MWIJAKU AFICHUA MAZITO AMTAJA MPENZI WA VUNJA BEI KWENYE HARUSI YA WOLPER NA RICH MITINDO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ย. 2022
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    MWIJAKU AFICHUA MAZITO AMTAJA MPENZI WA VUNJA BEI KWENYE HARUSI YA WOLPER NA RICH MITINDO
    #Bonatv #Exclusive
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 71

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 ปีที่แล้ว +2

    Mpaka kwenye sherehe ya harusi, mazungumzo ya umbeya na upuuzi wa mwijaku..
    ovyoo badala yakushughulika na walichoalikiwa. Very sad 😔

  • @lastbornsaadah7632
    @lastbornsaadah7632 ปีที่แล้ว +6

    Najiuliza mke wa mwijaku anavumilia vipi, wallah si kwa ubaya ila waovyo sana yaani aibu kwenye shughuri za watu anajifanyaga mjuaji ila jamani watoto wanazomewa shule baba chawaaaaa tena kunguni

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 ปีที่แล้ว +1

      Yaani huyu aah,yule mke hapana jamani......linaomba hela wanaume wenzie kwenye TV dunia ikiangalia afu lenyewe linaona sawa

    • @lastbornsaadah7632
      @lastbornsaadah7632 ปีที่แล้ว

      Nakwambia mtihani sana alafu anajitamba Amehitimu vyuo viwili mtihani

    • @neemalusasi60
      @neemalusasi60 ปีที่แล้ว

      Hongera mwijaku unaupiga mwingi bro we love

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior ปีที่แล้ว

      MVUMILIENI TU HUYO NI MUIGIZAJI.
      HUYO ANATUMIA SANAA KUISHI.
      HIVYO MUDA MWINGI UNAPOMUANGALIA UJUE UNAMUANGALIA MUIGIZAJI WA WAKATI WOTE.

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 ปีที่แล้ว

    kwa kweli

  • @charlesmanase4507
    @charlesmanase4507 ปีที่แล้ว

    Msenge chawa huyu eti msiniache hiv hiv ila mjin ni akili tu

  • @ashurakihemba7519
    @ashurakihemba7519 ปีที่แล้ว +2

    Nimecheka jamani mjini ishi kwa akili tu

  • @saidatniyonkuru9910
    @saidatniyonkuru9910 ปีที่แล้ว +1

    Ntaacha aje ku likes wakati nimekuon mwijak

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku yuko tayari dunia nzima ichafuliwe ila yeye apate pesa za omba omba

  • @reginagodfrey7768
    @reginagodfrey7768 ปีที่แล้ว

    jamani Fred kaoa nyinyi

  • @rachellegashurwe5083
    @rachellegashurwe5083 ปีที่แล้ว

    Paka Freddy ceko inamuwaaaa😄😄😄😄

  • @habbibtymonah6912
    @habbibtymonah6912 ปีที่แล้ว +2

    Mwijako ww ovyo ulijuaje kama wema bado msafi😏😏😏

  • @kwazulu5240
    @kwazulu5240 ปีที่แล้ว +2

    Duuuu Holper usingemualika Mwijaku. Angalia anavyomudhalilisha. 😊😊

  • @KSJ6569
    @KSJ6569 ปีที่แล้ว +3

    Alafu mwehu uyu atajiita anadini alafu anashik pombe

  • @angelailunga7582
    @angelailunga7582 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku mbona huna mtoto

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 ปีที่แล้ว

    Hamisa ?

  • @ashuramhando4933
    @ashuramhando4933 ปีที่แล้ว +2

    Jaku anafagilia Ugali wake kwa Vunja 😀😀😀😀

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 ปีที่แล้ว

    Daa jamaa hana aibuu kuomba omba hadharani mtihani huyu Mwijaku.

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂😂😂
    Huyu jamaaa daaaah...

  • @vero57
    @vero57 ปีที่แล้ว +3

    Utamwombaje mwanaume mwezio pesa?? Kafanyaje kazi uko acha umama!!mwijaku

  • @aweyuumbise8087
    @aweyuumbise8087 ปีที่แล้ว

    Chibaba kumbe ulienda?

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 ปีที่แล้ว

    Hamissa

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 ปีที่แล้ว

    Point moja ya maana mwijako ni degree mbili unammiminia Tajiri beer mhh ulaya barstaff wengi wana degree

  • @nervenb2831
    @nervenb2831 ปีที่แล้ว +1

    Weye nillana😄😄😄😄

  • @aweyuumbise8087
    @aweyuumbise8087 ปีที่แล้ว +1

    kwahiyo mkeo hawezi kukuacha kwasababu umetoka kigoma

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂 Mwinjaku shikamoo 🤭 H ni Hamisa👌💃😂😂😂

    • @janethedwin8068
      @janethedwin8068 ปีที่แล้ว

      Sio hamisa ni joket h nijina lake la ubunge joket

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 ปีที่แล้ว

    Mwijaku anajua kuishi

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo8228 ปีที่แล้ว

    Mshenzi huyu😀😀😀

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 ปีที่แล้ว

    Hivi mwijako anatoka Dodoma?

