| KILIMO BIASHARA | Kilimo cha dengu katika mji wa Naivasha
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2019
- Kilimo cha dengu kimekuwa kikifanyika humu nchini kwa zaidi ya miungo mitatu, japo asilimia kubwa ya zao hili huuzwa katika masoko ya kigeni. Kampuni moja hata hivyo inabadili taswira hii, kwa kuvutia soko la humu nchini. Denis Otieno ana maelezo zaidi katika makala ya juma hili ya Kilimo Biashara. #KilimoBiashara #Dengu
Well done my darling very proud of you keep the 🔥 burning 😍😍😍
Sio dengu hiyo
Dengu ukimwagilia inakufa
HIYO SIYO DENGU, DENGU HAIPO HIVYO! KUJENI TANZANIA MUONYESHWE DENGU
Acheni kuongea urongo wewe tv ya kenya dengu haiko hivyo waulizeni wa hindi(INDIAN)