PASSPORT Sehemu ya Kwanza (1)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 179

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 ปีที่แล้ว +5

    Kazi zuri nawasapoti Sana Sema nini huo mdundo wa sauti umekuwa sometime unazidi kwenye sauti sometime hatusikii vinzuri

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa.

  • @georgewafula4081
    @georgewafula4081 ปีที่แล้ว +7

    Nagwa kazi nzuri Kenya twakupenda pia tunapanda nyimbo zako

  • @Rodgers393
    @Rodgers393 ปีที่แล้ว +7

    Kazi nzuri sana Nagwa na wengine lakini sauti iko chini sawa

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว +2

      Asante sana 🙏🏼, tutaendelea kurekebisha sehemu zote!

  • @semenijumaa-pj8ef
    @semenijumaa-pj8ef ปีที่แล้ว +2

    Nakubali

  • @lijonjo_tz
    @lijonjo_tz ปีที่แล้ว +7

    Kilaaa mtuuu anaweza sema akitaka choo ilaaa uyooo mweupe amefitii uhuniiii vizulii tuuuuu❤❤❤❤

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼

    • @aziziatumanially424
      @aziziatumanially424 ปีที่แล้ว +1

      Mwamba kafit San ten maneno yapo mdomoni sio uongeaji wa kukalili yupo vizur San keep going... 💪

    • @aziziatumanially424
      @aziziatumanially424 ปีที่แล้ว

      Aya karibuuu 😂😂😂😂😂

  • @chumvinyingi_
    @chumvinyingi_ ปีที่แล้ว +21

    Kazikazi mwamba humohumo hakuna kupoa kazi nzuli

  • @nashiruhassani5158
    @nashiruhassani5158 ปีที่แล้ว +5

    Hapa ngoma nagwa hapa kishandu nakubali sana familia zangu🔥🔥👊

  • @MwaishambaKipanga-bu9sz
    @MwaishambaKipanga-bu9sz ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri nagwa sema sauti sehemu nyengine Haina salute

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa!

  • @farajyassir9822
    @farajyassir9822 ปีที่แล้ว +1

    full support from 001 🇰🇪 mko juu tuu sana..mume eleza jamii kunavoendelea #new Generation...wahuni hee nawatambua 👊👊👊 ma bloody.

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 ปีที่แล้ว +1

    Congrats big up your work had now acen see jah bress you

  • @Matimila_Boy
    @Matimila_Boy ปีที่แล้ว +1

    Daah asante nimekusubir sana hatimaye umerud

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 ปีที่แล้ว +2

    Ngoma nagwa bendera chuma safi sana

  • @hatibuabdulla1039
    @hatibuabdulla1039 ปีที่แล้ว +4

    Ila mziki mwingi Sana mpk saut inakua chini sema kazi mzuli Sana

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯

  • @Nyangondeog
    @Nyangondeog ปีที่แล้ว +6

    Nakubar 💪🏾 kazi nzuri 💯💯🔥🔥

  • @teklamatingu254
    @teklamatingu254 ปีที่แล้ว +4

    Kali sana

  • @majaliwamaliwata6311
    @majaliwamaliwata6311 ปีที่แล้ว +1

    mmetisha wakush sema bit inatawala sana kuliko voice

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏, tutalifanyia kazi.

