ANTII NO : 10: TAMTHILIA YA MAADILI | OFFICIAL HD VIDEO | MASH TV | MADRASA SHOP TV ONLINE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2022
- Hii ni moja kati ya tamthilia bora za maadili nchini Tanzania inayozungumzia maisha ya wanandoa pamoja na majukumu ya mke kwa mumewe
Endelea kufatilia chanel yetu ili uzidi kupata faida
SUBSCRIBE LIKE COMMENT SHARE
MASH TV
+255773 950 250
+255717 513 191
MASH TV
MKONO KWA MKONO MPAKA TUSHIKAMANE - บันเทิง
Shukran kwa muendelezo Allah awabarik pia msitucheleweshee tena
Antii mzuri wa sura mpk roho ma sha Allah😘
Mashaallah Allah awape wepesi kwenye kazi zenu
Ma sha Allah tamu Ila mnatuchelewesha Sana jamen
Mungu atunusuru na mashoga wanfki
Asanteni sana ila mwanamke haogopewi kiasi chote hicho, simama kiume na uwe na maamuzi ya kijasiri, natumai story mwisho wake mzuri.💞
hv wanaume kama fahad wapo kweli mmmh saa izi kashaachwa muda uyo
@@husnaally6776 wapo kama hao
@@nshimirimanabora180 mmh si dhani kama inakuwa ki kawaida tu mwanaume kweli umfanyie hvyo ila dah mwanamke wa aina hii kiboko sijui ata kama kafunzwa na sijui kalelewa vipi kwao
@@nshimirimanabora180 a subutuuuuu 😂 😂 😂 umpate wapiiii?
@@husnaally6776 mi sidhani kma wapo
Waaleykum salamu masha Allah mumetuletea ya 10 sasa sio masha allah mungu awatangulie mwatunza mno wanawake ktk hizi tamthilia
Fahad fahad nakuita mara3 bora umuache bonge lkn sio bmdg kwakweli utapata tabu sana daah,
shukran but daaah mke kuogopwa hivo lakini Kazi mzuri mashallah
Walaikum salamu walahmatullah wabarakatu ira munatukawiza jamani Allah awabariki twawapenda fom 🇧🇮
Asanteni Mash Tv jazakallah khayran
Shukran sana movie nzuri yenye mafunzo👌👌👌❤️
Maa shaa Allaah basi msicheleweshe tena
Mashallah nzuri Allah awazidishie kazi zenu nawapenda sana mwendelezo episode 11
Mashaallah! Allah awasimamie katika kazi hii nzuri, huyu shoga kumbe juhudi zote hizi yeye ndio wamtaka shemejie ? Yapo mtaani haya anajifanya akupeleke kwa mganga kumbe anaenda kuwafanyia nyie. Allah atunusuru na mashoga hawa kwenye majumba yetu
Yapo sana hayo dada mie binafsi Sina. Imani na shoga hata kidogo walishanivuruga
@@zainabzain3434 pole lkn mm nimeolewa nimestopisha maana kuolewa kwangu wameingia wivu
😅n
Wow asante kw kutukumbukaa leo Allah awabarikiii
Hongereni Kwa kazi nzuri
Yaan nakereka anavyomng'ang'ania uyo mwanamke ah
Subra subrq
Assallam alleyqum warahmtullah wabarkatuh shukran sna kwa mafundisho yenu mazuri ila ushoga mwengine haufai wallah tuweni makini na mashoga na pia tunao olewa tuwajibike kwenye ndoa zetu uvivu auna laana💞
Movie inanifunza sana sana sana ila Fahad kama huo ustahamilivu unao kweli kweli basi nakuombea kwa Allah uzidi kabisa ila ukumbuke subrah ina mipaka,,,,,,nawapemda washiri wote kwa kutuelimisha ktk mising ya dini yetu🥰
walayk ssalaam warahmatullah, mashaallah 👌👌🥰🥰🥰🥰
MashaAllah much love from 974 doha
Shukran Allah awafanyie wepec mucitwk san
Mnaeka movie Sana inakua hainogi na ufatiliaji wake unapungua kwa watizamaji maana nyie wenyenu bado mko nyuma
Uyo hakufai muache mpe talaka hajui sheria za mke icho kizingiti hakifai kingoe
Shukrani kwa kutukumbuka jamani 🙏
Mashaallah jaman barakallwahu fik Allah awaajalie umry mrefu wenye manufaaa muendelee kutupa vitu vya faidah ni kitu Khery wanawake wanadumu kwenye starah na kuna mipaka nidhamu ni ya hali ya juu kaka Fahady Allah akulipe sana nakukubali sana kaka angu
Jaman asant ni nzur sana,,,, msichelewe 11
MashaaAllah move ni nzuri
TUNAOTAMANI KUFANIKISHA ANTII IJE KWA WAKATI TUJITOLEE KUSAPOTI PESA ZA UAANDAAJI, Tusilaumu tu
Hahhahah
Sunnah ya kupaka wanjaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Thank youuuuu so very much Zuri Tv for Your support.