  • @rachellegashurwe5083
    @rachellegashurwe5083 ปีที่แล้ว

    Mwijaku jamaniii mimi😂😂😂😂

  • @aweyuumbise8087
    @aweyuumbise8087 ปีที่แล้ว

    China kumbe ulienda

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 ปีที่แล้ว

    Unashauri matajiri😛kwanini wewe usiutumie huo ushauri ukatajirika . Mwijaku hovyoooooo

  • @innat04
    @innat04 ปีที่แล้ว

    Sheikh mwijaku ana serve pombe

  • @nadyaabdallah2741
    @nadyaabdallah2741 ปีที่แล้ว

    Huzulia ndio kiswahili cha mtangazaji eti

  • @aweyuumbise8087
    @aweyuumbise8087 ปีที่แล้ว

    yaani mwijaku wewe basi tu@🤣🤣🤣😄😄😄😄

  • @dama4995
    @dama4995 ปีที่แล้ว +9

    Mwijaku anavyoo omba omba pesa hadi kerooo mpuzi huyu

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 ปีที่แล้ว

      Umegunduaeee nani mwingine kagundua jamani toeni mtiririko wamaoni yenu hapa hapa

    • @jacquilinenoah949
      @jacquilinenoah949 ปีที่แล้ว

      anaangalia chek🤣

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 ปีที่แล้ว

    Ila mwijaku jaman😂😂😂😂

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂jmn #Mwijaku eti ikalia kupambana na maic 🎤🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rehsanhassan8141
    @rehsanhassan8141 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku weeuwe eti ooh wanasema wazazi wa wolper weusi na wolper mweupe, tajiri ametaka pombe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 ปีที่แล้ว +3

    🤣🤣🤣🤣 degree mbili anammiminia tajiri pombe

  • @shaminaabdul8427
    @shaminaabdul8427 ปีที่แล้ว

    Mwijaku wallah mie hata sikuelewi ujue yan wewe hueleweki🤣🤣🤣🤣

  • @elizabethmudio818
    @elizabethmudio818 ปีที่แล้ว

    ila mwikaju una sifa😂😂😂😂😂😂

  • @dama4995
    @dama4995 ปีที่แล้ว

    Kama una mawazo mwijaku mbna usiyatumie uitwee ww tajiri kubwa jinga ww

  • @gres1182
    @gres1182 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku umenshinda 🤔🤔🤔

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 ปีที่แล้ว

    Mwijaku bichwa linavimba

  • @Queen_latiffa
    @Queen_latiffa ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂 ety wema msafi anaingia siku zake 😂😂😂

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 ปีที่แล้ว

    Mwijaku miaka 10 kwenye ndoa huna mtoto kweli una walakini

    • @selelaamod4052
      @selelaamod4052 ปีที่แล้ว

      Anae anaitwa malichuuii ana miaka saba

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣mwijaku chizi jmn

  • @mariagodwin7669
    @mariagodwin7669 ปีที่แล้ว

    Ila mwijaku bwege wewe hahahaaaaaaa

  • @grakaemanuel2541
    @grakaemanuel2541 ปีที่แล้ว

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariamselemani1366
    @mariamselemani1366 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 ปีที่แล้ว

    Eti anaona cku zake wewe acha uongo umejuaje

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      😀😀😀sasa si bado hajapata ujauzito

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 ปีที่แล้ว +1

    watu mnasema mwijaku anaongea hovyo kwenye harusi za watupu arafu awa watangazaji wenyewe wanapenda kuoji vitu vya kijinga maana washajua huyu ropoka ropoka anaongea maneno meusi kabisa sijui wema anaingia siku zake sijui rich mguu wa kwanza mtt kwaiyo awa watangazaji nao ovyo kabisa

  • @marthashenenga9076
    @marthashenenga9076 ปีที่แล้ว

    Ila ilijinga uwaga na likubali litukane lichambe utajijuwa wewe alipo😂😅😂😅😂

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 ปีที่แล้ว +2

    Meijaku anashekesha mno napiahujangamsha watu… Wolper apendeza mno mno ,,,,,🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👌👌👌

    • @sayunimwambene5796
      @sayunimwambene5796 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani mwijaku nimecheka mpaka machozi

    • @niwaelally1579
      @niwaelally1579 ปีที่แล้ว

      @@sayunimwambene5796 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kilichoandikwa

  • @mdta8161
    @mdta8161 ปีที่แล้ว

    Mwijaku anajua kuishi

  • @zainabumzashi4535
    @zainabumzashi4535 ปีที่แล้ว +1

    😆😅😆😅😆anamimina pombe

    • @miamia6155
      @miamia6155 ปีที่แล้ว

      Amenichekesha et jifanye umesoma elimu ni nzuri inakufungua akili ila kuna mda jau 😂😂😂😂 nyumban kuna kaka alikuwa anauza samak wabichi amesoma hadi chuo kikukuu ila gundu kazi apati akaanza kuuza samaki siku akikumbuka elimu aliyo nayo na kazi anayofanya ad analia huruma

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      @@miamia6155 Albert Eistein aliwahi kusema akili ni ile unachofundishwa darasani halafu ukitoe ndiyo akili usifikirie akili ni kuwa na PhD ama sijui masters n.k akili ni kile ambacho ukitoa vyoote ulivyofundishwa class ukivitoa kile kinachobaki kichwani mwako ndiyo akili.kwetu tz ama africa tatizo akili hupimwa kwa vyeti.