  • @JumaShekhe-d3f
    @JumaShekhe-d3f ปีที่แล้ว +1

    Pamoja Sana

  • @athmansalim218
    @athmansalim218 ปีที่แล้ว +1

    NICE ONE NAGWA

  • @AdamLeli
    @AdamLeli ปีที่แล้ว +1

    254 imeweza buda

  • @harmonywacucuea8240
    @harmonywacucuea8240 ปีที่แล้ว +8

    ❤❤ Gostei Muito
    🇲🇿🇲🇿🇲🇿💪💪💪

  • @mohamedabubakar8017
    @mohamedabubakar8017 ปีที่แล้ว

    Kali sana nakukubali mzito nagwa

  • @LeilaYahaya
    @LeilaYahaya ปีที่แล้ว

    Ngoma nagwa nakukubali kisenge ❤

  • @mjombamanango
    @mjombamanango ปีที่แล้ว +1

    🤟🤟🤟 nakubali kichwa Andazi🙌🙌🤛🤛✊

  • @EmmanuelShedrack-ty6vz
    @EmmanuelShedrack-ty6vz ปีที่แล้ว

    Umetisha sana yani ire kizazi

  • @hatibuabdulla1039
    @hatibuabdulla1039 ปีที่แล้ว

    Tariiiiiii wauni nakubali wazeee sema zingatieni sauti sasa

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯

  • @shabaniabdi
    @shabaniabdi ปีที่แล้ว +4

    Mule mule family apo kwenyewe aina iyo wala nn kazi nzuri sana hii

  • @mariaomosh3102
    @mariaomosh3102 ปีที่แล้ว +2

    Bwana nagwa tunakukubali big up man🇰🇪

  • @Annadotto-g9b
    @Annadotto-g9b 2 หลายเดือนก่อน

    mama mmoja shem

  • @muharramhamisi5140
    @muharramhamisi5140 ปีที่แล้ว +1

    Sema sauti iko chini san wanangu

  • @jiiwolf2900
    @jiiwolf2900 ปีที่แล้ว +1

    .kaz 💥💥

  • @joshuasonko6442
    @joshuasonko6442 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali 💪💪💪

  • @BayanaclassicOol
    @BayanaclassicOol ปีที่แล้ว +2

    Good work

  • @jitumtumba1318
    @jitumtumba1318 ปีที่แล้ว +3

    Mnazingua hivy vinanda

  • @sarokipma3782
    @sarokipma3782 ปีที่แล้ว +2

    Ila ngoma nagwa nakukubali

  • @isayamussa
    @isayamussa ปีที่แล้ว +1

    Kazi Zuri ila Sauti ipoo chini.sanaa

  • @RajiMayira-tc2dx
    @RajiMayira-tc2dx ปีที่แล้ว

    Sema sauti ipo chin sana nagwa

  • @masoudahmadjabir9282
    @masoudahmadjabir9282 ปีที่แล้ว

    Kazi nzr soundback iko juu

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯

  • @jimdaniel468
    @jimdaniel468 ปีที่แล้ว +1

    Hio nyimbo hapo background iko na sauti kubwa hata maneno tatuskii poa but movie iko sawa 2

  • @TeddyArt-s4n
    @TeddyArt-s4n 7 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @selemanisozi936
    @selemanisozi936 ปีที่แล้ว +1

    CHUMA Iko sawa Lakini sauti mumeinyima

  • @msafingasa7434
    @msafingasa7434 ปีที่แล้ว +2

    Kunavipande sauti ikochini sana

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Usijali bos tutaifanyia kazi 🙏

  • @BabaNathan-ku5kg
    @BabaNathan-ku5kg ปีที่แล้ว +1

    Nomileeeee

  • @nairaidid4936
    @nairaidid4936 ปีที่แล้ว +1

    Me sio shangingi lol 😂😂😂😂😂

  • @hanceironfurnitureog6252
    @hanceironfurnitureog6252 ปีที่แล้ว +2

    Nagwa unaweza sana mkali ila vijana wako hawajatulia san kwenye uongeaji,wahun wamekaa poa ila huyo mzee mjomba wa bint na mjumbe hawajafit kabisa.hao chura wako poa ila wapange kwenye maneno mkal wawe mapepe fulan alafu kali konki nazan unaekewa mkali namanisha nn,ila kazi poa san tunategemea mengi yenye kuburudisha.