Indeed hakuna anaependa kukaa na kazi ambayo wengi wanaifurahia tatizo ni PESA ya uaandaaj
C tunawasaport na kulipwanna youtube
😅
Maashaallaah mbn ya 11 hanlte jmni
Hatimaye jmn,,tuliwasubiria kwa hamu kubwa sana
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️nawapenda sana wajilani zetu
Asalam alaykum waramatulah wabarakatuh shukurani 🙏 sana jamani sikumingi tulikuwa tunawamiss 💞💞💞
Walaykum Salam Warrahmatullah Wabarakat
Shukraaaan
Ni changamoto za Pesa ndiyo maana mambo hayaendi
Waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Waalykum msalam waramatullah wabarakatu
Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Waalaykum ssalam warahmatullahi wabarakatuh
NZURI JAPO MWACHELEWWSHA
Mtihani shoga kama huyu ni mtihani kweli mungu tunusuru na watu kama hawa
Mashaallh film hii ina mafunzo sn mashaallh
Subhanallah😳 kumbe shoga mboga harakat zote zile nawe uko na Jambo lako🙄🙌
Mashaa Allah
Hello....nafurahia sana kaz zenu!!! but nnaombi napenda pia nahitaji kua muislam but sijuh nianzie wap! plz
Mashallah ndugu yetu kwa kuona Nuru ya uislam, unachotakiwa kufanya huko huko ulipo unatakiwa kwenda Hadi msikitini ambako pako na karibu na wewe,, Kisha tafuta shekhe katka eneo Hilo na mueleze Nia yako ALLAH akufanyie wepesi
Ok asanteh dadangu nitajitahid kufanya ulichonielekeza..., Mwenyezi Mungu akuzidishien🙏🙏
Hy ss hv kweli kulogana wanawake kutaisha leo unaachwa sababu ya mke mwenzio mume amuogopa
Kwanza nimecheka sana leo mashallah 💖🥰😅😅
Fahadi kaekti ana kichwa kigumu pia amefanywa msukule
Mashaallah hongeren kwa kazi nzuri wapendwa Allah awazidishie kher zaid maana mi binafsi niliwamis sanaaaaa
Sannna tuuuu mbonaaa wako vizuriii
Allaahumma aamiin
Masha wallah ila msicheleweshee km ivyoooo
Manshallah Tabarakallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Asantee md umepita nilimiss
Story nzuri lkin mbn hkun Ya 12
Mashaa Allah tabaraka Allah hongereni Sana filamu nzuri Sana
Jmn imeishia pazr dah natamani sahivi muiweke muendelezo
Mashallah
Manshaallah 🙏 tunashukur mungu
Fahad ananichekesha wallah sio kumuogopa mke hivyo
Mashallah mungu awatie nguvu zaid ktk kipaji chenu za kufunza jamii
Allaahumma aamiin
Tuliwamisi sana msicheleweshe sana banaa
Mpo vizur sana endeleen kutuelimisha Kaz njema
asalam alaykum waramatula
h wabarakatuh asante sana kwakulitea part 10 allah wazidishie nyote
Nawapenda wote jaman :antii mashaallah kaz nzur san ❤️😘😍💓❣️🥰
Mashaallh niliwamisi sana jaman
Maa sha Allah. Kazi nzuri
Mko vizuri maashallah
Mashaa Allah. Tuna wapenda. San😘😍
Mmm mnachelewa Sana
Shukrani Sana wapendwa
Shukuran sana kwa muendelezo 🙏
Shukran sana Allah akuzidishieni
Maa sha Allaah ❤❤
Mashallah mzur ila munachelewa sana
Antii nae pia ameshika y Rafiki
Mashaallah munaichelewesha ila
Ila mnachelewesha
Shukran sana Allah awabarik
Mke wa kwanza hafai,
Fahad Aseme kaoa tuone mke wa kwanza ataamua nini
Mfitinishaji kaptikana, mke wa pili atamjua tu fitna zake kwa sbb ana tawakkal kwa mola wake.
Jaman msitucheweshe ya 11 tenaisubi kwa hamu san
MashaaAllah
Tupunguzieni adhabu mnakaa sana mpaka tunasahau
MashaAllah
Maashaallh tunawaomba musitucheleweshee tuleteeni ya 11
Munachelewesha sala
Mwanamme km huyu mm simtaki maana uwadilifu najuwa zeeero....
Manshaallah shukrani 🙏🙏🙏
Uko sawa kaka kwa mafunzo,,but mwanaume hupaswi kuwa muoga kiasi hicho kwa mkewo
Mmh ukewenza unashidaa jamani sie wengine ngumi mkononi ukileta ujinga nakutandika makonde
Khaa yaan huyu shoga anaharibu kila upande 🙌🤣
Mbn moja to
Mashallah nzuri
Akiii wanaume waoga hivi walipoteaga kwenye vita vya majimaji sikunyiiingiiiii
Huyu adi anikela jamaniiii
Anakera mnoo
Wapo sana
Matatizo ya mwanamke yanasababishwa na mwanamke mwenzie
Mashaalah 🥰🥰🥰
Jamani musiwe munalaumu sana lazima isndaliwe kwa umakini ndio itumwe voo
Shukraaaan Amina Ali habibty na maandalizi yanahitaji PESA
Ila kwatabia ya huyuuuu dada. Huyuu jamaaa angemwambia tuuuuuu nimeoa
Mashaallah na wimbo pia kaimba nani?? naupenda mnoo😍😍😍😍😍😍😍😘 Allha awafanyie wepes mtuletee part 11
Kweli umerogwa ukamuche mke aliye na mapenz na ww ukae na mke alokuwa hajui umuhim wa ndoa yake,mawazo ondoa broo
Asante n niliwamiss
Jmn huyu mwanaume hn maamuzi yake mwenyewe kweli hasadi zp
Maashallah inatufunza vyema
Tumewamic sana
Kumbe hipo hii movis niliisahau
Mashalla nice 🥰🥰❤️♥️❤️♥️
Munachelewesha mpka nasahau wallahy
Movie tamu sana
Mafundixho mazuri sana 🥰🥰
Masha Allah Asanteni