asante dada unaelezea vizuri unatoa ujumbe safi ila sikubaliani unapo sema wake wenza wakigombana chanzo ni mume mana nyinyi wanawake mwalimu wenu ni jumamanne kipofu
Mimi mumewangu kaowa wala sina muda na mwenzangu na niliwahi kumuona mara 2 tu nina miaka 21 sijamuona lakini huyu mwanaume na choko choko la huku watt wa mwenzio wamefanya da wamefanya de wanahivi wanahivi ni mbaya na husda
Yaan dada nimekupenda bure yaan uloyasema yote niyangu mm nilikuwa oman mume kaowa nilipo rud sijaamin ilo swala la kusema mume yuko zam nalihesab yupo kazin mpk mwenyewe kaniuliza huna wivu nikilala kule unajiskiaj nikamjui nakuhesab upo kazin jaan jamaa haamini yy mwenyewe kuna siku kasema nijuta kuowa maana kila kit hufanya kwangu
Muombe Allah kila kitu kitakaa mahali pake maana kwa sasa ukisema kisa kaoa udai talaka utaomba sana na hata kama ukiachika ukirud nyumban watakupenda wiki ya kwanza tu zinazofata zote ushakuwa mzigo na hata kama ukiwa unajiweza Kuna umri unafika c wakukaa ubachela wakujitakia akikupa Taalifa anataka kuoa swalini kwanza istikhara kwa huyo anaekuja na uadilifu kwa mume piah Akupe amani ya moyo Allah hawez kukupa Bomu wakati umemlilia na kuuma lazima viume maana ni mumeo wala c kaka ako huyo.
Niliyafanya hayo Alhamdulillah nimestarehe roho yangu wengi wanaamini nina roga ila sijawahi namtegemea Allah nikipata zito mganga wangu sijida
Mashallah
Mashaallah dada yangu umenifunza vizuri sana Allah akuwekeye wepesi kwakila jambo
Dah mnajua mwanaume au mnajua mme, maana mwanaume kama mwanaume ata aoe 4 mpaka sita walhahi akosi kwenda nje,Kwa kumi wasioenda nje ni 2 tuuuuu
Ukewenza so ushindan nimemuacha tena nimerud oman naondoka wallah naswaumu nilonayo mume kalia
Maneno kuntu,yamenikuta haya yakuitana udada,najutaaaa😭😭😭😭Wema umeniponza mie
😂😂😂😂😂 kafundisha vizur mashaAllah hatujachelewa bhnaaa Alhamdulillah
Nipenamba.nataka.hayo.mambo
Nimecheka Kwa saut 😂😂 Nena usikimbie nyumba Kwa mke mwenza 😂😂
Kweli kabisa kushindana mke mwenzio ata kumroga ushamba
assalaamu aleykum. naomba kama wapo waschana wakutaka ndoa nijulishwe. shukran
Wapo
nimekupenda dada ❤
Nime jifunza kitu
At ukeweza siutak lapekeako na dhaninikaburiitu nnalo ikipita miaka arubainii kisheria linaruhusika kuzikwa mwengine tizama apootu
asante dada unaelezea vizuri unatoa ujumbe safi ila sikubaliani unapo sema wake wenza wakigombana chanzo ni mume mana nyinyi wanawake mwalimu wenu ni jumamanne kipofu
Mwanaume anachangia na kikubwa zaidi Mwanaume lahuku anapeleka kule la kule analeta huku hapa ndio tunagombana
Mimi mumewangu kaowa wala sina muda na mwenzangu na niliwahi kumuona mara 2 tu nina miaka 21 sijamuona lakini huyu mwanaume na choko choko la huku watt wa mwenzio wamefanya da wamefanya de wanahivi wanahivi ni mbaya na husda
😂😂😂kalie chooni
😁
Yaan dada nimekupenda bure yaan uloyasema yote niyangu mm nilikuwa oman mume kaowa nilipo rud sijaamin ilo swala la kusema mume yuko zam nalihesab yupo kazin mpk mwenyewe kaniuliza huna wivu nikilala kule unajiskiaj nikamjui nakuhesab upo kazin jaan jamaa haamini yy mwenyewe kuna siku kasema nijuta kuowa maana kila kit hufanya kwangu
صلوا على النبي
Elimu unayotoa sirahisi kuipata kwa wanawakengi.
Asant Dada kwaushauro
Nikweli dada
Kweli kabisa
Mm ukewenza siutak man wanaume sahv si waadilif
uwadirifu utaujuaje ilhali hujataka mume aowe?
Muombe Allah kila kitu kitakaa mahali pake maana kwa sasa ukisema kisa kaoa udai talaka utaomba sana na hata kama ukiachika ukirud nyumban watakupenda wiki ya kwanza tu zinazofata zote ushakuwa mzigo na hata kama ukiwa unajiweza Kuna umri unafika c wakukaa ubachela wakujitakia akikupa Taalifa anataka kuoa swalini kwanza istikhara kwa huyo anaekuja na uadilifu kwa mume piah Akupe amani ya moyo Allah hawez kukupa Bomu wakati umemlilia na kuuma lazima viume maana ni mumeo wala c kaka ako huyo.
Maneno kuntu dada