  • @karimabdoul8164
    @karimabdoul8164 ปีที่แล้ว +1

    Hhhhhh mze nagwa kaz sn

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah ❤❤❤❤❤

  • @jumannezengo3437
    @jumannezengo3437 ปีที่แล้ว +1

    Jamani sound ipo juuu sana

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 ปีที่แล้ว +2

    Nangwa Kaka uko bike nini maana tumemisi kazi zako

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Kazi zitakuepo nyingi sana 💯

  • @giftjonson5739
    @giftjonson5739 ปีที่แล้ว +1

    Nmependa tabuu alvo mchangamfu af anajua kuvaa uhusk wake

  • @adidjavaiblackbeauty
    @adidjavaiblackbeauty ปีที่แล้ว +2

    Nagwa tulisha wamiss😊😊

  • @HatibuRajabuOmar
    @HatibuRajabuOmar 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sema nni ilo biti la boa kweli

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  5 หลายเดือนก่อน

      Usijali tutaweka sawa

  • @mohmedsaid7615
    @mohmedsaid7615 ปีที่แล้ว +3

    Nagwa tumekumis sana

  • @marioarlindo5074
    @marioarlindo5074 ปีที่แล้ว +4

    💪💪💪🇲🇿🙌

  • @mussahaji8539
    @mussahaji8539 ปีที่แล้ว

    Kanuti wangu uko juu

  • @ambindwilehosea6837
    @ambindwilehosea6837 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mdada alomuokota huyo dada sijapenda alivyo igiza yeye kama kamuokota mtu ani kumuuliza tu mh

  • @PaulPiuson
    @PaulPiuson 6 หลายเดือนก่อน +1

    movie mbayq bhana😢😢😢

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 ปีที่แล้ว +1

    Nagwa boleshea kwenye saut

  • @Diemeoscar
    @Diemeoscar ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥🇺🇸

  • @hamismoviemachine0015
    @hamismoviemachine0015 ปีที่แล้ว +2

    Kumamaee wa kwele hawaa

  • @jameschengo1471
    @jameschengo1471 ปีที่แล้ว +2

    💪

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 ปีที่แล้ว +2

    Wanawake w skuiz mnaboa nyote mna mipini puani 😅

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 ปีที่แล้ว +1

    Zimeni iyo mi sound beat inayo pita na sauti ina boa chengine quality ya video na editing zingatie ata izo camera mnazo shutia zingatieni na sauti kwenye movie

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi 💯

  • @daltonnasibu7946
    @daltonnasibu7946 ปีที่แล้ว +1

    kazi nzur ila iyo sound inayosikika nyuma inazingua inafanya maneno yasisikike vizur

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa.

  • @musamahaza-2611
    @musamahaza-2611 ปีที่แล้ว

    Hatalii

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 ปีที่แล้ว +1

    Mnakwama ktk sound sauti ipo chini baadhi ya vipande kingine background sound inakua juu kuliko waongeaji mkiongea zima sound background inazingua

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏 tutaliweka sawa

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 ปีที่แล้ว

      @@mashinefilmtz shukrani kwa kuelewa na kutusikiliza wateja wenu asante sana nafikiri episode no. 2 itakua poa kwa sauti

  • @lama6310
    @lama6310 ปีที่แล้ว +1

    Kuna Mtu Hapo Anafanana Na Afande Wa Zanzibar

  • @isaacamani145
    @isaacamani145 ปีที่แล้ว

    Movie safi ila sound effects ziko juu kuliko chenye mwaongea

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa 💯

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud ปีที่แล้ว +1

    Hivi kweli muhuni no mtu ambae anavaa cheni shingoni herine masikioni na kipini puani wewe sio muhuni no shoga kwani hofu yangu umevaa ahanga Kama umeweza kuvaa kipini utashindwaje kuvaa ahanga

  • @ambindwilehosea6837
    @ambindwilehosea6837 ปีที่แล้ว +2

    Mwendelezo naupata wapi

  • @RashidFaki-sy1dj
    @RashidFaki-sy1dj ปีที่แล้ว

    😮

  • @yustorubeni3077
    @yustorubeni3077 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahaaaaa👍👍👍🇹🇿

