinda kwabia
Kweli
Jamaa kaongea ukweli m2pu, ni wachache wanaoweka wazi uhalisia wao, big up @ jitu la kale
Team Ney Tugonge
The true boy in the building
We fala
ney we boya san
Uboya wke uk wp
Wewe nae huna akili vile vile
Kaka nay kufanikiwa kwako isiwe fimbo kwa wenzio Angalia jinsi anavyo Ongea mwenzio jilekebishe kaka one day Aya maisha yana mwisho wake
Kweli jamaa huyu Ni mstaarabu Mno hajapanic
Ally Emmanuel acha ufala akili ndogo ndomaana huwezi kumwelewa nay
Mm narud nyumbani saa 9
Boby gady unaakili sana mi nimependa unavyo mthamini mtu
Picha ya mweshimiwa nayo mnazingua
Basi mtafute kazi nyingine ya kufanya, maana hata mwarabu nae alisema wakati anafanyakazi kwa Diamond hajawahi kuwa na pesa Bank. Sasa yanini kujitutumua bila malipo.
Hongereni kumtambua anaewajari
Hawa wapumbafu sana,munatumia picha za rais kwa mambo yenu ya kipuuzi acheni ujinga wenu wa kibange wapuuzi nyie
Mim maoni yngu sis binaadamu tunatofautiana kimipango na kimaisha kwahyo unacho kiona kiko sawa na kinaweza kukuletea ugali ulio halali ni vzur. Ila si vyema kujidhalisha kwa kitu
Gonga like uyo jitu mwoga hahaha😁😁😁😂😂😭😨😨😨😅
Kama Unaamini Saa Kumi sio Usiku Gonga Baunsa Huwez kulud Saa Kumi Nyumbn
Kawaida maneno kwa binadamu ukifanya zuri watasema na baya ndio zaidi.
Huyo baunsa bhana awez ogopa
aha ahaa sema unataka diamond akwajili ndo maan unamfagilia
Neyy noma
Bounca anaongea vzuri Mno Ni mstaarabu
Kwa anaefaham kiswahili vzr, nay aliongea vzr sn, Ila ninyi mabaunsa mlitafsiri vibaya, yatawakuta
Fuba Njenjele ney amekosea sana kumwambia mwenzko anafny kaz kw ofa ya bia c sahih kuna kaul za kuheshim ut
Ney kaongea point yn
mavi yenu mkome kumtumia rais kwenye usenge wenu hana muda n upuzi
Noma Sana'a😂🤣
Ney mshamba Sana , acha kuwaza maisha ya watu
Kumbe dh Ney fanya kwer
Ongeaa Md muhimuu sio unamsifia diamond tuu vipii
Hakuna asiependa kumsifu anaemjali.utakua uchoyo wafadhila.
Ifike mahali tujitambue...Hiki mkifanyacho ni ujinga ulio pitiliza tena mnastahili hukumu kwa ujinga huu
Kama unaamin na unsubscribe bongo touch media gonga like hapa
Asa police inafanya kazi gani??
Acheni ujinga kuweka picha hausiki kikihizo zakishamba ney apewe pongezi samin kaziyenu
Duu we nay
Mnayumba Sana lakni kuweni na msimamo boy
Best naso
Ugu gu channel ni mafalla ote
Bouncer amefurahi kupanda ndege
Nay songa mbele fanya kazi achana na wakaanga chumvi km pesa ni zako na unajua umepataje anayetaka heshima akadai kwa familia yake,km fedha nae atafute zake km anaweza
Baunsa kaingia ubaridi hahahaha
Manina
Aiwezekani kwa ney kuwahomba msamaa mmehadaliwa nyinyi
Broo cjakuelewa.sanamu tenah.
Jamaa hana hasira na Nay wala matusi ya kurudisha kwa sababu moyo umejaza mengi mazuri ya Diamond, kwa kifupi Ney kaabika sana katika hili...
Hatari
Kweli baba
Kumbe ata mm naweza kumiliki mabaunsa na kuwalipa posho zuri tu na wakafurahia maisha.
Bro unataka kuingia mziki wa true boy kama utamshinda basi tutakuchangia we jitu la kale alafu hao wana personal conflict wala hakuna kingine
Ukisikia ujinga ndio huo huo ujinga sasa hata mkauweka kwenye midia unasaidia nini jamii zaidi ya ufala wenu
Huyu nei wa mitego anachoyo sanaa yani sijui kaubwa vip
Mwandishi mbwa wewe unamueka rais wa nchi kwa ishu ya kishoga..mamamayo
😂😂😂😂ilo jmaaa limeishia ngumbalo yaani bia tuu linakesha hadi asubuhi
True
Huyo bouncer anaonekana ni bongo la mshamba,harafu kama anatafuta ajira hivi wasafi!!
Nay uko vzr
pumbavu zenu nyie mmenimalizia mb zangu bure mm nilijua muheshimiwa anamfokea ney kumbe bure kabisa sasa picha mmeweka ya nn sasa
Wasenge kweli hawa
Hahahaha mwenyewe nilijua ivo makuma haya asee
Omba kaz kwa jeshi harmoniz wana lipa cash siyo maneno
Msimuunganishe mhe Rais kwenye upuuzi wenu.
Wapuuz nyie mnaweka picha ya rais kujipandisha wekeni masura yenu ya jitu jeusu sio ya rais
Ney yupo sahihi kuomgea hivyo
Mabaunza msimchukiye ney anawateteya ninyi msichukuliwe powa.
Nyie niwapumbav mnaweka mataila kwenye picha yalais
Mnatafunwa
HAWO MA BAUNSA WAMEKOSA KAZI ZA KUFANYA KWANI HILO NI JAMBO LA KUFATILIA MWAPENDA KUBAFILISHA MANENO SANA KAMA WANA WAKE AMA MUMEKOSA KAZI ZA KUWA LINDA WATU MJE MNILINDE MIMI NA SINA PESA KABISA BUREEE🇰🇪🇨🇿
Jeshi lingewatumia hawa jamaa ili wapate kipato cha uhakika
Kweli kija
Ney wa mitego ni shogaaa kwelikweli
Ney umewakosea sana mabaunsa
Baunsa anasema ameshyne...sijui na ww umeskia!!!🙄...kama umeskia gonga like twende nalo...🤸♂️🏃♂️
Lakini kweri mnakamata watu wanaogombania Mapombe kwenye Baaa Munawafananisha na Raisi wa inchi kweri nyie Mafara tu
Yaha
Nyie ma k