Mashaallah ukhty kazi zako ni nzuri sana mashaallah jitahd uendelee kuchunga maadili ya dini tumia fani kama njia ya kufikisha neno la Allah sio burudani . Namuomba Allah akupe siha wewe na wenzio wote inshaallah
@RamadanPaul Acha ujuaji, ulitaka aimbe vipi? Ninyi ndo mnakatisha watu tamaa hata muziki hamuujui. Mnakuwa watu wa kukosoa kosoa tu. Cha ajabu hujamtolea hata sent 5 kwenda studio. Haya hebu tuelezee, kaswida ikoje na taarabu ikoje?
Qaswida mzur sana mashalla la director ont bwana hujaitendea haki skiript huja ziweka kwanini emu onesha msimamo wako kama director bwana nisome kama director kd only
Qasda ni nyimbo zilizonasibishwa na dini , Qur - an imekataza mziki na mnanda , hivyo chochote kinachoingia Mziki na Mnanda basi ni kharamu. KIFO KIPO , SIKU YA HUKUMU IPO , DADA ACHA MZIKI , usipende sifa za kijinga ❌
ASNT ila vile vile nakunasihi sn nawew kutofatilia masuala yaliokatazwa na dini, kwani hadi umefika ku comment bs nimfatiliaji mzur ila tu hii qasida yng hukuipenda cndio???
@@DirectorOne.t achana na maneno ya watu, ukijali utakata tamaa, kama kwake ni halaf bas kwetu ss ni halali, maana tangu mpaka sasa umri miaka 28 ndo nasikia kwake kuwa qaswida ni halam. Waimbaj weng wamepotea kwa sababu ya maneno ya watu. UKHTY SAU, we fan's Love's you more. Usichoke INSHALLAH
Uko vizuri sau nakupenda kwaujumbe wako❤
Malip ni hap hap duniani , kil ck nasem ukhty sau lazm atatutolea qaswida yeny ujumb, maashallah
Kz nzuri
Umesomeka ukhti sau ujumbe umefika
Mashaallah
Asante Allah akuzidishie
asnt
MashaAllah❤
Dah 😢hii kasweda imenigusa wallah Allah atusaidie jmn
Mashallah Allah ❤
Hongera ukt sau nakupenda ❤❤❤ hunambaya
Mashallah kipnz ❤❤
mashallah qaswida nzri sana
Hata mimi imenigusa sana kasida
Mashaallah mashaallah mashaallah yaani hii kasda imenigusa moyo wangu hongera Ukhti sau nakuhitaji kwenye harusi ya mwanangu naitaka hii kasda
Ukhti Sau Nakupenda kwa akili ya Allah
Mashallah ukhty hii kaswida nzuri sana 😊
Ahsante ukhti sau kwa ujumbe wa kutukumbusha
Kazi nzur ww uliyo fanikisha
Hongera sanaa ukhty wangu hii umeua kweli Mungu akuzidishie kipaji zaid
Hongera sana ukhti sau kasida imegusa mioyo ya watu allah akulinde na chuki na hasadi za wale wasio penda maendeleo ya wenzao na waimba taarabu
Nakupe ukhty sau hunambaya ila nakunasihi usiimbe nyimbo qaswida zipotele nakuamini Sana hunabaya
mashaAllah umenigusa sana ukhti sau
Mashaalah hapo hapo Dada usibadilike kwenda kwenye nyimbo
Nakubaliiiii my weyetena ❤ hunambamba ❤
Mashaa Allah,,,,Allah Amuepushe Na Macho Ya Husda, Muishi Miaka Mingi❤❤❤❤
Ammina
sau nakukubali sana kazimzuri jitahidi kuleta kile shenye ujube mzuri ustazi nasemahapa mashaawha❤❤❤
Kaza kamba ukhty hapo umeupiga mwingi sana hongera kwa kazi nzuri ambazo ndo tunazo zimiss
Mashaallah ukhty kazi zako ni nzuri sana mashaallah jitahd uendelee kuchunga maadili ya dini tumia fani kama njia ya kufikisha neno la Allah sio burudani .
