Nagwa unaweza sana mkali ila vijana wako hawajatulia san kwenye uongeaji,wahun wamekaa poa ila huyo mzee mjomba wa bint na mjumbe hawajafit kabisa.hao chura wako poa ila wapange kwenye maneno mkal wawe mapepe fulan alafu kali konki nazan unaekewa mkali namanisha nn,ila kazi poa san tunategemea mengi yenye kuburudisha.
Zimeni iyo mi sound beat inayo pita na sauti ina boa chengine quality ya video na editing zingatie ata izo camera mnazo shutia zingatieni na sauti kwenye movie
Hivi kweli muhuni no mtu ambae anavaa cheni shingoni herine masikioni na kipini puani wewe sio muhuni no shoga kwani hofu yangu umevaa ahanga Kama umeweza kuvaa kipini utashindwaje kuvaa ahanga
Kak kiufup haujui kuigiza ww pamoj na crue yako nzima movie zako hazin elimu Wala hazitujeng kwa chochot Zaid ya ujinga tu nakupotosha vijana kwa uamzi wangu km ningekua na kiwadhifa fulan iv nigekufungis kabs kaz hii
Kazi zuri nawasapoti Sana Sema nini huo mdundo wa sauti umekuwa sometime unazidi kwenye sauti sometime hatusikii vinzuri
Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa.
Nagwa kazi nzuri Kenya twakupenda pia tunapanda nyimbo zako
Asante sana kaka 🙏🏼
Kazi nzuri sana Nagwa na wengine lakini sauti iko chini sawa
Asante sana 🙏🏼, tutaendelea kurekebisha sehemu zote!
Nakubali
Kilaaa mtuuu anaweza sema akitaka choo ilaaa uyooo mweupe amefitii uhuniiii vizulii tuuuuu❤❤❤❤
Asante 🙏🏼
Mwamba kafit San ten maneno yapo mdomoni sio uongeaji wa kukalili yupo vizur San keep going... 💪
Aya karibuuu 😂😂😂😂😂
Kazikazi mwamba humohumo hakuna kupoa kazi nzuli
Asante 🙏🏼
kaka vp
imeenda hii 🤣🤣 nmeikubali
😮
Hapa ngoma nagwa hapa kishandu nakubali sana familia zangu🔥🔥👊
Asante 🙏🏼
Kazi nzuri nagwa sema sauti sehemu nyengine Haina salute
Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa!
full support from 001 🇰🇪 mko juu tuu sana..mume eleza jamii kunavoendelea #new Generation...wahuni hee nawatambua 👊👊👊 ma bloody.
Congrats big up your work had now acen see jah bress you
Amen 🙏🏼
Daah asante nimekusubir sana hatimaye umerud
Asante 🙏🏼
Ngoma nagwa bendera chuma safi sana
Asante 🙏🏼
Ila mziki mwingi Sana mpk saut inakua chini sema kazi mzuli Sana
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯
Nakubar 💪🏾 kazi nzuri 💯💯🔥🔥
🙏
Kali sana
Asante 🙏🏼
mmetisha wakush sema bit inatawala sana kuliko voice
Asante 🙏, tutalifanyia kazi.
Pamoja Sana
NICE ONE NAGWA
254 imeweza buda
Asante 🙏🏼
❤❤ Gostei Muito
🇲🇿🇲🇿🇲🇿💪💪💪
🙏🏼
Kali sana nakukubali mzito nagwa
Asante sana 🙏🏼
Ngoma nagwa nakukubali kisenge ❤
Asante sana 🙏
🤟🤟🤟 nakubali kichwa Andazi🙌🙌🤛🤛✊
Asante sana 🙏🏼
Umetisha sana yani ire kizazi
Asante 🙏🏼
Tariiiiiii wauni nakubali wazeee sema zingatieni sauti sasa
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯
Mule mule family apo kwenyewe aina iyo wala nn kazi nzuri sana hii
Asante sana 🙏
Bwana nagwa tunakukubali big up man🇰🇪
Asante 🙏🏼
mama mmoja shem
Sema sauti iko chini san wanangu
.kaz 💥💥
🙏🏼
Nakubali 💪💪💪
Asante 🙏🏼
Good work
🙏🏼
Mnazingua hivy vinanda
🙏🏼 Tutaliweka sawa.
Ila ngoma nagwa nakukubali
Asante 🙏🏼
Kazi Zuri ila Sauti ipoo chini.sanaa
Sema sauti ipo chin sana nagwa
🙏
Kazi nzr soundback iko juu
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯
Hio nyimbo hapo background iko na sauti kubwa hata maneno tatuskii poa but movie iko sawa 2
❤❤❤❤❤❤❤
CHUMA Iko sawa Lakini sauti mumeinyima
Asante 🙏 tutaliweka sawa.