  • @lijonjo_tz
    @lijonjo_tz ปีที่แล้ว +2

    Muendelezooo pleass 😢😢😢

  • @kipandethedon2547
    @kipandethedon2547 ปีที่แล้ว +1

    Jitahidi sauti inazingua maneno haya sikiki

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa

  • @awesonurein121
    @awesonurein121 ปีที่แล้ว +1

    nagwa kama nagwa #542

  • @cleartzboy
    @cleartzboy ปีที่แล้ว +1

    Content nzur lkn kiukwel tunaitaji content zakuivusha tasnia yet katka dunia kmataifa kwahz conten bdo tasnia yetu naiona inasogea kwa kidgo mno huo ndio ukwel unao umiza hz content za kiuni usela hatujengi tasnia maana tunaaamasisha vjana waish hvoo

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼, tutalifanyia kazi kuhusu ilo 💯

  • @zainabulwambo5961
    @zainabulwambo5961 ปีที่แล้ว

    Mmezingua sauti ila kazi kazi.

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      Asante 🙏🏼, tutaliweka sawa 💯

  • @ayoubsam1167
    @ayoubsam1167 ปีที่แล้ว +2

    Sauti ni tatizo

  • @PoliteKind-df8kw
    @PoliteKind-df8kw 9 หลายเดือนก่อน

    Nagwa saut yako Ipo chin babuu.au hupo Sirius kwenye iyo movie

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  9 หลายเดือนก่อน

      Tutaliweka sawa 🙏

  • @shabaniabdi
    @shabaniabdi ปีที่แล้ว +1

    Muendelezo please

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 ปีที่แล้ว +1

    mwamba mtukazi nagwa

  • @jumansusa4522
    @jumansusa4522 ปีที่แล้ว +1

    NYUNDO

  • @msagalaalfred1378
    @msagalaalfred1378 ปีที่แล้ว

    Director kazingua sauti imesikia ikimwambia tabu amwambie piper "haya karibu"

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว +1

      Asante 🙏🏼 tutaliweka sawa 💯

  • @FanueliAmosi-jq6gx
    @FanueliAmosi-jq6gx ปีที่แล้ว +1

    Og

  • @evaristdeus9650
    @evaristdeus9650 ปีที่แล้ว +1

    Nakbal

  • @nasirkilapo6041
    @nasirkilapo6041 ปีที่แล้ว

    Nangwa unafanana na barna boy kinyam

  • @iddymuya206
    @iddymuya206 ปีที่แล้ว +3

    Huyu dogo wait mtoto wa mama sana hata maneno ya kihuni hayamkai yanampwaya uhuni siyo staili yake

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 ปีที่แล้ว

    Voice is donw please next tim collection

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 ปีที่แล้ว +1

    Tatzo saut low qwalyt

  • @MONSAUZI
    @MONSAUZI ปีที่แล้ว

    Mh

  • @sigbertkomwitaka8832
    @sigbertkomwitaka8832 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sarokipma3782
    @sarokipma3782 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂

  • @OfficialSibo_Tz
    @OfficialSibo_Tz ปีที่แล้ว

    Bendera chuma

  • @teophilletus8969
    @teophilletus8969 ปีที่แล้ว

    Kak kiufup haujui kuigiza ww pamoj na crue yako nzima movie zako hazin elimu Wala hazitujeng kwa chochot Zaid ya ujinga tu nakupotosha vijana kwa uamzi wangu km ningekua na kiwadhifa fulan iv nigekufungis kabs kaz hii

    • @mashinefilmtz
      @mashinefilmtz  ปีที่แล้ว

      🙏🏼

    • @kariojafari4185
      @kariojafari4185 ปีที่แล้ว

      Nilikuwa nataka niitazame hii movie ila kwa maelexo yako ngoja niache nisije kumalizia bando langu buree kwa ujinga wa nagwa

  • @usechaf
    @usechaf 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @marioarlindo5074
    @marioarlindo5074 ปีที่แล้ว +2

    💪💪💪🇲🇿🙌