Namuomba Allah akupe siha wewe na wenzio wote inshaallah
Mashaallah hiyo ndio kaswida
Mashallah❤❤❤❤
Mashaallah
mashAllah mashAllah tumekumis uku Kenya utakuja lini❤
asnt.. nitfk tu inshllh
Maashallah MASHAALLH hongera sana sana hii yangu MİE
Hongera sau ujumbe umefika na upo vzur hii inapendeza kwakwel
Mashalaah qaswida inaujumbe mzuri sana Allah akulipe kheri ukht Sau ❤️
Ewe mola wetu tusaidie🤲 ujumbe muruwa Allah azidi kukubariki ewe waridi la visiwani
gwijiiiiiiiiiii hongera sn kw qasida nzur video imetulia verry verry
Mashaallah allah akujaalie kaz njema akuzidishee ujuz ktk kipaji chako hiii ndo kasida mpenz
asnt
Maashaallah huna mbaya mpenz
asnt
MashaAllah MashaAllah kaswida nzr❤❤❤ ukweli kabisa
MashaAllah Tabarakallah wallah hongera sana ukhty Sau yan maneno yenye msingi mzr wakuzijenga familia zetu Allah akubariki Ameen
asnt
Hatimae imetua niliisubiri kwa hamu mzigo umejaa hauna khitilafu
hekoooo mama lao!!
❤❤❤
Hii ndo qaswida,,, fanya hv daily chunga usije ukaingia kwenye taarabu mashabik zako tunataka qasida
Kabisa umeongea kitu tulokua tunawategemea kwa kasida sasa niwaimba taarab tungo zimewaishia
@@siwajibuhassan2924.. kwer kabisa
@RamadanPaul Acha ujuaji, ulitaka aimbe vipi? Ninyi ndo mnakatisha watu tamaa hata muziki hamuujui. Mnakuwa watu wa kukosoa kosoa tu. Cha ajabu hujamtolea hata sent 5 kwenda studio.
Haya hebu tuelezee, kaswida ikoje na taarabu ikoje?
Mashallah ukht wngu ❤
Mabruuki ya ukhut sau
shkrn
Mashallah
MHHHH SINA SHAKA KBSA NA UKHTY SAU hp naon km haifiki tarehe
Shukriya da swau
Qaswida mzur sana mashalla la director ont bwana hujaitendea haki skiript huja ziweka kwanini emu onesha msimamo wako kama director bwana nisome kama director kd only
nmekuelew ila ni mbinu tu kwakutoeka vitendo ucjl
❤🇹🇿🇴🇲
💖Mashaallah 💖
Qasda ni nyimbo zilizonasibishwa na dini , Qur - an imekataza mziki na mnanda , hivyo chochote kinachoingia Mziki na Mnanda basi ni kharamu.
KIFO KIPO , SIKU YA HUKUMU IPO , DADA ACHA MZIKI , usipende sifa za kijinga ❌
ASNT ila vile vile nakunasihi sn nawew kutofatilia masuala yaliokatazwa na dini, kwani hadi umefika ku comment bs nimfatiliaji mzur ila tu hii qasida yng hukuipenda cndio???
nimpe dalili na sio utashi kuwa hii imekatazwa au ni haramu.. AYA au Hadithi sahihi
ukht sau mtu akitaka kukodi muongozo tafadhali
@@habiptyomar1532 namba zipo apo zimeandikwa izo zilizoishia 88
@@DirectorOne.t achana na maneno ya watu, ukijali utakata tamaa, kama kwake ni halaf bas kwetu ss ni halali, maana tangu mpaka sasa umri miaka 28 ndo nasikia kwake kuwa qaswida ni halam. Waimbaj weng wamepotea kwa sababu ya maneno ya watu. UKHTY SAU, we fan's Love's you more. Usichoke INSHALLAH