Kunavipande sauti ikochini sana
Usijali bos tutaifanyia kazi 🙏
Nomileeeee
Me sio shangingi lol 😂😂😂😂😂
Nagwa unaweza sana mkali ila vijana wako hawajatulia san kwenye uongeaji,wahun wamekaa poa ila huyo mzee mjomba wa bint na mjumbe hawajafit kabisa.hao chura wako poa ila wapange kwenye maneno mkal wawe mapepe fulan alafu kali konki nazan unaekewa mkali namanisha nn,ila kazi poa san tunategemea mengi yenye kuburudisha.
Asante sana 🙏🏼
Hhhhhh mze nagwa kaz sn
🙏🏼
Mashallah ❤❤❤❤❤
🙏🏼
Jamani sound ipo juuu sana
Tutaliweka sawa 🙏🏼
Nangwa Kaka uko bike nini maana tumemisi kazi zako
Kazi zitakuepo nyingi sana 💯
Nmependa tabuu alvo mchangamfu af anajua kuvaa uhusk wake
Asant 🙏🏾
Nagwa tulisha wamiss😊😊
Asante 🙏
Sema nni ilo biti la boa kweli
Usijali tutaweka sawa
Nagwa tumekumis sana
🤙
💪💪💪🇲🇿🙌
🙏🏼
Kanuti wangu uko juu
Asante
@@mashinefilmtz ushanijua
Huyo mdada alomuokota huyo dada sijapenda alivyo igiza yeye kama kamuokota mtu ani kumuuliza tu mh
movie mbayq bhana😢😢😢
🙏
Nagwa boleshea kwenye saut
🔥🔥🔥🇺🇸
🙏🏼
Kumamaee wa kwele hawaa
🙏🏼
💪
Asante 🙏🏼
Wanawake w skuiz mnaboa nyote mna mipini puani 😅
🙏🏼
Sijapenda😂
Zimeni iyo mi sound beat inayo pita na sauti ina boa chengine quality ya video na editing zingatie ata izo camera mnazo shutia zingatieni na sauti kwenye movie
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯
kazi nzur ila iyo sound inayosikika nyuma inazingua inafanya maneno yasisikike vizur
Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa.
Hatalii
🙏🏼
Mnakwama ktk sound sauti ipo chini baadhi ya vipande kingine background sound inakua juu kuliko waongeaji mkiongea zima sound background inazingua
Asante 🙏 tutaliweka sawa
@@mashinefilmtz shukrani kwa kuelewa na kutusikiliza wateja wenu asante sana nafikiri episode no. 2 itakua poa kwa sauti
Kuna Mtu Hapo Anafanana Na Afande Wa Zanzibar
Movie safi ila sound effects ziko juu kuliko chenye mwaongea
Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa 💯
Hivi kweli muhuni no mtu ambae anavaa cheni shingoni herine masikioni na kipini puani wewe sio muhuni no shoga kwani hofu yangu umevaa ahanga Kama umeweza kuvaa kipini utashindwaje kuvaa ahanga
Mwendelezo naupata wapi
Tayari upo
😮
Hahahahaaaaa👍👍👍🇹🇿
🙏🏼
Muendelezooo pleass 😢😢😢
Soon
Jitahidi sauti inazingua maneno haya sikiki
Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa
nagwa kama nagwa #542
🙏🏼
Content nzur lkn kiukwel tunaitaji content zakuivusha tasnia yet katka dunia kmataifa kwahz conten bdo tasnia yetu naiona inasogea kwa kidgo mno huo ndio ukwel unao umiza hz content za kiuni usela hatujengi tasnia maana tunaaamasisha vjana waish hvoo
Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi kuhusu ilo 💯
Mmezingua sauti ila kazi kazi.
Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa 💯
Sauti ni tatizo
Tutaliweka sawa 🙏🏼
Nagwa saut yako Ipo chin babuu.au hupo Sirius kwenye iyo movie
Tutaliweka sawa 🙏
Muendelezo please
Soon utakuepo
mwamba mtukazi nagwa
🙏🏼
NYUNDO
Director kazingua sauti imesikia ikimwambia tabu amwambie piper "haya karibu"
Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa 💯
Og
Nakbal
Nangwa unafanana na barna boy kinyam
Asante sana 🙏🏼
Huyu dogo wait mtoto wa mama sana hata maneno ya kihuni hayamkai yanampwaya uhuni siyo staili yake
Asante 🙏🏼
Voice is donw please next tim collection
Tutalifanyia kazi 🙏🏼
Tatzo saut low qwalyt
Mh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
🙏🏼
Bendera chuma
🙏🏼
Kak kiufup haujui kuigiza ww pamoj na crue yako nzima movie zako hazin elimu Wala hazitujeng kwa chochot Zaid ya ujinga tu nakupotosha vijana kwa uamzi wangu km ningekua na kiwadhifa fulan iv nigekufungis kabs kaz hii
🙏🏼
Nilikuwa nataka niitazame hii movie ila kwa maelexo yako ngoja niache nisije kumalizia bando langu buree kwa ujinga wa nagwa
❤❤❤❤❤
💪💪💪🇲🇿🙌
🙏🏼